Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

Kuna kabinti kamoja kalinipitisha barabara ya vumbi pale Lambo sikuamini. Nadhani Mimi ndio wa kwanza kupita Ile barabara. Bei yake Sasa, unajiuliza hii hela ndogo huyu atanunua nini? Sinza Kuna mzee mmoja mtumba kwisha kazi yaani mkangafu niliuomba nipite barabara ya vumbi bila aibu Wala Soni alinitamkia elfu arobaini.
Kwa 40,000 Lambo unapata chumba, totoz Tena hupiti barabara ya TANROADS, beer za kutosha na kongoro.
Mmeujeuza Uzi kutafuta machimbo unaendaje nunua dad POA jmn
 
Kulikuwa hakuna cha fisi wala nini. Ukitaka ukweli mtafute mtu mzima kama mimi akupe ukweli. Enzi hizo nilikuwa nakaa Mburahati zile numba za Jeshi (National Housing) ambazo zilijengwa wahamie watu toka kariakoo wakazikataa kwa sababu kulikuwa porini. Wakati huo mabasi (DMT/UDA) yakiishia Kigogo mwisho kwa Binti Kaenga. Binti Kaenga alikuwa mganga al-maaruf hata simu alikuwa ameweka nyumbani kwake (miaka). Jina la uwanja wa fisi lilitokana na vyakula na pombe aina zote. Enzi hizo Wagogo, Warangi, Wanyaturu, Wanyiramba ndiyo palikuwa kwao huko. Napakumbuka vizuri maana nilikuwa kwenye "late 20s", na nilikuwa nachungulia huko mara chachechache.
May be maana niliambiwa na mzee ye nyumba yake kaijenga mwaka 1960 karibia na maeneo yale ila alishakufaga ndo alisimulia ivo palianza kuchangamka kwanzia late 75
 
Jina uwanja wa fisi limetokana na kwamba miaka iyo kulikuwa na fisi wengi na kiboko pia palikuwepo na bwawa na ndo maana kunasehem panaitwa kiboko bar
Hapana sio kweli, kwanza uwanja wa Fisi na Kiboko Bar ni maeneo tofauti kabisa na yapo mbalimbali. Jina la uwanja wa Fisi lilitungwa na gazeti moja kipindi hicho linaitwa Burudani lilikuwa likitoka mara moja kwa wiki.
Na hii ilitokana na kutoa habari ya eneo lile kuwa kutokana na maisha wanayoishi watu wa pale hawana tofauti na mnyama fisi.
 
Kulikuwa hakuna cha fisi wala nini. Ukitaka ukweli mtafute mtu mzima kama mimi akupe ukweli. Enzi hizo nilikuwa nakaa Mburahati zile numba za Jeshi (National Housing) ambazo zilijengwa wahamie watu toka kariakoo wakazikataa kwa sababu kulikuwa porini. Wakati huo mabasi (DMT/UDA) yakiishia Kigogo mwisho kwa Binti Kaenga. Binti Kaenga alikuwa mganga al-maaruf hata simu alikuwa ameweka nyumbani kwake (miaka). Jina la uwanja wa fisi lilitokana na vyakula na pombe aina zote. Enzi hizo Wagogo, Warangi, Wanyaturu, Wanyiramba ndiyo palikuwa kwao huko. Napakumbuka vizuri maana nilikuwa kwenye "late 20s", na nilikuwa nachungulia huko mara chachechache.
Duh kweli we ndo mwenyewe mitaa ile...ni kweli hata mimi babu yangu ndo ilikuwa mitaa yake ya kunywa pombe na nyama zisizoeleweka.....tulikuwa tunaishi ajentina pale jirani na jego gesti
 
Wanaonunua puchi Ni watu wa kawaida Sana. Unao kanisani, msikitini, kwenye bar, ofisini, kwenye daladala hata hapo nyumbani kwako. Hata mawaziri wapo Tena Yuko mmoja anachukuaga watatu kwa mpigo ndio kiu yake kidooogo inapungua. Nikupe jina ushangae?
Kuna naibu waziri mmoja wakati wa jpm aliwahi kuja ofisini kwetu mtwara kwa ishu fulani katika maongezi akataka atafutiwe mabinti fulani wa 3 kwa pesa ndefu tena walikuwa wanachuo cha saut,siku fulani nikakutana na mmoja wa wale mabinti aliponiona akanikumbuka katika stori akadai yule mtu wenu ni mshenzi sana tena sana laiti ningejua nisingekubali kila nikimuhoji ushenzi wake ni upi haniambii sasa sijui aliwafanyaje
 
Kuna naibu waziri mmoja wakati wa jpm aliwahi kuja ofisini kwetu mtwara kwa ishu fulani katika maongezi akataka atafutiwe mabinti fulani wa 3 kwa pesa ndefu tena walikuwa wanachuo cha saut,siku fulani nikakutana na mmoja wa wale mabinti aliponiona akanikumbuka katika stori akadai yule mtu wenu ni mshenzi sana tena sana laiti ningejua nisingekubali kila nikimuhoji ushenzi wake ni upi haniambii sasa sijui aliwafanyaje
Hahahahaha aliwakojolea masikioni
 
Back
Top Bottom