Maisha yangu ya Kiislamu ninayoishi nchini China

Sema tu nia yako ujioneshe kwamba hakuna tatizo huko china, acha kudanganya watu wewe sema unasalia ndani coz uislam hautakiwi china wala marekani hata hao unaowataja eti wanatokea marekan ni wakimbizi coz marekan ni nchi ya kikristo kama hujui hilo hao wahamiaji ndio wakifika hujidai ni wazawa, mbona huwa hampendi kusema saudia au yemeni mnakazana ulaya 🤣🤣😂😂 hizo ni nchi ambazo haziusiki na utamaduni wa muarabu usifosi ndugu
 
Synonym,
Bora umempasha ukweli,

China kwa muda mrefu wamekuwa wakishutumiwa kuizuia jamii ya wachina wenye uislamu ambapo wamewafungia ktk camp moja , na wana wafundisha utamaduni wao wa mandalin kama sikosei....

China hata ukristo tu tia maji maji
 
Wewe mmakonde unajisifia utamaduni wa waarabu. Tena unajisifia kuupeleka utamaduni huo China! Kazi iendelee.
 
Bora umempasha ukweli,

China kwa muda mrefu wamekuwa wakishutumiwa kuizuia jamii ya wachina wenye uislamu ambapo wamewafungia ktk.camp moja , na wana wafundisha utamaduni wao wa mandalin kama sikosei....

China hata ukristo tu tia maji maji

Umeona e, moja ya message aliyokusudia kutufikishia kwenye maelezo yake ni kuwataarifu watu kwamba hali ni shwari kwa 100% kwa waislamu wote waishio China katika kutekeleza ibada zao, jambo ambalo si kweli kwa asilimia fulani, baadhi ya jamii zinaishi kwa hofu, wananyanyasika, wanashurutishwa, kwa kifupi tu si sawa, maafisa wa Serikali wakihojiwa kuhusu hiyo kadhia wanasema hatua zinazochukuliwa ni tahadhari ya kujikinga na vitendo vya kigaidi, leo wameanza kwao kesho kwako, ukimuona mwenzako ananyolewa zako tia maji

Yawezekana mwandishi wa mada ameandika kwa kutokufahamu yanayoendelea kwenye miji mingine, katika hali hiyo ana haki ya kupewa udhuru

Katika hali ya kawaida binafsi huwa nalaani kitendo chochote kiovu anachofanyiwa mtu wa imani yoyote ile awe ni Myahudi, Mshinto, Mbahai, Mpagani, Mkristo ... ... ...

[emoji3590]
 
Kwa kweli nchi za ugenini? Zinautofauti sana na nyumbani ukizingatia nchi ambazo dini ya kiislam haijashika kasi sana.. katika mfungo
 
Dah hiyo misosi iliyojaa mezeni imenitoa udenda kwa kweli. Bongo hela ngumu sana kuweza kujichana kama namna hiyo.
 
Wewe mmakonde unajisifia utamaduni wa waarabu. Tena unajisifia kuupeleka utamaduni huo China! Kazi iendelee.
Unataka kuniambia kwamba utamaduni wa waarabu ndio uislamu?
 
China ukionekana unafuga midevu au unaziba uso unapelekwa kwenye camp za kukunyoosha
Ukitoka uko maandishi ya kiarabu ushasahau yote
 
JazakAllah ukhty, vipi wenyeji ambao ni waislamu ama kwa jina lingine "uyghurs", tunasikia wananyanyaswa huko, vipi ramadhani kwao ikoje?
shukran? je wewe unaogopa kufunguka?
 
Madam lock down ipo kwa wotee wanaoingia China?

#YNWA
 
Samahani dada, kuna mwanangu mmoja kapotelea huko china anaitwa Omar Mungia ukimpata mwambie mimi mchizi wake nipo huku jamuhuri ya JF namsaka
 
Vipi na huko china mmetoa tangazo kuwa hakuna kufungua hoteli na migahawa muda wa mchana kipindi hiki cha mfungo..kama walivyofanya wazenji??

#MaendeleoHayanaChama
Hivi we jamaa ukisoma mada hadi mwisho kisha ndio uchangie unaathirika nini? Kiazi wewe
 
Umetumia kijiti au? Uislam hautakiwi marekani, je huko marekani hakuna msikiti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…