Maisha yangu ya upangaji na wake za watu na niliyowahi kuyashuhudia

Upuuzi ulioufanya ni kutoa detail zote za maeneo na makabira au kazi za wahusika. Labda Kama umepindisha ukweli lakini Kama ni kweli basi huna akili maana utasababisha migogoro isiyo ya lazima.
Mazingira ya bunda watu hawapo familiar na jamii forums!
 
Kwikwikwi nitaua kwikwikwi

Yakinitokea (kwikwikwi) nitaua (kwikwikwi)

Maana siwezi (kuchapiwa kuchapiwa) Γ—3 mwenzako ooooh

(Oh my God ooh bless my marriage)Γ—3

(Rakatarakata) Γ—2 rikitirikiti
 
Ushauri wangu kwako dogo mpendwa.

Anza kutembea na kopo kubwa la vaselline au body care. Itakusaidia usichanike. Mimi nipo hosp ni daktari wengine huwa wanaletwa wamechanika vibaya sana. Wanasema wajuba hawakutumia hata vilainishi. Ukishindwa nenda garage kwa mafundi waambie wakumiminie oil kwenye kikopo. Uwe nayo itakusaidia mimi nimechoka kushona mikunduh ya watu.
 
Kuzini na wake za watu ndiyo imekuwa sifa kubwa kwako.

Jitahadhari na magonjwa ya zinaa, mwenyewe unajisifu unapiga kavu kavu.
 
Mazingira ya bunda watu hawapo familiar na jamii forums!
Tupo tu kunakucheki tunasema hiiii bhagosha.
Unamanisha Bunda bado hatuna uelewa wa jf
Balili, nyamakokoto, kabarimu, chilinge, nyasura, mpaka migungani tunapajua
We jianike tu
 
Umepiga kwenye mshono
 
Tukio jingine lilinipata nikiwa kwenye nyumba fulani kubwa, kuna bwana mmoja alikuwa mfanyakazi wa Pride yeye na mkewe walikuwa ni wenyeji wa Singida. Sikuwa na mazoea nao kabisa ila kuna siku yule bwana kaenda Musoma semina, sasa usiku ule nikapishana koridoni na mkewe katoka kununua juice ya embe ile kubwa. Akanisalimia kwa kunishika mkono huku akiniambia sema chochote kilichopo moyoni usiogope, ukweli nilienda kumchapia kwenye chumba kisicho na mpangaji. Kwa sasa wapo isevya, Tabora.

Code...code mkuu
 
Sijaelewa lengo lako hasa ni lipi? Bahati nzuri haya unayosimulia na mkeo pia anafanya ni kawaida ,kipya hakinyemi.
 
Mambo madogo tu hayo, usiwakatishe tamaa watu wenye wake zao wanaoishi nyumba za kupanga
Iwe nyumba ya kupanga au ya kwako ,mwanamke akiamua kugawa naniliu yake anagawa na hakuna kitu Utajua so usijifariji unless hujawahi Wala wake za watu au mademu kwenye mazingira ya kutopanga.
 
Kwa maelezo unayotoa kuhusu wahusika, waume zao wakipita hapa lazma wajue

By the way, hayo mambo kwa uswazi mbona kawaida sana na ulifanya vizuri kuhama kila ukiharibu maana ungedakwa tu
Huyu ni mpumbavu Sasa sijui anatoa details ili iwaje,huu ni ulimbukeni..

Mara kadhaa wake za watu wametuita kwenye nyumba zao na kuwala ila hiana maana yeyote Kwa sababu ni mambo ya kawaida na hata yeye yatamkuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…