Maisha yangu ya upangaji na wake za watu na niliyowahi kuyashuhudia

Maisha yangu ya upangaji na wake za watu na niliyowahi kuyashuhudia

Huyu ni mpumbavu Sasa sijui anatoa details ili iwaje,huu ni ulimbukeni..

Mara kadhaa wake za watu wametuita kwenye nyumba zao na kuwala ila hiana maana yeyote Kwa sababu ni mambo ya kawaida na hata yeye yatamkuta
Kweli mkuu, hata kama wewe ni mkeo

Imagine mtu anatoa detail za mtaa, kabila na ajira za waume zao hata ingekuwa ni mimi ningejua tu😂
 
Kijana kataa Ndoa
Ndoa ni utapeli
Afya ya Akili ndo kila kitu kuliko huyo Mwanamke


Kwa jinsi wake za watu tunavyowaona wanagawa Ni bora kukaa kimya.
Vimewekwa vitumike toka enzi na enzi na wewe sio wa kwanza kugawiwa au kugawa ila huo Muunganiko aliuanzisha Mungu mwenyewe ni ngumu sn kuubadili hata katika jamii tu ukiwa hauna mke unaonekana mhuni hauaminiki au utaonekana una shida na kuna baadhi ya kabila, wanaukoo wanakuozesha Kwa nguvu na viboko juu(likiwemo la kwangu),umsumbue nani Kila mtu yuko bize na familia yake.
 
Sasa kwa hizo Details si hao wanandoa wanatoana roho sasa hivi maana wahusika watajulikana na waume zao 😂😂
 
Na ulivo na tako kubwa halafu hujaguswaaa! kifupi weye bado mnato!! .....utamu utakao upata hutakubali maku tena bali utatamani mshedede tu!! na ndo unacho kitafuta sasa subiri tu! utafurahia!

hakuna haja ya vilainishi siku hizi siyo kwamba hawakujui wenye mali wanakujua sana ila uliwahi kimbia!! ogopa sana ke anaye kutongoza...iko siku hutaamini unacho kiona!
 
Nimegundua wengi humu ndani wameumia na kuuchukia uzi sana kwasababu wana hofu kuwa yawezekana wake zao nao wanachapwa kwa mtindo huu
 
Uzi wa kizinifu... sema wake za watu na wanawake huwa warahisi kutoa siri zao za ndoa, jana tumetoka kupiga boksi na jamaa yangu hapa Minisotta, sasa tukakutana na mdada tukaanza stori za maisha kawaida baada ya stori kunoga dada akaanza kutoa taarifa zake kaolewa na mtu wa kabila fulani, anaishi yeye na watoto mme anaishi New York City kikubwa ni yeye apate mahitaji tu yeye na watoto, mara mwanaume haruhusiwi kuja kwangu, mara anaelekeza mpaka anapoishi, sasa unaona kabisa kama mtu anaepita na kila aina ya jike anakuwa amesharahisishiwa KAZI... maana anatoa taarifa zake zote bila kuulizwa... ni noma wanawake kwa wanaume mlio kwenye ndoa muwe waaminifu... muache shobo KWA wake au waume za watu mwisho huwa mbaya.
 
Dogo umeanza kubeba laana umri mdogo hivyo! Hiyo laana itajirudia, unagongewa siku boja kabla ya harusi, zaidi ya hapo analiwa marinda mke mtarajiwa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna wanawake rahisi kuwagonga kama wake za watu,wanakuwa wana tamaa.
 
Hizi ndoa zina unafiki sana ni kumuomba Mungu tu, maana mambo ni mengi siyo mchezo iwe mwanaume/mwanamke ni full kusalitiana maana kuna kipindi mnachokana hisia zinapotea kabsa
 
Hakuna wanawake rahisi kuwagonga kama wake za watu,wanakuwa wana tamaa.
Pia siku zote wana lalamiko kuhusu waume zao haijalishi mume wake awe tajiri au maskini, awe anapiga mashine vizuri au la lakini lazima mke awe na lalamiko fulani kuhusu mumewe.
 
Back
Top Bottom