Mimi nawaonea sana huruma hawa. Yaani wanamzulia Allah uongo hawa.Hahahaaaaa ..
Hao jamaa hawajui kama wameingizwa chaka
Hivi inawezekanane Adiosamigo akiwa anasema yeye ni mwanaume aseme "Yeye Adiosamigo ni mwanaume"?
Hiyo kauli atakuwa ameitoa yeye au ni mtu mwingine anamsemea?
Hawa jama wana msiba mkubwa sana mkuu!
Dogo tatizo Mungu wenu analana sa nyie mtakuwa wazima? Ajabu ipi nikisema mimi Adiosamigo ni mwanaume? Sijui aibu hii mtaificha wapi Mungu wenu ana laana??
Wagalatia 3:13 inasema: Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa ALIFANYWA LAANA kwa ajili yetu; maana imeandikwa, AMELAANIWA KILA MTU AANGIKWAYE JUU YA MTI.
Na Kumbukumbu 21:22 nayo inasema: Ikiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti; mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa AMELAANIWA NA MUNGU; usije ukatia unajisi katika nchi yako …
Ni wakristo ndio mnasema kalaniwa sio waislam hahaha, hakuna muislam anaweza kusema Yesu kalaniwa labda awe kichaa. Bibilia ndio inasema mtu aliye tundikwa kwenye mti/amsalabani amelaniwa.
The synagogue is the Jewish equivalent of a church, more or less. It is the center of the Jewish religious community: a place of prayer, study and education, social and charitable work, as well as a social center.Naomba utoe maana ya sinagogi kama ilivyotafsiriwa nyuma ya bible unayoiamini. Acha bla bla! Hekalu na msikiti wapi na wapi?
.
Huyu hapa chini ni Mkristo sio?
The synagogue is the Jewish equivalent of a church, more or less. It is the center of the Jewish religious community: a place of prayer, study and education, social and charitable work, as well as a social center.
Mtoto Mbishi. Jifunze hapa maana ya Synagogue Judaism 101: Synagogues, Shuls and Temples
Hujaona kama amesema Yesu amelaaniwa?
Mimi nimesema wapi Yesu amelaaniwa?
Yesu ni Mungu wangu,nitasemaje huo uchafu?
What do you know? All you know is talking unintelligibly while jabbering like a kid.Ah! Ishmael bhana!
Yaani wewe ndio hamna kitu kabisa. Hujui lolote, ukiulizwa kitu hadi ukapakue gugo.
Na sometimes hata ulichokipakua hukijui, na kama unakijua tafsiri tu hizo shengesha ulizozipaste hapo.
Hiyo ni moja.
Mbili nimetaka maana ya sinagogi kama ilivyoandikwa nyuma ya biblia.
Tatu. Mwenzio (Eiyer)
kasema sinagogi ni msikiti lakini sio msikiti wa kiislamu.
Jee nikuamini wewe, yeye (Eiyer) au niamini ilivyoandikwa nyuma ya bible?
Usipojibu hayo maswali matatu... Bora angalia tu mjadala wetu huenda ukajifunza kitu.
Dogo hii aibu sijui mtaificha wapi...mnalana nyie na Paulo wenu.
Wagalatia 3:13 inasema: Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa ALIFANYWA LAANA kwa ajili yetu; maana imeandikwa, AMELAANIWA KILA MTU AANGIKWAYE JUU YA MTI.
Na Kumbukumbu 21:22 nayo inasema: Ikiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti; mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa AMELAANIWA NA MUNGU; usije ukatia unajisi katika nchi yako.
What do you know? All you know is talking unintelligibly while jabbering like a kid.
Hebu tujifunze kwa kutumia Biblia:Ila kama ni mpumbavu, hapo itakuwa tatizo maana mpumbavu haelimiki.
Wacha niendelee naye Mkuu.
Umeshindwa kujibu na hapo. Si ndio?
Siku zote nakwambia, Ishmael haujui kitu.
Na ukifa kafiri unakwenda motoni.
Kilichobaki usubirie hatua inayofuata ktk mjadala wangu na Eiyer naamini nawe utajifunza kitu.
Hebu tujifunze kwa kutumia Biblia:
Zaburi 14 : 1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema
Sasa tusome Quran:
Hakuna Mungu ila Allah na Muhammad ni mtume wake
Hakika leo umejifunza kuwa Asemaye kuwa hakuna Mungu ni Mpumbavu.
Wewe niambie, kati ya Wakristo na Waislam, ni nani wanasema kuwa HAKUNA MUNGU ILA ALLAH?Iyo inaitwa kufilisika.
Ukifilisika waweza kumbuka hata uporo uliowaekea mbwa na ukafanya kiporo hiko kuwa ni mlo wako wa kesho.
Wewe kwa maneno huelewi. Nimekuekea tupicha huenda ukaelewa.
Hapo nilipoweka red kwenye quote yako kuhusiana na makafiri, angalia hili hapa fungu hapa chiniSafi sana Mkuu, hawa watu wakifa makafiri ni upumbavu wao wenyewe. Kiukweli wamepata bahati at least ya kupata watu wa kuwatoa matongo ila wanashindwa kutumia nafasi.
Wewe endelea na huyo kichwa ngumu mimi namsubiri Eiyer tumalizane na issue za mjadala tunaokwenda nao, then nimpeleke stage nyengine na nategemea sana kama anaiamini bible basi mwisho wa siku kheri kubwa itapatikana.
Wanao mkana Bwana wetu Yesu ni Makafiri. Tena wanamkana Mola kwa kusema HAKUNA MUNGU.Hapo nilipoweka red kwenye quote yako kuhusiana na makafiri, angalia hili hapa fungu hapa chini
Yuda 1:4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
Je unamkubali Bwana wetu Yesu Kristo!?
Kama haumkubali hauoni wewe ni Kafiri!? kwa mujibu wa hilo andiko...
WAISLAM NI MAKAFIRI KWASABABU WANAMKANA BWANA YESU NA KUSEMA KUWA HAKUNA MUNGU:Naam ndio God ni Jina la Mungu.
WAISLAM NI MAKAFIRI KWASABABU WANAMKANA BWANA YESU NA KUSEMA KUWA HAKUNA MUNGU:
=========================================================================
Yuda 1:4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
Zaburi 14 : 1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema
Sasa tusome Quran:
Hakuna Mungu ila Allah na Muhammad ni mtume wake
Hakika leo umejifunza kuwa Asemaye kuwa hakuna Mungu ni Mpumbavu.
Hana kosa lolote lile. Mwenye kosa ni yule anayesema kuwa eti Allah hana msaidizi wakati huohuo anamtuma Jibril. Kwanini mumzulie Allah uongo huku wote tunafahamu kuwa Allah anaye msaidizi.Vp Yule anaesema mungu wapo watatu
Hapo nilipoweka red kwenye quote yako kuhusiana na makafiri, angalia hili hapa fungu hapa chini
Yuda 1:4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
Je unamkubali Bwana wetu Yesu Kristo!?
Kama haumkubali hauoni wewe ni Kafiri!? kwa mujibu wa hilo andiko...