Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HOW DARE YOU CHRISTIANS Raping And Killing
Hey Ishmael; He is called Prophet Yahya.Hey Adiosamigo it seems you are now scared of the truth. You need to be open minded and not living in the box. Anyways, where is the answer regarding baptism?
I mean, If John the Baptist was a Muslim, per your claims, why are you not baptized? Was Muhammad your sole prophets baptized? If, not, why?
Please answer me.
Aiseeeh, hapo kuna kaziraping??? Don't your prophet rape a kid of 7yrs claiming he want to marry her and being raped by a woman of 40yrs+ old when he was 20yrs old
fuatana na huu mlolongo.....Tatizo unavamia Qur'an hujui Qur'an inasema nini, au imekusudia nini. Point ulio ileta hapa haina kweli wowote ule. Sisi tunajua wazi Yesu hakufa kutokana na Qur'an, na hakufa msalabani. Hatua muhimu zaidi kufatia hapa; Kama Yesu mnasema alikufa kwa mujibu wa Aya hio ya Qur'an ulio iweka basi umechanganyikiwa, tena sana.
There is a similar Verse to 19:33 in the Noble Qur'an that was mentioned to another Messenger of GOD: "So peace on him [Yahya, or John the Baptist] the day he was born, the day that he dies, and the day that he will be raised up to life. Nadhani umefahamu sasa, we mwandikaji wa blue mana uko kwenye giza sana.
Hey Ishmael; He is called Prophet Yahya.
"0' Zakariya! Lo! We bring you a glad tidings of a son whose name is Yahya. We have given the same name to none before him.'' (Qur'an 19: 7)Another video
HOW DARE YOU CHRISTIANS Raping And Killing
Nani alichukua video za Mtume wenu?
Bado haujajibu swali:
Kama Yohana alikuwa Muislam na anabatiza watu, kwanini nyie HAMBATIZWI?
KUMBE ALLAH NI MUNGU DHAIFU!
Anasema hakuna wa kumsaidia katika udhaifu wake!
Q17:111 Na sema:Alhamdulillah,Himdi zote ni za Allah ambaye hana mwana,wala hana mshirika katika ufalme,wala hana rafiki wa kumsaidia KWA SABABU YA UDHAIFU WAKE.Na mtukuze kwa utukufu mkubwa.
MASWALI!
1.Udhaifu wake ni upi?
2.Vipi inaweza kuwa sababu ya waislamu kuamua kumpigania?
Unaposema Khadija alikuwa wa kwanza kumuamini Mtume Muhammad na kuwa Muislam, hujakosea kabisa. Sababu baada ya Yesu kuondoka duniani kukawa hakuna Uislam tena. Sababu Paulo alileta dini yake ya kikristo akawapoteza watu, na wewe mmoja wapo mpaa kesho kaisha kukupoteza. Kama hujaomba Mungu wako akurudishe katika njia iliyo kuwa ya haki, basi uko kwenye hasara kubwa hapa duniani na siku ya malipo. Hapo duniani wewe sala zako zinakuwa zinamtukuza mungu wa Paulo yule shetani. Tatizo lako wewe unavamia tu bila kutumi a akili, Lazima ujuwe kwanini Mungu alileta Mitume siku za Mwanzo. Sababu walikuwa wakija wanaleta sheria za kuamrisha watu wafate neno moja tu, hakuna miungu isipokuwa Mungu mmoja tu. Sa wewe akili yako iunafikiria vipi; Kwanini Mungu aliwaleta kina Nuhu, Ibrahim, Lutu, Mussa, Issa(Yesu) kama watu walikuwa wametulia na wanafata dini moja tu. Tokea zamanai watu wanarudi wakisha ondoka mitume wanarudi kufanya madhambi yale yale, kama mnayo fata wakristo ya miungu sio Mungu. Hivi mtu mwenye akili kweli anaweza kusema Yesu ni Mungu au binadamu? Hayo ngojea mimi nikiwekee Qur'an inasema nini. Hata Bibilia haitakuja waelezeni vile kwa point, wacha nianzie pale mama yake Yesu alipo fatwa na malaika, mpaa amemzaa Yesu akiwa anaongea bado mdogo kasema nini. Watu wanasema siku zote mtoto akiwa mdogo siku zote hasemi uwongo, na kwakukufahamisha zaidi Yesu hakuwa muongo hata siku moja, usije ukasema nimesema Yesu ni muongo mana nyie wakristo ndio zenu kuzusha uwongo. Si unajua mmejifunza kwa mtume wenu Paulo.fuatana na huu mlolongo.....
surat mary 19:30 [Jesus] said, "Indeed, I am the servant of Allah . He has given me the Scripture and made me a prophet.31 And He has made me blessed wherever I am and has enjoined upon me prayer and zakah as long as I remain alive 32 And [made me] dutiful to my mother, and He has not made me a wretched tyrant.33 "So peace is on me [Jesus] the day I was born, the day that I die, and the day I shall be raised up to life."34 That is Jesus, the son of Mary - the word of truth about which they are in dispute.
----------end of topic------
Mathayo 16 :16 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni. 18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu;wala milango ya kuzimu haitalishinda. 19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.11 Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu.12 Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu.
mathayo5:
yohana 16: 22 Tena siku ile hamtaniuliza neno lo lote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu.23 Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu. ............32 Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.
mathayo 10:16 Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwa-mwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.17 Jihadharini na wanadamu; kwa maana watawapeleka mabarazani, na katika masinagogi yao watawapiga;18 nanyi mtachukuliwa mbele ya maliwali na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushuhuda kwao na kwa mataifa.
......21 Na ndugu atamsaliti nduguye ili auawe, na baba atamsaliti mwana, na wana watawainukia wazazi wao, na kuwafisha.22 Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.
haya hapa ni maneno yesu kayasema 2000 ago na yanatokea mpaka leo ambapo kule Iraq na sehemu mbalimbali wakristo wanachukiwa na kuuwawa kwa sababu ya jina la Yesu ...Tafakari......Yesu alianzisha kanisa... sio sunagogi wala msikiti...
NAchoweza kusema : Haileti sensi
according to sunni: khadija was the first muslim, hivyo Ibrahim alishakuwa hayupo, hivyo Uislamu ulianza na Muhammad. Huo uislamu mwingine ambao haukuwa wa Muhammadi haufai kuitwa uislamu. Allah ameanzisha dini moja tu, ya Muhammad. Musa hakuwahi kuwa mwislamu. Adam hakuwa na dini wala hakuwa kuhani. Waarabu, waquraishi ni watoto wa Mtumwa tangu enzi hata sasa..Waisrael ndio kizazi cha Ibrahimu, ISaka, Yakobo, MOses..Mfaleme suleiman , daudi mpaka yesu ambaye ni wa kwanza na wa Mwisho(alfa na Omega)...
Nadhani nyie wakristo mmechanganyikwa huyo alikuwa Muislam na jina lake ni Yahya. Vipi afanye hayo mambo wakati sio kweli. Afu mnadalili gani jina lake alikuwa kapewa na Mungu ni John wakati Mungu kampa jina Yahya. Soma Qur'an inasema nini, twende tukaisome;Nani alichukua video za Mtume wenu?
Bado haujajibu swali:
Kama Yohana alikuwa Muislam na anabatiza watu, kwanini nyie HAMBATIZWI?
Quran imekuja miaka 700 baada ya Yesu, and you think I will believe in it? Forget it. Quran has zero credibility and worth less than a penny. Your book is copy cut from the beginning of it to the end.Nadhani nyie wakristo mmechanganyikwa huyo alikuwa Muislam na jina lake ni Yahya. Vipi afanye hayo mambo wakati sio kweli. Afu mnadalili gani jina lake alikuwa kapewa na Mungu ni John wakati Mungu kampa jina Yahya. Soma Qur'an inasema nini, twende tukaisome;
Nadhani nyie wakristo mmechanganyikwa huyo alikuwa Muislam na jina lake ni Yahya. Vipi afanye hayo mambo wakati sio kweli. Afu mnadalili gani jina lake alikuwa kapewa na Mungu ni John wakati Mungu kampa jina Yahya. Soma Qur'an inasema nini, twende tukaisome;
![]()
1. Kaf Ha Ya A'yn S'ad ***
![]()
2. Huu ni Ukumbusho wa rehema ya Mola wako Mlezi kwa mja wake, Zakariya. ***
![]()
3. Alipo mwita Mola wake Mlezi kwa siri. ***
![]()
4. Akasema: Mola wangu Mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika, na kichwa kinameremeta kwa mvi; wala, Mola wangu Mlezi, sikuwa mwenye bahati mbaya kwa kukuomba Wewe. ***
![]()
5. Na hakika mimi nawakhofia jamaa zangu baada yangu. Na mke wangu ni tasa. Basi nipe mrithi kutoka kwako. ***
![]()
6. Atakaye nirithi mimi na awarithi ukoo wa Yaaqub. Ewe Mola wangu Mlezi! Na umjaalie awe mwenye kuridhisha. ***
![]()
7. (Akaambiwa): Ewe Zakariya! Hakika Sisi tunakubashiria mwana; jina lake ni Yahya. Hatujapata kumpa jina hilo yeyote kabla yake. ***
![]()
8. Akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Vipi nitakuwa na mwana na hali mke wangu ni tasa, na mimi nimesha fikia ukongwe katika uzee? ***
![]()
9. Akasema: Ndio hivyo hivyo amesema Mola wako Mlezi: Haya ni mepesi kwangu. Na hakika Mimi nilikwisha kuumba wewe zamani na hali hukuwa kitu. ***
![]()
10. Akasema: Mola wangu Mlezi nijaalie Ishara. Akasema Ishara yako ni kuwa hutasema na watu kwa masiku matatu, na hali ni mzima. ***
![]()
11. Basi akawatokea watu wake kutoka mihirabuni. Akawaashiria: Msabihini Mwenyezi Mungu asubuhi na jioni. ***
![]()
12. Ewe Yahya! Kishike Kitabu kwa nguvu! Nasi tulimpa hikima angali mtoto. ***
![]()
13. Na tukampa huruma itokayo kwetu, na utakaso, na akawa mchamungu. ***
![]()
14. Na akawa mwema kwa wazazi wake, wala hakuwa jabari mua'si. ***
![]()
15. Na amani iwe juu yake siku ya kuzaliwa, na siku ya kufa, na siku ya kufufuliwa. ***
Uwongo Qur'an imekuja baada ya miaka 600 wala sio 700 baada ya Yesu, kwanini hujiulizi Injili ya Yesu ilkuja miaka mingapi baada ya Tourat ya Musa? We must first of all know that it is the Bible first before the Muslims that claims that the Bible is indeed corrupted and unreliable and is mostly filled with man-made cultural laws and corruption. Let us read the following from the Bible:GOD Almighty Said: "`How can you say, "We [the Jews] are wise, for we have the law of the LORD," when actually the lying pen of the scribes has handled it falsely?' (From the NIV Bible, Jeremiah 8:8)" In either translation, we clearly see that the Jews had so much corrupted the Bible with their man-made cultural laws, that they had turned the Bible into a lie.Quran imekuja miaka 700 baada ya Yesu, and you think I will believe in it? Forget it. Quran has zero credibility and worth less than a penny. Your book is copy cut from the beginning of it to the end.
Support you words through injil. Why are you Muhammadans not baptized?