Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Swalalahu alaihi wasallam.

Captain Adiosamigo Maneno yako kama radi!
Asie muislamu akiyasoma jaya maandiko na akawa na moyo wa kuongoka basi ukafiri anauaga leoleo!
Na msalaba anaurudisha kwa wachongaji pale mwenge kwa wamasai.
Captain Bill Cosby , asante sana. BARAKA LAH FIQ, tuobe Mungu atuzidishie Iman na Subra, Hao ndugu zetu wakristo sisi tukiwapa ukweli huwa inawauma sana tena sana. Ya rab wajalie ndugu zote wakristo akili wasizidi kupotea. Sisi tunawaonea huruma sana hawa, sijui watasema nini mbele ya Mungu kumfananisha Mungu na binadamu. Cha ajabu hata Yesu, akiulizwa na MUngu. Atashangaa na atasema sijawahi hata siku moja kuwambia mimi ni Mungu mnabudu, na atasema ewe Mola wangu ingekuwa mimi nimeyasema hayo ungeisha ya jua. Al-Maeda Verse No:116 And (remember) when Allah will say (on the Day of Resurrection): "O 'Issa (Jesus), son of Maryam (Mary)! Did you say unto men: 'Worship me and my mother as two gods besides Allah?' " He will say: "Glory be to You! It was not for me to say what I had no right (to say). Had I said such a thing, You would surely have known it. You know what is in my inner-self though I do not know what is in Yours, truly, You, only You, are the All-Knower of all that is hidden and unseen.
 

whoa, ha ha ha, nimecheka sana hapo juu..uliposema baada ya yesu kuondoka kukawa hakuna Uislamu tena.... Kiufupi hapo kwenye Bold. Mungu hakuwaleta hawa manabii bali ni watu waliompendeza Mungu: naye Mungu akawachagua, wakawa wateule wake. YEsu tu, Ndiye aliyeletwa..KWani ndie aliyeshuka kutoka Mbinguni. Na ujio wake ulitangazwa rasmi na malaika gabriel. Ila manabii wa kale kuanzia abraham, daudi walimtqbiria Yesu kuja kwake.


NB: Pia mkuu ningeomba usiniandikie hiyo lugha ya ISIS. Manake mi sijui kuisoma wala siielewi, hivyo hainisaidii kitu hata dictionary sina. Mimi ndiyo ninahaki ya kukuandikia hivyo sasa kama ulitoroka viboko vya madrasati shauri yako. We andikia mimi kwa kiswahili, kiswanglish ama kingereza.. angalau it makes sense.. okey...

Qurani 6:14 Suratul An-Am (Wanyama)
Sema: hakika nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu.
Katika aya hii tunaona Muhammad ndiye mtu wa kwanza kuamrishwa asilimu.

Imesimuliwa pia ya kwamba Muhammad S.A.W. alisema, "Sisi waislamu ndiyo wa mwisho kuja" hayo tunayasoma katika Sahih Al-Bukhari vol. ix Hadithi na 587.

Muhammad vilevile aliwaambia wafuasi wake wafuate njia ya waliowatangulia. "nchi kwa nchi, hatua kwa hatua hata kama ikiwa waliingia katika shimoni mwa mjusi" masahaba zake wakauliza "Layahud waal Na-swara? Yaani wayahudi na wakristo? Akawajibu Farman? Yaani nani zaidi? Hayo tunayaona katika Sahih Muslim vol. iv katika Al-lim, hadithi na 6448. Kutokana na jibu hili la Muhammad (S.A.W.) ni dhihiri kuwa dini ya Uislamu ilitanguliwa na dini yetu Wakristo na hata ile dini ya Kiyaudi.

Maana ya jina Yesu

Jina Yesu linatokana na lugha ya Kiebrania ‘Yehoshua' katika lugha ya Kigiriki wanasema ‘Iesous' inatamka ‘Yesous' yaani Yesu. Katika lugha ya Kiarabu wanasema " Yasu."kwa kiingereza ni ''Jesus'' Maana yake "Bwana anaokoa au Bwana ni Mwokozi"Soma aya hizi..
Mathayo 1:18-21 na Luka 2:8-11. Bwana maana yake Mungu ndiye mwokozi Isaya 43:6, 10-11. Katika Biblia ambayo ina jumla ya Surah 1189 aya 31,102 vitabu 66 39, Agano la kale na 27 agano jipya neno Mwokozi kiiengereza wanasema Saviour limetajwa mara 55. ikumbuke kwamba katika agano jipya jina Yesu au kiebrania Yehoshua kiarabu Yashua au Yasu limetajwa mara 1275 katika aya zipatazo 1226.zingatia pia kuwa agano jipya lina jumla ya aya 7930 na Sura 260
Aidha majina ya Kiebrania nayo pia yana maana. Malaki ni mtumishi au Mjumbe wa Yehova, Isaya ni Wokovu wa Yehova, Ezekiel inaamanisha Mungu hutia nguvu, Daniel Mungu ni Hakimu wangu.

Muhammad linaamanisha mwenye kushukuriwa, Abdallah ni Mtumwa wa Allah Abu-Bakar maana yake ni Baba wa bikira, Abu Huraira ni Baba wa mapaka.

hivyo hapa tunaona jina Yesu maana yake ni Mwokozi na jina IS
a ni wekundu uliozidiana na weupe. Kwa kuwa maana ya haya majina tofauti bila shaka Isa siyo Bwana Yesu.Na malengo ya hawa wawili sio lengo moja... (tafakari waliochakachua jina yesu wakaweka ISa walilenga nini?)
Manabii wa Mungu Yehova walifuata dini (njia) hii.
Tunaposoma maandiko matakatifu ya Biblia yanatufundisha kuwa manabii waliongozwa na huyu.
1 Petro1:10-11
katika habari ya wokovu huo manabii walitafuta tafuta na kuchunguza chunguza ambao walitabiri habari za neema itakayowafikia ninyi. Wakati upi na wakati wa namna gani ulioonywa na roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao.
1 wakorintho 10:1-4
kwa maana ndugu zangu,sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu. Wote wakapita kati ya bahari,wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingi na katika bahari; wote wakala chakula kilekile cha roho; wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata na mwamba ule ulikuwa ni kristo.

----------------------
Katika aya hizi tunaona wazi wazi kuwa manabii wote waliongozwa na roho wa Kristo Yesu ambaye alikuwa ndani yao. Musa pamoja na watu wake pia walifuatwa na kristo naye aliwalisha na kuwanywesha. Wote waliongozwa na Bwana Yesu yeye mwenyewe aliwaita "watu wa Kristo" Soma Marko 9:38-41 hii ni kwasababu Bwana Yesu ndiye kiongozi wetu. Tazama Mathayo 23:9, tena Bwana Yesu ndiye njia (dini) ya kweli na uzima Yohana 14:6 hivyo manabii wote walikuwa ni watu wa Kristo kwasababu roho yake Yesu ulikuwa ndani yao ikiwaongoza.
Ka kuongezea tu: Ndio maana kwenye Injili Yesu anasema Daudi alimwita yeye (YEsu ) "Bwana" wake. kwakuwa ni mkuu kuliko yeye..
Dogo nimesema baada ya Yesu kuondoka uislam ulipotezwa ndio mana yake, hata baba yake mtume Muhammad alipotezwa na kina Paulo wakawa wana abudu masanamu. Sa wewe nani kakuambia umuabudu bnadamu kama sio Paulo. Yesu alisema umuabudu yeye ni Mungu, Hebu leta andiko kama unaweza. Kuhusu jina la Yesu kwa kiarabu siyo kweli eti ni "Yasu" Waarabu wale wakristo jina "Yasu" ndilo jina walilolipokea kutoka kwa wale waliowapelekea Ukristo ulioanzishwa nje ya Uarabuni miaka mitatu baada ya Yesu au Nabii Issa kuondoka. Na ndilo jina waliloliingiza ndani ya Injili ya Kiarabu.


Kwa pointi hiyo, sababu hiyo (ya jina) bado haijamtofautisha Yesu na Issa. Lakini kama ilivyo kwa Yohana, Yahya au John, basi Issa na Yesu ni yule yule mmoja aliyezaliwa na Bikira Mariam (Qur'an 3:45 na Luka 1:26-31). Isitoshe, Qur'an Tukufu ilipoeleza kwamba Nabii Issa siyo Mungu (5:72), hakusulubiwa (4:157-158), na ametumwa kwa wana wa Israeli peke yao (3:49), Waarabu waliokuwa Wakristo hapo kabla walimfahamu kwamba huyo ndiye "Yesu sahihi" aliyekana "Uungu" katika Biblia pia (Marko 12:29-34) na ndiye aliyenusuriwa kuuawa kama ilivyoelezwa na Qur'an Tukufu na Biblia pia (Waebrania 5:7) na kweli katumwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli peke yao (Mathayo 2:6 na 15:24). Sa we ni Myahudi au kondoo wa kiyahudi, jibu swali dogo hapo.
 
Hey Adiosamigo it seems you are now scared of the truth. You need to be open minded and not living in the box. Anyways, where is the answer regarding baptism?

I mean, If John the Baptist was a Muslim, per your claims, why are you not baptized? Was Muhammad your sole prophets baptized? If, not, why?

Please answer me.

Hebu na mimi nikuulize jambo moja tu kuhusu kauli ya Yohana mbatizaji kisha utajijua kama uko sahihi au la juu ya kubatiza.

Mathayo 3:11 Yohana anasema "Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu. Pia maneno hayo yanapatikana Marko 1:7, Luka 3:16, Yohana 1:26-34.

Mbona bado mwabatiza kwa maji wakati yohana alisema baada ya kuja yesu ubatizo utakuwa wa roho mtakatifu???
 
Last edited by a moderator:
Katika Vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu Taurati,Zaburi,Injili na Qur-ani kutiziamia kwa kufuata nyota ni ushirikina...Kwa hio sishangai kwa walioandika vitabu vya mkusanyiko (BIBILIA) na wao kuliona hili.....
 
Hebu na mimi nikuulize jambo moja tu kuhusu kauli ya Yohana mbatizaji kisha utajijua kama uko sahihi au la juu ya kubatiza.

Mathayo 3:11 Yohana anasema "Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu. Pia maneno hayo yanapatikana Marko 1:7, Luka 3:16, Yohana 1:26-34.

Mbona bado mwabatiza kwa maji wakati yohana alisema baada ya kuja yesu ubatizo utakuwa wa roho mtakatifu???

Mgalatia kalala mbele.
Akirudi hapa atajaza uharo tu.

Hii mijitu hata andiko lao hawalijui.
Basi ni kujaza jukwaa tu na utumbo.
 
Umeuliza swali la maana sana. Tena kwa faida yako mwenyewe na wakristo wenzako.

LUGHA YA ASILI YA QURAAN toka mwanzo NI KIARABU. Na mpaka Leo na kesho ITABAKI kuwa na ASILI YAKE ILE ILE Iliokuja nayo.
Zile za kiingereza na Kiswahili sio Quran?
LUGHA ya ASILI ya YESU ni ARAMAIC lkn Lugha Hii mara ya mwisho Kutumika ni 600 A.D!
Kati ya Kiebrania na Aramaic ni ipi lugha ya asili ya Wayahudi?
Leo hii ile LUGHA ASILI ya YESU Hakuna anaeweza kuongea Wala Kuisoma wala Kuiandika. Na km unamfahamu sehemu yyt Kuna Kitabu cha LUGHA YA ASILI YA YESU Tusaidie Ushahidi na pia Ututafutie ambae anafahamu Lugha hio!
Aramaic ni lugha ambayo watu wa Izrael walikuwa wanaizungumza lakini haikutumika kuandika bib lia ya agano jipya,lugha ambayo ilitumika kuandika agano jipya ni Kigiriki,na biblia ya agano jipya ya Kigiriki ipo

Hujui hata hilo mkuu?
Ndio maana Nyie mnaweza kupunguza maneno au kuongeza maneno kwenye BIBLIA bila Mtu yyt kuweza kuwakosoa. Kwa sababu HAKUNA KITABU cha ASILI kilichohifadhiwa Kutoka kwa Yesu!
Mkuu huu ni uongo,Biblia ya agano la kale ya Kiebrania ipo
Biblia ya agano jipya ya Kigiriki ipo

Mkuu ni kweli haya yote huyajui au unataka tu kudanganya?
Leo Hii ktk Hii DUNIA imani pekee Yenye KITABU CHA ASILI ambacho HAKIJABADILIKA ni UISLAMU PEKE YAKE.
Sio kweli na nimekuambia hapo juu sababu ....
Na mtu yyt akijaribu Kuongeza Au kupunguza NENO moja tu kwenye QURAAN basi hata Mnyamwezi Anaejua Kusoma QURAAN atakwambia kuwa QURAAN Hio INA KASORO!
Akiwa hajui hicho kiarabu itakuwaje?

Halafu aliyekuambia kuwa lugha ni sababu ya kitabu kutokuchakachuliwa ni nini?
Imani zingine Zoote ZILIZOBAKI Ni michakachuo ya ajabu ajabu.

Ndio maana Leo Vatican Wanaitumia BIBILIA hio ya kikatoliki KUHALALISHA USHOGA!
Kwanza hawajahalalisha ushoga ...

Pili sio kweli wanaweza kuitumia Biblia,huu nao ni uongo ....
Na Mapadri wanafungisha Ndoa Za Kishetani Kila leo ktk MAKANISA.
Kwakuwa umetaja mapadri ni wazi unalizungumzia kanisa katoliki,nioneshe ndoa hata moja ambayo imefungwa kwen ye kanisa la kikatoliki,kama hakuna futa hii kauli yako hapa .....
Nakuuliza wewe Eiyer HAYO NDIO MAFUNDISHO YA YESU?
Hayo yapi?
Na umeshawahi kujiuliza Je! Ni kwanini leo WAKRISTO wana 54 different BIBLES ambazo zimetafsiriwa kwa lugha zaidi ya 250 Duniani na kila Mmoja anadai kuwa ya kwake ndio SAHIHI?
Biblia imetafsiriwa kwa lugha nyingi zaidi ya hizo ulizoandika hapo kwasababu kila mtu anapaswa kumuabudu Mungu kwa lugha yake,lakini kwa kusikitisha ni kuwa kule kuwa na biblia za lugha tofauti wewe unadhani zinamaudhui tofauti

Hiyo ni ajabu kuu ....
Ukiweza kujiuliza Hilo swali Na Ukapata jibu Wewe mwenyewe utarudi kwenye dini ya ASILI.
Hakuna swali hapo ila inaonesha vile ambavyo umeshindwa kufikiria kidogo tu na kujua nyeupe na nyeusi zina tofauti gani
Dini ya YESU na MUSA. na manabii wote wa Mungu.
Yesu hahitaji dini kwakuwa ni Mungu,Mungu haitaji dini na dini ni kwaajili ya binadamu ...

Unamzungumzia Musa yupi hapa?
Kama ni wa kwenye biblia nipe ushahidi kutoka kwenye biblia kuwa alikuwa Muislam
Fanya bidii kabla HUJAFA hali ya kuwa UNAABUDU kiumbe badala ya MUNGU.
Umepata wapi habari kuwa mimi naabudu kiumbe?
MUNGU WA KWELI BADO KAKUPA NAFASI LEO YA KUPUMUA.
Mungu wa kweli ni Mungu wa Ibrahimu,Isaka na Yakobo ambae anaitwa Yesu Kristo na huyu hata sasa yupo anaishi na ataishi milele ...
Usipuuze!
Nakukaribisha kwenye pumziko la kweli,kwe nye upendo wa kweli na amani siku zote,hapa panaitwa kwenye mamlaka ya Yesu Kristo ambae hata shetani analiogopa jina lake na akilisikia atatetemeka

Welcome to the kingdom of Jesus Christ brother .......!!
 
Ipo ndani ya Qur'an we kaisome Qur'an vizuri itaifumo humo humo imetulia. Lakini ukisoma Bibilia za kina Mathayo, John, Luka na Marko, mtakuwa mnapoteza wakati wenu bure.

Nyi huwa mnadai kuwa Quran ni kitabu ambacho alipewa Muhammad,Issa alipewa Injil,Musa alipewa Torat na Daudi alipewa Zaburi,kwa maana hii hivyo ni vitabu tofauti na havihusiani

Kwa maana hiyo hakuna mahusiano ya hivyo vitabu vinne,viko tofauti

Unaponiambia nikasome Quran ili niione Injili ya Isa unakuwa unamaana gani?
Injili iko ndani ya Quran?
Kama imo ndani ya Quran tayari unajikinza na imani yako mwenyewe na unaifanya imani yako iwe ya uongo kwasababu inadai hivyo ni vitabu tofauti,kama haimo humo iko wapi?

Pamoja na hayo,kama kwenye Quran kuna Injili ambacho ni kitabu cha Isa,inaendeleaje kuitwa Quran?kwanini isiitwe Biblia?

Naamini unajua maana ya Bbilia ninini,naomba u nisaidie huo mkangan yiko hapo juu japokuwa najua huwezi ....!!
 
Nimempa wakati alipe ushahidi kutoka kwenye biblia kuwa Musa alikuwa ni muislam,hili lako nalo ataliongeza kwenye majibu yake atuoneshe kama Musa alitimiza hizo nguzo tano

Na k ama alimswalia mtume .......!!
Hahahahahahahah:A S wink::bounce::bounce:
 
Zile za kiingereza na Kiswahili sio Quran?

Kati ya Kiebrania na Aramaic ni ipi lugha ya asili ya Wayahudi?

Aramaic ni lugha ambayo watu wa Izrael walikuwa wanaizungumza lakini haikutumika kuandika bib lia ya agano jipya,lugha ambayo ilitumika kuandika agano jipya ni Kigiriki,na biblia ya agano jipya ya Kigiriki ipo

Hujui hata hilo mkuu?

Mkuu huu ni uongo,Biblia ya agano la kale ya Kiebrania ipo
Biblia ya agano jipya ya Kigiriki ipo

Mkuu ni kweli haya yote huyajui au unataka tu kudanganya?

Sio kweli na nimekuambia hapo juu sababu ....

Akiwa hajui hicho kiarabu itakuwaje?

Halafu aliyekuambia kuwa lugha ni sababu ya kitabu kutokuchakachuliwa ni nini?

Kwanza hawajahalalisha ushoga ...

Pili sio kweli wanaweza kuitumia Biblia,huu nao ni uongo ....

Kwakuwa umetaja mapadri ni wazi unalizungumzia kanisa katoliki,nioneshe ndoa hata moja ambayo imefungwa kwen ye kanisa la kikatoliki,kama hakuna futa hii kauli yako hapa .....

Hayo yapi?

Biblia imetafsiriwa kwa lugha nyingi zaidi ya hizo ulizoandika hapo kwasababu kila mtu anapaswa kumuabudu Mungu kwa lugha yake,lakini kwa kusikitisha ni kuwa kule kuwa na biblia za lugha tofauti wewe unadhani zinamaudhui tofauti

Hiyo ni ajabu kuu ....

Hakuna swali hapo ila inaonesha vile ambavyo umeshindwa kufikiria kidogo tu na kujua nyeupe na nyeusi zina tofauti gani

Yesu hahitaji dini kwakuwa ni Mungu,Mungu haitaji dini na dini ni kwaajili ya binadamu ...

Unamzungumzia Musa yupi hapa?
Kama ni wa kwenye biblia nipe ushahidi kutoka kwenye biblia kuwa alikuwa Muislam

Umepata wapi habari kuwa mimi naabudu kiumbe?

Mungu wa kweli ni Mungu wa Ibrahimu,Isaka na Yakobo ambae anaitwa Yesu Kristo na huyu hata sasa yupo anaishi na ataishi milele ...

Nakukaribisha kwenye pumziko la kweli,kwe nye upendo wa kweli na amani siku zote,hapa panaitwa kwenye mamlaka ya Yesu Kristo ambae hata shetani analiogopa jina lake na akilisikia atatetemeka

Welcome to the kingdom of Jesus Christ brother .......!!

We ni kawaida yako kuandika uharo.

Leo hunashindwa hata kujua Lugha ya asili ya yesu.

Nyie mmeshavurugwa na Pombe za kila jumapili.

Subiri Ufe kafiri uone cha mtema kuni.
 
Eiyer kama Musa alikuwa Muislamu, je alifuata zile nguzo tano za Uislamu!?

Kabla ya Kujiadhiri mbele ya kadamnasi namna hii Ilitakiwa kwanza Ukajifunze MAANA ya UISLAMU.

We Nikikwambia Hata Solar System ni UISLAMU si utatoa macho km Chura kabanwa mlango?

Elimu muhimu nyie wagalatia!

Ni wapi uliposoma kuwa UISLAMU ni Kufuata nguzo tano?

Au Gwajima kaisha kuteka na wewe!
 
Last edited by a moderator:
jamani kuna habari zimezagaa kwenye mtandao kwamba Naibu waziri wetu ni tapeli na ni "kihiyo", kwamba elimu aliyoandika kwenye CV si ya kweli, sasa hili mie linanitatiza.

Tuhuma ni hizi:
http://www.midweeksun.co.bw/1882175951645.html

CV yake ni hii:
http://www.parliament.go.tz/bunge/Mp_Cv3.asp?PTerm=2005-2010&fpkey=3 76&vusername=GUEST%22)

Je ni habari za kweli kwa mliopo huko TZ au mnao mfahamu?

Sasa tazama Unavyo aibika!

BiBi lia Ina vitabu VINGAPI ambavyo leo hi HAMVITUMII?
Kwenye Agano la kale Mnaambiwa Mungu ni Mmoja! Mnalidharau na kuliacha lkn mkija kwenye agano la shetani Paulo Mnaambiwa Mungu ni mzungu halafu mnalibeba mazima na kupigia goti Sanamu!

QURAAN NI HITIMISHO la VITABU VYOTE vilivyotangulia Na Vimo humo km kumbukumbuku ya Hukumu zilizo tangulia.

Nyie viumbe mpaka leo Mnakubali kuwa Mungu alipigwa akalia njaa mpaka Akafa!

Kweli mnaweza kuwa na upeo wa Kufikiri nje ya Box?
 
Kabla ya Kujiadhiri mbele ya kadamnasi namna hii Ilitakiwa kwanza Ukajifunze MAANA ya UISLAMU.

We Nikikwambia Hata Solar System ni UISLAMU si utatoa macho km Chura kabanwa mlango?

Elimu muhimu nyie wagalatia!

Ni wapi uliposoma kuwa UISLAMU ni Kufuata nguzo tano?

Au Gwajima kaisha kuteka na wewe!

Mkuu unaongelea hii Solar System au ile inayozama kwenye chemchemi ya matope meusi!?

Quran 18:86 Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.
 
Mkuu unaongelea hii Solar System au ile inayozama kwenye chemchemi ya matope meusi!?

Quran 18:86 Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.

Usikimbie swali.
UISLAMU ni NINI?

Jina lako kuuuubwa Kumbe hamna lolote!

Kkkkkkkkkkk!
Eti Mkuu wa chuo.

Shule zingepata wakuu km wewe ingekuwa kaazi kweli kweli!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu haya ndio majibu ya hoja zangu?

Denial is not proof .....!!

We kuna swali umeuliza? Au ni uharo ule ule tuliozoe kuuona baada ya wewe kushindwa Hoja?

Denial my black Foot!

We kumbe hata huyo yesu humjui! Ulichonacho ni bla bla tu!
 
Wewe unaejiuta mkuu wa chuo wacha ujanja wa kizamani!

Musa Sio SUBJECT hapa!

Wewe umetoa statement kuwa Km MUSA ni MUISLAMU je! Alifuata nguzo TANO za UISLAMU?

Sasa nimekuuliza na nnaendelea KUKUULIZA hapa Je UISLAMU ni NINI?

Wacha Longa longa ya kitapeli!
Jibu swali hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom