Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Kwa pointi hiyo, sababu hiyo (ya jina) bado haijamtofautisha Yesu na Issa. Lakini kama ilivyo kwa Yohana, Yahya au John, basi Issa na Yesu ni yule yule mmoja aliyezaliwa na Bikira Mariam (Qur’an 3:45 na Luka 1:26-31). Isitoshe, Qur’an Tukufu ilipoeleza kwamba Nabii Issa siyo Mungu (5:72), hakusulubiwa (4:157-158), na ametumwa kwa wana wa Israeli peke yao (3:49), Waarabu waliokuwa Wakristo hapo kabla walimfahamu kwamba huyo ndiye "Yesu sahihi" aliyekana "Uungu" katika Biblia pia (Marko 12:29-34) na ndiye aliyenusuriwa kuuawa kama ilivyoelezwa na Qur’an Tukufu na Biblia pia (Waebrania 5:7) na kweli katumwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli peke yao (Mathayo 2:6 na 15:24). Sa we ni Myahudi au kondoo wa kiyahudi, jibu swali dogo hapo.
MUHAMMAD SIO MTUME KWASABABU HAKUWAI ONGEA NA MUNGU
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9
4. Yesu anaongea na Baba yake Matayo 3:17, Yohana 5:19-47,
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.

Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu?
 
tatizo wewe unaongea bila facts..... paulo na yesu wapi na wapi?!. Mbona basi hambatizi ikiwa yohana mbatizaji alibatizwa, na yesu alibatizwa? haya mambo yanahusuje paulo?. Kitu gani paulo alikifanya ambacho yesu alikikataa.... na kitu gani muhammad anakifuata kulingana na mafundisho ya Yesu kuhusu Mungu na Mbingu?
Dogo we ni mfuasi wa Yesu au Paulo tuwache utani, kama mfuasi wa Yesu wapi Yesu alisema kuna Mungu mwingine zaidi ya mmoja, na wapi Yesu alisema muwe mnamuabudu yeye, na wapi Yesu alisema yeye ni Mungu, na wapi Yesu alisema yeye ni Mkristo. Je Musa na Ibrahim walibatizwa? Sa kumbe Yohana na Yesu wao dini yao tofouti na ya kina Mussa na Ibrahim sivyo.
Kumbuka haijatokea mahali yesu akawaalika mashetani wamwabudu mungu... Yesu siku zote alikemea na kukataa mashetani. Akahitimisha kwamba Shetani na malaika zake wamekwisha Hukumiwa sehemu yao Ni jehanum ya moto
Sa hapo ndio unawacha watu hoi, wapi Prophet Muhammad aliwalika MASHETANI asali nao? Kweli umenikumbusha ile ya Yesu kutekwa na shetani , Ooops Mungu wa wakristo kutekwa na mashetani. Wapi mashetani walimteka Mtume Muhammad. Kama shetani alishindwa kumsogelea mtume Muhammad. Lazima kuna sababu sio. Sababu Mtume wetu siku zote hata kabla ya kula lazima ajikinge na shetani, kulala pia vile vile. Kila kitu hafanyi bila kusuma Audhi billah mina shetani Rajim. Yani alikuwa anamuomba Mwenyezi amkinge na shetani, yani Mtume Muhammad alivyo kuwa aanamchukia Shetani dogo, wa wacha tu hayasemekani. Na ndio sababu mashetani huwa wanajaribu sana kuwashambuali waislam sababu wanajua waislam sio wenzao. Nyie wakristo wamewacheni mpoe kabisa, ndio mana wakasema wamepata group la kwenda nao motoni. Kawapateni pale mliposema Binadamu ni Mungu hapo hata yeye shetani anajua Mungu si Binadamu, lakini anazidi kuwashangilia mpotee, mana hio ndio katika MADHAMBI MAKUBWA KABISA, na ndio Prophet Ibrahim na Mussa waliyapinga vikali sana hayo ya kumshirikisha Mungu na chochote kile :A S wink:
Muhammad amechakachua kwa kuingiza mashetani katika ibada zake.. we huoni ili ni tatizo kubwa. Muhammad amekataa wokovu wa yesu msalabani.. na hii inampelekea yeye jehanam .. kwakuwa hatukupewa jina lingine lipasalo kuokolewa wanadamu ila jina la Yesu..
Muhammad ni mpinga kristo hili halina ubishi.. Hakuna shetani anayemwabudu mungu..Huu ni uwongo uliotungwa na shetani kuwadanganya watu.. Na Shetani ni baba wa Uongo. Eti shetani alishiriki kumuumba adam? you can't be serous!!
Dogo wapi ukristo ulitangazwa na Yesu au Mungu ndio dini yao. Naona unaongea kama kichaa aliye lewa gongo sa ulitaka mtume Muhammad au halalishe ukristo? Kichaa kweli kweli wewe.

Muhammmad ni mpinga kristo ndio maana alisema Yesu si chochote ni nabii tu alikuwa akienda choo!!.. hata Petro aitwaye Cefa hakuwahi kujibu jibu la juu juu hivyo... NA Petro alipomwita yesu masihi akaambiwa si kwa nguvu zake. Iweje Muhammad aje achakachue Bibilia na kutunga koran na kusingizia imeshushwa. Imeshushwa na nani????
Kuna wakati wakristo mnalewa gongo hamjui mnaongea nini? Hivi dini ya kikristo ni dini ya Yesu au ya Paulo? Sa unataka Mtume Muhammad ahalalishe kitu Yesu hajakihalalisha. Wapi Mtume Muhammad alimsema vibaya Yesu, akimsema vibaya Yesu basi ni maneno ya kutungwa hayo. Sijaona Qur'an inamsema vibaya wala sijawahi kusikia hadith mtume anamsema vibaya Yesu. Hapo ni full uwongo dogo, huoni haya kuongea uwongo.Wapi Qur'an ili copy Bibilia leta maneno yalio kuwa copy and paste tuyaone kama kweli, kama Mtume Muhammad ka copy Bibilia angehalalisha ukristo na angesema Paulo ni mtume.
Watu wote waliobatizwa walipewa majina yenye ku-reflect majukumu yao ya kiroho
Aisay, Prophet Ibrahim, Mussa na kina Yousuf au Jospeh kama mnavyo muita na wao walibatizwa au ilikuwa bado time za kubatizwa. Mungu alikuwa kalala nini. Mana Mungu wawakristo huwa analala na anakufa. Mungu wakislam Halali wala Hafi, wala hana shida ya hewa au kula. Labda Mungu wa wakristo alikuwa amelala, hakuwaona kina Prophet Ibrahim na Mussa wamekuja duniani:A S wink:
. Hata Jina Yesu lilimaanisha majukumu ya kiroho. PAulo aliitwa Sauli na baadaye alipozaliwa upya akaiwa Paulo. YEsu alipowachagua mitume wake: walikuwa wanamajina yao akawaambia tangu sasa watakuwa wavuvi wa watu. akawapa majina mapya.
MAlaika ndiye aliyechagua Jina la Yesu: akiwa na maana. Sio jina lililotokana na maamuzi ya wanadamu. Jina ISa halina majukumu yoyote. ni "meaningless and ambigous name ". haiwezekani tu ukaja na jina meaningless ukasema ni jina la Yesu. We hujiulizi hata Muhammad mwenyewe ana jina lenye maana.
Malaika gani aliye mpa Yesu jina lake kuwa Yesu, hivi Yesu ni lugha gni haswa? Mana Yesu alikuwa ana lugha yake ambayo ilikuwa inamuita Eashoa' M'sheekha yani kama warabu vile wanamuita Issa Massih. Sa hio ya Yesu malaika gani walimpa. Malaika wa Paulo au?

Angalia hizi tofauti nyingine.

I: Taarifa za Malaika kabla ya kuzaliwa kwao, kadiri ya Qurani na Biblia.

Jibrili alivyomtokea Mama wa Isa Alienda kwa Mariamu aliyekuwa msikitini Qurani 19:16-17 Saratul Mariam
Bibilia: Gabriel Alienda kwa Mariamu aliyekuwa Nyumbani kwake .Luka 1:26-28

2. Mariamu Mama wa Isa haijulikani aliishi kijiji gani wala mji gani wala hata nchi haijulikani. Isitoshe Qurani inasema kuwa Jibrili ndiye aliyemleta utume Muhammed asiwapelekee Mayahudi (hana kosa),Soma Qurani 2:97 Suratul Al-Baqarah

Bibilia: lakini Mariamu Mama yake Yesu alitokewa na malaika Gabrieli akiwa katika kijiji cha Nazareti mji wa Galilaya nchi ya Israel Luka 1:26
Mariamu Mama wa Yesu ni Myahudi.

2.Jibrili hakutoa salamu kwa Mariamu Mama wa Isa ila alijimithilisha kwa umbo la binadamu aliye kamili Qurani 19:7 Suratul Mariam
Bibilia: Malaika Gabrieli alimsalimia Mariamu Mama wa Yesu Luka 1:28.

3. Jibrili alimwambia Mariamu kwamba mimi ni mjumbe wa mola wako ili nikupe Mwana Mtakatifu Qurani 19:19 Suratul Mariam

Jibrili alisema kwa Mariamu kuwa ili tumfanye mtoto muujiza kwa wanadamu QuranI 19:21Suratul Mariam. Isitoshe Jibrili hakutaja jina la Mwana kwa Mariamu. Bali alisema ili nikupe Mwana Mtakatifu

Bibilia: Lakini malaika Gabrieli alimwambia Mama waYesu kuwa utachukua mimba Luka 1:31. Malaika Gabrieli alisema kwa Mariamu Mama wa Yesu kuwa mtoto jina lake utamwita Yesu Luka 1:31, 2:21 Gabrieli hakusema kuwa atampa Mwana Mariamu. Bali alisema Roho mtakatifu atakujilia juu yako, yaani mtoto atazaliwa kwa uwezo wa Mungu.


II: Tofauti za kuzaliwa:
Isa alizaliwa katika shina la mtende Qurani 19:23 Suratul Mariam. vs Yesu kazaliwa katika hori la kulishia ng'ombe Luka 2:7
Lakini Mariamu Mama wa Yesu siku zake za kuzaa zilitimia Luka 2:6-7

Qurani haionyeshi kama Isa alitabiriwa na manabii kuwa atazaliwa

Lakini Biblia inatuthibitishia kuwa manabii walitabili kuzaliwa kwa Yesu, Isaya 7:14, 9:6 utabili huu ulitolewa na Nabii Isaya miaka 750 kabla ya Yesu kuja kuzaliwa nao ulitimia Mathayo 1:18-23

Isa haijulikani alizaliwa katika kijiji gani wala mji, wala nchi aliyozaliwa Qurani haikueleza.
Biblia inatujulisha kuwa Yesu alizaliwa Bethelehemu ya Uyahudi katika Mji wa Daudi umbali wa maili 5 toka kusini mwa Yerusalemu nchi ya israel Tazama Luka 2:8-16. Kuzaliwa kwake mahali hapo pia ni kutimiza unabii uliotowe na Nabii Mika miaka 750-686 kabla ya kristo kuja wakati wa wafalme – hawa wakitawala – Jotham, Ahaz na Hezekia wafalme wa Yuda. Yesu mwenyewe alizaliwa kama mwaka wa 4 wakati wa Mfalme Herode Mkuu akitawala Yuda tangu


Isa aliongea na watu akiwa mtoto mchanga, na kusema kuwa yeye ni mja wa Mungu amepewa kitabu na amefanywa Nabii Qurani 19:30-33 Suratul Mariam.
Yesu hakuongea na mtu akiwa mtoto mchanga. Alianza kuwauliza maswali na kutoa majibu akiwa na wazee Hekaluni akiwa na miaka 12 Luka 2:42-49.





Kwanza kabla hatujanza kuzichambua hizo Aya za Bibilia na Qur'an lazima kwanza tutazame Yesu alizaliwa Tarehe 25 December kweli? Mnauhakika na hilo. Au mnajimbia nyimbo za Paulo. Qur'an imesha wambia alizaliwa katika wakati wa tende zinawiva yani mwezi wa 7-8, umeona hio December mmeifumia wapi. Ndio nikasema Bibilia yenu yote haiwezi kuwa sawa na Qur'an. Na wewe ulisema kule eti Mtume Muhammad ali fanya Copy and Paste au uwongo. Unaona muongo anajinasisha mwenyewe kwenye mtego.
 
Jibu lako lililo-shindwa kutupa ushahidi wa wapi zilipo Injil, Taurat na Zabri alizo teremsha Allah ni kukiri na kukubali kuwa:

1. Allah hakuteremsha INJIL
2. Allah hakuteremsha TAURAT
3. Allah hakuteremsha ZABRI

Sasa, kwanini unafuata Allah na Muhammad ambao ni waongo wakutupwa na kusoma Quran iliyojaa shaka , uongo na chuki zisizo na maana?

Hakika Wanamacho lakini hawaoni na Wana Masikio lakini ni VIZIWI. HUU NI MSIBA KATIKA DINI YAKO DHAIF.
Unajua kila kitabu kilicho shushwa na Mungu kilikuwa na wakati wake, na kili lenga kwa watu flani haswa wale walio kuwa wakati wa time ile. Qur'an imeshushwa sababu ndio kitabu cha mwisho kushushwa na Mungu. Yani wewe kama unadhani kuna kitabu kitakuja kingine basi sahau kabisa. Nabii Mussa Alisha sema Bibilia itavurugwa sa kuna kitabu gani kilcho baki kiko sawa kama sio Qur'an. Na kama unadhani Yesu ni Mungu basi wewe una abudu binadamu, sio Mungu. Na kama unadhani Mtume Muhammad ndio wale mitume wa uwongo kama kina Paulo, basi pole sana. Utajilaumu mwenyewe siku unatiwa kwenye kaburi ndio utamjua Mtume Muhammad ni mtume wa Mungu, au au alikuwa kama kina Paulo tu. Ukisha ingia kaburini ndio utamtafuta Yesu aje kukusaidia pale, na hauta muona. Hapo usidhani utarudishwa duniani kuja kuanza upya sahau dogo. Wewe ukisha zama kaburini tu basi utaona Malaika wawili wanakuja kama Radi vile, na wanakuliza kwanza nani Mungu wako, ukisema Yesu, hapo sijui kipigo kitakuwa kikubwa vipi mana utajionea mwenyewe. Na utaulizwa dini yako, ukisema ukristo tu, unaulizwa nani alikuambia ufate dini hio? Na utaulizwa hujamsikai Mtume Muhammad? Hapo hakuna kujidai nilimsikia lakini nilipoteshwa na wenzangu, au vitabu vya Paulo. Mungu anasema hapendi wajinga. Unaenda motoni tu baada ya hapo, nakuonea huruma sana dogo. Nadhani ujumbe nimeufikisha usisahau kusema huko kaburini nilikuambia lakini ukanidharau.
 
LEO TUTAMTAZAMA BWANA YESU NA MUHAMAD NI NANI MWENYE MATUMAINI YENYE UHAKIKA KATI YOA

Tutapitia kauli zao walizozisema wakiwa Duniani, na kila mmoja atahukumu ni yupi mbora wa kufwata kati ya Bwana Yesu na Muhamad.

BWANA YESU ANASEMA

Yohana 8:12 Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
Yohana 10:9 Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Yohana 10:11 Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
Yohana 10:14 Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi;
Yohana 11:25 Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;
Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 6:40 Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.
Yohana 8:14 Yesu akajibu, akawaambia, Mimi ningawa ninajishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu ndio kweli; kwa sababu najua nilikotoka na niendako; lakini ninyi hamjui nilikotoka wala niendako.
Yohana 14: 2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.3 Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo. 4 Nami niendako mwaijua njia.
Ufunuo 1:17… Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,18 na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.


MUHAMAD ANASEMA
Q 46:9. Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.
Q19:71. Wala hakuna yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia(hiyo Jehanam). Ni wajibu wa Mola wako uliokwisha hukumiwa.
Na ktk Sahihi Al-Bukhari IV, Hadith Na. 728, na VI, Hadith Na. 294. Muhamad anasema Eeh ndugu zangu Abdul Manaf, Abbas bin Abdul bin Mutalib, Safiyyah(shangazi) na binti yangu Fatima mimi sina uwezo wa kuwaokoa dhidi ya ghazabu ya Mungu.
Q 10:102. Basi, je! Wanangojea jingine ila (kuwajia) mfano wa siku za (adhabu zilizowafika) watu walio pita kabla yao? Basi Ngojeni! Mimi pia ni pamoja nanyi katika wanao ngojea.
Fafanuzi yake: Ukimwone mwenzio amenyolewa kwa jambo hilo hilo unalolifanya, basi kitie maji upesi kichwa chako kwani na wewe utanyolewa km alivyonyolewa.

Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
"Mwenye kubadili dini yake (ya kiislamu, muueni" (A) Bhukari 6922, Abu Dawuwd 4329, At - Tirmidhiy 1483
O Khadija, Ninaona Mwanga, na nasikia Masautisauti, nina hofu kuwa mimi nina Wazimu. "Kitab al-Tabaqat al-Kabir", by Ibn Sad, , ukurasa wa 225


Ndugu msomaji(Mkristo na Mwislam) tukiacha yote ni nani hapo anamatumaini ya uhakika ya kumfuata kati ya Bwana Yesu na Muhamad????.

Bwana Yesu apewe sifa.


Hapo chini kuna picha ya kaburi alilozikiwa Yesu na liko tupu maana Yesu alifufuka na linafuata ni kaburi la Muhamad ambalo mpk leo yumo humo akiwa fuvu, na ktk kaburi hilo waislam wanaendaga kuhiji na kuomba dua na kumsalia muhamad.


Sisi hututaki hadithi nyingi tunataka pale Yesu aliposema katumwa kwa kondoo wa kiyahudi tu, walio potea, ni kina nani hao, wale makondooo wa kiyahudi hakutumwa kwa wote watu wa duniani, kuna warabu, wafrika , wahindi, wachina, wazungu.Tukisema katumwa kwetu tutakuwa tunamzulia Yesu uwongo, mana atakuwa ana kauli sio ya kweli yani si mkweli kabisa. Mimi si kondoo wa kiyahudi, vipi Yesu awe katumwa kwangu, wewe ni kondoo wa kiyahudi Ishmael:A S wink: Aibu ya pili hamuoni aibu kusema Yesu alikuwa ana kaburi, ndio mnamdharau hivyo mpaa mnatulea jumba bovu kusema kaburi yake, Yani Yesu hana thamani kwenye macho yenu kabisa. Kweli wakristo ni vichaa. Warabu wanakamsemo kanasema;إذا كنت لا تشعر بالخجل تفعل ما تريد maana yake; If you don't feel ashamed do whatever you like.
 
MUHAMMAD SIO MTUME KWASABABU HAKUWAI ONGEA NA MUNGU
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9
4. Yesu anaongea na Baba yake Matayo 3:17, Yohana 5:19-47,
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.

Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu?
whoa umetisha aisee..!! Nilikuwa sijawahi itafakari..
 
Hiki hapa chini ndicho ulichokisema ....

Unakataa maneno yako mwenyewe?

Au kwenye Quran kuna kipande tu cha injili?
Kama kuna injili kwenye Quran,ni kwanini imo humo?

Je hiyo bado ni Quran?
Mbona kichwa chako kigumi kufahamu, niliuliza swali ambalo liko wazi kabisa Injili ya Yesu imefichwa, vikaletwa vitabu vya kina Matthew, Luke, John na Mark au uwongo. Katika twende twende Ishmaeil akauliza Injili iko wapi ya Yesu. Ni kakujibuni nikasema kitabu cha Yesu Injili utakipata kwenye Qur'an sio Injili yote nimekusidia kunamaneno alio fundisha Yesu. Na katika maneno alisema Yeye ni binadamu, na pia alisema Mungu wetu ni mmoja tu. Alisema yeye ni Mtume wa Mungu. Wewe unanua kesi ambayo nimeisha kufahamisha, naona huo ni ujinga tu huna unacho kipata zaidi ya kutupotezea wakati. Huna elimu sema huna una elimu, uongea ki elimu tuone dini ipi ni ya ukweli. Nauliza wapi Mungu kasema tufate ukristo ndio dini yake. Au wapi Yesu kasema yeye dini yake ni mkristo.
 
MUHAMMAD SIO MTUME KWASABABU HAKUWAI ONGEA NA MUNGU
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9
4. Yesu anaongea na Baba yake Matayo 3:17, Yohana 5:19-47,
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.

Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu?
Wacheni uwongo huo ndio ujinga mnao onyesha watu, God ONLY spoke to Moses. Sijasikia wengine katika Mitume waliongea na Mungu hio ulio tuwekea hapo ni kali ya mwaka, we understand that Moses was the only Prophet who spoke to God directly regarding his mission. Other Prophets received revelations from God Almighty through Angel Gabriel or were inspired by Allah Almighty for performing their necessary duties. Hizo Bibilia zenu ni uwongo mtupu. Tuna ngojea chapisho jipya lini mtalitoa kusema wakristo wote wanaongea na Mungu directly. Aisay nyie mzulieni uwongo Mungu. Mtakiona siku za malipo kila mtu atabeba mzigo wake, msahau kama kuna Yesu atakuja kumsaidia.
 
Unajua kila kitabu kilicho shushwa na Mungu kilikuwa na wakati wake, na kili lenga kwa watu flani haswa wale walio kuwa wakati wa time ile. Qur'an imeshushwa sababu ndio kitabu cha mwisho kushushwa na Mungu.
If that is true:

1. Where is the Injil?
2. Where is the Taurat?
3. Where is the Psalm?
 
Wacheni uwongo huo ndio ujinga mnao onyesha watu, God ONLY spoke to Moses. Sijasikia wengine katika Mitume waliongea na Mungu hio ulio tuwekea hapo ni kali ya mwaka, we understand that Moses was the only Prophet who spoke to God directly regarding his mission. Other Prophets received revelations from God Almighty through Angel Gabriel or were inspired by Allah Almighty for performing their necessary duties. Hizo Bibilia zenu ni uwongo mtupu. Tuna ngojea chapisho jipya lini mtalitoa kusema wakristo wote wanaongea na Mungu directly. Aisay nyie mzulieni uwongo Mungu. Mtakiona siku za malipo kila mtu atabeba mzigo wake, msahau kama kuna Yesu atakuja kumsaidia.
Vain words. So, God never spoke to Adam? Aisee, huwa mnakunywa nini nyie?

Anyway, in my prior post, I gave you verifiable and impeccable evidence from the infallible word of God and not Quran iliyo jaa shaka na dhaif.

MSIBA KUTOKA QURAN YAKO HUU HAPA: ALLAH ANAONGEA NA ZACHARIAH!!!!!!!!!!!
Allah said: "O Zakariyah! Verily, We give you the glad tidings of a son. His name will be Yahya (John). We have given that name to none before him."

He said: "My Lord! How can I have a son, when my wife is barren, and I have reached the extreme old age."
He said: "So (it will be). Your Lord says, It is easy for Me. Certainly I have created you before, when you had been nothing."
Zakariyah said: "My Lord! Appoint for me a sign."

He said: "Your sign is that you shall not speak unto mankind for three nights, though having no bodily defect."
Then he came out to his people from Al Mihrab (a praying place or a private room, etc.), he told them by signs to glorify Allah's Praises in the morning and in the afternoon.

It was said to his son: "O John! Hold fast to the Scripture (The Torah)." And We gave him wisdom while yet a child, and made him sympathetic to men as a mercy or a grant from Us, and pure from sins (John) and he was righteous, and dutiful towards his parents, and he was neither an arrogant nor disobedient (to Allah or to his parents). And Salamun (peace) on him the day he was born, the day he dies, and the day he will be raised up to life again! (Ch 19:1-15 Quran)

NEXT TIME, JIFUNZE KUSEMA UKWELI.
 
Sisi hututaki hadithi nyingi tunataka pale Yesu aliposema katumwa kwa kondoo wa kiyahudi tu, walio potea, ni kina nani hao, wale makondooo wa kiyahudi hakutumwa kwa wote watu wa duniani, kuna warabu, wafrika , wahindi, wachina, wazungu.Tukisema katumwa kwetu tutakuwa tunamzulia Yesu uwongo, mana atakuwa ana kauli sio ya kweli yani si mkweli kabisa. Mimi si kondoo wa kiyahudi, vipi Yesu awe katumwa kwangu, wewe ni kondoo wa kiyahudi Ishmael:A S wink: Aibu ya pili hamuoni aibu kusema Yesu alikuwa ana kaburi, ndio mnamdharau hivyo mpaa mnatulea jumba bovu kusema kaburi yake, Yani Yesu hana thamani kwenye macho yenu kabisa. Kweli wakristo ni vichaa. Warabu wanakamsemo kanasema;إذا كنت لا تشعر بالخجل تفعل ما تريد maana yake; If you don't feel ashamed do whatever you like.
Mark 16:15

And he said unto them, Go ye into all the world, and preach the gospel to every creature.

KORAN INAKIRI KUWA UISLAMU NI DINI YA WAARABU PEKEE
Katika hii mada ninawaletea ushaidi kuwa Uislam ni dini ya Waarabu peke yao.
Waislamu bila kuchoka wamekuwa wakidai kuwa Uislamu utatawala dunia nzima. Katika kufanya hivyo, wao watakuwa wamekwenda kinyume na maneno ya Allaha kama yarivyo teremshwa kwenye Qur'an. Kwa hiyo, ni haki kwa kusema wao ni Makafiri.
Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.
Angalia hii aya pia


Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.


Kama aya hizi ni kweli, basi Uislamu si kwa mashirika/mataifa/ummah yasiyo ya Waarabu. Quran inasema kwamba kila watu wamepokea ujumbe wao kutoka kwa Mungu katika lugha yao wenyewe ili waweze kuelewa na Qur'ani akaishuka kwa Waarabu ili Waarabu waweze kulewa nini Allah anasema.


Dhana hii ya Allah kushusha Kitabu kwa kila lugha ni muhimu sana kwasababu imejirudia mara nyingi na ndio msingi wa hili somo.
Quran 16: 36. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa Mwenyezi Mungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.


Quran 5: 48. Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.


Quran 36: 5. Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu. 6. Ili uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa , basi wao wamekuwa wenye kughafilika.
Hizi aya zimekamilka na kueleza kiuwazi kuhusu kuja kwake kwa Waarabu pekee. Allah katika Koran anasema kwamba kila watu wamekuwa na Mtume wao wenyewe ambao aliwaonya katika lugha zao wenyewe, na kwamba amemtuma Muhammad kwa wale ambao bado hawajaanza mwongozo wowote, na ambao baba zao hawakuonywa, yaani Waarabu. Kwa njia hii watakuwa hawana udhuru wowote na hawezi kusema, lakini hatukuwai kupokea ujumbe wowote.
Endelea kusoma Koran hapa chini:
Quran 6: 156. Msije mkasema: Hakika mataifa mawili kabla yetu yameteremshiwa Kitabu; na sisi tulikuwa hatuna khabari ya waliyo kuwa wakiyasoma.


157. Au mkasema: Lau kuwa tumeteremshiwa sisi Kitabu tungeli kuwa waongofu zaidi kuliko wao. Basi imekufikieni bayana kutoka kwa Mola wenu Mlezi, na uwongofu, na rehema. Basi nani aliye dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, na akajitenga nazo? Tutawalipa wanao jitenga na Ishara zetu adhabu kali kabisa kwa sababu ya kujitenga kwao.


Quran ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran, hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu.


Uthibitisho mwingine kuwa Qur'ani ilitumwa tu kwa ajili ya Waarabu ni katika mistari ifuatayo hapo chini:
Quran 26: 198. Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu, 199. Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.


Kama ambavyo Waarabu wana haki ya kuto amini kitabu chechote kile kilichotumwa kwa lugha ambayo si yakwao, ikimaanisha Kiarabu, vivyo hivyo, mashirika yasiyo ya Waarabu nao wana haki ya kuto iamini Koran, kitabu kilichoandikwa kwa lugha ya Kiarabu. Ndio kwasababu Koran inasema Allah atatuma mjumbe kwa kila lugha ili wao wenyewe kwa wenyewe waweze kuelewa.


Kuhakikisha hakuta kuwa na kutokuelewana, Allah anashusha hii aya 05:19 Quran: Enyi Watu wa Kitabu! Bila ya shaka amekujilieni Mtume wetu akikubainishieni katika wakati usio kuwa na Mitume, msije mkasema: Hakufika kwetu mbashiri wala mwonyaji. Basi amekujieni mbashiri na mwonyaji. Na Mwenyezi Mungu anao uweza wa kila kitu.


Kwa mujibu wa Qur'an watu wote wamepokea ufunuo. Aya ya hapo juu inasema Qur'ani ni kwa wale ambao kamwe hawakupokea ufunuo, iliwasije kusema, `kuwa sisi hatuja wai kutumiwa mbashiri na hakuna mjuonyaji aliye tumwa kwetu'.


Jambo hili ni wazi, lakini Allah anataka liwe wazi hata na kwa asiye na ufahamu wowote ule aelewe kuwa Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee kwa kuzitaja sehemu halisi za kijiografia ambazo Muhammad alitumwa kama Mtume wa Allah.


Quran 6:92. Na hiki ni Kitabu tulicho kiteremsha, kilicho barikiwa, chenye kuhakikisha yaliyo tangulia, na ili uuwonye Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na wenye kuamini Akhera wanakiamini hichi, nao wanazihifadhi Sala zao.


Leo, tumejifunza kuwa, Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee na si kwa Mataifa yote. Sasa, nina uhakika baadhi ya Waislamu wanaweza kuleta aya nyingine zinazosema kwamba Uislamu ni kwa wanadamu wote. Kama Waislam watafanya hivyo, basi waelekuwa kwa kufanya hivyo ni kuthibitisha kwamba aya hapo juu ni za uongo.


Ama Quran ni pakiti ya uongo na utata au ni tu kwa Waarabu wa Makkah na jirani yake kama alivyo sema Allah ambaye ni mungu wa Waislamu.
Katika huduma yake,
 
If that is true:

1. Where is the Injil?
2. Where is the Taurat?
3. Where is the Psalm?
Simple; God confirms in the Qur'an that His Qur'an, His Torah (Taurat) and His Gospel (Injil) are protected by Him.

What is the difference between the books people write with their own hands and then invent a lie against God by saying, "This is from Allah" and Allah's genuine books (the books protected by Allah)?

WHICH QURAN IS PROTECTED BY ALLAH?
The only protected Qur'an is the one that tells the people to pray to Allah only and is as Allah revealed it to Prophet Muhammad.
Any other book with this name is not from Allah as revealed by Prophet Muhammad.
Would Allah send a messenger (Prophet Muhammad) to tell you to pray to Prophet Muhammad or to pray to someone other than Allah your creator, after Allah had sent prophet after prophet with the same message "Pray only to Allah who is the one that created you?"

WHICH TORAH (Taurat) IS PROTECTED BY ALLAH?
The only protected Torah (Taurat) is the one that tells the people to pray to Allah only and is as Allah revealed it to His Prophets.
Any other book with this name is not from Allah as revealed by Prophet Moses (Mussa) and the other Prophets.
Would Allah send a messenger (Prophet Moses (Mussa) and others) to tell you to pray to his prophets or to pray to someone other than Allah your creator, after Allah had sent prophet after prophet with the same message "Pray only to Allah who is the one that created you?"

WHICH GOSPEL (Injili) IS PROTECTED BY ALLAH?
The only protected Gospel is the one that tells the people to pray to Allah only and is as Allah revealed it to Prophet Jesus (Issa).

Any other book with this name is not from Allah as revealed by Prophet Jesus (Issa).
Would Allah send a messenger (Prophet Jesus (Issa)) to tell you to pray to Prophet Jesus (Issa) or to pray to someone other than Allah your creator, after Allah had sent prophet after prophet with the same message "Pray only to Allah who is the one that created you?"

Allah confirms in the Quran that His Qur'an, His Torah (Taurat) and His Gospel (Injil) are protected by Him.
Surah : Ayah.

Quran 10:95 And do not be one of those who reject the revelations of Allah because then you would be with the losers (in the Hereafter).


(Note 1. Do not reject the revelations in the Torah (Taurat) because then you would be with the losers (in the Hereafter).


(Note 2. Do not reject the revelations in the Gospel (Injil) because then you would be with the losers (in the Hereafter).


(Note 3.Do not reject the revelations in the Psalm (Zabur) because then you would be with the losers (in the Hereafter).





(Note 4. Do not reject the revelations in the Qur'an because then you would be with the losers (in the Hereafter).


Quran 46:30 They (those among the jinn who believe in Allah and followed the Jewish belief) said, "Our people, we have heard a Book (the Qur'an) sent down after (the time of) Prophet Moses (Musa), confirming(the Torah Taurat ) what came before it (the Qur'an), it (the Qur'an) guides to the truth and to the correct path (of Allah, by confirming that the Jewish Torah Taurat of Moses (Mussa) and the Christian Gospel Injil of Jesus (Issa) are both the revealed truth that is explained by Allah in the Muslim Qur'an)."

Does man have the power to change the word of Allah?
Qur'an 18:27 And recite (Prophet Muhammad) what has been revealed to you of the Book (the Qur'an) of your Lord (Allah). There is no one who can change His (Allah's) words and you shall find no refuge except with Him (Allah).
 
Vain words. So, God never spoke to Adam? Aisee, huwa mnakunywa nini nyie?

Anyway, in my prior post, I gave you verifiable and impeccable evidence from the infallible word of God and not Quran iliyo jaa shaka na dhaif.

MSIBA KUTOKA QURAN YAKO HUU HAPA: ALLAH ANAONGEA NA ZACHARIAH!!!!!!!!!!!
Allah said: "O Zakariyah! Verily, We give you the glad tidings of a son. His name will be Yahya (John). We have given that name to none before him."

He said: "My Lord! How can I have a son, when my wife is barren, and I have reached the extreme old age."
He said: "So (it will be). Your Lord says, It is easy for Me. Certainly I have created you before, when you had been nothing."
Zakariyah said: "My Lord! Appoint for me a sign."

He said: "Your sign is that you shall not speak unto mankind for three nights, though having no bodily defect."
Then he came out to his people from Al Mihrab (a praying place or a private room, etc.), he told them by signs to glorify Allah's Praises in the morning and in the afternoon.

It was said to his son: "O John! Hold fast to the Scripture (The Torah)." And We gave him wisdom while yet a child, and made him sympathetic to men as a mercy or a grant from Us, and pure from sins (John) and he was righteous, and dutiful towards his parents, and he was neither an arrogant nor disobedient (to Allah or to his parents). And Salamun (peace) on him the day he was born, the day he dies, and the day he will be raised up to life again! (Ch 19:1-15 Quran)

NEXT TIME, JIFUNZE KUSEMA UKWELI.
Dogo unapo ongelea Adam hapo unachekesha sana, sababu Adam lazima aongee na Mungu, sababu yeye ndio sababu kubwa ya Shetani kufukuzwa na Mungu. Sa Shetani alifukuzwa vipi kama si sababu ya kuona Adam kayafahamu maneno aliyo ambiwa na Mungu, kuhusu vile vitu alivyo fundishwa na Mungu. We kweli mwendawazimu. Mimi nilipinga wale ulio sema mitume wameongea na Mungu, kwenye list yako. Sa wewe ulimuweka Adam pale kwenye list.
Afu weka akilini hakuna Mtume alio ongea na Mungu moja kwa moja isipokuwa Mussa tu, in the Qur'an; God says that He spoke directly to Prophet Mosses, but when he requested to see Him, God cast His reflected glory over a mountain and it turned to dust, causing Mosses to faint (7:143). Over a period of forty nights, God revealed religious knowledge to Mosses and chose him to continue to lead his people. Ukimweka Adam utakuwa unachemsha tu, sababu huyo hata mtoto mchanga anajua aliongea na Mungu.
 
Mark 16:15

And he said unto them, Go ye into all the world, and preach the gospel to every creature.
Jesus;"Go not into the way of the Gentiles" (Matt. 10:5) and "I am not sent but unto the lost sheep of the house of Israel" (Matt. 15:24), and "…for salvation is of the Jews" (John 4:22) . Let's see Matthew; 10:5-20
[SUP]5[/SUP]These twelve Jesus sent out with the following instructions: "Do not go among the Gentiles or enter any town of the Samaritans. [SUP]6[/SUP]Go rather to the lost sheep of Israel. [SUP]7[/SUP]As you go, preach this message: ‘The kingdom of heaven is near.' [SUP]8[/SUP]Heal the sick, raise the dead, cleanse those who have leprosy, drive out demons. Freely you have received, freely give. [SUP]9[/SUP]Do not take along any gold or silver or copper in your belts; [SUP]10[/SUP]take no bag for the journey, or extra tunic, or sandals or a staff; for the worker is worth his keep.
[SUP]11[/SUP]"Whatever town or village you enter, search for some worthy person there and stay at his house until you leave. [SUP]12[/SUP]As you enter the home, give it your greeting. [SUP]13[/SUP]If the home is deserving, let your peace rest on it; if it is not, let your peace return to you. [SUP]14[/SUP]If anyone will not welcome you or listen to your words, shake the dust off your feet when you leave that home or town. [SUP]15[/SUP]I tell you the truth, it will be more bearable for Sodom and Gomorrah on the day of judgment than for that town. [SUP]16[/SUP]I am sending you out like sheep among wolves. Therefore be as shrewd as snakes and as innocent as doves.
[SUP]17[/SUP]"Be on your guard against men; they will hand you over to the local councils and flog you in their synagogues. [SUP]18[/SUP]On my account you will be brought before governors and kings as witnesses to them and to the Gentiles. [SUP]19[/SUP]But when they arrest you, do not worry about what to say or how to say it. At that time you will be given what to say, [SUP]20[/SUP]for it will not be you speaking, but the Spirit of your Father speaking through you.
Notice; Jesus DOES tell the disciples to go to Israelites and not to the Gentiles. But also notice that he said, "If anyone will not welcome you or listen to your words, shake the dust off your feet when you leave that home or town."
Paul; "For so the Lord has commanded us, saying, I have set you to be a light for the Gentiles, that you may bring salvation to the uttermost parts of the earth" (Acts 13:47) and "from henceforth, I (Paul–Ed.) will go unto the Gentiles" (Acts 18:6) and "that the salvation of God is sent unto the Gentiles, and that they will hear it" (Acts 28:28) and "that I should be the minister of Jesus Christ to the Gentiles" (Rom. 15:16) and "that I should preach among the Gentiles the unsearchable riches of Christ" (Eph. 3:8) and (Acts 20:21, 26:17-18, 20, 23, 22:21, Rom. 1:5, 13, 3:29, 11:11-13, 15:9, Gal. 2:2, 7-9, 3:14, Eph. 3:6, 1 Tim. 2:7, 3:16, 2 Tim. 4:17). Jesus told his followers not to go to the Gentiles and Paul countermanded the order.

The above point has a number of apparent discrepancies between what Jesus said and what Paul said:A S wink: BTW;
The Qur'an also tells that prophet Jesus is a true Messiah to the people of Israel. It also tells that some people changed the Bible with the tongue. One recent example of change is, John 3:16 where older versions of the Bible said Jesus was the begotten son but now begotten has been removed and the church says its now discovered that was a fabrication. This was the only verse that made a different son of God compared to the so many others that the Bible calls son of God.
KORAN INAKIRI KUWA UISLAMU NI DINI YA WAARABU PEKEE

  1. Katika hii mada ninawaletea ushaidi kuwa Uislam ni dini ya Waarabu peke yao.
    Waislamu bila kuchoka wamekuwa wakidai kuwa Uislamu utatawala dunia nzima. Katika kufanya hivyo, wao watakuwa wamekwenda kinyume na maneno ya Allaha kama yarivyo teremshwa kwenye Qur'an. Kwa hiyo, ni haki kwa kusema wao ni Makafiri.
    Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.
    Angalia hii aya pia


    Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.


    Kama aya hizi ni kweli, basi Uislamu si kwa mashirika/mataifa/ummah yasiyo ya Waarabu. Quran inasema kwamba kila watu wamepokea ujumbe wao kutoka kwa Mungu katika lugha yao wenyewe ili waweze kuelewa na Qur'ani akaishuka kwa Waarabu ili Waarabu waweze kulewa nini Allah anasema.


    Dhana hii ya Allah kushusha Kitabu kwa kila lugha ni muhimu sana kwasababu imejirudia mara nyingi na ndio msingi wa hili somo.
    Quran 16: 36. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa Mwenyezi Mungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.


    Quran 5: 48. Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.


    Quran 36: 5. Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu. 6. Ili uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa , basi wao wamekuwa wenye kughafilika.
    Hizi aya zimekamilka na kueleza kiuwazi kuhusu kuja kwake kwa Waarabu pekee. Allah katika Koran anasema kwamba kila watu wamekuwa na Mtume wao wenyewe ambao aliwaonya katika lugha zao wenyewe, na kwamba amemtuma Muhammad kwa wale ambao bado hawajaanza mwongozo wowote, na ambao baba zao hawakuonywa, yaani Waarabu. Kwa njia hii watakuwa hawana udhuru wowote na hawezi kusema, lakini hatukuwai kupokea ujumbe wowote.
    Endelea kusoma Koran hapa chini:
    Quran 6: 156. Msije mkasema: Hakika mataifa mawili kabla yetu yameteremshiwa Kitabu; na sisi tulikuwa hatuna khabari ya waliyo kuwa wakiyasoma.


    157. Au mkasema: Lau kuwa tumeteremshiwa sisi Kitabu tungeli kuwa waongofu zaidi kuliko wao. Basi imekufikieni bayana kutoka kwa Mola wenu Mlezi, na uwongofu, na rehema. Basi nani aliye dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, na akajitenga nazo? Tutawalipa wanao jitenga na Ishara zetu adhabu kali kabisa kwa sababu ya kujitenga kwao.


    Quran ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran, hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu.


    Uthibitisho mwingine kuwa Qur'ani ilitumwa tu kwa ajili ya Waarabu ni katika mistari ifuatayo hapo chini:
    Quran 26: 198. Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu, 199. Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.


    Kama ambavyo Waarabu wana haki ya kuto amini kitabu chechote kile kilichotumwa kwa lugha ambayo si yakwao, ikimaanisha Kiarabu, vivyo hivyo, mashirika yasiyo ya Waarabu nao wana haki ya kuto iamini Koran, kitabu kilichoandikwa kwa lugha ya Kiarabu. Ndio kwasababu Koran inasema Allah atatuma mjumbe kwa kila lugha ili wao wenyewe kwa wenyewe waweze kuelewa.


    Kuhakikisha hakuta kuwa na kutokuelewana, Allah anashusha hii aya 05:19 Quran: Enyi Watu wa Kitabu! Bila ya shaka amekujilieni Mtume wetu akikubainishieni katika wakati usio kuwa na Mitume, msije mkasema: Hakufika kwetu mbashiri wala mwonyaji. Basi amekujieni mbashiri na mwonyaji. Na Mwenyezi Mungu anao uweza wa kila kitu.


    Kwa mujibu wa Qur'an watu wote wamepokea ufunuo. Aya ya hapo juu inasema Qur'ani ni kwa wale ambao kamwe hawakupokea ufunuo, iliwasije kusema, `kuwa sisi hatuja wai kutumiwa mbashiri na hakuna mjuonyaji aliye tumwa kwetu'.


    Jambo hili ni wazi, lakini Allah anataka liwe wazi hata na kwa asiye na ufahamu wowote ule aelewe kuwa Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee kwa kuzitaja sehemu halisi za kijiografia ambazo Muhammad alitumwa kama Mtume wa Allah.


    Quran 6:92. Na hiki ni Kitabu tulicho kiteremsha, kilicho barikiwa, chenye kuhakikisha yaliyo tangulia, na ili uuwonye Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na wenye kuamini Akhera wanakiamini hichi, nao wanazihifadhi Sala zao.


    Leo, tumejifunza kuwa, Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee na si kwa Mataifa yote. Sasa, nina uhakika baadhi ya Waislamu wanaweza kuleta aya nyingine zinazosema kwamba Uislamu ni kwa wanadamu wote. Kama Waislam watafanya hivyo, basi waelekuwa kwa kufanya hivyo ni kuthibitisha kwamba aya hapo juu ni za uongo.


    Ama Quran ni pakiti ya uongo na utata au ni tu kwa Waarabu wa Makkah na jirani yake kama alivyo sema Allah ambaye ni mungu wa Waislamu.
    Katika huduma yake,
  1. This C.R.A.P,
    kchaa kapotea njia, yani sijui wewe Qur'an wewe unaitafsiri vipi au nani anaye kudanganya. We mtu ama unaukosefu wa akili, au una matatizo makubwa sana au una-ugonjwa wa chuki bila sababu. Yani nikichekesho tu hapo ndio mtu akaishiwa ndio anaishia hivi kuongea bila kutumia akili, na haleti point ya ukweli. Waislam wote takbiriiiii
 
Last edited by a moderator:
Jesus;"Go not into the way of the Gentiles” (Matt. 10:5) and “I am not sent but unto the lost sheep of the house of Israel” (Matt. 15:24), and “…for salvation is of the Jews” (John 4:22) . Let's see Matthew; 10:5-20
[SUP]5[/SUP]These twelve Jesus sent out with the following instructions: “Do not go among the Gentiles or enter any town of the Samaritans. [SUP]6[/SUP]Go rather to the lost sheep of Israel. [SUP]7[/SUP]As you go, preach this message: ‘The kingdom of heaven is near.’ [SUP]8[/SUP]Heal the sick, raise the dead, cleanse those who have leprosy, drive out demons. Freely you have received, freely give. [SUP]9[/SUP]Do not take along any gold or silver or copper in your belts; [SUP]10[/SUP]take no bag for the journey, or extra tunic, or sandals or a staff; for the worker is worth his keep.
[SUP]11[/SUP]“Whatever town or village you enter, search for some worthy person there and stay at his house until you leave. [SUP]12[/SUP]As you enter the home, give it your greeting. [SUP]13[/SUP]If the home is deserving, let your peace rest on it; if it is not, let your peace return to you. [SUP]14[/SUP]If anyone will not welcome you or listen to your words, shake the dust off your feet when you leave that home or town. [SUP]15[/SUP]I tell you the truth, it will be more bearable for Sodom and Gomorrah on the day of judgment than for that town. [SUP]16[/SUP]I am sending you out like sheep among wolves. Therefore be as shrewd as snakes and as innocent as doves.
[SUP]17[/SUP]“Be on your guard against men; they will hand you over to the local councils and flog you in their synagogues. [SUP]18[/SUP]On my account you will be brought before governors and kings as witnesses to them and to the Gentiles. [SUP]19[/SUP]But when they arrest you, do not worry about what to say or how to say it. At that time you will be given what to say, [SUP]20[/SUP]for it will not be you speaking, but the Spirit of your Father speaking through you.
Notice; Jesus DOES tell the disciples to go to Israelites and not to the Gentiles. But also notice that he said, “If anyone will not welcome you or listen to your words, shake the dust off your feet when you leave that home or town.”
Paul; “For so the Lord has commanded us, saying, I have set you to be a light for the Gentiles, that you may bring salvation to the uttermost parts of the earth” (Acts 13:47) and “from henceforth, I (Paul–Ed.) will go unto the Gentiles” (Acts 18:6) and “that the salvation of God is sent unto the Gentiles, and that they will hear it” (Acts 28:28) and “that I should be the minister of Jesus Christ to the Gentiles” (Rom. 15:16) and “that I should preach among the Gentiles the unsearchable riches of Christ” (Eph. 3:8) and (Acts 20:21, 26:17-18, 20, 23, 22:21, Rom. 1:5, 13, 3:29, 11:11-13, 15:9, Gal. 2:2, 7-9, 3:14, Eph. 3:6, 1 Tim. 2:7, 3:16, 2 Tim. 4:17). Jesus told his followers not to go to the Gentiles and Paul countermanded the order.

The above point has a number of apparent discrepancies between what Jesus said and what Paul said:A S wink: BTW;
The Qur'an also tells that prophet Jesus is a true Messiah to the people of Israel. It also tells that some people changed the Bible with the tongue. One recent example of change is, John 3:16 where older versions of the Bible said Jesus was the begotten son but now begotten has been removed and the church says its now discovered that was a fabrication. This was the only verse that made a different son of God compared to the so many others that the Bible calls son of God.

  1. This C.R.A.P,
    kchaa kapotea njia, yani sijui wewe Qur'an wewe unaitafsiri vipi au nani anaye kudanganya. We mtu ama unaukosefu wa akili, au una matatizo makubwa sana au una-ugonjwa wa chuki bila sababu. Yani nikichekesho tu hapo ndio mtu akaishiwa ndio anaishia hivi kuongea bila kutumia akili, na haleti point ya ukweli. Waislam wote takbiriiiii

Naona umeshapata dawa yako. Next time jifunze adabu.
 
Last edited by a moderator:
Dogo unapo ongelea Adam hapo unachekesha sana, sababu Adam lazima aongee na Mungu, sababu yeye ndio sababu kubwa ya Shetani kufukuzwa na Mungu. Sa Shetani alifukuzwa vipi kama si sababu ya kuona Adam kayafahamu maneno aliyo ambiwa na Mungu, kuhusu vile vitu alivyo fundishwa na Mungu. We kweli mwendawazimu. Mimi nilipinga wale ulio sema mitume wameongea na Mungu, kwenye list yako. Sa wewe ulimuweka Adam pale kwenye list.
Afu weka akilini hakuna Mtume alio ongea na Mungu moja kwa moja isipokuwa Mussa tu, in the Qur'an; God says that He spoke directly to Prophet Mosses, but when he requested to see Him, God cast His reflected glory over a mountain and it turned to dust, causing Mosses to faint (7:143). Over a period of forty nights, God revealed religious knowledge to Mosses and chose him to continue to lead his people. Ukimweka Adam utakuwa unachemsha tu, sababu huyo hata mtoto mchanga anajua aliongea na Mungu.
MSIBA KUTOKA QURAN YAKO HUU HAPA: ALLAH ANAONGEA NA ZACHARIAH!!!!!!!!!!!
Allah said: "O Zakariyah! Verily, We give you the glad tidings of a son. His name will be Yahya (John). We have given that name to none before him."

He said: "My Lord! How can I have a son, when my wife is barren, and I have reached the extreme old age."
He said: "So (it will be). Your Lord says, It is easy for Me. Certainly I have created you before, when you had been nothing."
Zakariyah said: "My Lord! Appoint for me a sign."

He said: "Your sign is that you shall not speak unto mankind for three nights, though having no bodily defect."
Then he came out to his people from Al Mihrab (a praying place or a private room, etc.), he told them by signs to glorify Allah's Praises in the morning and in the afternoon.

It was said to his son: "O John! Hold fast to the Scripture (The Torah)." And We gave him wisdom while yet a child, and made him sympathetic to men as a mercy or a grant from Us, and pure from sins (John) and he was righteous, and dutiful towards his parents, and he was neither an arrogant nor disobedient (to Allah or to his parents). And Salamun (peace) on him the day he was born, the day he dies, and the day he will be raised up to life again! (Ch 19:1-15 Quran)

NEXT TIME, JIFUNZE KUSEMA UKWELI.
 
Simple; God confirms in the Qur'an that His Qur'an, His Torah (Taurat) and His Gospel (Injil) are protected by Him.

You are not answering my questions.
1. Where is the Injil?
2. Where is the Taurat?
3. Where is the Psalm?

What is the difference between the books people write with their own hands and then invent a lie against God by saying, "This is from Allah" and Allah's genuine books (the books protected by Allah)?
Bogus reply. Quran was written by people.

WHICH QURAN IS PROTECTED BY ALLAH?
The only protected Qur'an is the one that tells the people to pray to Allah only and is as Allah revealed it to Prophet Muhammad.
Any other book with this name is not from Allah as revealed by Prophet Muhammad.
Would Allah send a messenger (Prophet Muhammad) to tell you to pray to Prophet Muhammad or to pray to someone other than Allah your creator, after Allah had sent prophet after prophet with the same message "Pray only to Allah who is the one that created you?"
The same Quran is telling Shytwain to pray to Adam. Pathetic

WHICH TORAH (Taurat) IS PROTECTED BY ALLAH?
The only protected Torah (Taurat) is the one that tells the people to pray to Allah only and is as Allah revealed it to His Prophets.
Any other book with this name is not from Allah as revealed by Prophet Moses (Mussa) and the other Prophets.
Would Allah send a messenger (Prophet Moses (Mussa) and others) to tell you to pray to his prophets or to pray to someone other than Allah your creator, after Allah had sent prophet after prophet with the same message "Pray only to Allah who is the one that created you?"

Show me, where is it?

WHICH GOSPEL (Injili) IS PROTECTED BY ALLAH?
The only protected Gospel is the one that tells the people to pray to Allah only and is as Allah revealed it to Prophet Jesus (Issa).
Any other book with this name is not from Allah as revealed by Prophet Jesus (Issa).
Would Allah send a messenger (Prophet Jesus (Issa)) to tell you to pray to Prophet Jesus (Issa) or to pray to someone other than Allah your creator, after Allah had sent prophet after prophet with the same message "Pray only to Allah who is the one that created you?"

Allah confirms in the Quran that His Qur'an, His Torah (Taurat) and His Gospel (Injil) are protected by Him.
Surah : Ayah.
Show me, where is it?

Quran 10:95 And do not be one of those who reject the revelations of Allah because then you would be with the losers (in the Hereafter).


(Note 1. Do not reject the revelations in the Torah (Taurat) because then you would be with the losers (in the Hereafter).


(Note 2. Do not reject the revelations in the Gospel (Injil) because then you would be with the losers (in the Hereafter).


(Note 3.Do not reject the revelations in the Psalm (Zabur) because then you would be with the losers (in the Hereafter).





(Note 4. Do not reject the revelations in the Qur'an because then you would be with the losers (in the Hereafter).


Quran 46:30 They (those among the jinn who believe in Allah and followed the Jewish belief) said, "Our people, we have heard a Book (the Qur'an) sent down after (the time of) Prophet Moses (Musa), confirming(the Torah Taurat ) what came before it (the Qur'an), it (the Qur'an) guides to the truth and to the correct path (of Allah, by confirming that the Jewish Torah Taurat of Moses (Mussa) and the Christian Gospel Injil of Jesus (Issa) are both the revealed truth that is explained by Allah in the Muslim Qur'an)."

Does man have the power to change the word of Allah?
Qur'an 18:27 And recite (Prophet Muhammad) what has been revealed to you of the Book (the Qur'an) of your Lord (Allah). There is no one who can change His (Allah's) words and you shall find no refuge except with Him (Allah).
Bogus and very very poor thinking
 
Naona umeshapata dawa yako. Next time jifunze adabu.
Dogo mimi wewe huwezi nishikisha Adabu sio kidini, wala kiheshima. Sababu mimi na wewe tuko mbali sana kimawazo kama mbingu na ardhi. Kelele za mwendawazimu hazinishtui hata siku moja, na huwezi kunipa dawa wewe, sababu huna cha kunishinda. Kuhusu point ya adabu; Mimi nimelelewa dogo, ndio mana siongei uwongo. Wanao ongea uwongo ni wale wasio lelewa, mara nyingi ni watoto walio zaliwa nje ya ndoa, na mara nyingi hawawafahamu hata baba zao, au kama wana baba zao basi wanaishi kwenye bar na hawamjui hata Mungu wao. Huo ndio ukosefu wa Adabu kweli kweli.
 
MSIBA KUTOKA QURAN YAKO HUU HAPA: ALLAH ANAONGEA NA ZACHARIAH!!!!!!!!!!!
Allah said: "O Zakariyah! Verily, We give you the glad tidings of a son. His name will be Yahya (John). We have given that name to none before him."

He said: "My Lord! How can I have a son, when my wife is barren, and I have reached the extreme old age."
He said: "So (it will be). Your Lord says, It is easy for Me. Certainly I have created you before, when you had been nothing."
Zakariyah said: "My Lord! Appoint for me a sign."

He said: "Your sign is that you shall not speak unto mankind for three nights, though having no bodily defect."
Then he came out to his people from Al Mihrab (a praying place or a private room, etc.), he told them by signs to glorify Allah's Praises in the morning and in the afternoon.

It was said to his son: "O John! Hold fast to the Scripture (The Torah)." And We gave him wisdom while yet a child, and made him sympathetic to men as a mercy or a grant from Us, and pure from sins (John) and he was righteous, and dutiful towards his parents, and he was neither an arrogant nor disobedient (to Allah or to his parents). And Salamun (peace) on him the day he was born, the day he dies, and the day he will be raised up to life again! (Ch 19:1-15 Quran)

NEXT TIME, JIFUNZE KUSEMA UKWELI.
Then the angels called him, while he was standing in prayer in Al- Mihrab ( a praying place or a private room), saying: "Allah gives you glad tidings of John confirming (believing in) the Word from Allah. He said: "O my Lord! How can I have a son when I am very old, and my wife is barren?"
Allah said: "Thus Allah does what He wills." He said: "O my Lord! Make a sign for me." Allah said: "Your sign is that you shall not speak to mankind for three days except with signals. And remember your Lord much (by praising Him again and again), and glorify Him in the afternoon and in the morning." (3:38-41 Qur'an). Ukweli ndio asili yetu, tatizo muongo kujidai anajua kitu na hajui chochote.
 
Dogo mimi wewe huwezi nishikisha Adabu sio kidini, wala kiheshima. Sababu mimi na wewe tuko mbali sana kimawazo kama mbingu na ardhi. Kelele za mwendawazimu hazinishtui hata siku moja, na huwezi kunipa dawa wewe, sababu huna cha kunishinda. Kuhusu point ya adabu; Mimi nimelelewa dogo, ndio mana siongei uwongo. Wanao ongea uwongo ni wale wasio lelewa, mara nyingi ni watoto walio zaliwa nje ya ndoa, na mara nyingi hawawafahamu hata baba zao, au kama wana baba zao basi wanaishi kwenye bar na hawamjui hata Mungu wao. Huo ndio ukosefu wa Adabu kweli kweli.
KORAN HAIKUTEREMSHWA KUTOKA KWA ALLAH
Je, ungependa kuwafahamu waandishi wa Koran?
Katika somo letu la leo, tutajifunza kuhusu waandishi wa Koran. Je, ni kweli Koran ilishushwa? Je, kuna ushaidi wa kutosha wa kusaidia madai ya kuteremshwa kwa Koran?


Unaposema kuwa Allah ndie mwandishi wa Qur'ani, ni uongo mkubwa sana na wengi wameukubali huu uongo na udanganyifu kwamba eti Koran ilishushwa wakatia inafahamika kuwa iliandikwa miaka 1400AD.


Mtu mwenye fikra anaweza kusema bila ya wasiwasi kuwa Qur'ani iliandikwa na watu kadhaa ambao wanajulikana kimajina. Waandishi Mashuhuri zaidi miongoni mwao ni hawa hapa:


Imrul Qays-mshairi: wa kale wa Arabia ambaye alifariki miaka michache kabla ya kuzaliwa Muhammad
Zayd b. Amr b. Naufal:-'lililopotoka' wa wakati wake ambaye alihubiri na kupandwa Hanifism
Labid:-mshairi mwingine
Hasan b. Thabit:-mshairi rasmi wa Muhammad
Salman: – Mshauri wa Kiajemi wa Muhammad
Bahira:-Nestoraian Mkristo mtawa wa Kanisa huko Syria
Jabr:-Jirani wa Kikristo wa Muhammad
Ibn Qumta:-Mtumwa wa Kikristo
Khadija:-Mke wa kwanza wa Muhammad
Binamu Waraqa:- Ndugu ya Khadija
Ubay b. Katibu Ka'ab;-Muhammad na Mwandishi wake
Muhammad: – Mwenyewe
Hapa chini, nitaandika historia fupi ya baadhi ya waandishi wa Koran. Nitaanza na Bahira ambaye alikuwa ni Mtawa wa Kikrito.


Bahira
Bahira alikuwa Mtawa wa Kikristo wa Nestorian aliyeishi katika Sham (Syria). Jina lake la Kikristo lilikuwa Sergio Georgius. Inaaminika kwamba alifukuzwa kutoka utawa baada ya makosa.

Katika mji wa Makkah, alikutana na Muhammad, akawa karibu sana na yeye na kukaa pamoja naye. Yeye alikuwa na mazungumzo ya siri na Muhammad, ambayo yeye hakika alimwambia Muhammad mambo mengi ya Ukristo. Aya kadhaa katika Qur'an zinazozungumzia Ukristo zilitoka kwa huyu Mtawa Bahira.
Mfano, aya zote za ndani ya Kuran zinazozungumzia kitabu cha Zaburi zilihaririwa na huyu Mtawa Bahira:
4.163 Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.


17: 55. Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.
21:105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.

2:113. Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana.


2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu.


3: 23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.
*** Quran haina chochote cha zaidi au bora kuliko vitabu vingine. Qur'an, imeandikwa kwa kuibia, kugezea, kupora, kudanganya na / au kupotosha kutoka BIBLIA, kuhalalisha kwamba Watu wa Kitabu wamwamini au kutumia kama mwongozo. ***


Jabr:
Kamusi ya Uislamu (Hughes Kamusi ya Uislamu, p.223) inasema kwamba Jabir alikuwa mmoja wa Ahlu-l-Kitab (Watu wa Kitabu) na alikuwa amesoma vizuri vitabu vya Taurati na Injil (Injili), na hivyo, Muhammad akamtumia sana Jabr katika uandishi wa Quran. Jabr ndiye aliye kuwa anamsomea Taurat na Injil Muhammad kila alipo pita nyumbani kwake. Muhammad alijifunza kutoka kwa Jabr na kuweka Sura katika Quran yenye mahusiano na Wakristo na Wayahudi. Mistari yote inayo mhusu Daudi na Sulemani ilitengenezwa na huyu Jabr. Baadhi ya aya hizo:


Daudi akamuuwa Jaluti ... 2:251
Zaburi alipewa Daudi ... 4:163
Allah ni mbaguzi ; anapendelea baadhi ya Mitume kwa wengine; aliwapa Zaburi Daudi ... 17:55
Allah alishuhudia hukumu ya Daudi na Sulemani ... 21:78
Allah kampa Sulemani uelewo sahihi ; Yeye alifanya milima na ndege kumtumikia Daudi ... 21:79
Allah kamfundisha Daudi ujuzi wa kufanya vita ... 21:80
Kabla ya Qur'an , Mwenyezi ujumbe katika Zaburi ya Daudi ... 21:105
Allahu kampa maarifa ya Daudi na Sulemani ... 27:15
Baba wa Sulemani alikuwa ni Daudi. Sulemani alikuwa mrithi wa Daudi; Suleiman kueleweka hotuba ya ndege wanyama, na mimea ... 27:16
Sulemani alikuwa na mamlaka juu ya majini ; majini na ndege kupigana katika jeshi la Sulemani ... 27:17
Allah kaweka milima chini ya amri ya Daudi; akamfundisha jinsi ya kufanya silaha kutoka chuma ... 34:10-11
Allah alikuwa na kaweka milima , ndege kwa ajili ya huduma ya Daudi na majaliwa yake kwa hekima na mantiki ... 38:18-20
Allah kusamehe dhambi ya Daudi ... 38:25
Allah alimteua Daudi kuwa mtawala juu ya nchi na akampa mamlaka ya kutoa hukumu ya haki na sheria za Mungu na kwa maoni yake binafsi ... 38:26
*** Bila shaka, hadithi/aya zote hapo juu si kutoka BIBLIA lakini walikuwa wamekopia/wamigizia/wameangalizia na kupotosha mafundisho ya baadaye ya Wayahudi na Wakristo ***
Ibn Qumta
Ibn Qumta alikuwa mtumwa wa Kikristo ambaye aliishi katika mji wa Makkah . Muhammad alijifunza kuhusu injili apocryphal ya Ukristo (kama vile : Injili ya Utoto na Injili ya Barnabas ) kutoka kwake. Sura nzima juu ya Maria na kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Sura 19) kiliandikwa na mtumwa huyu wa Kikristo.


Vyanzo kutoka Wakidi , Alphonso Mingana , katika insha yake , Maambukizi ya Koran, Chimbuko la Koran, p.103 , anaandika:

' Mwanahistoria wa kale zaidi, Wakidi , ina sentensi zifuatazo ambazo zilipendekeza na ' Abdallah b. Sad b. Abi Sarh , na mtumwa Mkristo, bin Qumta , walikuwa na kitu cha kufanya katika Koran.

Na bin Abi Sarh akarudi na kusema kwa Makureshi : "Ilikuwa tu Mtumwa wa Kikristo ambaye alikuwa akimfundisha yeye ( Muhammad ); Nilikuwa na kazi ya kuandika na kubadili chochote alichoa taka Mtume Muhammad. " '


Tafadhali kumbuka kwamba Abdallah b. Sad b Abi Sarh alikuwa mwandishi mwaminifu wa Muhammad. Wakati Muhammad anahamia Madina Abdallah na yeye alimfuata. Kila Muhammad alipo kuwa katika maono Abdallah ndiye aliye kuwa mwandishi wa hayo maono. Wakati Abdallah alipendekeza baadhi ya mabadiliko ya Muhammad lisping, Muhammad alikubali kirahisi. Mfano ni wakati Muhammad alikuwa anasema hii aya 23:12-14 .

23.12 Na sisi tulimuumba Mtu kutoka Udongo;

23.13 Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti
23. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.!


Hii hapa ni orodha fupi ya baadhi ya aya katika Qur'an ambazo Muhammad alinakili/ ilibia kutoka vitabu au nakala za Wakristo, Wayahudi, Waarmenia, Wahindu na Majusi (Wazoroastro):
Tayammum ( 04:43 ): Kunakiliwa kutoka kwenye maandiko ya Kiyahudi Talmud.
Kinga ya maisha ndani ya ndege (2:260 , 3:49 , 5:110): Kunakiliwa kutoka vitabu Coptic .
Houris , Azazil (44:54 ): kujifunza kutoka kwa wageni katika Makkah.


Harut amd Marut (2:102 ): Kutoka Muarmeni -vitabu Harut na Marut ni katika udhibiti wa upepo na mvua.
Kiti cha enzi ya Mwenyezi Mungu juu ya maji (11:07 ): Kutoka mapokeo ya Wayahudi
Malik, mtawala wa Jahannamu (43:77): Kutoka Wayahudi. [ Moleki - Mambo ya Walawi 18.21 ; 20.2/3/4/5 , nk]
7 Mbinguni (2:29, 41:12) : Iliyopitishwa kutoka katika maandiko Sanskrit ya Wahindu.


Mariamu kujifungua chini ya shina la mti ( 19:23 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto , apocryphal Mkristo Injili
Mtoto Yesu kuzungumza ( 3:46 , 19:30-31 , 19:33 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto .
Maelezo ya peponi na Kuzimu (kuna aya nyingi - tazama sehemu ya Salman, Kiajemi: Kunakiliwa kutoka Majusi ( Wazoroastro ) na Wahindu.


Yesu si kuuawa , Mwenyezi Mungu akainua Yesu ( 3:55 , 4:157-158 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Barnabas
Hadithi ya Yusufu (Sura 12): Kunakiliwa kutoka Midrash, maandiko ya Kiyahudi.
Hadithi ya Sulemani na Sheba ( 21:78-82 , 27:17-19 , 27:22-23 ): Kunakiliwa kutoka Haggada , Maandiko Wayahudi. [ Wafalme mimi 10.1 ]


Qur'ani ya awali ni agizo katika Mbinguni ( 43:4 , 85:21-22 ): Talmud anasema kuwa Torati ni kibao katika ulinzi wa Mbinguni.


Malaika wa kifo - Azrail au Azazil , Malaku'l Maut ( 6:61 , 7:37, 32:11 ): Iliyopitishwa kutoka Wayahudi na mchawi maandiko ( Zoroastrian ).


WAPAGANI WANASEMA QURAN NI SAWA NA HADITHI ZA KALE
Hapa ni ushahidi wa baadhi ya mistari ya kuchaguliwa kutoka Quran kutuambia kwamba wapagani walikuwa na ufahamu kwamba Muhammad alikuwa anawaambia hadithi ya kale walizokuwa wamesikia kabla ya-Muhammad:
Wasioamini walisema kuwa Quran ni kama hadithi za watu wa kale wa Kipagani ... 08:31
Wasioamini walisema kwamba Aya za Muhammad zilinakiliwa kutoka hadithi za kale ... 16:24
Wapagani wengi walishasiikia hadithi za ufufuo kutoka katika hadithi zamani za Kipagani... 23:83
Makafiri walisema kuwa 'Qur'ani ni hadithi za kale ambazo walisikia kabla ya Muhammad' ... 25:5
Wasioamini walisisitiza kwamba Qur'ani ni hadithi kutoka vitabu vya kale ... 27:68
Wakasema makafiri Quran imejaa visa vya watu wa kale ... 46:17
Wasioamini wanaliziita na kuzifananisha aya za Muhammad na hadithi za kale ... 68:15


HITIMISHO
'Quran' si maandishi ya Mwenyezi Mungu. Mungu mwenye Hekima hawezi kuandika Kitabu chenye Makosa, Utata, kujirudiarudia , makosa ya kimaandiko kama yalivyo jaa kwenye Qur'an yenye muongozo potofu kwa Mwanadamu.

Anomalies zote, utata , MAKOSA YA KIMAANDIKO, upayukaji , KUJIRUDIARUDIA , makosa ya kisarufi na kilugha, Makosa ya Kihistoria, TABIA YA KUPENDEKEZA MAUAJI, HATEMONGERING , WARMONGERING , UBAGUZI , ubaguzi wa rangi na sifa nyingine za mapepo ya Quran kutakufanya kwa urahisi uelewe kuwa Koran si Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtakatifu aliye jaa huruma na rehema angeweza kuandika kitabu cha kishetani kama Qur'an kwa Muhammad .


Inafahamika na wenye Hekima kuwa Muhammad ambaye anadai eti kapewa Koran ni uongo wa wazi kabisa na ndio maana Muhammad akasema alipewa maono na Allah ili kuwafunga Mdomo wale wote ambao wanatia shaka katika Kitabu chake.


Qur'an Nzima ni Maandishi ya Muhammad na imejaa matakwa na fikra zake.
Alter ego
Katika hali halisi, Muhammad, Jibril na Allah ni Mtu mmoja.
Muhammad
Ilikuwa ni Muhammad ndiye aliye anzisha Uislam na baadaye baadhi ya wafuasi wake ambao, 'Kwa jina la Allah' walitengeneza Qur'ani kwa kurekebisha , kurekebisha na kuibia kutoka maandiko mbalimbali na mila ya watu wengine wa wakati huo.


Wafuasi wake waliendelea kutangaza huu udanganyifu wa Muhammad na kuusambaza katika fahamu za binadamu, ili kupata matakwa yao ya kisiasa yenye nia ya kutawala peninsula ya Arabia na baadaye, nchi nyingine za amani.
Koran si Kitabu cha Mungu bali ni maandishi ya Muhammad na marafiki zake.


Katika huduma yake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom