Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,620
- 5,335
Wapi Adamu ameelezewa kama mtume!? Halafu nyie si ndio wimbo wenu huo kila mtume na kitabu chake na umma wake, sasa hao mitume wenu wengine vitabu vyao viko wapi!?Wakristo mnashangaza sana sa mbona Bibilia zenu zina list ya mitume, mbona sijaona kila mmoja kaja na kitabu chake, au wewe si mkristo? Husomi bibilia ukafahamu mna mitume wangapi? Na ile ya Adam ulipo ona bibilia imemkubali kama mtume, mbona ulikimbia hukurudi tena na swali lako la ujinga.
Mpinga Kristo Yuko VATICAN anahalalisha Ndoa za jinsia moja.
We endelea kuskia Raha tu! Siku ukitumbukizwa kwenye moto wa jahannamu ndipo akili itakusogea.
Weye mlaanifu umetoa post gani ya ati kusababisha waja wasotishika na vitimbi vya ulimengu hadi ati watahayuri kutia maguu hapa barzani....!?
Weye mlaanifu umetoa post gani ya ati kusababisha waja wasotishika na vitimbi vya ulimengu hadi ati watahayuri kutia maguu hapa barzani....!?
Mkuu Ishmael nasikia kipindi Muhammad anafuata swala akakutana na Musa akamuuliza umepewa swala ngapi akamuonyesha Musa akamwambia hizo ni nyingi sana, kwa jinsi ninavyoawajua wale watu hawaziwezi hizi, akarudi tena kupunguziwa, zikapunguzwa Musa akamwambia hebu tuone akamwambia hata hizi ni nyingi pia, zikapunguzwa mpaka zikabaki tano... Hicho kisa kama cha kweli huwa nabaki nacheka tu...
ukristo hauendi bila kufikiri kile kilichoandikwa kina malengo gani ama mantiki gani... kumbuka Hii sio Koran ya mwamadi... ambayo hamruhusiwi hata kujiuliza nyinyi ni kujisalimisha tu....General Bill Cosby , asante sana wacha niendelee kuwapa ukweli mana wanadanganywa sana kule kanisani. Si unaona wanavyo ogopa maneno ya Bibilia zao. Wanajua wazi hio Bibilia ni uwongo mtupu, eti wakinywa sumu hawafi, wakishika majoka hawadhuriki, na wakishika wagonjwa wana pona sa mbona wanawakimbia wenye magonjwa ya Ebola hahaha. 2013 na Ishmael hapo wanaukimbia ukristo lakini kwenye midomo tu wanajidai wakristo. Hapo ndio Paulo atamwambia Mungu niliwambia wasifate dini yangu hawakusikia, kama wao wamefata dini yangu mbona hawakunywa sumu? Hawakushika majoka, na waliwakimbia wagonjwa wenye Ebola. Nadhani hapo Mungu alishusha ugonjwa wa Ebola maksudi kuonyesha uwongo wa wakristo, eti wakishika wagonjwa watapona hahaha.
Mtumishi, hii dini imejaa vioja kuliko Bongo Comedy.Mkuu Ishmael nasikia kipindi Muhammad anafuata swala akakutana na Musa akamuuliza umepewa swala ngapi akamuonyesha Musa akamwambia hizo ni nyingi sana, kwa jinsi ninavyoawajua wale watu hawaziwezi hizi, akarudi tena kupunguziwa, zikapunguzwa Musa akamwambia hebu tuone akamwambia hata hizi ni nyingi pia, zikapunguzwa mpaka zikabaki tano... Hicho kisa kama cha kweli huwa nabaki nacheka tu...
Ukichanganya na kile cha Waraqah ibn Nawfal huwa vinaniacha hoi...
Kukoswa na akili ni maradhi yaso DAWA, khasa ukajamkuta mja na suit zake na ongeza zile division one za kanisa ati wanamfuata huyu mzungu ajisaidiaye vichakani....!?
Kweli mmelaanika wana mlopotea.
Mkuu Ishmael nasikia kipindi Muhammad anafuata swala akakutana na Musa akamuuliza umepewa swala ngapi akamuonyesha Musa akamwambia hizo ni nyingi sana, kwa jinsi ninavyoawajua wale watu hawaziwezi hizi, akarudi tena kupunguziwa, zikapunguzwa Musa akamwambia hebu tuone akamwambia hata hizi ni nyingi pia, zikapunguzwa mpaka zikabaki tano... Hicho kisa kama cha kweli huwa nabaki nacheka tu...
Ukichanganya na kile cha Waraqah ibn Nawfal huwa vinaniacha hoi...
Mtumishi, hii dini imejaa vioja kuliko Bongo Comedy.
Hivi kama kweli Allah ndie aliye mpa Muhammad hizo swala. Hivi Allah hakujua kuwa ni nyingi mpaka apate usaidizi wa Musa? Inamaanisha kuwa, Musa alikuwa na akili zaidi ya Allah na Musa anawafahamu bin adam zaidi ya Allah. Huu ni Msiba kwa Allah na dini yake dhaif.
We pray to God, inter-alia, Jesus is God.I see, BTW; Ishmael, when you pray, who do you pray to, GOD or JESUS? Does God answer your prayers if you pray to Jesus? And I also have one more question, when people ask you who is your God, as Christians do you say the Lord Jesus Christ or God?
Wapi Adamu ameelezewa kama mtume!? Halafu nyie si ndio wimbo wenu huo kila mtume na kitabu chake na umma wake, sasa hao mitume wenu wengine vitabu vyao viko wapi!?
Tatizo huwa haliondoi tatizo ...Kukoswa na akili ni maradhi yaso DAWA, khasa ukajamkuta mja na suit zake na ongeza zile division one za kanisa ati wanamfuata huyu mzungu ajisaidiaye vichakani....!?
Kweli mmelaanika wana mlopotea.
Ni bora kujaribu kufundisha kondoo kuliko kumfundisha Mgalatia.
Sisi hatuna Uwezo wwt wa kumpa mtu unabii wala utume!! Wanaofanya hayo NI NYIE WAKRISTU!
Kila siku mnajipa Utume na unabii wanamme kwa wanawake! Juu ya kuwa Kwenye hilo likitabu lenu Halina nabii mwanamke HATTA MMOJA!
Hebu tazama hapa chini nini nabii wako kafanya kwa mke wa kondoo.
Mkuu, Hivi kuna nabii katika Biblia aliyetambua unabii wake kwa mpiga faraki!?Mtumishi, hii dini imejaa vioja kuliko Bongo Comedy.
Hivi kama kweli Allah ndie aliye mpa Muhammad hizo swala. Hivi Allah hakujua kuwa ni nyingi mpaka apate usaidizi wa Musa? Inamaanisha kuwa, Musa alikuwa na akili zaidi ya Allah na Musa anawafahamu bin adam zaidi ya Allah. Huu ni Msiba kwa Allah na dini yake dhaif.
Hapo ndio umejibu swali/
Kwahiyo Adam alijipa utume?
Hapo nilipoweka red, Waraqa bin Naufal aliutolea wapi huo uwezo wa kumpa mtu unabii!?Ni bora kujaribu kufundisha kondoo kuliko kumfundisha Mgalatia.
Sisi hatuna Uwezo wwt wa kumpa mtu unabii wala utume!! Wanaofanya hayo NI NYIE WAKRISTU!
Kila siku mnajipa Utume na unabii wanamme kwa wanawake! Juu ya kuwa Kwenye hilo likitabu lenu Halina nabii mwanamke HATTA MMOJA!
Hebu tazama hapa chini nini nabii wako kafanya kwa mke wa kondoo.
Si ndio nikasema nyie makafiri uwezo wa kuelewa Haupo. Tunawajibu haya maswali yenu ya kipuuzi kwa sababu wengine wanapata faida.
Waislamu Mitume wao na MNABII WAO wametajwa Ktk QURAAN. Na hakuna Muislamu yyt mwenye uwezo wa Kumpa binaadamu yyt UNABII au UTUME!
Nyie WAKIRISTO kupeana UTUME na unabii Ni km KUMSUKUMA MLEVI.
Mtu MALAYA, muuza Unga, jambazi na mpuuzi yyt Akiwa na hela kidogo tu na anaweza Kupiga kelele ovyo ka mvuta bangi MNAMPA UNABII.
Matokeo yake Manabi wenu wanalawiti watoto wa watu kila siku kwa kisingizio cha KUWABARIKI!
Nyie subirini Moto km Yule Jamaa yenu aliyewambwa Msalabani.
Hamna Jinsi.
ukafiri Mzigo mzito mno. Kuutua inataka Jitihada ya AJABU!
Hivi wewe huna uwezo wa kujiuliza Nani kawapa nyie Nafasi ya Kuteua NABII na Mtume?
HIvi nyie huwa mnatumia Madawa ya kuharibu Kichwa?
Ajeeb!