General
Bill Cosby , asante sana wacha niendelee kuwapa ukweli mana wanadanganywa sana kule kanisani. Si unaona wanavyo ogopa maneno ya Bibilia zao. Wanajua wazi hio Bibilia ni uwongo mtupu, eti wakinywa sumu hawafi, wakishika majoka hawadhuriki, na wakishika wagonjwa wana pona sa mbona wanawakimbia wenye magonjwa ya Ebola hahaha.
2013 na
Ishmael hapo wanaukimbia ukristo lakini kwenye midomo tu wanajidai wakristo. Hapo ndio Paulo atamwambia Mungu niliwambia wasifate dini yangu hawakusikia, kama wao wamefata dini yangu mbona hawakunywa sumu? Hawakushika majoka, na waliwakimbia wagonjwa wenye Ebola. Nadhani hapo Mungu alishusha ugonjwa wa Ebola maksudi kuonyesha uwongo wa wakristo, eti wakishika wagonjwa watapona hahaha.