Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Msikilize Mungu hapa anavyosema wewe

Mika 1:1-3

1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Mika, Mmorashti, katika siku za Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; maono aliyoyaona katika habari za Samaria, na Yerusalemu.
2 Sikilizeni, enyi watu wa kabila zote; sikiliza, Ee dunia, na vyote vilivyomo; Bwana MUNGU na ashuhudie juu yenu, yeye Bwana kutoka hekalu lake takatifu.
3 Kwa maana, angalieni, Bwana anakuja akitoka mahali pake, naye atashuka, na kupakanyaga mahali pa dunia palipoinuka.

Haya bishana na maandiko sasa!

We kwa akili zako huyo Bwana ni YESU sio? Ebu sikia yesu anasema
God raised up his servant...¡±(Acts 3:26).. Kumbe hata ww ukiwa mtumishi wa mungu ni sawa na yesu Kijana! Na pale Peter ali declared:¡°The God of Abraham, Isaac and Jacob, the God of our fathers, has glorified his servant Jesus.¡±(Acts 3:13). SASA ww kafiri unabwabwaja kumbe hata peter anakupinga

hakuwa lolote yesu ila
" your holy servant Jesus, whom you anointed.¡±(Acts 4:27).

Ebu tuone QURAN inasemaje kwa watu kama Ww.
Quran 4:171-172"O People of the Book!Commit no excesses in your religion:nor say Of Allah ought but the truth.Christ Jesus the son of Mary was (no more than) A Messenger of Allah, And His Word, which He bestowed on Mary, and the Spirit proceeding From Him: so believe In Allah and His Messengers.Say not "Trinity": desist: It will be better for you: For Allah is One God: Glory to Him: (Far Exalted is He) above Having a son. To Him (Allah) Belong all things in the heavens And on earth. And enough...

Sasa Mwehu kama ww unazusha tu.. Mpka Unakufuru Dah.
 
Safi sana, ujue pia nabii mfano wa Musa sio Muhammad, kwasababu hakuwa Myahudi... Muhammad ni nabii wa uongo

Kumbukumbu 18:18 inasema kwamba Mungu atawateulieni nabii kama Musa kutoka miongoni mwa ndugu zao. Israeli (Wayahudi) na Waishmaeli (Waarabu) walikuwa ndugu. Unabii inasema kwamba 'Nitatia maneno yangu katika kinywa chake na yeye atawaambia yote mimi amri yake. ' sasa we unataka Kukimbilia Wap??
 
Safi sana, ujue pia nabii mfano wa Musa sio Muhammad, kwasababu hakuwa Myahudi... Muhammad ni nabii wa uongo

Kumbukumbu 18:18 inasema kwamba Mungu atawateulieni nabii kama Musa kutoka miongoni mwa ndugu zao. Israeli (Wayahudi) na Waishmaeli (Waarabu) walikuwa ndugu. Unabii inasema kwamba 'Nitatia maneno yangu katika kinywa chake na yeye atawaambia yote mimi amri yake. ' sasa we unataka Kukimbilia Wap??
Ikiwa Unajua hapo Muhammad anatokea wap.
 
Kumbukumbu 18:18 inasema kwamba Mungu atawateulieni nabii kama Musa kutoka miongoni mwa ndugu zao. Israeli (Wayahudi) na Waishmaeli (Waarabu) walikuwa ndugu. Unabii inasema kwamba 'Nitatia maneno yangu katika kinywa chake na yeye atawaambia yote mimi amri yake. ' sasa we unataka Kukimbilia Wap??
Ikiwa Unajua hapo Muhammad anatokea wap.
Haya hebu nionyeshe miujiza aliyofanya Muhammad ili afanane na Musa!?
 
Haya hebu nionyeshe miujiza aliyofanya Muhammad ili afanane na Musa!?

Ebu kula hii kwanza!


38 Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.
39 Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona.

Wewe ni kama waandishi & mafarisayo.. Unatafuta isha kila uchao! Je watu kama ww mungu kawasutaje?

Enhee...

¡°Mwawezaje kusema kuwa sisi tuna akili kwa kuwa tuna Taurati ya Bwana ilhali kalamu za waandishi zimeifanya kuwa uongo¡±.

Eti mkuu wa chuo??

Haya twende ktk Miujiza aliyotenda Mtume Muhammad!

1. Quran ni muujiza tosha na no. 1 kwani ni. MUONGOZO, TIBA, KINGA, NA NJIA ILIYO NYOOKA.
2. Mtume aliukata Mwez vipande Viwili
Pindi makafiri wa Makkah walipomwomba Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ¡®alayhi wa aalihi wa sallam) awaoneshe muujiza, aliwaonyesha kupasuka kwa mwezi.(44)
3.kububujika maji ktk vidole wakafanya ablutiona na kunywa
4.kulisalimu jiwe.
5.kuongeza chakula kichache kuwa kingi.
Na mingne Mingii.
 
Ebu kula hii kwanza!


38 Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.
39 Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona.

Wewe ni kama waandishi & mafarisayo.. Unatafuta isha kila uchao! Je watu kama ww mungu kawasutaje?

Enhee...

¡°Mwawezaje kusema kuwa sisi tuna akili kwa kuwa tuna Taurati ya Bwana ilhali kalamu za waandishi zimeifanya kuwa uongo¡±.

Eti mkuu wa chuo??

Haya twende ktk Miujiza aliyotenda Mtume Muhammad!

1. Quran ni muujiza tosha na no. 1 kwani ni. MUONGOZO, TIBA, KINGA, NA NJIA ILIYO NYOOKA.
2. Mtume aliukata Mwez vipande Viwili
Pindi makafiri wa Makkah walipomwomba Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ¡®alayhi wa aalihi wa sallam) awaoneshe muujiza, aliwaonyesha kupasuka kwa mwezi.(44)
3.kububujika maji ktk vidole wakafanya ablutiona na kunywa
4.kulisalimu jiwe.
5.kuongeza chakula kichache kuwa kingi.
Na mingne Mingii.

Acha uongo wewe, sasa Muhammad anafanana vipi na Musa!? kula kwanza hizi

Quran 29:50 Na walisema: Mbona hakuteremshiwa Ishara kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Ishara ziko kwake Mwenyezi Mungu; ama mimi kwa hakika ni mwonyaji mwenye kubainisha tu.

Quran 13:7
Na wale walio kufuru husema: Mbona hakuteremshiwa muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Hakika wewe ni Mwonyaji, na kila kaumu ina wa kuwaongoa.

Quran 17:
93 Au uwe na nyumba ya dhahabu, au upae mbinguni. Wala hatutaamini kupaa kwako mpaka ututeremshie kitabu tukisome. Sema: Subhana Rabbi, Ametakasika Mola wangu Mlezi! Kwani mimi ni nani isipo kuwa ni mwanaadamu na Mtume?

Hizo aya zote hapo juu zinakataa Muhammad hakufanya miujiza, kwa hiyo uache uongo...


 
Acha uongo wewe, sasa Muhammad anafanana vipi na Musa!? kula kwanza hizi

Quran 29:50 Na walisema: Mbona hakuteremshiwa Ishara kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Ishara ziko kwake Mwenyezi Mungu; ama mimi kwa hakika ni mwonyaji mwenye kubainisha tu.

Quran 13:7
Na wale walio kufuru husema: Mbona hakuteremshiwa muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Hakika wewe ni Mwonyaji, na kila kaumu ina wa kuwaongoa.

Quran 17:
93 Au uwe na nyumba ya dhahabu, au upae mbinguni. Wala hatutaamini kupaa kwako mpaka ututeremshie kitabu tukisome. Sema: Subhana Rabbi, Ametakasika Mola wangu Mlezi! Kwani mimi ni nani isipo kuwa ni mwanaadamu na Mtume?

Hizo aya zote hapo juu zinakataa Muhammad hakufanya miujiza, kwa hiyo uache uongo...



We mkuu wa chuo kwel upo Serious?? Ebu nikujibu kwa Aya na nairudia tena...

38 Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.
39 Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona.

Hi aya inatofauti gan na hyo ya quran?
 
Acha uongo wewe, sasa Muhammad anafanana vipi na Musa!? kula kwanza hizi

Quran 29:50 Na walisema: Mbona hakuteremshiwa Ishara kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Ishara ziko kwake Mwenyezi Mungu; ama mimi kwa hakika ni mwonyaji mwenye kubainisha tu.

Quran 13:7
Na wale walio kufuru husema: Mbona hakuteremshiwa muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Hakika wewe ni Mwonyaji, na kila kaumu ina wa kuwaongoa.

Quran 17:
93 Au uwe na nyumba ya dhahabu, au upae mbinguni. Wala hatutaamini kupaa kwako mpaka ututeremshie kitabu tukisome. Sema: Subhana Rabbi, Ametakasika Mola wangu Mlezi! Kwani mimi ni nani isipo kuwa ni mwanaadamu na Mtume?

Hizo aya zote hapo juu zinakataa Muhammad hakufanya miujiza, kwa hiyo uache uongo...



We mkuu wa chuo kwel upo Serious?? Ebu nikujibu kwa Aya na nairudia tena...

38 Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.
39 Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona.

Hi aya inatofauti gan na hyo ya quran?

Muhammad ni muonyaji ndio je? Musa nae?

Musa alipelekwa kwa farao kawa mkombozi pia Muonyaji.
 
We mkuu wa chuo kwel upo Serious?? Ebu nikujibu kwa Aya na nairudia tena...

38 Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.
39 Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona.

Hi aya inatofauti gan na hyo ya quran?

Muhammad ni muonyaji ndio je? Musa nae?

Musa alipelekwa kwa farao kawa mkombozi pia Muonyaji.

Ni kweli Musa alipelekwa kwa Farao kuokoa wana wa Israel, Muhammad wapi kaja kuwaokoa wana wa Israel ili awe mfano wa Musa!?
 
Ni kweli Musa alipelekwa kwa Farao kuokoa wana wa Israel, Muhammad wapi kaja kuwaokoa wana wa Israel ili awe mfano wa Musa!?


Huyu jamaa sijui anafikiria ubavu aliolalia ndio sisi tumelalia huo huo? Eti anakuletea ushahidi wa unabii wa Mohammad kutoka ktk kitabu cha biblia ambacho wao hawakiamini.....! Poor Islam...!
 
Huyu jamaa sijui anafikiria ubavu aliolalia ndio sisi tumelalia huo huo? Eti anakuletea ushahidi wa unabii wa Mohammad kutoka ktk kitabu cha biblia ambacho wao hawakiamini.....! Poor Islam...!

Kama ulikuwa hujui waislamu tunaamini mungu kateremsha vitabu ikiwemo injili , taurati na quraan, ila kwa sababu zenu binafsi mkaondoa na kubadilisha biblia aliyoleta mungu ili ikidhi mambo yenu ya kidunia kila siku mnaibadilisha biblia.
Mzungu hakika anawapotosha sana
 
Ni kweli Musa alipelekwa kwa Farao kuokoa wana wa Israel, Muhammad wapi kaja kuwaokoa wana wa Israel ili awe mfano wa Musa!?

Hujui neo kaka!

Iweje Muhammad s.a.w awaokoe Wayahudi ikiwa andiko linasema.. "nitawondokeshea Nabii miongoni mwa ndugu zao." (waarabu) je huyo nabii kivpi arudi kwa wayahudi na alipelekwa kwa waarabu?? Na si waarabu tu bali ulimwengu mzima.

Kula hii kwanza.

Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.¡±(34:28),
muhammad ni mwonyaji Nabii lakn watu weng kama ww hamjui.

Kula tena..

Nasi hatukukutuma, (hatukukuleta) ila uwe rahmah kwa walimwengu (wote).}} [Al-Anbiyaa: 107]


je yesu alikuwa wa rahmah kwa ulimwemwgu wote...

Kula hii..


Yesu ¡°Akajibu, ¡°Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli wal iopotea.¡± Matayo 15:24.

Ww hapo sio myahudi hata uchotara huna ila daily unakaza ukitaka uwe kama wao.. POLE.

Yesu anawamaliza kabisa..

¡°Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.¡± Mathayo 7:21-23.


Hata hao wayahudi na nyie woote wakristu yesu kashawapga chini, Kula hyo.


Mathayo 14
21Yesu akamwambia, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kule Yerusalemu.
22Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
23Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
24Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Swali?
1.zile nguv za kutenda miujiza rejea Mathayo 17:21-23 mnazitoaga wapi na mntumia jina ya yesu lakn ye hataki.
2.nyie msingi wenu wa dinhp umetoka kwa wayahudi kama Alivyokuwa yesu.. Rejea mathayo 14:21 je kweli hamjui mnacho abudu na kama ndio why hambdliki... Na hao watu wanao muabudu mungu ktk roho na kweli ni akina Nani.
 
Huyu jamaa sijui anafikiria ubavu aliolalia ndio sisi tumelalia huo huo? Eti anakuletea ushahidi wa unabii wa Mohammad kutoka ktk kitabu cha biblia ambacho wao hawakiamini.....! Poor Islam...!
Ni kazi sana mkuu, Yaani Mungu atume mtu mafundisho yake yanapingana na ya Yesu Kristo!? hii nakataa...
 
Huyu jamaa sijui anafikiria ubavu aliolalia ndio sisi tumelalia huo huo? Eti anakuletea ushahidi wa unabii wa Mohammad kutoka ktk kitabu cha biblia ambacho wao hawakiamini.....! Poor Islam...!

Wehu kama nyie Huwa tunawaacha mpka mwezi uwe Mzima.... Mwezi mchanga huu
 
Kama ulikuwa hujui waislamu tunaamini mungu kateremsha vitabu ikiwemo injili , taurati na quraan, ila kwa sababu zenu binafsi mkaondoa na kubadilisha biblia aliyoleta mungu ili ikidhi mambo yenu ya kidunia kila siku mnaibadilisha biblia.
Mzungu hakika anawapotosha sana


Swali ninalo kuuliza yako wapi Hayo MAGOMBO ORIGINAL AMBAYO HAYAKUBADILISHWA? NI NANI ALIEFANYA HIYO KAZI YA KUBADILISHI HAYO MAGOMBO NA NI MWAKA GANI? UNAWEZA UKAONESHA NI WAPI KTK BIBLIA YA SASA SEHEMU ILIYOBADILISHWA NA UTUONYESHE KUA ZAMANI KTK MAGOMBO HALISI ILIKUA INASEMAJE?

Hebu naomba ujibu haya maswali yote kabisa kwa faida ya Wakristo na Waislamu wote...!
 
Roho na kweli unaifahamu weye? Hebu niambie hiyo roho au hiyo kweli ndio unataka kusema nini ktk hilo?


Hujui neo kaka!

Iweje Muhammad s.a.w awaokoe Wayahudi ikiwa andiko linasema.. "nitawondokeshea Nabii miongoni mwa ndugu zao." (waarabu) je huyo nabii kivpi arudi kwa wayahudi na alipelekwa kwa waarabu?? Na si waarabu tu bali ulimwengu mzima.

Kula hii kwanza.

Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.¡±(34:28),
muhammad ni mwonyaji Nabii lakn watu weng kama ww hamjui.

Kula tena..

Nasi hatukukutuma, (hatukukuleta) ila uwe rahmah kwa walimwengu (wote).}} [Al-Anbiyaa: 107]


je yesu alikuwa wa rahmah kwa ulimwemwgu wote...

Kula hii..


Yesu ¡°Akajibu, ¡°Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli wal iopotea.¡± Matayo 15:24.

Ww hapo sio myahudi hata uchotara huna ila daily unakaza ukitaka uwe kama wao.. POLE.

Yesu anawamaliza kabisa..

¡°Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.¡± Mathayo 7:21-23.


Hata hao wayahudi na nyie woote wakristu yesu kashawapga chini, Kula hyo.


Mathayo 14
21Yesu akamwambia, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kule Yerusalemu.
22Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
23Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
24Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Swali?
1.zile nguv za kutenda miujiza rejea Mathayo 17:21-23 mnazitoaga wapi na mntumia jina ya yesu lakn ye hataki.
2.nyie msingi wenu wa dinhp umetoka kwa wayahudi kama Alivyokuwa yesu.. Rejea mathayo 14:21 je kweli hamjui mnacho abudu na kama ndio why hambdliki... Na hao watu wanao muabudu mungu ktk roho na kweli ni akina Nani.
 
Roho na kweli unaifahamu weye? Hebu niambie hiyo roho au hiyo kweli ndio unataka kusema nini ktk hilo?

Lbd unataka nikufafanulie nn? Soma AYA utapata Maana...Na unijbu swali la 2 wanao Muabudu mungu katika roho na kweli ni akina NANI.
 
Hujui neo kaka!

Iweje Muhammad s.a.w awaokoe Wayahudi ikiwa andiko linasema.. "nitawondokeshea Nabii miongoni mwa ndugu zao." (waarabu) je huyo nabii kivpi arudi kwa wayahudi na alipelekwa kwa waarabu?? Na si waarabu tu bali ulimwengu mzima.
Si umesema Muhammad ni mfano wa Musa, ndio ueleze kivipi!? ndio useme Muhammad na Musa tabia zao zinafanana kivipi!?
Kula hii kwanza.

Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.¡±(34:28),
muhammad ni mwonyaji Nabii lakn watu weng kama ww hamjui.
Nani alimpa utume Muhammad!? hivi Musa na yeye alikuwa ni ummy!?
Kula tena..

Nasi hatukukutuma, (hatukukuleta) ila uwe rahmah kwa walimwengu (wote).}} [Al-Anbiyaa: 107]
Muhammad alitumwa kwa jamaa zake

Quran 26:214 Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

Quran 41:44
Na lau tungeli ifanya Qur'ani kwa lugha ya kigeni wangeli sema: Kwanini Aya zake haziku pambanuliwa? Yawaje lugha ya kigeni na Mtume Mwaarabu? Sema: Hii Qur'ani ni uwongofu na poza kwa wenye kuamini. Na wasio amini umo uziwi katika masikio yao, nayo kwao imezibwa hawaioni. Hao wanaitwa nao wako pahala mbali.

Quran 34:44
Wala hatukuwapa Vitabu wavisome, wala hatukuwatumia Mwonyaji kabla yako wewe.

Quran 12:2
Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia.

Quran 46:12
Na kabla yake kilikuwapo Kitabu cha Musa, kuwa chenye uwongozi na rehema. Na hichi ni Kitabu cha kusadikisha na kilicho kuja kwa lugha ya Kiarabu, ili kiwaonye walio dhulumu, na kiwe ni bishara kwa watendao mema.

Quran 43:3 Hakika Sisi tumeifanya Qur'ani kwa Kiarabu ili mfahamu.

Quran 26:195 Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.

je yesu alikuwa wa rahmah kwa ulimwemwgu wote...

Kula hii..


Yesu ¡°Akajibu, ¡°Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli wal iopotea.¡± Matayo 15:24.

Ww hapo sio myahudi hata uchotara huna ila daily unakaza ukitaka uwe kama wao.. POLE.

Yesu anawamaliza kabisa..
Wewe ndio haujui kabisa hebu kula hii kwanza

Yohana 4:42 Wakamwambia yule mwanamke, Sasa tunaamini, wala si kwa sababu ya maneno yako tu; maana sisi tumesikia wenyewe, tena twajua ya kuwa hakika huyu ndiye Mwokozi wa ulimwengu.

Halafu uniambie hapa chini, je kwenye hii aya Musa alitumwa kwa ulimwengu wote!?

Quran 7:144 (Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Musa! Mimi nimekuteuwa wende kwa watu na Ujumbe wangu na maneno yangu. Basi chukua niliyo kupa na uwe katika wanao shukuru.

¡°Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.¡± Mathayo 7:21-23.
Kwenye huo mstari ni kitu gani hujaelewa hapo!?

Hata hao wayahudi na nyie woote wakristu yesu kashawapga chini, Kula hyo.


Mathayo 14
21Yesu akamwambia, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kule Yerusalemu.
22Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
23Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
24Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Swali?
1.zile nguv za kutenda miujiza rejea Mathayo 17:21-23 mnazitoaga wapi na mntumia jina ya yesu lakn ye hataki.
2.nyie msingi wenu wa dinhp umetoka kwa wayahudi kama Alivyokuwa yesu.. Rejea mathayo 14:21 je kweli hamjui mnacho abudu na kama ndio why hambdliki... Na hao watu wanao muabudu mungu ktk roho na kweli ni akina Nani.
Karibu kwa Yesu, kijana maana habari za Roho hauna ujuzi nazo na Quran imekiri, upo sawa kabisa, Mungu ni Roho, nao wamwubudio imewapasa kumwabudu katika roho na kweli, kwa hiyo ile kuvua viatu kuwaza Mahurulaini unaweza ukawa unasubiri meli airport

Quran 17:85 Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom