You believe in oneness of GOD so ur Muslim..
Nipo mkuu, ntakuchek
Mkuu mudy92, i'm not muslim
Muslim believe in allah but not in GOD, i don't wanna call ISHMAEL to tell you the difference between GOD and allah
Swali langu ni dogo tu lipo hapo juu, naomba unijibu kama unafahamu , kama hufahamu basi wataalam wa dini ya kiislam watakuja kunisaidia
Why battle with you that blaBLAAH is better than blaBLAAH or vice-versa? where by all of them are blaBLAAH to me
.made in mby city.
Thanks for the you tube.Maswali kuhusu Yesu ni nani yanajibiwa vizuri na Mwislam aliyekubali kuitafuta kweli. Marafiki Waislam tutafakari pamoja kwa upendo.
Acha uongo wee muislam. ALLAH sio Mungu.Kuna jamaa hapa alisema Wakristo Wanakariri.. Nikajiuliza kvp? But naanza kupata jibu.. Asilimia 95 ya wakristo hawapendi KIARABU kutokana na kukariri uarabu ni UISLAMU ni Msiba...
Na mm napenda kukwambia nyie wakristo Mnaamini ktk Majina lakn si ktk Ufasaha wa mwenye jina...
YEHOVA- KIEBRANIA
ALLAH- KIARABU
KYALA-KINYAKYUSA
KIFIPA-LEZA
KIZARAMO- MURUGU
KICHAGA-LUWA
Napata mashaka na Elimu yako, na ubishi unaojificha ktk kupinga Allah sio Mungu mwenyezi kumbe ww ni Mkatoliki Ulie asi..
Yesu ni Mungu.mi nakuhoji ww unipe maana ya Jina Yesu!
Acha uongo wee muislam. ALLAH sio Mungu.
Yesu ni Mungu.
Sasa wee nipe maana ya Allah na huwa anasikaje maombi yenu wakati yeye hana Masikio?[/QUOTE
We kama sio Mbwiga una mtindio... Una akili lakn huzishughulishi, hata zile za kuambiwa
Yesu ni Mungu.
Sasa wee nipe maana ya Allah na huwa anasikaje maombi yenu wakati yeye hana Masikio?
Kuna jamaa hapa alisema Wakristo Wanakariri.. Nikajiuliza kvp? But naanza kupata jibu.. Asilimia 95 ya wakristo hawapendi KIARABU kutokana na kukariri uarabu ni UISLAMU ni Msiba...
Na mm napenda kukwambia nyie wakristo Mnaamini ktk Majina lakn si ktk Ufasaha wa mwenye jina...
YEHOVA- KIEBRANIA
ALLAH- KIARABU
KYALA-KINYAKYUSA
KIFIPA-LEZA
KIZARAMO- MURUGU
KICHAGA-LUWA
Napata mashaka na Elimu yako, na ubishi unaojificha ktk kupinga Allah sio Mungu mwenyezi kumbe ww ni Mkatoliki Ulie asi..
Ni kawaida yenu watoto wa House Girl kukimbia maswali. Eti unatishia nyau, huna ubavu wewe.Nakushangaa kijana! Nikikupa Aya hapa utaanza kubisha Nakuaacha uendelee na UMBWIGA wako.. Huna unalo jua.
Thibitisha kuwa Allah ni Mungu.Toa hoja kwann sio MUNGU usiendeshe na Hisia
kama muslim wote mko hivi basi naenda ku-conclude kuwa IQ zenu ni chini ya single digit
Kuna sehem umeona nimesema mi mkristu?
Una uthibitisho kua mimi ni mkatoriki niliye asi??
Una uhakika na maana unayo ifahamu juu ya elimu??. Usiwe una jaji elimu yangu ukiwa hujui hata maana ya elimu
Hivi ninyi mi.muslim. Mna matatizo gani na uelewa wenu au bado evolution ina take place kwenu ili kuwa normal human being???
Hivi kweli allah ni mungu??
LA ILAHA ILA ALLAH maana yake nini?
(far Q all muslim)
Kwanini usingenijibu swali langu tu afu nikuache uendelee na mdaharo wenu wa ku Prove that "blahBLAAH is better than blahBLAAH" ???
Damn
.made in mby city.
Bado hujathibitisha kuwa Allah ni Mungu.kijana una ufasaha wa kuongea tena kwa kimombo Swadakata!
Jibu: ktk uislamu asili ya wanadamu wote ni Kuamini Mungu ni 1 na kunyenyekea kwake ALLAH! SO.. kila kiumbe wa kibnadamu ni Muislamu anapozaliwa lakn mazngra humfanya aache njia iliyonyooka na kufuata Batil... NADHANI umenipata Na m.mungu anajua Zaidi
Thibitisha kuwa Allah ni Mungu.
Allah sio Mungu. Kama unabisha leta ushahidi hapa. Mwenye hisia ni wewe unaye dai kuwa eti, Allah anasikia maombi yenu huku ukifahamu fika kuwa Allah wenu hana Masikio.
kijana una ufasaha wa kuongea tena kwa kimombo Swadakata!
Jibu: ktk uislamu asili ya wwanadamu wote ni Kuamini Mungu ni 1 na kunyenyekea kwake ALLAH! SO.. kila kiumbe wa kibnadamu ni Muislamu anapozaliwa lakn mazngra humfanya aache njia iliyonyooka na kufuata Batil... NADHANI umenipata Na m.mungu anajua Zaidi
Thibitisha kuwa Allah ni Mungu.
Allah sio Mungu. Kama unabisha leta ushahidi hapa. Mwenye hisia ni wewe unaye dai kuwa eti, Allah anasikia maombi yenu huku ukifahamu fika kuwa Allah wenu hana Masikio.
Utashangaa sana mataa wee. Lete uthibitisho kuwa Allah ni Mungu bana.Nakushangaa kijana! Nikikupa Aya hapa utaanza kubisha Nakuaacha uendelee na UMBWIGA wako.. Huna unalo jua.
Hamna kitu hapao zaidi ya ngonjera na twaswida zenu. Lete uthibitisho kuwa Allah ni Mungu bana na Allah wenu anasikiaje bila ya Masikio?kula AYA hii hapa....!
"nitajen nami nitawataja, na nishukuruni na wala msikufuru" quran 2:152
unaswali??