Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Ebu tuwaulize! Jina yesu kwa
kiingereza- jesus

kigiriki-yehoshua

kibrazili- bebeto

kiaarabu- yasu

Sasa jina lipi ni HALISI la huyo mungu yesu (kiswahili)

na je? YOHANA , YAHYA na JOHN haya majina yanatofauti gani...

ISA anapatkana ktk quran pekee japo imeandkwa kwa kiarabu

tujiulize..

Kuna mtu aliwahi kupewa jina YESU (Kiswahili) kbl yake?

Jibu ni HAPANA

Kwann asiwe yesu na ilihali isa ndio jina pekee lisilo kuwepo ktk biblia na linapatikana ktk QURAN
 
Ebu tuwaulize! Jina yesu kwa
kiingereza- jesus

kigiriki-yehoshua

kibrazili- bebeto

kiaarabu- yasu

Sasa jina lipi ni HALISI la huyo mungu yesu (kiswahili)

na je? YOHANA , YAHYA na JOHN haya majina yanatofauti gani...

ISA anapatkana ktk quran pekee japo imeandkwa kwa kiarabu

tujiulize..

Kuna mtu aliwahi kupewa jina YESU (Kiswahili) kbl yake?

Jibu ni HAPANA

Kwann asiwe yesu na ilihali isa ndio jina pekee lisilo kuwepo ktk biblia na linapatikana ktk QURAN


You need to grow and come out of the box:

If Isa is Jesus and May is Marium. Can you explain this to me:

19:34to top

19_34.png
Shakir
Such is Isa, son of Marium; (this is) the saying of truth about which they dispute.

Surat Maryam - The Noble Qur'an - ?????? ??????


How is this possible? An English Quran using Isa instead and place of Jesus and Marium instead and place of Mary?
 
You need to grow and come out of the box:

If Isa is Jesus and May is Marium. Can you explain this to me:

19:34to top

19_34.png
Shakir
Such is Isa, son of Marium; (this is) the saying of truth about which they dispute.

Surat Maryam - The Noble Qur'an - ?????? ??????


How is this possible? An English Quran using Isa instead and place of Jesus and Marium instead and place of Mary?

What do u want? Do u want jesus and Mary to be used.. Thats not a BIBLE... my friend in quran each of every individual named ac to his original name... MY question what are the real name of JESUS
 
What do u want? Do u want jesus and Mary to be used.. Thats not a BIBLE... my friend in quran each of every individual named ac to his original name... MY question what are the real name of JESUS
Do you know why Allah called you illiterate together with your prophet?

You can't even comprehend your own Quran!!!!

Do you know how to read and understand what you read? I bet you do not.

This verse is in English:
Such is Isa, son of Marium; (this is) the saying of truth about which they dispute.
Surat Maryam - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Now tell me:
1. Why do we have Isa and not Jesus in the English Quran?
2. What about Marium, don't you think it is ethical to use Mary instead of Marium?

That is why I said:

How is this possible for an English Quran using the name Isa instead and place of Jesus and Marium instead and place of Mary? [If Isa is Jesus and Marium is Mary]?
 
Do you know why Allah called you illiterate together with your prophet?

You can't even comprehend your own Quran!!!!

Do you know how to read and understand what you read? I bet you do not.

This verse is in English:
Such is Isa, son of Marium; (this is) the saying of truth about which they dispute.
Surat Maryam - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Now tell me:
1. Why do we have Isa and not Jesus in the English Quran?
2. What about Marium, don't you think it is ethical to use Mary instead of Marium?

That is why I said:

How is this possible for an English Quran using the name Isa instead and place of Jesus and Marium instead and place of Mary? [If Isa is Jesus and Marium is Mary]?

Jesus & mary sio majina Halisi ya Hawa watu.. Ktk quran hatubadili chochote ktk majina wala Aya Nadhan umeelewa... ISA na MARIUM ndio majina Halisi ya watu hao.
 
Nimekupa Aya ukakwepa haya wacha nikupe point na Aya usikimbie tu. Tuanze na Qur'an (7:158) inasema;Kuja kwa Nabii Muhammad s.a.w. si jambo geni kwa watu wa Kitabu maana kumebashiriwa mara nyingi katika Biblia. Hayayanathibitishwa na Qur’an inayosema hivi juu ya waaminio kwamba ni wale “Ambao wanamfuata Mtume, Nabii aliye Ummi, ambaye wao humkuta emandikwa kwao katika Taurati na Injili.Huwaamuru yaliyo mema na kuwakataza yaliyo mabaya. Labda hapo unababaika hujui hebu tazama point hii kwenye Bibilia;Isaya 28:9-13 kinasema, “Atamfundisha nani maarifa?Atamfahamisha nani habari hii? Je ni wale walioachishwa maziwa,walioondolewa matitini? Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu. ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni, huku kidogona huku kidogo. La, bali kwa midomo ya watu wageni, na kwalugha nyingine atasema na watu hawa; ambao aliwaambia, Hiindiyo raha yenu, mpeni raha yeye aliyechoka; huku ndiko kuburudika; lakini hawakutaka kusikia.“Kwa sababu hiyo neno la Bwana kwao litakuwa hivi, amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya
kanuni; huku kidogo na huku kidogo, ili waende na kuanguka nyuma, na kuvunjwa, na kunaswa, na kuchukuliwa”.
Walioachishwa maziwa ni wana wa Ismaili ambao waliakhirishwa kupata ujumbe wa Mungu. Qur'aniliteremshwa pole pole, amri juu ya amri, kama ielezavyo bishara hiyo. Baadhi ya sura zilishuka Makka na nyingine Madina (Huku kidogo na huku kidogo).
Qur'an tukufu iliteremshwa katika lugha ya Kiarabu ambayo ni “Midomo ya watu wageni na lugha nyingine” kwa wana wa Israel.











Katika Isaya 21.13-17 mmeandikwa: “Hili ni neno zito lililo juu ya Arabia. Ninyi mtalala ndani ya msitu wa Arabuni, enyi Wadedani
wenye kusafiri pamoja, Wenyeji wa nchi ya Tema walimletea maji yule aliyekuwa na kiu, walimlisha mkate wao yule aliyekimbia.
“Kwani walizikimbia hizo panga, huo upanga uliofutwa, na huo uta uliopindwa, na hayo mazito ya vita. Kwani yeye Jehova
ameniambia neno hili, katika muda wa mwaka mmoja, kwa kuandama hesabu ya miaka ya mwenye kuajiriwa, huo utukufu. Kama hujaridhika pia soma hapa chini.
The Prophet who will come from the lands and "tents of Kedar" and "lands of Teman". Kedar and Teman (also called "Tema" in the Bible) are two of Ishmael's sons: Genesis 25:13-15. Hapo nadhani huna ujanja au bado? BTW; The "Kingdom of God" here means THE COVENANT & RELIGION OF GOD on earth to the new nation. Hapo ufalme untaok aIsrael unaenda uarabuni.
Kwanini unatumia Biblia kuthibitisha Quran!? wakati huwa mnadai Biblia imechakachuliwa, ngojea nije kwa mtindo mwingine naona u mgumu kuelewa sana...

Hata mama yake Yesu aliogopa alipo muona Malaika au alifurahi, na akawa hana wasi wasi? Yani wewe unadhani Gabriel hatishi? We unafikiria nani aliye wamaliza umati wa Louti kama si Gabriel, aliwamaliza kwa ncha ya mbawa zake, kasome kijana Gabriel sio mchezo akigusa dunia kwa ncha ya mbawa zake pale kahamaki, basi dunia inasambaa kabisa. Sa we unadhani Mitume wote walimuona Gabriel hawajaogopa pale mwanzo?
Kwani mama yake na Yesu alienda kwa mpiga ramli kuthibitisha!? au alipata homa!? Gabriel huwa anatokea kwa mtindo huu

Luka 1:19 Malaika akamjibu akamwambia, Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele za Mungu; nami nimetumwa niseme nawe, na kukupasha habari hizi njema

Luka 1:30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.

Lakini yeye Jibril amekuja kwa style tofauti kabisa ya kukaba mtu...
Ushahidi maneno yake Warqah anamuliza Mtume Muhammad malaika aliye muona kama aliye muona Prophet Mussa. Sa unataka ushahidi gani tena? Au Warqah alimuliza nini, hebu sema wewe kama nayo yasema mimi ni uwongo. Na Mtume Muhammad akajibu nakusema ndio. Warqah akasema ningekuw akijana ningekuwa mkono wako wa kulia, kusaidia kufikisha ujumbe ulio letewa na Mungu kwa nia ya Gabriel.
Nataka maneno ya Muhammad akimsimulia Waraqa kwamba alitokewa na Jibril kama unavyodai, au Malaika kama unavyodai... kwasababu ni Waraqa ndiye aliyemwambia yule ni malaika ndio hofu ikamtoka Muhammad...

Nilikuwa nakusudia vitabu vya dini ya kikristo, sio lazima iwe bibilia, na alikuwa ni priest. Sa uwongo wangu uko wapi? Kama nilitype Bibilia inawezekana by mistake tu, lakini nilikuwa nakusudia vitabu vya kikristo, kuna vitabu vingi tu sio lazima viwe bibilia.
Kitabu kipi cha kikristo Waraqa alichotunga!? alikuwa priest kwenye Hajarul Aswad au!?

Tatizo lako kijana hujui Qur'an Mtume Muhammad alianza kushushiwa wapi? FYI Qur'an ailianza kushushwa wakati Mtume Muhamamd yuko Pangoni katika mlima Hira (Jabal Hira). HAPO WEWE NDIO UNANIZULIA UWONGO NAJARIBU UWE MKWELI SIKU ZOTE, WACHA UWONGO.
Wewe si umesema quran yote ilishushwa pangoni au!? unaanza kubadilika tena!? wacha kuzuwa uwongo...

Hii Aya inahusika nini na point yetu hapa, naona unakimbilia kwingine kama kawaida yako. Hebu wewe tueleze umeiweka hii Aya kwa sababu ipi? Inahusika nini na Mtume kupewa utume hapa? Hii Aya inaongelea mambo mengine kabisa na wewe umekuja ipachika. Ndio siku zote nasema wakristo mmekaa kama walevi, na wavuta bangi. Hamjui wapi mnakwenda.

Wewe umedai quran ilishushwa pangoni, ndio nikaweka hiyo aya, nikakuuliza inamaana na hii aya inayohusiana na wake wa Muhammad ilishushwa pangoni!? naona umebadilika tena, mara ya kwanza ulidai quran yote ilishushwa pangoni, ila sasa naona unabadilika tena...
Sa we akilini kwako Yesu alizaliwa kwenye Hospital? Hebu tuambie Hospital ipi alizaliwa au Palace gani alizaliwa au nyumba gani aliyo zaliwa. Si bora hata waislam tunasema alizaliwa chini ya mtende. Nyie wakristo mnasema alizaliwa kwenye zizi la ngo'mbe:wave:
Hapo nilipoweka red aliyezaliwa chini ya mtende ni Isa, hapo nilipoweka blue huyo ndiye Yesu Mnazareti sasa...
 
Kama utakuwa hudanganyi makusudi basi wewe utakuwa ni mjinga [hujui] kwa kiwango kikubwa sana

Kwanini nasaema hivyo,nasema hivyo kwasababu kuu mbili

1;Umeleta maelezo ambayo wewe unayachukulia kama ushahidi wa kile ambacho nyie Waislam mnakifanya kuwa ni sahihi,kwa maelezo mengine huo ushahidi uliouleta hapo unaamini kabisa ni uhahidi stahiki na wa kuaminika,kwa maneno mengine unaitumia Biblia kama ushahidi wa kuthibitisha yale ambayo yameandikwa kwenye Quran,kwa maneno mengine Biblia ni kitabu sahihi na hakina shaka kabisa

Ni kwanini huwa mnapiga makelele kudai kimechafuliwa bila hata ya kuwa na ushahidi halafu hapo hapo mnakitumia kama uthibitisho wa madai ya imani yenu?

2;Mstari wa Yoshua ulioutoa unadhihirisha vile ambavyo hata hujui mstari ulioutoa unazungumzia nini,kwanza wewe hoja yako inahusu nyie kuzun guka mara 7 kwenye jiwe jeusi huko Makah kitendo ambacho ni cha ibada,kifungu cha maandiko matakatifu kutoka kwenye Biblia ulichokiweka hapo hakihusiani na ibada bali kinahusu upelelezi wa Waisraeli kwenye mji ambao walikuwa wamepewa na Mungu

Kwa maneno mengine kuuzunguka mji ule mara saba hakikuwa ni kitendo ambacho kinahusiana na ibada yoyote ile bali kilikuwa ni kitendo cha upelelezi ili kujiandaa kuushambulia mji ule

Sasa unahusishaje kitendo hicho na ibada zenu? Halafu kuuzunguka mji mara saba kunahusiana nini na kulizunguka jiwe jeusi mara saba?

Hii inaonesha ni kwa namna gani vile ambavyo nyie mko desparate na imani yenu hadi mnajitahidi kutafuta ushahidi ambao hata hauhusiani na ibada yenu na kuufanya kama ushahidi,hii inaonesha ujinga mkubwa sana mlionao kwenye hili

Kwanini msikubali tu kuwa imani yenu inajitegemea bila kuhitaji ushahidi kutoka kwingine?
dogo mimi si mlevi nimeisha kuonyesha bibilia inamkubali kama Roho mtakatifu ndio Gabriel. Hizo sijui kelele unazo piga ni dalili wazi umeshindwa kubisha sababu ni bibilia ndio imekubali kwamba huyo Gabriel ndio Roho mtakatifu. Sijui sifahamu sijui nini sidhani wewe unaifahamu bibilia kuliko walio toa hizo point. Lazima ufahamu ukweli siku zote unauma na haswa kama umebaki kuimba 1+1+1=1 hata mtoto mdogo anafahamu wazi ni 3.
Naona unalalamika waislam kurefer Bibilia mbona nyie mna refer Qur'an sa kosa liko wapi? Nyie si kila siku mnampinga Mtume Muhammad kama si mtume mbona mna refer Qur'an kwenye zile point Qur'an inazungumzia mnayo taka kuyasikia nyie. Sisi tunasema bibili aimechafuliwa sio sisi tu hata Prophet Mussa Alisha yasema hayo, sa mbona hujamlalamikia. Hivi Bibilia iliandikwa na Yesu? Au ni kitabu cha Yesu? Sisi tunajua Injili ndio kitabu cha Yesu, hio Bibilia ina refer baadhi ya maneno ya Injili na mengine yako sawa. Ambayo yamebadilishwa kwa faida ya Paulo tunayapinga sababu Paulo lengo lake ilikuwa ni kuwapoteza watu wasimjue Mungu, lazima ufahamu si maneno yote ya Bibilia aliyo ya copy Paulo kutoka kwenye Injili ya Yesu aliweza kuyabadilisha huyo Paulo na hayo ndio tuna refer.
 
Kwanini unatumia Biblia kuthibitisha Quran!? wakati huwa mnadai Biblia imechakachuliwa, ngojea nije kwa mtindo mwingine naona u mgumu kuelewa sana...


Kwani mama yake na Yesu alienda kwa mpiga ramli kuthibitisha!? au alipata homa!? Gabriel huwa anatokea kwa mtindo huu

Luka 1:19 Malaika akamjibu akamwambia, Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele za Mungu; nami nimetumwa niseme nawe, na kukupasha habari hizi njema

Luka 1:30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.

Lakini yeye Jibril amekuja kwa style tofauti kabisa ya kukaba mtu...

Nataka maneno ya Muhammad akimsimulia Waraqa kwamba alitokewa na Jibril kama unavyodai, au Malaika kama unavyodai... kwasababu ni Waraqa ndiye aliyemwambia yule ni malaika ndio hofu ikamtoka Muhammad...


Kitabu kipi cha kikristo Waraqa alichotunga!? alikuwa priest kwenye Hajarul Aswad au!?


Wewe si umesema quran yote ilishushwa pangoni au!? unaanza kubadilika tena!? wacha kuzuwa uwongo...


Wewe umedai quran ilishushwa pangoni, ndio nikaweka hiyo aya, nikakuuliza inamaana na hii aya inayohusiana na wake wa Muhammad ilishushwa pangoni!? naona umebadilika tena, mara ya kwanza ulidai quran yote ilishushwa pangoni, ila sasa naona unabadilika tena...

Hapo nilipoweka red aliyezaliwa chini ya mtende ni Isa, hapo nilipoweka blue huyo ndiye Yesu Mnazareti sasa...

umeulizwa Swali...
Jina kamili la YESU ni lipi ikiwa kila lugha amepewa jina Mf. Jesus(eng), bebeto(kibrazil), yehoshua(kigriki) yasu(kiarabu) nk... Sasa mtuambie jina lake nan? Na ikiwa ktk quran ndipo jina pekee la ISA a.s linapatkana na halibadliki ktk lugha yeyote ile panapo tafsiriwa quran sasa kwann m bishe kuwa YESU, JESUS,BEBETO,YEHOSHUA,YASU sio ISA
 
Hakuna mahusiano kati ya jina Yesu na Issa

Yesu Kiarabu ni Yesho na sio Issa

Yesu Kiebrania ni Ye'hoshua
Yesu Kigiriki ni Ihesus
Yesu Kiingereza ni Jesus

Usidanganye watu

Unaweza kuona kuna mahusiano ya karibu kati ya jina hilo kwenye lugha za Kiarabu,Kiebrania na Kiswahili kwasababu kuna mahusiano,mahusiano yenyewe ni kuwa Kiarabu na Kiebrania vina mahusiano ya karibu na Kiswahili kimetokana na Kiarabu

Yeho'shua-Kiebrania
Yesho-Kiarabu
Yesu- Kiswahili

Ukiangalia jina la Yesu Kiingereza na Kigiriki linakuwa kama linafanana kwasababu jina la Yesu kwa Kiingereza lilitokana na Jina hilo kwa Kigiriki na hata Agano Jipya liliandikwa kwa Kigiriki kwa mara ya kwanza

Ihesus-Kigiriki
Jesus-Kigiriki

Nakushauri umtafute Isa ni nani na sio kusingizia ni Yesu!
Wewe dogo unatakiwa urudi shule ukasome Yesu alipokuwepo duniani hakuwa anaitwa Jesus au Yesu, alikuw akitwa Eashoa' M'sheekha na lazima ufahamu yeye na watu wake walikuwa hawajui kizungu wala Kiswahili. Sa hayo majina mmeyatoa wapi? Yesu alikuwa akiongea lugha ya ki Aramaic, which was a dialect of Hebrew. Hebrew and Arabic. Kuna maneno mengi sana yameingiliana katika semitic languages; and there are numerous common words and phrases used in both Hebrew and Arabic. Naturally these words are pronounced somewhat differently in different places separated by distance, both geographic and chronological. So the Hebrew word, shalom (= peace) becomes the Arabic salam and the Hebrew akh (= brother) is the same as Arabic akh etc.
The point to note is that Hebrew and Arabic are sister languages with almost the same grammar and similar vocabulary. Because, the original people who spoke these languages, were derived from the same stock of ancestors and lived in proximity. Kwa hio dogo jina la Yesu kwa lugha yao haswa alijulikana kama warabu wanavyo muita Isa Al Masih (عيسى المسيح ) na kilugha yao Jesus Christ in the Ancient Aramaic language is: Eashoa' M'sheekha, na wawekeni mnavyo muita nyie mnao sema eti Mungu, tukiwambia nyie vichaa mnabisha sa hi ni lugha yake, sikieni wanamuita nani Pronouncing the name of the Lord in the Aramaic language
 
umeulizwa Swali...
Jina kamili la YESU ni lipi ikiwa kila lugha amepewa jina Mf. Jesus(eng), bebeto(kibrazil), yehoshua(kigriki) yasu(kiarabu) nk... Sasa mtuambie jina lake nan? Na ikiwa ktk quran ndipo jina pekee la ISA a.s linapatkana na halibadliki ktk lugha yeyote ile panapo tafsiriwa quran sasa kwann m bishe kuwa YESU, JESUS,BEBETO,YEHOSHUA,YASU sio ISA
Jina Yesu linamaana, sasa Isa ndio nini!? 2013 amejibu vema nimeona...
 
Last edited by a moderator:
Kwanini unatumia Biblia kuthibitisha Quran!? wakati huwa mnadai Biblia imechakachuliwa, ngojea nije kwa mtindo mwingine naona u mgumu kuelewa sana...
Na nani anaye sema haijachakachuliwa, hebu mpigie simu Prophet Mussa mulize hilo swali, kwanini na yeye alisema itachakachuliwa? Hilo la ku refer Bibilia sa ajabu iko wapi mbona kuna watu wengi wanapenda kuwasikia walevi wanasema nini, hata kama wanajua wazi wale walevi hawana akili, lakini kuna wakati flani wanaongea maneno yanakuwa ya kweli sababu wanayatoa walio yaficha:wave:


Kwani mama yake na Yesu alienda kwa mpiga ramli kuthibitisha!? au alipata homa!? Gabriel huwa anatokea kwa mtindo huu

Luka 1:19 Malaika akamjibu akamwambia, Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele za Mungu; nami nimetumwa niseme nawe, na kukupasha habari hizi njema

Luka 1:30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.

Lakini yeye Jibril amekuja kwa style tofauti kabisa ya kukaba mtu...
Hata mimi nashangaa mbona Gabriel kina Ibrahim na Mussa na kina Nouh ALIWATOKEA kwa style ingine tofouti na ya Yesu? Mana ya Yesu ni yeye ndio kamwambia mama yake Yesu atabeba mimba na kuzaa siku ile ile? Mbona kwa kina Ibrahim hakufanya vile? Hivi we hujii kuna wengine walisha sema Yesu ni mtoto wa haramu? Na wengi tu walimpinga na wakafikia kutaka kumpigilia misumari kwenye msalaba, mbona wa kina Ibrahim na Mussa na Muhammad wameheshimiwa na wafuasi wao, kwanini unadhani? Afu hio ya kumuita Mungu hivi nyie mna akili au hamna, mana bibilia zenu zinasema Mtu hawezi kumuona Mungu akaishi, sa hapo mnaipinga bibilia aa mnaikubali?

Nataka maneno ya Muhammad akimsimulia Waraqa kwamba alitokewa na Jibril kama unavyodai, au Malaika kama unavyodai... kwasababu ni Waraqa ndiye aliyemwambia yule ni malaika ndio hofu ikamtoka Muhammad...
Tatizo lako wewe hufamu nimeisha kuwekea maneno ya Warqah anamuliza Mtume Muhammad, anasema Malaika ulio muona kama aliye muona Mussa? Sa kwanini Warqah ana mhoji Mtume Muhammad maneno hayo? mbona unakwepa ni nani kasema kamuona malaika ni Warqah au Mtume Muhammad.


Kitabu kipi cha kikristo Waraqa alichotunga!? alikuwa priest kwenye Hajarul Aswad au
Alikuwa na translate Gospel ya Jesus kwa lugha ingine, nadhani umefahamu sasa.


Wewe si umesema quran yote ilishushwa pangoni au!? unaanza kubadilika tena!? wacha kuzuwa uwongo....

Wewe umedai quran ilishushwa pangoni, ndio nikaweka hiyo aya, nikakuuliza inamaana na hii aya inayohusiana na wake wa Muhammad ilishushwa pangoni!? naona umebadilika tena, mara ya kwanza ulidai quran yote ilishushwa pangoni, ila sasa naona unabadilika tena......
Wewe naona umeishiwa sasa. Nilichosema Surah ya Iqra bism rabekya ndio ilishushwa kwanza, alishushiwa Mtume na Gabriel kabla ya hata kwenda kwa Warqa. Nilicho sema ile sura alishushiwa Mtume wakati yuko Pangoni sijasema Qur'an yote, wapi nilisema Qur'an yote imeshushiwa kule. Afu kama huna point kubali umeshindwa sio unizulie uwongo.


Hapo nilipoweka red aliyezaliwa chini ya mtende ni Isa, hapo nilipoweka blue huyo ndiye Yesu Mnazareti sasa...
Sawa lakini weka akilini Yesu jina lake ni Issa Al Masih na kwa kilugha yake ni Eashoa' M'sheekha. Yani hilo jina la Yesu au Jesus wala asinge wafahamu mnamuita yeye sababu jina lake halifanani kabisa na nyie mnavyo muita. Yesu alikuwa hajui kizungu wala kiswahili sa angewafahamu vipi? Bora hata Qur'an angekubaliana nayo akasema inamtaja jina lake haswa.
 
But more than 16 million covert in islam, every year in Africa. Hio ya Al Jazeera niliona live kabisa wanasema karibu waislam 6 Million wameingia dini ya kikrsto katika miaka 5 ya nyuma, sa we tazama tofouti hio 16 Million ni Africa tu kwa mwaka mmoja, wacha USA, Europe, Asia na yani dogo we bora unyamaze tu. Itafikia siku Europe yote watkuwa waislam kwa speed ya uislam unavyo kwenda.
 
But more than 16 million covert in islam, every year in Africa. Hio ya Al Jazeera niliona live kabisa wanasema karibu waislam 6 Million wameingia dini ya kikrsto katika miaka 5 ya nyuma, sa we tazama tofouti hio 16 Million ni Africa tu kwa mwaka mmoja, wacha USA, Europe, Asia na yani dogo we bora unyamaze tu. Itafikia siku Europe yote watkuwa waislam kwa speed ya uislam unavyo kwenda.
https://www.facebook.com/video.php?v=10202097835962326&set=o.127770347301022&type=2&theater
 
Jina Yesu linamaana, sasa Isa ndio nini!? 2013 amejibu vema nimeona...

tuanze na maana ya YESU na mm nikupe ushahidi KUNTU kuwa issa au YESU ni Mwekunduu... Haya nipe Maana ya Yesu!
 
Last edited by a moderator:
Kabla ya kukujibu hayo naomba kwanza ukaisome Bibilia yako vizuri ujuwe imetoka kwa Mungu au kwa binadamu kama wewe. Biblia hizo mashuhuri zimetengenezwa na binadamu, hili ni jambo la ajabu sana.
Kisha ujiulize je kuna Qur'an tofauti zilizo tungwa na binadamu? Ukapata jibu ambalo si la kukatalika hakija tungwa na mtu. Kwani vitabu hivi na baadhi ya makala zingine ni chanzo cha mafundisho ya dini ya kikristo wanayo yategemea. Ukiwa una soma biblia zote hizo nne unajuwa takuta nini? Biblia ya Matthew inasema nini kuhusu Yesu inasema yafuatayo; Nabii Issa (Yesu) anatokana na kizazi cha Ibrahiim na Daud. kwa hiyo ni nani huyu Yesu? Si katika binadamu? Kweli yeye ni binadamu. Biblia ya Luka inasema; Anamiliki nyumba ya Yaqub milele, na hakuna mwisho wa milki yake. Biblia ya Mark inasema; Hii ni sababu ya family ya Jesus wanauko wa ki Mungu (Yesu)mtoto wa Mungu. Biblia ya Yohana inasema; Mwanzo ilikuwa ni neno,na ilikuwa ni neno kwa Mungu, lilikuwa neno la Mungu, na maana yake ni kwamba; Mwanzo alikuwa Yesu,na Yesu wa Mungu na Yesu ndie Mungu. Aisay hapo ukijiuliza katika nafsi yako, kuna tofauti kubwa katika biblia hizi nne kuhusu Yesu. Je yeye ni binadamu au mtoto wa Mungu au Mfalme au yeye ni Mungu. Na uhakika utakuwa una shaka kuhusu suala hili,wala usipate jibu lake. Sabubu ni uwongo mtupu:A S wink:


Kuhusu swali lako nadhani tumeisha kuelezeni sana humu Mitume wote wa Mungu wao walikuwa waislam, na walisali wapi kila mmoja alikuwa akisali kwa kufata Mungu wapi wanatakiwa waelekeze uso wake. Lazima watu wafahamu ya kuwa uislamu si dini iliyopewa jina na muasisi fulani na kusema kuwa wafuasi wake waitwe waislamu, isipokuwa Uislamu jina hili ukilitafsiri kwa lugha y kiswahili ni amani, kujisalimisha, kunyenyekea ndiyo maana yake. Mtume Muhammad si muanzishaji wa dini hii, na amelezea wazi kuwa uislamu mana yake (kujisalimisha kwa Mungu) toka kuumbwa kwa ulimwengu. Allah aliumba ulimwengu ili vitu vyote vimtii na kujisalimisha kwake, lakini viumbe hawa wawili (majini na watu) walipewa khiari na matamanio, na huo ndiyo mtihani wenyewe tulioumbiwa nao, ambao watu tunaelekezana, kuelimishana, kujadiliana, kuzozana mpaka tunafikia hata kugombana na kutoana roho katika mambo hayo. Watu walioishi mwanzo walikuwa na mfumo wao wa maisha, walipewa muongozo wa kuishi na Mungu, kwa kuwapelekea mjumbe kutoka kwake. Vitabu vya dini havipingani kabisa kuwa Adam na Hawa(Eva) walipewa muongozo na Allah na kuambiwa wasiukaribie mti huo walioukatazwa, kwa kuwa walikuwa na khiari na matamanio ndiyo yaliyowafanya wapinge sheriai hiyo na kutokea yaliyotokea. Kwa kuwa walikuwa wanyenyekevu, wakaomba msamaha na mwisho wakasamehewa, siyo kama Ibilisi(Shetani) ambaye hakuwa mnyenyekevu na kuangamia. Watu wasifikirie Uislamu ni dini ya Mtume Muhammad na kwa ajili ya warabu tu. Ukisoma historia ya kiislamu utumkuta Bilal (R.A) muadhini wa mtume ambaye alikuwa Mhabesh(Mu Ethopia), tunamsoma Salman Farsi (R.A) ambaye ni Mfarsi(Muiran), kuna wakina Bukhari watu kutoka sehemu za Urusi na Mayahudi wengi tu waliosilimu. Mtume aliifikisha dini hii kwa wafalme wengi tu wa pande za ulimwengu. Kwa hiyo Uislamu ulikuwepo kutoka kumbwa kwa dunia na mpaka mwisho wake. Dini nyingine huenda zilikuwa ni za usahihi kutoka kwa Allah ila baada ya kupita muda baadhi ya watu waliharibu dini hizo ikiwa kwa ujinga au maslahi yao binafsi haswa huyo Paulo mtume wawakristo. Ikiwa Allah kaumba ulimwengu na vilivyomo ndani yake hivyo hahitaji chochote kutoka kwetu, isipokuwa unyenyekevu wetu tu, na huo ndiyo Uislamu wenyewe. Na kitu kikubwa usamfananishe Mungu na kitu chochote hapa utakuwa umeingia kwenye madhambi makubwa mno hayana toba. Na huo ndiyo ulikuwa ujumbe wa Mitume wa Mungu. Uislamu si jina la mtu au sehmu au kitu, sipokuwa ni kitendo cha mtu kujisalimisha, kumnyenyekea Mungu na kufata mfano wa Mitume wote wa Mungu ambao walikuwa wakimtii Mungu, sijawahi kuona Paulo kamtii Mungu zaidi ya kuwapoteza binadamu wasimtii Mungu. Hasa hio ya kumfananisha Mungu kawa Binadamu. Paulo alimpa sifa hii Yesu kwa sababu moja kubwa; Alitaka kupata wafuasi wengi miongoni mwa Warumi na Wagiriki (watu wa mataifa). Wajentaili (Wagiriki na Warumi) walikuwa ni wapagani waliokuwa wakiabudu miungu wengi wenye historia ndefu iliyojaa imani za ajabu ajabu zisizokuwa na hoja wala dalili za kiakili. Miungu wengi wa kipagani wa wakati ule - Mithrus, Adonis, Attis na Osiris ndio kawaingiza kwenye dini yake mpya ya kikristo. Ya Mungu baba, Mungu mwana, na Mungu roho mtakatifu Poleni sana wakristo.
Waache wakristo na imani yao kila dini ina mafundisho potofu juu ya dini nyingine kwa hiyo kila MTU ashike chake ucwapotoshe watu kwa mafundisho yako, kama ni mbinguni au peponi itajulikana ck ya mwisho, binafsi cjaona dini yoyote yenye maana zaidi ya upotoshaji tu
 
But more than 16 million covert in islam, every year in Africa. Hio ya Al Jazeera niliona live kabisa wanasema karibu waislam 6 Million wameingia dini ya kikrsto katika miaka 5 ya nyuma, sa we tazama tofouti hio 16 Million ni Africa tu kwa mwaka mmoja, wacha USA, Europe, Asia na yani dogo we bora unyamaze tu. Itafikia siku Europe yote watkuwa waislam kwa speed ya uislam unavyo kwenda.

Huyo Tanzanialaw Hana jipya kwanza sijui kama DINI yake anaijua Vzr!
Analeta page za FB bila kuja na Aya za Biblia,Majarida yenye Misimbo Ya maana.
 
tuanze na maana ya YESU na mm nikupe ushahidi KUNTU kuwa issa au YESU ni Mwekunduu... Haya nipe Maana ya Yesu!
Maswali kuhusu Yesu ni nani yanajibiwa vizuri na Mwislam aliyekubali kuitafuta kweli. Marafiki Waislam tutafakari pamoja kwa upendo.
 
Last edited by a moderator:
Huyo Tanzanialaw Hana jipya kwanza sijui kama DINI yake anaijua Vzr!
Analeta page za FB bila kuja na Aya za Biblia,Majarida yenye Misimbo Ya maana.
Interview about why a Saudi woman converted to Christianity and what she found in Jesus that she didn't find in Islam


 
Last edited by a moderator:
But more than 16 million covert in islam, every year in Africa. Hio ya Al Jazeera niliona live kabisa wanasema karibu waislam 6 Million wameingia dini ya kikrsto katika miaka 5 ya nyuma, sa we tazama tofouti hio 16 Million ni Africa tu kwa mwaka mmoja, wacha USA, Europe, Asia na yani dogo we bora unyamaze tu. Itafikia siku Europe yote watkuwa waislam kwa speed ya uislam unavyo kwenda.
Allah is not the God of the Bible. 1 John 2:22 - He is antichrist, that denies the Father (God) and the Son (Jesus).





 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom