Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Nimekupa Aya ukakwepa haya wacha nikupe point na Aya usikimbie tu. Tuanze na Qur'an (7:158) inasema;Kuja kwa Nabii Muhammad s.a.w. si jambo geni kwa watu wa Kitabu maana kumebashiriwa mara nyingi katika Biblia. Hayayanathibitishwa na Qur'an inayosema hivi juu ya waaminio kwamba ni wale "Ambao wanamfuata Mtume, Nabii aliye Ummi, ambaye wao humkuta emandikwa kwao katika Taurati na Injili.Huwaamuru yaliyo mema na kuwakataza yaliyo mabaya. Labda hapo unababaika hujui hebu tazama point hii kwenye Bibilia;Isaya 28:9-13 kinasema, "Atamfundisha nani maarifa?Atamfahamisha nani habari hii? Je ni wale walioachishwa maziwa,walioondolewa matitini? Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu. ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni, huku kidogona huku kidogo. La, bali kwa midomo ya watu wageni, na kwalugha nyingine atasema na watu hawa; ambao aliwaambia, Hiindiyo raha yenu, mpeni raha yeye aliyechoka; huku ndiko kuburudika; lakini hawakutaka kusikia."Kwa sababu hiyo neno la Bwana kwao litakuwa hivi, amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya
kanuni; huku kidogo na huku kidogo, ili waende na kuanguka nyuma, na kuvunjwa, na kunaswa, na kuchukuliwa".
Walioachishwa maziwa ni wana wa Ismaili ambao waliakhirishwa kupata ujumbe wa Mungu. Qur'aniliteremshwa pole pole, amri juu ya amri, kama ielezavyo bishara hiyo. Baadhi ya sura zilishuka Makka na nyingine Madina (Huku kidogo na huku kidogo).
Qur'an tukufu iliteremshwa katika lugha ya Kiarabu ambayo ni "Midomo ya watu wageni na lugha nyingine" kwa wana wa Israel.











Katika Isaya 21.13-17 mmeandikwa: "Hili ni neno zito lililo juu ya Arabia. Ninyi mtalala ndani ya msitu wa Arabuni, enyi Wadedani
wenye kusafiri pamoja, Wenyeji wa nchi ya Tema walimletea maji yule aliyekuwa na kiu, walimlisha mkate wao yule aliyekimbia.
"Kwani walizikimbia hizo panga, huo upanga uliofutwa, na huo uta uliopindwa, na hayo mazito ya vita. Kwani yeye Jehova
ameniambia neno hili, katika muda wa mwaka mmoja, kwa kuandama hesabu ya miaka ya mwenye kuajiriwa, huo utukufu. Kama hujaridhika pia soma hapa chini.
The Prophet who will come from the lands and "tents of Kedar" and "lands of Teman". Kedar and Teman (also called "Tema" in the Bible) are two of Ishmael's sons: Genesis 25:13-15. Hapo nadhani huna ujanja au bado? BTW; The "Kingdom of God" here means THE COVENANT & RELIGION OF GOD on earth to the new nation. Hapo ufalme untaok aIsrael unaenda uarabuni.



Hata mama yake Yesu aliogopa alipo muona Malaika au alifurahi, na akawa hana wasi wasi? Yani wewe unadhani Gabriel hatishi? We unafikiria nani aliye wamaliza umati wa Louti kama si Gabriel, aliwamaliza kwa ncha ya mbawa zake, kasome kijana Gabriel sio mchezo akigusa dunia kwa ncha ya mbawa zake pale kahamaki, basi dunia inasambaa kabisa. Sa we unadhani Mitume wote walimuona Gabriel hawajaogopa pale mwanzo?

Ushahidi maneno yake Warqah anamuliza Mtume Muhammad malaika aliye muona kama aliye muona Prophet Mussa. Sa unataka ushahidi gani tena? Au Warqah alimuliza nini, hebu sema wewe kama nayo yasema mimi ni uwongo. Na Mtume Muhammad akajibu nakusema ndio. Warqah akasema ningekuw akijana ningekuwa mkono wako wa kulia, kusaidia kufikisha ujumbe ulio letewa na Mungu kwa nia ya Gabriel.

Nilikuwa nakusudia vitabu vya dini ya kikristo, sio lazima iwe bibilia, na alikuwa ni priest. Sa uwongo wangu uko wapi? Kama nilitype Bibilia inawezekana by mistake tu, lakini nilikuwa nakusudia vitabu vya kikristo, kuna vitabu vingi tu sio lazima viwe bibilia.

Tatizo lako kijana hujui Qur'an Mtume Muhammad alianza kushushiwa wapi? FYI Qur'an ailianza kushushwa wakati Mtume Muhamamd yuko Pangoni katika mlima Hira (Jabal Hira). HAPO WEWE NDIO UNANIZULIA UWONGO NAJARIBU UWE MKWELI SIKU ZOTE, WACHA UWONGO.

Hii Aya inahusika nini na point yetu hapa, naona unakimbilia kwingine kama kawaida yako. Hebu wewe tueleze umeiweka hii Aya kwa sababu ipi? Inahusika nini na Mtume kupewa utume hapa? Hii Aya inaongelea mambo mengine kabisa na wewe umekuja ipachika. Ndio siku zote nasema wakristo mmekaa kama walevi, na wavuta bangi. Hamjui wapi mnakwenda.

Sa we akilini kwako Yesu alizaliwa kwenye Hospital? Hebu tuambie Hospital ipi alizaliwa au Palace gani alizaliwa au nyumba gani aliyo zaliwa. Si bora hata waislam tunasema alizaliwa chini ya mtende. Nyie wakristo mnasema alizaliwa kwenye zizi la ngo'mbe:wave:
Mkuu naomba kuuliza-
nyinyi hamna Yesu mtajuaje alipozaliwa,?
nyinyi hamna Injili mtajuaje alipozaliwa,?
nyinyi hamtumii jina pekee la mwana wa mungu mtajuaje alipozaliwa,?
Muhammad hakuwahi kuwa mkristo wala kuujua ukristo mtajuaje alipozaliwa Yesu. ?
Mume wa Mariam (Yusufu) hakujulikana kwenu mtamjuaje YEsu alipozaliwa?
Ukristo ulikuwa wakwanza kuwepo, nyinyi mmekuja mkaanza upya mtajuaje alipozaliwa?
Nyinyi mnaabudu mkitazama kaa'ba mtajuaje wale wanaoabudu katika roho nakweli.
Nyinyi mji mtakatifu ni Mecca mtaijuaje Yerusalem?
Mtategemea supporting documents zipi?
Muhammad ametaja mbingu iliyotofauti kabisa na ile aliyoitaja Yesu, je nyinyi mtajuaje alipozaliwa?
Bibilia haiwajui nyinyi wala haiwataji: angali nyinyi mnaiwataja wakristo na wayahudi? Mtawezaje kutamka kwa ujasiri ya kuwa mnajua Mahali Yesu amezaliwa???
Kubwa kuliko yote ni kwa.. Muhammad hakumjua Yesu : wafuasi wake mtamjuaje??
 
@Adiosamigo ningeomba tusibishane kama walevi, NAomba uniwekee Ushahidi wa namna Mtume alivyoshushiwa Verse wakati aliporudi mgonjwa akitokea pangoni, akiwa na khadija na huyo waraqah. Niwekee hapa tafadhali, kisha uanze kutoa Darsa...
Point mmoja we kama uko sawa akilini mwako nani aliye muliza mwenzake umemuona malaika kama aliye muona Prophet Mussa? Warqah au Mtume Muhammad? Na ilikuwa kuwa vipi mpaa Warqah aliingize neno la malaika bila ya Mtume Muhammad kumtajia kamuona? Hakuna verse iliyo shushwa pale zaid ya
996012_168487810014179_1565909423_n.jpg
 
Mkuu naomba kuuliza-
nyinyi hamna Yesu mtajuaje alipozaliwa,?
nyinyi hamna Injili mtajuaje alipozaliwa,?
nyinyi hamtumii jina pekee la mwana wa mungu mtajuaje alipozaliwa,?
Muhammad hakuwahi kuwa mkristo wala kuujua ukristo mtajuaje alipozaliwa Yesu. ?
Mume wa Mariam (Yusufu) hakujulikana kwenu mtamjuaje YEsu alipozaliwa?
Ukristo ulikuwa wakwanza kuwepo, nyinyi mmekuja mkaanza upya mtajuaje alipozaliwa?
Nyinyi mnaabudu mkitazama kaa'ba mtajuaje wale wanaoabudu katika roho nakweli.
Nyinyi mji mtakatifu ni Mecca mtaijuaje Yerusalem?
Mtategemea supporting documents zipi?
Muhammad ametaja mbingu iliyotofauti kabisa na ile aliyoitaja Yesu, je nyinyi mtajuaje alipozaliwa?
Bibilia haiwajui nyinyi wala haiwataji: angali nyinyi mnaiwataja wakristo na wayahudi? Mtawezaje kutamka kwa ujasiri ya kuwa mnajua Mahali Yesu amezaliwa???
Kubwa kuliko yote ni kwa.. Muhammad hakumjua Yesu : wafuasi wake mtamjuaje??
Hivi Yesu na Jesus na Issa ni watu tofouti hao? Kama ni tofouti basi lazima kati yangu na wewe kuna mmoja hayuko sawa kiakili.
 
Mimi nipotee? Sitapotea hata siku moja na uhakika nacho kisema na siwezi hata siku moja kumdharau Mungu wangu kumfananisha na binadamu. Mtume Muhammad ni Mtume wa Mungu, na vitabu vyenu nimewawekea hapo kuonyesha dalili zote ni Mtume wa Mungu. Tazama nakuongezea kama hujaridhika na point za mwanzo. Hii na uhakika itakuingiza kwenye Uislam. Kama wewe una akili sawa sawa huna kasoro kichwani kwako. Tuanze kutazama point hizo unajua huwa mnacheka nyie wakristo eti waislam wanaenda abudu mawe, sa tazama Bibilia zenu zinasema nini. Tuanze na point.

Islam's Practices are 100% supported in the Bible:

  1. Circumambulation (tawaaf) 7 times around the Kaaba is also by the exact number in the Bible.
  2. Prostrating to GOD Almighty in the direction of His Holy Temple was done by all of the Prophets, including Jesus.
Also,

the Bible's fasting is to not eat and drink, like Islam:
:

Luke5:33They said to him, "John's disciples often fast and pray, and so do the disciples of the Pharisees, but yours go on eating and drinking."

Matthew 6:16 "When you fast, do not look somber as the hypocrites do, for they disfigure their faces to show others they are fasting. Truly I tell you, they have received their reward in full."


Also "Shalom" or Shalam, which means "Peace" in Hebrew, implies "GOD's Peace be upon you" is also derived from the root Word, Islam. GOD Almighty's Eternal Peace and us submitting to Him and to His Divine Will in Peace, is also what His Divine Religion is. Islam is the Original Faith.

1- What is circumambulation around the Kaaba in Islam, and Why?
Allah Almighty Said in the Glorious Quran:
"Behold! We gave the site, To Abraham, of the (Sacred) House (i.e., the Kaaba), (Saying): 'Associate not anything (In worship) with Me; And sanctify My House For those who compass it round, Or stand up, Or bow, or prostrate themselves (Therein in prayer). And proclaim the Pilgrimage among men: they will come to thee on foot and (mounted) on every kind of camel, lean on account of journeys through deep and distant mountain highways; (The Noble Quran, 22:26-27)
"The Bible clearly supports Islam's Prostration and bowing to GOD Almighty: Psalm 138:2 "
I will bow down toward your holy temple and will praise your name for your love and your faithfulness, for you have exalted above all things your name and your word.".
2- Does Tawaaf (circumambulation) exist in the Old Scriptures?
Let us look at the following verses from the Bible:
Joshua 6:14-16
14 So on the second day they marched around the city once and returned to the camp. They did this for six days.
15 On the seventh day, they got up at daybreak and marched around the city seven times in the same manner, except that on that day they circled the city seven times.
16 The seventh time around, when the priests sounded the trumpet blast, Joshua commanded the army, "Shout! For the Lord has given you the city!

It is unknown why the Jews circled or circumambulated Jerusalem seven times. The number 7 is unknown. It's just there in the Scriptures. If anything, this proves that there is a lot more from rituals and Commands, in the Bible, that are missing today.


yohana 4:19 Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii! 20 Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia.

yesu akasema ....Yohana 4:23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
Yohana 4: 22 .............kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
Koran inakiri hili kuwa nabii lazima atoke kwa wayahudi. nitaweka proof hapa..
 
Hivi Yesu na Jesus na Issa ni watu tofouti hao? Kama ni tofouti basi lazima kati yangu na wewe kuna mmoja hayuko sawa kiakili.
issa maana yake wekundu uliozidiana na weupe. Kumwita Issa ni kumshusha hadhi yake aliyokuja nayo na kumfanya kama ordinary person. haikubaliki.
Malaika alimwambia mariam mtoto ataitwa Yesu: akimanisha Mungu ashinda na sio wekundu uliozidiana na weupe.

Yesu? jesus maana yake Mungu ashinda
ume-note ma-difference hapa?
 
issa maana yake wekundu uliozidiana na weupe. Kumwita Issa ni kumshusha hadhi yake aliyokuja nayo na kumfanya kama ordinary person. haikubaliki.
Malaika alimwambia mariam mtoto ataitwa Yesu: akimanisha Mungu ashinda na sio wekundu uliozidiana na weupe.

Yesu? jesus maana yake Mungu ashinda
ume-note ma-difference hapa?
Wewe kweli kichaa, kama unadhani Issa sio Jesus. Hebu tafuta mana ya Jesus ki Hebrew anaitwa nani, naomba unitajia anaitwa Eissa, Jesus au Yesu.
 
yohana 4:19 Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii! 20 Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia.

yesu akasema ....Yohana 4:23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
Yohana 4: 22 .............kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
Koran inakiri hili kuwa nabii lazima atoke kwa wayahudi. nitaweka proof hapa..
dogo kwa hio Yesu alipo wambia waisrael hivi, ufalme wa Mungu utaondolewa kutoka kwenu na kupelekewa taifa linginie. Yani dogo hapo, unataka kusema Yesu alikuwa muongo kuliko hata wewe, mana anaongea maneno sio ya kweli. Matthew 21:43 ►
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]"Therefore I tell you that the kingdom of God will be taken away from you and given to a people who will produce its fruit.



[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
:wave:

 
mkuu put yourself in my shoes kisha utaona kile ninachokiona. Mkuu sio shaytan:A S 13:ni ukweli. ha ha ha ha😛hoto:
Mkuu unaposema watu maarufu: inabidi uwe sane kidogo kuelewa hawa watu maarufu ni wakina nani na wanaishi mazingira gani:

Maurice Bucaille na Keith Moore walijitengenezea umaarufu walipolipwa pesa nyingi ili waupake rangi uislamu upendeze. Wakalipwa na mfalme wa saudia. japo wenyewe hawaamini wala hawakuhamia huko.Just imahine ikiwa waliamini kwanini hawaku-convert??

Watu wengi maarufu ni pathetic wanatumia madawa ya kulevya wana-presha nyingi sana, wana Hofu ya kushuka, ushindani maadui. Watu wa namna hii pia wana marafiki wengi feki, maadui. ni watu wenye marafiki wa "Yes man" badala ya "No man". YEs man ni Wale marafiki watakaokuambia kile wapendacho kusikia.Watu maarufu Ni watu wasio na furaha ila wanajua kutabasamu kwenye red carpet. Ni Watu wenye misongo ya mawazo. ambayo mwishowe inawafanya wanakuwa mentally wanaochanganyikiwa. Watu hawa siku zote watajifunza kila kitu na kukijaribu ili wapate ile furaha ya kweli katika maisha. mfn: Wacko jacko, Elvis presley, whitney houston, Mike Tyson, Robby williams,Malcom small, Muhammad ally n.k. walikuwa na umaarufu. lakini kila mtu anajua fate zao.
Kwahiyo watu maarufu so kigezo cha msingi cha kutumia kama ushahidi.

Means katika maisha yao hawajawai pata FURAHA thats y wameipata ktk UISLAMU ukristo Hauna jipya
 
yohana 4:19 Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii! 20 Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia.

yesu akasema ....Yohana 4:23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
Yohana 4: 22 .............kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
Koran inakiri hili kuwa nabii lazima atoke kwa wayahudi. nitaweka proof hapa..

Malizia aya hyo! Ha ha ha hawa jamaa ni matunutu kweli unaambiwa utukufu utatolewa kwa wayahudi na watapewa taifa lingne bdo tu huelewi???
Je? Hlo taifa ni lp..
 
Mimi nipotee? Sitapotea hata siku moja na uhakika nacho kisema na siwezi hata siku moja kumdharau Mungu wangu kumfananisha na binadamu. Mtume Muhammad ni Mtume wa Mungu, na vitabu vyenu nimewawekea hapo kuonyesha dalili zote ni Mtume wa Mungu. Tazama nakuongezea kama hujaridhika na point za mwanzo. Hii na uhakika itakuingiza kwenye Uislam. Kama wewe una akili sawa sawa huna kasoro kichwani kwako. Tuanze kutazama point hizo unajua huwa mnacheka nyie wakristo eti waislam wanaenda abudu mawe, sa tazama Bibilia zenu zinasema nini. Tuanze na point.

Islam's Practices are 100% supported in the Bible:

  1. Circumambulation (tawaaf) 7 times around the Kaaba is also by the exact number in the Bible.
  2. Prostrating to GOD Almighty in the direction of His Holy Temple was done by all of the Prophets, including Jesus.
Also,

the Bible's fasting is to not eat and drink, like Islam:
:

Luke5:33They said to him, "John's disciples often fast and pray, and so do the disciples of the Pharisees, but yours go on eating and drinking."

Matthew 6:16 "When you fast, do not look somber as the hypocrites do, for they disfigure their faces to show others they are fasting. Truly I tell you, they have received their reward in full."


Also "Shalom" or Shalam, which means "Peace" in Hebrew, implies "GOD's Peace be upon you" is also derived from the root Word, Islam. GOD Almighty's Eternal Peace and us submitting to Him and to His Divine Will in Peace, is also what His Divine Religion is. Islam is the Original Faith.

1- What is circumambulation around the Kaaba in Islam, and Why?
Allah Almighty Said in the Glorious Quran:
"Behold! We gave the site, To Abraham, of the (Sacred) House (i.e., the Kaaba), (Saying): 'Associate not anything (In worship) with Me; And sanctify My House For those who compass it round, Or stand up, Or bow, or prostrate themselves (Therein in prayer). And proclaim the Pilgrimage among men: they will come to thee on foot and (mounted) on every kind of camel, lean on account of journeys through deep and distant mountain highways; (The Noble Quran, 22:26-27)
"The Bible clearly supports Islam's Prostration and bowing to GOD Almighty: Psalm 138:2 "
I will bow down toward your holy temple and will praise your name for your love and your faithfulness, for you have exalted above all things your name and your word.".
2- Does Tawaaf (circumambulation) exist in the Old Scriptures?
Let us look at the following verses from the Bible:
Joshua 6:14-16
14 So on the second day they marched around the city once and returned to the camp. They did this for six days.
15 On the seventh day, they got up at daybreak and marched around the city seven times in the same manner, except that on that day they circled the city seven times.
16 The seventh time around, when the priests sounded the trumpet blast, Joshua commanded the army, “Shout! For the Lord has given you the city!

It is unknown why the Jews circled or circumambulated Jerusalem seven times. The number 7 is unknown. It's just there in the Scriptures. If anything, this proves that there is a lot more from rituals and Commands, in the Bible, that are missing today.


Kama utakuwa hudanganyi makusudi basi wewe utakuwa ni mjinga [hujui] kwa kiwango kikubwa sana

Kwanini nasaema hivyo,nasema hivyo kwasababu kuu mbili

1;Umeleta maelezo ambayo wewe unayachukulia kama ushahidi wa kile ambacho nyie Waislam mnakifanya kuwa ni sahihi,kwa maelezo mengine huo ushahidi uliouleta hapo unaamini kabisa ni uhahidi stahiki na wa kuaminika,kwa maneno mengine unaitumia Biblia kama ushahidi wa kuthibitisha yale ambayo yameandikwa kwenye Quran,kwa maneno mengine Biblia ni kitabu sahihi na hakina shaka kabisa

Ni kwanini huwa mnapiga makelele kudai kimechafuliwa bila hata ya kuwa na ushahidi halafu hapo hapo mnakitumia kama uthibitisho wa madai ya imani yenu?

2;Mstari wa Yoshua ulioutoa unadhihirisha vile ambavyo hata hujui mstari ulioutoa unazungumzia nini,kwanza wewe hoja yako inahusu nyie kuzun guka mara 7 kwenye jiwe jeusi huko Makah kitendo ambacho ni cha ibada,kifungu cha maandiko matakatifu kutoka kwenye Biblia ulichokiweka hapo hakihusiani na ibada bali kinahusu upelelezi wa Waisraeli kwenye mji ambao walikuwa wamepewa na Mungu

Kwa maneno mengine kuuzunguka mji ule mara saba hakikuwa ni kitendo ambacho kinahusiana na ibada yoyote ile bali kilikuwa ni kitendo cha upelelezi ili kujiandaa kuushambulia mji ule

Sasa unahusishaje kitendo hicho na ibada zenu? Halafu kuuzunguka mji mara saba kunahusiana nini na kulizunguka jiwe jeusi mara saba?

Hii inaonesha ni kwa namna gani vile ambavyo nyie mko desparate na imani yenu hadi mnajitahidi kutafuta ushahidi ambao hata hauhusiani na ibada yenu na kuufanya kama ushahidi,hii inaonesha ujinga mkubwa sana mlionao kwenye hili

Kwanini msikubali tu kuwa imani yenu inajitegemea bila kuhitaji ushahidi kutoka kwingine?
 
Wewe kweli kichaa, kama unadhani Issa sio Jesus. Hebu tafuta mana ya Jesus ki Hebrew anaitwa nani, naomba unitajia anaitwa Eissa, Jesus au Yesu.

Hakuna mahusiano kati ya jina Yesu na Issa

Yesu Kiarabu ni Yesho na sio Issa

Yesu Kiebrania ni Ye'hoshua
Yesu Kigiriki ni Ihesus
Yesu Kiingereza ni Jesus

Usidanganye watu

Unaweza kuona kuna mahusiano ya karibu kati ya jina hilo kwenye lugha za Kiarabu,Kiebrania na Kiswahili kwasababu kuna mahusiano,mahusiano yenyewe ni kuwa Kiarabu na Kiebrania vina mahusiano ya karibu na Kiswahili kimetokana na Kiarabu

Yeho'shua-Kiebrania
Yesho-Kiarabu
Yesu- Kiswahili

Ukiangalia jina la Yesu Kiingereza na Kigiriki linakuwa kama linafanana kwasababu jina la Yesu kwa Kiingereza lilitokana na Jina hilo kwa Kigiriki na hata Agano Jipya liliandikwa kwa Kigiriki kwa mara ya kwanza

Ihesus-Kigiriki
Jesus-Kigiriki

Nakushauri umtafute Isa ni nani na sio kusingizia ni Yesu!
 
Endeleeni kujidanganya wenyewe, eti yesu sio issa, ni kama unajitekenya mwenyewe halafu unacheka ni upumbavu uliyoje
 
Endeleeni kujidanganya wenyewe, eti yesu sio issa, ni kama unajitekenya mwenyewe halafu unacheka ni upumbavu uliyoje

Yupi ni mpumbav.u kati ya yule ambae anasema Juma ni Hassani bila kutoa sababu zozote zile na yule anaesema hao ni watu wawili tofauti na sababu anatoa?
 
Yupi ni mpumbav.u kati ya yule ambae anasema Juma ni Hassani bila kutoa sababu zozote zile na yule anaesema hao ni watu wawili tofauti na sababu anatoa?

Sababu zip?
1.Issa kazaliwa na bikra maryam yesu je... ?
2.Issa katumwa kwa waisrael yesu je...?
3.issa alifufua watu na kuponya ukoma yesu je...?
Majibu unayo na umekaza mshpa wa shngo et ISSA sio YESU nan Mpumbavu kat ya Cc incharge Na Ww?
 
Sababu zip?
1.Issa kazaliwa na bikra maryam yesu je... ?
Wapi alizaliwa Issa na wapi alizaliwa Yesu?

Hata hivyo,hilo haliwafanyi wakawa mtu yule yule ....
2.Issa katumwa kwa waisrael yesu je...?
Yesu alikuja kwaajili ya kila binadamu ulimwenguni ukiwemo na wewe ....

By the way,Musa nae alitumwa kwa Waisraeli,nae anabadilika na kuwa Issa?
3.issa alifufua watu na kuponya ukoma yesu je...?
Kila aliefufua wafu nae ni Issa?
Na Paulo aliponya ukoma nae amekuwa Yesu?
Majibu unayo na umekaza mshpa wa shngo et ISSA sio YESU nan Mpumbavu kat ya Cc incharge Na Ww?
Bado wewe ni mpumbavu namber moja .......!!
 
Bismillah

Al-Bukhaari said in his Saheeh: Qutaadah said:

"Allah created these stars for three purposes: to adorn the heavens, to stone the devils and as signs by which to navigate. Whoever seeks anything else in them is mistaken and does not benefit from them, and he is wasting his time and effort in seeking something of which he has no knowledge."

(Saheeh al-Bukhaari, Baab fi'l-Nujoom, 2/240)

Do you believe that?
 
Sababu zip?
1.Issa kazaliwa na bikra maryam yesu je... ?
2.Issa katumwa kwa waisrael yesu je...?
3.issa alifufua watu na kuponya ukoma yesu je...?
Majibu unayo na umekaza mshpa wa shngo et ISSA sio YESU nan Mpumbavu kat ya Cc incharge Na Ww?

Issa never existed except in the mind of Muhammad.
 
Wewe kweli kichaa, kama unadhani Issa sio Jesus. Hebu tafuta mana ya Jesus ki Hebrew anaitwa nani, naomba unitajia anaitwa Eissa, Jesus au Yesu.


Issa is not Jesus.

Kwenye Quran ya Kiswahili kuna jina gani? Issa au Yesu? Kivipi Jina la "Jesus" liwe na translation mbili katika lugha moja ya Kiswahili, niki-maanisha Issa na Yesu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom