Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
mmm mmm Yani hii kali aisay ya mwaka nime quote hi kucheka tu, hivi dogo wewe uko sawa lakini, Mungu ana mke ulimfugisha ndoa wewe au? Yani hili bahari, miti, wanyama, matunda, navyenyewe vilitokea wapi, kama huwezi amini Mungu ana umba. Sa mke wa Mungu ndio yule mama yake Yesu au? Au ana wake wawili mama wa Adam mwingine na wa Yesu mwingine? Hii kali dogo kweli nimeamini wakristo hamna akili. hizo point zingine nimemuachia kamanda Bill Cosby , ameisha kupa dozi sina hoja ya kuzidisha mengi.
Mkuu labda ninyooshe MAelezo, ni kawaida yenu kusema Mungu hana mwana wala Mke. Mkimaanisha Ili Mungu awe na mwana basi na mke pia awepo. Ama kwa lugha nyingine ni kwamba. Mwana anatokana na Uwepo wa Mke na Mume kwa jinsi ya kibinadamu.
JE Binadamu anaweza kuzaa kilichokitakatifu na kisichona dhambi??????? Angali mwanadamu yu na Dhambi??
KAma YEsu sio MWana wa Mungu. Baba yake yuko wapi?????????????????
 
We unasema Huyo yesu ni MUNGU!

Mara unasema wakati Yesu anatiwa maji Aliskia Sauti ya Mungu !!!!!
Hivi nyie mna miungu wangapi?

Halafu hebu msome hapa Yesu anavyoomba Dua Asije kusulibiwa Lkn Huyo Unaesema Aliimba kwaya wakati mwanae anachezea maji HAKUMSIKILIZA hatta kidogo mwanae.
Yesu anaomba anasema .

"Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke.- Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.
- Luka 22.42-4

Baada ya Huyo mtoa sauti kali ka Ni hadija kopa Kumkaushia Yesu ikabidi apelekwe akauawe msalabani.
Alipofikishwa pale baada ya Kichapo kitakatifu akashindwa kuvumilia akalia akisema :-

Na mwishoni naye yupo mslabani:

Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani?- yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, Mbona umeniacha?

Mathayo 27.46

Nakuuliza km huyu babake na yesu ni mwenye huruma ilikuwaje AKAAMUA kumpuuza mwanae anaeloa KWA SAUTI namna hii?

Na wewe mkishumundu ukiambiwa yule Baba yake na Yesu juu ya kuwa una meno meusi lkn ameamua kukupenda tu! Je utakubali MAPENZI ya kutundikwa Msalabani?

Acheni UONGO nyie.
Yohana 10 29 Mimi na Baba tu umoja.

Yohana 14:
5 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. 6 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.7 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.8 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?9 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.
10 Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.11 Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba.12 Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.13 Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.14 Mkinipenda, mtazishika amri zangu.15 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele; 16 ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu. 17 Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.
 
Yohana 10 29 Mimi na Baba tu umoja.

[/SIZE]




Sasa angalia mchakachuo huu ndio ujue Hilo likitabu leni ni balaa tu.

Yohana 14:28

".........kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.-

Sasa kama hizi sio bangi ni nini?
 
Sasa angalia mchakachuo huu ndio ujue Hilo likitabu leni ni balaa tu.

Yohana 14:28

".........kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.-

Sasa kama hizi sio bangi ni nini?
Angalia jinsi mnavyo babaikia wazungu mweee!!!!!!

Yeye alifanya Ngamia wake apige magoti katika Msikiti, halafu akamfunga Mguu wake kamba na kisha akauliza: "Ni nani kati yenu ni Mtume Muhammad" Wakati huo Mtume alikuwa amekaa miongoni mwetu (wenzake) huku akiwa ameegemea mkono wake. Sisi tukajibu, "Huyu MZUNGU aliye agemea mkono wake ndiye Muhammad." Kisha akasema naye, "O Mwana wa 'Abdul Muttalib." -Sahih Bukhari 1:3:63

Eti alikuwa Mwarabu, my foot.
 
Kwani we nani mpaa useme nimejibu makosa.Tafuta wehu wenzako ndio uwambie wamejibu sawa.
Mbona hasira mapema hii. Kijana nilikuonya na kukwambia dini haisomwi kwenye Madrasa, hukusikia, sasa unatokwa povu baada ya kunywa juisi ya pilipili.

Pole sana.
 
Angalia jinsi mnavyo babaikia wazungu mweee!!!!!!


Eti alikuwa Mwarabu, my foot. [/COLOR][/FONT]

Naskia Dada MaxShimba kaolewa bila mahari!
Saa hii analia tu kwa sauti ya juu! Na ile sura yake mbovu ka kagongwa na treni!

Tah hahahahaha!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu labda ninyooshe MAelezo, ni kawaida yenu kusema Mungu hana mwana wala Mke. Mkimaanisha Ili Mungu awe na mwana basi na mke pia awepo. Ama kwa lugha nyingine ni kwamba. Mwana anatokana na Uwepo wa Mke na Mume kwa jinsi ya kibinadamu.
JE Binadamu anaweza kuzaa kilichokitakatifu na kisichona dhambi??????? Angali mwanadamu yu na Dhambi??
KAma YEsu sio MWana wa Mungu. Baba yake yuko wapi?????????????????
Mtumishi, unajua kuna tofauti ya Mungu kuto kuwa na Mwana na Mungu kuto kuwa na uwezo wa kuwa na Mwana. Allah, yeye hana uwezo wa kuwa na mwana maana hakuwai umba binadamu.

Ushahidi wa Allah anaapa kwa aliye umba:
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..


Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.

Unaona Allah anaapa kwa aliye umba, sasa kama hata kuumba binadamu hawezi, je huyu Allah ataweza kuwa na Mwana? Huu ni msiba kwao.
 
quote_icon.png
By Adiosamigo

mmm mmm Yani hii kali aisay ya mwaka nime quote hi kucheka tu, hivi dogo wewe uko sawa lakini, Mungu ana mke ulimfugisha ndoa wewe au? Yani hili bahari, miti, wanyama, matunda, navyenyewe vilitokea wapi, kama huwezi amini Mungu ana umba. Sa mke wa Mungu ndio yule mama yake Yesu au? Au ana wake wawili mama wa Adam mwingine na wa Yesu mwingine? Hii kali dogo kweli nimeamini wakristo hamna akili. hizo point zingine nimemuachia kamanda Bill Cosby , ameisha kupa dozi sina hoja ya kuzidisha mengi.
[h=2]How can Allah have a son when He has no wife?[/h]
Islam Watch - "How can Allah have a son when He has no wife?" by Mumin Salih
 
Mbona hasira mapema hii. Kijana nilikuonya na kukwambia dini haisomwi kwenye Madrasa, hukusikia, sasa unatokwa povu baada ya kunywa juisi ya pilipili.

Pole sana.
Sa dogo ile imani yako inasema hata ukinywa sumu hufi, umeisha jaribu tujuwe wewe ni mkristo kweli kweli. Au umeisha shika nyoka mbona mnaogopa kuwashika nyoka, kama dini yenu iko sawa. Mimi namini hakuna mkristo atakaye kunywa sumu asife au kushika nyoka asiumwe, Paulo aliwakomesha hapo, mana alijua atakaye jaribu tu anakufa na anenda motoni. Hata mkishitaki kule kwa Mungu atasema niliwambia wanywe sumu kama wanaifata dini yangu mbona hawajainywa, pia atasema niliwambia washike nyoka mbona hawajashika, walikuwa wanaogopa nini kama wao wakristo wa kweli hahaha. [h=1]Mark 16:18[/h] [SUP]18 [/SUP]they shall take up serpents, and if they drink any deadly thing, it shall not hurt them. They shall lay hands on the sick, and they shall recover."
 
Mkuu labda ninyooshe MAelezo, ni kawaida yenu kusema Mungu hana mwana wala Mke. Mkimaanisha Ili Mungu awe na mwana basi na mke pia awepo. Ama kwa lugha nyingine ni kwamba. Mwana anatokana na Uwepo wa Mke na Mume kwa jinsi ya kibinadamu.
JE Binadamu anaweza kuzaa kilichokitakatifu na kisichona dhambi??????? Angali mwanadamu yu na Dhambi??
KAma YEsu sio MWana wa Mungu. Baba yake yuko wapi?????????????????
Sa mbona Adam hana baba wala mama? Yani Adam baba yake atakuwa Mungu, na mama yake atakuwa Mungu sio:A S wink:
 
Angalia jinsi mnavyo babaikia wazungu mweee!!!!!!

Yeye alifanya Ngamia wake apige magoti katika Msikiti, halafu akamfunga Mguu wake kamba na kisha akauliza: "Ni nani kati yenu ni Mtume Muhammad" Wakati huo Mtume alikuwa amekaa miongoni mwetu (wenzake) huku akiwa ameegemea mkono wake. Sisi tukajibu, "Huyu MZUNGU aliye agemea mkono wake ndiye Muhammad." Kisha akasema naye, "O Mwana wa 'Abdul Muttalib." -Sahih Bukhari 1:3:63

Eti alikuwa Mwarabu, my foot.
Hii aibu sijui utaificha wapi eti mtume alikuwa mzungu. Nimesiha kuambia we hadith zako hizo sijui unazitoa kwenye zile ngojera za Paulo.
 
Sa mbona Adam hana baba wala mama? Yani Adam baba yake atakuwa Mungu, na mama yake atakuwa Mungu sio:A S wink:
Adam ni Mwanaume na Binadamu wa Kwanza kuumbwa akiwa na Eva kwa Udsongo: mpaka hapa hakuna shaka.
Tofautisha kuumbwa na Kuzaliwa. Hatuna haja ya kuhoji baba wa Adam kwakuwa tunajua aliumbwa lakini tunaweza kuhoji na baba wa Yesu kwakuwa amezaliwa.
NA kuhusu Yesu: haijasemwa ameumbwa bali imeandikwa amezaliwa na Bikira.. Kwa hiyo kitendo cha nyinyi kusema Mungu hana Mke wala mwana , ni kufuru kwasababu mnachukulia haya mambo kibinadamu kana kwamba MAria alijihusisha kimahusiano ndipo akampata Yesu. NA mnarudi kule ambapo Koran yenu inawakataza msikufuru katika hili.
Saa mtakayo acha kuyatazama haya maandiko kwa macho ya kibinadamu ndipo mtakapo elewa Umwana wa Yesu kwa Mungu ukoje. NA ndipo mtaacha kuwalaumu wakristo kwa Imani yao kuwa Yesu ni mwana wa Mungu.
KWani HAjafanyika kwa mikono ya wanadamu na kupelekea kurithi dhambi kama Binadamu wote tulivyo. Ndio maana Korani inakiri kwamba Shetani anamdhuru mtoto yoyote anayezaliwa duniani lakini hakuweza kumdhuru YEsu Kristo aliyehai. Kwakuwa Yule ni wa asili ya Mungu, sio wa kibinadamu. NA kilichozaliwa na Mungu sikuzote huushinda ulimwengu.
Points za incarnation(Embodying) zinaanzia hapa...


 
Sasa angalia mchakachuo huu ndio ujue Hilo likitabu leni ni balaa tu. Yohana 14:28".........kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.- Sasa kama hizi sio bangi ni nini?
Yohana 10 29 Mimi na Baba tu umoja.
yohana 16:33 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;

Yohana 17: 1 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.2 Na uzima wa
milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.4 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.5 Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika.6 Sasa wamejua ya kuwa yote uliyonipa yatoka kwako.

NAhop wewe umswahili unaelewa nini maana ya Umoja. Umoja hapa ni kwamba Huwezi tenganisha ya Yesu na Ya Mungu. Anayemwona YESU amemwona MUNGu. Kwishney. NA yesu ndiye amepewa mamlaka juu ya wote wenye mwili. Hakuna awezaye kuiona Mbingu bila kupitia Jina la Yesu. No way. Binadamu amepewa neema hiyo bure, kwa kununuliwa na thamani ya damu ya yesu pale msalabani. NA YEsu ameshafunga Mbingu haitaruhusu jini wala shetani( kiufupi chenye dhambi hakitaingia mbinguni). Shetwaini yoyote awe mzuri ama mbaya, ili mradi ni shetani ameshawekewa Jehanum ya Moto tayari.

NA ndiyo maana Yesu alisema "Tangu mwanzo Shetani ni Muuaji na Mwongo na baba wa Uongo wala hakusimama kwenye kweli kwani kweli haimo ndani yake" Hivyo Hukumu imeshawekwa tayari kwa Shetani na malaika zake.(MAjini, mapepo, vibwengo n.k. )Shetani hana pa kusamehewa tena pia shetani hamwombi wala kumwabudu Mungu.

1Petro 5: 8 Mwe na kiasi na kukesha, maana adui yenu Ibilisi, kama simba angurumaye huzungukazunguka akitafuta mtu ili apate kummeza.

Hivyo Shetani yoyote (plus majini yote)hafanyi ya Mungu, bali anachofanya ni kuwafanya watu wamtegemee yeye kwenye mambo ya kidunia ili mwishowe aweze kuwapoteza kwenye jehanum. lakini Jehanum imewekwa kwa ajili ya shetnani na malaika zake na sio Binadamu.


Luka 10:19 Tazama, nimewapa(YEsu) amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

manipulation mbalimbali za shetani kama vile Kupiga ramli, ushirki, usoma nyota, uvaa pete, n.k.. haya yote ni matendo yafanywayo kwenye giza na sio nuruni yenye lengo la kumtegemea shetani.

Ikiwa imeandikwa amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake, huku moyoni amemwacha mungu.


yohana 3
:
16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. 17 Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye. 18 Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu. 19 Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa
nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.


Kumbuka muhammad alisema injili ya yesu ndio Nuru. Japo yeye aliamua kubaki gizani. bila kuifuta hii nuru. KWa kufahamu ukweli huu lakini Muhammad akaamua kuupuuza ameshahukumiwa. Na wewe fahamu Muhammad ameshakuambia kupitia koran yako kuwa wakristo ni wachamungu, na injili ni nuru. acha kukaa gizani.
Muhammad alimwambia fatma bintiye niombe chochote kwenye mali ntakupa, lakini iokoe nafsi yako na moto HAKIKA MIMI (MuDI a.k.a baba yako) SItokufaa kwa chochote..

 
Mtumishi, unajua kuna tofauti ya Mungu kuto kuwa na Mwana na Mungu kuto kuwa na uwezo wa kuwa na Mwana. Allah, yeye hana uwezo wa kuwa na mwana maana hakuwai umba binadamu.

Ushahidi wa Allah anaapa kwa aliye umba:
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..


Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.

Unaona Allah anaapa kwa aliye umba, sasa kama hata kuumba binadamu hawezi, je huyu Allah ataweza kuwa na Mwana? Huu ni msiba kwao.
oh yes.. asante mkuu
 
Hii aibu sijui utaificha wapi eti mtume alikuwa mzungu. Nimesiha kuambia we hadith zako hizo sijui unazitoa kwenye zile ngojera za Paulo.
Unaona jinsi unavyo pata uchungu kila kukicha. Sasa unafuata Mtume mzungu. Huo ni msiba kwenu.

SHETANI NI MUSLAMU

Ni bahati mbaya kwamba Adamu Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINIUK 20)

Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwashetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswikushirikiana nae,


Yakobo4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.

Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambayealiwadanganya Adamu na Hawa ni muislamu, sisi Wakristo tunaojitambua hatuutaki Uislamu.
 
Did God have a wife?
Allah's wife, her name is AL-LAT. She was worshipped at Mecca for 2000 years before Islam. The famous Muslim pilgrimage spot in Mecca was originally her shrine. Allat's name means simply "the Goddess," just as Allah means, "the God." The T ending is feminine.
Allah and Allat were depicted standing together with a star and crescent moon over them. Allah was a moon god and she was the "star", Venus.

Islamic nations still use that star and crescent in their flags.
Another obvious, but vehemently denied, symbol of the sacred marriage.

Allat is probably going to be the last wife of Allah to take off her veils.
Islam is not really open to Allah having a partner, even though history and archaeology prove that he does...
 
Sa dogo ile imani yako inasema hata ukinywa sumu hufi, umeisha jaribu tujuwe wewe ni mkristo kweli kweli. Au umeisha shika nyoka mbona mnaogopa kuwashika nyoka, kama dini yenu iko sawa. Mimi namini hakuna mkristo atakaye kunywa sumu asife au kushika nyoka asiumwe, Paulo aliwakomesha hapo, mana alijua atakaye jaribu tu anakufa na anenda motoni. Hata mkishitaki kule kwa Mungu atasema niliwambia wanywe sumu kama wanaifata dini yangu mbona hawajainywa, pia atasema niliwambia washike nyoka mbona hawajashika, walikuwa wanaogopa nini kama wao wakristo wa kweli hahaha. Mark 16:18

[SUP]18 [/SUP]they shall take up serpents, and if they drink any deadly thing, it shall not hurt them. They shall lay hands on the sick, and they shall recover."
Makafiri wa Kiislam walisha jaribu kinipiga risasi na haikufanya kazi. Teh teh teh teh, Yesu ni Mungu wa Allah na Muhammad. Ndio maana Wakristo wenye kujitambua hawawezi kuukubali Uislam bandia na dhaif.

HATUUTAKI UISLAMU KWA KUWA MUHAMMAD ALIROGWA

Hadithi ya Aisha (r.a)amesema Mtume (s.a.w) alirogwa, mpaka akawa anaona kama anawaingiliawakeze na hali ya kuwa hawaingilii sufiyan mmoja wa wapokezi wahadhithi hii amesema ndiyo uchawi mbaya mno unapokuwa namna hivi…(Alu-lu-lu wal-marjan, uk 822, hadithi na. 1412)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom