Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Out of context Muhammadan. If you really love homosexuals, go to Saudia wapo wengi sana pale.

Kule hamna , kama hujui kule hamna uchafu wa aina yoyote , hata HIV kule ni 0.001% , nenda ulipoanzia ukatoliki italy uone balaa ndio ujue wakatoliki dini wameitunga wenyewe.
Sasa hivi papa ndio umemsikia mwenyewe anataja nini kwako.
 

sikiliza somo zima hapa kwa lugha sanifu ya kiswahili.

Marko 10: 2 Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamwuliza, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe? Huku wakimjaribu.

3 Naye akajibu, akawaambia, Musa aliwaamuru nini?
4 Wakasema, Musa alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha.
5 Yesu akawaambia, Kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu aliwaandikia amri hii.
6 Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke.
7 Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe;
8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.
9 Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.

10 Hata nyumbani tena wanafunzi wakamwuliza habari ya neno hilo.

11 Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;
12 na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.

notabene: hajasema wakeze bali mkewe.(singula)

Pia usisahahu ndoa ya mwislamu ni "ndoa-mkataba" kapitie sharia za mirathi na kadhi uone. Ndio maana Mwisho wa siku mwanamke hapati urithi wa mumewe marehemu na akipewa anapewa gawiwo dogo sana. Ndio maana pia muhammad hakuona aibu kuwaambia kuwa wake zenu na watoto wenu ni maadui zenu, how absurd!! kwakuwa kwenu mke na mume si Mwili mmoja bali ni mkataba ambao utakuja kuvunjika. Ikiwa ni MWili wako it is obvious hauwezi kuuita adui. Ningeweza kusema na ni kama mdomo unaumba ama unalaani, manake inadaiwa mkewe kipenzi ndiye alikuyekuja kumlisha sumu mudi mwishowe. polygamy sucks
Prophet Mussa si alikubali talaka au alikataa, Mussa aliruhusu watu waowe zaidi ya mke mmoja au hakuruhusu, sa nataka wewe unionyeshe wapi Yesu kasema hamaruhusiwi kuoa zaidi y mke mmoja, na hamruhusiwi kuwacha wake zenu. Sababu kama Mussa na Yesu hawakuyapinga hayo haina haja kumfata Marko, Sababu Marko hata kukaa na Yesu hajawahi kukaa nae. Hebu nenda kasome Bibilia yenu tazama Ukisoma katika Kumbukumbu la Torati 22:13 mpaka 21, utaona kwamba mwanaume alipewa ruhusa kumuacha mkewe kama siku ya ndoa hakumkuta na bikira. Tena sio kumuacha tu, bali mwanamke huyu adhabu yake ilikuwa ni kupigwa mawe mpaka kufa. Unaweza pia kupitia kwenye bibilia hizi ukaona bibili haikatazi talaka. 1 Wakorintho 7:1 mpaka 40.
1 Wakorintho 13:1 mpaka 13.

Waefeso 5:22 mpaka 33.
Marko 10:1 mpaka 12.
 
1489260_1622388607988317_8747977728125036112_n.jpg
Hapa wenye akili wanaju nani mzima na nani hana akili :A S wink:
 
Najua huna uwezo wa kuhundua nilichonaanisha,nilichokuuliza ni kuwa hapo kwenye huo mstari Holy Ghost alikuwepo?

Kama hakuwepo kwanini unatoa huo mstari kama ushahidi kuwa huyo malaika aliyeleta taarifa ni Holy Ghost?

Huoni hapo kuna malaika na anatoa taarifa kuwa Holy Ghost ndio atasababisha ujauzito wa Mariam na sio Holy Ghost aliyekuwa pale?

Hivi mna uwezo wa kuelewa mambo madogo madogo kama hayo nyie? Mstari mmoja tu huuelewi utaelewa biblia yote kweli wewe?
Aisay yani mimi nakushangaa sana hivi wewe unadhani The Holy Ghost ni nani? Mimi nimeisha kupa ushahidi wa kutosha kabisa kwamba huyo ni Gabriel, au hamsomi mambo navyo wateremshia. Someni wacheni kujidai hamuoni. Mbona hata mtu asiye kuwa na macho ya 6/6 anaona kabisa nilicho andika. Wewe kama unabisha The Holy Ghost si Gabriel. Hebu tuwekee soma lakupinga hayo, liwe limenda shule nalinakubalika sio uniletee hadith hana zina mguu wala kichwa. Nakuwekea tena uone usiseme huoni
GABRIEL IS THE HOLY GHOST
Having viewed the scriptures that show that the Angel Gabriel was the one brought understanding we will examine additional scripture that shows that Gabriel and the Holy Ghost are one in the same. Here you find the apostle Peter is speaking about prophecy which is the foretelling or prediction of a future event. Note in verse (21) he states that the prophecy came from holy men who were moved by the Holy Ghost.
II Peter (1:19) We have also a more sure word of prophecy; whereunto ye do well that ye take heed, as unto a light that shineth in a dark place, until the day dawn, and the day star arise in your hearts (20) Knowing this first, that no prophecy of the scripture is of any private interpretation.
(21) For the prophecy came not in old time by the will of man: but holy men of God spake as they were moved by the Holy Ghost.
We know from previous scriptures that the Holy Ghost is an Angel, Gabriel (The Angel of God's Presence) And here Peter is saying that the Holy Ghost which is an Angel Gabriel (The Angel of God's Presence) brought prophecy to the holy men of old times. Now prophecy is the foretelling of future events. Was it not Gabriel an Angel who told Daniel about future kingdoms that were to arise in Daniel Chapter 8, was it not Gabriel who told Zacharias about the future birth of his son John the Baptist, and was it not Gabriel who told Mary about her virgin birth to Jesus. These were all prophecies given to Israel by the Angel Gabriel.
Remember Jesus said that; The Comforter and the Holy Ghost and the Spirit of truth were all one of the same.
 
Isaya 29:12 kisha chuo hiki apewa mtu asiye na maarifa, akaambiwa, Kisome hicho tafadhali, akasema, Sina maarifa mimi.
Kwa hiyo Muhammad aliletewa chuo cha nabii Isaya akisome!? hebu leta ushahidi...
Hapo unajaribu kula kona na kuleta uwongo hebu tuambie ni nani aliye kuwa anaongelewa hapo, kama si Mtume Muhammad? We tuambie ni nani au unaropoka tu hujui unacho ongea. Kisa hapo kilikuwa time ile watu wengi wana abudu mambo ya upagan ndio huyo Isaya, akaongela mambo yanayo kuja akasema atakuja Mtume ambaye hajasoma, na akiambiwa soma atasema sijui kusoma ni nani kama si Mtume Muhammad.


Aliyekuja kutambua ni Malaika ni Waraqa, Muhammad alikuwa na hofu kwasababu hakujua ni kitu gani, Waraqa ndiye aliyeeenda kumuondoa hofu baada ya kumwambia ni Jibril

Waraqa aliandikaje Biblia!? Nimekuuliza Musa alitokewa kwa mtindo huo yaani kukabwa!?

Lakini Gabriel akimtokea mtu huwa anamtoa hofu mtu halafu anajitambulisha, Jibril yeye anaenda kukaba mtu kabisa halafu anaondoka anamuacha mtu njia panda

Acha uongo hilo andiko halihusiani na Muhammad, soma hii verse hapa chini

Yohana 5:45-46

45 Msidhani kwamba mimi nitawashitaki kwa Baba; yuko anayewashitaki, ndiye Musa, mnayemtumaini ninyi.
46 Kwa maana kama mngalimwamini Musa, mngeniamini mimi; kwa sababu yeye aliandika habari zangu.

Musa alifanya Miujiza, ni wapi Muhammad alifanya miujiza!? ili awe mfano wa Musa... hiyo ni hoja moja kati ya nyingi zilizopo hebu jibu...
Unajua wewe unazua uwongo sasa, kwa kusema Warqa ndio kamuambia Mtume Muhammad yule aliye kutana naye ni Gabriel. Na hio ya kusema Gabriel alimniga mnaitoa wapi? Hivi wapi ushahidi wako Gabriel alimniga Mtume Muhammad? Wacheni kuzua uwongo, usio na ukweli wowote ule. FYI;Mtume Muhammad alienda yeye kumhadisia na kamuambie yeye ndio kakutana na Gabriel, na yule Warqa akasema ni huyo huyo malaika Gabriel anaye kuja kwa siri, ndio alimtokea Mtume Mussa. Sa wapi Warqa Ibn Naufal kamfundisha mtume Muhammad. Warqa alicho sema ni hi hicha hapa kama hufahamu kwa Kiswahili. Here is an account of Prophet's (PBUH) contact with Warqa bin Naufal.
"Khadija then accompanied him to her cousin Waraqa bin Naufal bin Asad bin 'Abdul 'Uzza, who, during the PreIslamic Period became a Christian and used to write the writing with Hebrew letters. He would write from the Gospel in Hebrew as much as Allah wished him to write. He was an old man and had lost his eyesight. Khadija said to Waraqa, "Listen to the story of your nephew, O my cousin!" Waraqa asked, "O my nephew! What have you seen?" Allah's Apostle described whatever he had seen. Waraqa said, "This is the same one who keeps the secrets (angel Gabriel) whom Allah had sent to Moses. I wish I were young and could live up to the time when your people would turn you out." Allah's Apostle asked, "Will they drive me out?" Waraqa replied in the affirmative and said, "Anyone (man) who came with something similar to what you have brought was treated with hostility; and if I should remain alive till the day when you will be turned out then I would support you strongly." (Sahih Bukhari, Hadith 3)
This is all about contact between the Prophet (PBUH) and Warqa bin Naufal. Does this prove the Prophet (PBUH) learnt anything from him? You, the reader, be the judge
 
Hakuna ata Aya Moja ktk biblia yenye kusema unabii juu Muhamadi na waislamu kuendelea kushikiria hili kunavunja ile dhana Yao ya kudai kua biblia imechakachuliwa.
Waislam tuna amini wazi kuwa Bibilia ziko point Paulo na wenzako hawakuweza kuzigeuza zote, kuna maneno yako yako bado ya Mungu tunayafatilia, ili tuwafundishe wakristo wapi wanakosea.
 
Ni kweli mkuu, huwa wanajifariji kwa namna hiyo lakini hakuna kitu kama hicho kwenye Bible, huwa wanachukua aya zinazowapendeza halafu wanaunga unga, hawaelewi hata maandiko...
Wacha kujidanganya? Yani wakristo huwa mnachukua fake hadith na mnatafuta Qur'an zinazo ongelea mambo ya wakati wa vita mnapachika kuchafua usilam, sio hatuna tabia hizo. Wanasema uwongo njia yake ni ndogo sana, mbona mnakimbia swali langu. Kama ukristo ni dini wapi Mungu kasema tufate ukristo, au kama ni Yesu kasema wapi aliposema, na Ukristo nani kauzisha. Je ni Yesu au Paulo.
 
Hapo unajaribu kula kona na kuleta uwongo hebu tuambie ni nani aliye kuwa anaongelewa hapo, kama si Mtume Muhammad? We tuambie ni nani au unaropoka tu hujui unacho ongea. Kisa hapo kilikuwa time ile watu wengi wana abudu mambo ya upagan ndio huyo Isaya, akaongela mambo yanayo kuja akasema atakuja Mtume ambaye hajasoma, na akiambiwa soma atasema sijui kusoma ni nani kama si Mtume Muhammad
Nimekuomba ushahidi unaoonyesha Muhammad aliletewa chuo cha nabii Isaya asome, lakini umeshindwa unaanza kuniuliza hiyo scripture inahusu nini, we unasema inamuongelea Muhammad mimi nimekuomba ushahidi umeshindwa...

Unajua wewe unazua uwongo sasa, kwa kusema Warqa ndio kamuambia Mtume Muhammad yule aliye kutana naye ni Gabriel. Na hio ya kusema Gabriel alimniga mnaitoa wapi? Hivi wapi ushahidi wako Gabriel alimniga Mtume Muhammad? Wacheni kuzua uwongo, usio na ukweli wowote ule.
We unadhani Jibril alimwambia Muhammad soma huku akiwa anacheka cheka!? Muhammad alikabwa huko pangoni Jabal Hira na li jitu hata halifahamu mpaka akapata homa, mpaka mpiga falaq akaja kumtoa hofu...
FYI;Mtume Muhammad alienda yeye kumhadisia na kamuambie yeye ndio kakutana na Gabriel, na yule Warqa akasema ni huyo huyo malaika Gabriel anaye kuja kwa siri, ndio alimtokea Mtume Mussa. Sa wapi Warqa Ibn Naufal kamfundisha mtume Muhammad. Warqa alicho sema ni hi hicha hapa kama hufahamu kwa Kiswahili. Here is an account of Prophet’s (PBUH) contact with Warqa bin Naufal.
“Khadija then accompanied him to her cousin Waraqa bin Naufal bin Asad bin 'Abdul 'Uzza, who, during the PreIslamic Period became a Christian and used to write the writing with Hebrew letters. He would write from the Gospel in Hebrew as much as Allah wished him to write. He was an old man and had lost his eyesight. Khadija said to Waraqa, "Listen to the story of your nephew, O my cousin!" Waraqa asked, "O my nephew! What have you seen?" Allah's Apostle described whatever he had seen. Waraqa said, "This is the same one who keeps the secrets (angel Gabriel) whom Allah had sent to Moses. I wish I were young and could live up to the time when your people would turn you out." Allah's Apostle asked, "Will they drive me out?" Waraqa replied in the affirmative and said, "Anyone (man) who came with something similar to what you have brought was treated with hostility; and if I should remain alive till the day when you will be turned out then I would support you strongly." (Sahih Bukhari, Hadith 3)
This is all about contact between the Prophet (PBUH) and Warqa bin Naufal. Does this prove the Prophet (PBUH) learnt anything from him? You, the reader, be the judge
Hayo ni maneno ya Waraqa, weka maneno ya Muhammad akisimulia kwamba alikutana na Jibril, Waraqa ndiye aliyemwambia eti huyo ni Jibril lakini Muhammad hakuwa na uelewa wowote...
 
Wacha kujidanganya? Yani wakristo huwa mnachukua fake hadith na mnatafuta Qur'an zinazo ongelea mambo ya wakati wa vita mnapachika kuchafua usilam, sio hatuna tabia hizo. Wanasema uwongo njia yake ni ndogo sana, mbona mnakimbia swali langu. Kama ukristo ni dini wapi Mungu kasema tufate ukristo, au kama ni Yesu kasema wapi aliposema, na Ukristo nani kauzisha. Je ni Yesu au Paulo.

Hicho kitu unachouliza Eiyer amekwisha kujibu mara nyingi lakini unajifanya huelewi, ndio maana Ishmael anawaambia mumpatie aya inayosema Mimi Muhammad ni mtume wa Mungu...

Halafu nilikuomba unionyeshe miujiza aliyofanya Muhammad...
 
Last edited by a moderator:
Wacha kujidanganya? Yani wakristo huwa mnachukua fake hadith na mnatafuta Qur'an zinazo ongelea mambo ya wakati wa vita mnapachika kuchafua usilam, sio hatuna tabia hizo. Wanasema uwongo njia yake ni ndogo sana, mbona mnakimbia swali langu. Kama ukristo ni dini wapi Mungu kasema tufate ukristo, au kama ni Yesu kasema wapi aliposema, na Ukristo nani kauzisha. Je ni Yesu au Paulo.

Siku zote mwenye imani yake huitetea,ni sawa na kuitunza familia yako,huwezi kuiacha ukaenda kutunza familia ya mtu mwingine,swala la dini gani iko sahihi subilini siku ya MUNGU katuweka kwenye safu ya hukumu.sote tunaenda sehemu moja na wote tuko sahihi ila tu tunapitia njia tofauti,hua simfagilii mtu yoyote anaedharau ukristo au anaedharau uislamu,kila mtu anapaswa kufanya yake mbele za MUNGU kwa imani yake na kumpendeza yeye kwa jadri ya uwezo wako,swala la msingi shika amri za MUNGU na ishi kama ulivyoagizwa na MUUMBA.
 
Siku zote mwenye imani yake huitetea,ni sawa na kuitunza familia yako,huwezi kuiacha ukaenda kutunza familia ya mtu mwingine,swala la dini gani iko sahihi subilini siku ya MUNGU katuweka kwenye safu ya hukumu.sote tunaenda sehemu moja na wote tuko sahihi ila tu tunapitia njia tofauti,hua simfagilii mtu yoyote anaedharau ukristo au anaedharau uislamu,kila mtu anapaswa kufanya yake mbele za MUNGU kwa imani yake na kumpendeza yeye kwa jadri ya uwezo wako,swala la msingi shika amri za MUNGU na ishi kama ulivyoagizwa na MUUMBA.

Word salute
 
Prophet Mussa si alikubali talaka au alikataa, Mussa aliruhusu watu waowe zaidi ya mke mmoja au hakuruhusu, sa nataka wewe unionyeshe wapi Yesu kasema hamaruhusiwi kuoa zaidi y mke mmoja, na hamruhusiwi kuwacha wake zenu. Sababu kama Mussa na Yesu hawakuyapinga hayo haina haja kumfata Marko, Sababu Marko hata kukaa na Yesu hajawahi kukaa nae. Hebu nenda kasome Bibilia yenu tazama Ukisoma katika Kumbukumbu la Torati 22:13 mpaka 21, utaona kwamba mwanaume alipewa ruhusa kumuacha mkewe kama siku ya ndoa hakumkuta na bikira. Tena sio kumuacha tu, bali mwanamke huyu adhabu yake ilikuwa ni kupigwa mawe mpaka kufa. Unaweza pia kupitia kwenye bibilia hizi ukaona bibili haikatazi talaka. 1 Wakorintho 7:1 mpaka 40.
1 Wakorintho 13:1 mpaka 13.

Waefeso 5:22 mpaka 33.
Marko 10:1 mpaka 12.
Pole sana kwa kutokuamini Injili ya MArko sina cha kukusaidia
Wakati fulani ni mwoga kusoma maandiko ya PAulo japo naweza kuyatolea ufafanuzi: Most Muslims hawamkubali Paulo.. it is not a big deal kama humwelewi hilo andiko la Yesu lakutosha. Tena ni kwa bahati alizunguki.

Ikiwa kuna mgogoro kati ya Mume na mke, hatua wanayochukua ni kuwatenganisha kwa muda mpaka wapatane kisha wanarudiana. Lakini HAwavunji ndoa. Lengo la kuwatenganisha ni kujaribu kuwaweka sawa kila mtu akishakuwa peke yake kwa muda fulani ili akili zao ziweze kujijenga, na ile hali ya kuhitajiana inaporudi tena, wanaruhusiwa kurudi kujenga familia yao kama zamani.

Hakuna kufunga ndoa ya Pili tena. Katika maisha ya mwanadamu ndoa ni moja tu, mpaka kifo kiwatenganishe. Mwili mmoja unaacha kuwa mwili mmoja ikiwa tu mmoja wa wanandoa amefariki, ndio kifungo cha ndoa kinapo fikia ukomo. Na kwakuongeza Mke wa kwanza ndiye mke halali wanaofuata (Kama umewaoa) sio Halali unazini nao tu. Haijalishi mke wa kwanza kazeeka, hampendi kama wengine, hana meno, sio mrembo kama alivyo bi mdogo. n.k. Yeye ndiye mwenye mji(Njia Kuu), waliobaki vicheche tu(michepuko).

Yesu alimwambia yule mwanamke msamaria pale kisimani: KAmwite Mumeo..Yule mwanamke akamwambia hana mume, naye Yesu akamjibu ni kweli umekuwa na wanaume watano na hata uliyenaye sasa si wakwako.(Mathayo 4:18) . Hii ni element ya kukosa maji ya UZima.

Sijajua kama Musa aliwahi kuruhusu polygamy naskia kwako... nachofahamu yesu aliwaambia mafarisayo kuwa Musa aliwaruhusu kwasababu ya Ugumu wa mioyo yao..Lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo Mungu alipoumba Dunia. that's it.
NA Yesu amekuja kutimiliza torati.NAshangaa unafuata torati ipi tena, kama YEsu ameshaweka sawa kila kitu?
NA YEsu ni Mkuu kuliko MUSA MAra trillions.

mafundisho ya YEsu sikuzote yanaelekea kwenye: "Samehe saba sabini, upole, upatanisho, Upendo wa Mungu kwa watu, na kuuishi katika ukamilifu wake.NA hapa utaelewa hasa kwanini NDoa haitakiwi kuvunjwa. Kilichounganishwa na Mungu MWanadamu asikitenganishe- hata aliyepo ndani ya NDoa hana ruhusa ya kuvunja ndoa.
 
Ni kweli mkuu, huwa wanajifariji kwa namna hiyo lakini hakuna kitu kama hicho kwenye Bible, huwa wanachukua aya zinazowapendeza halafu wanaunga unga, hawaelewi hata maandiko...


Hawa Jamaa wanafurahisha sn ktk mambo Yao.....! Haiwezekani Biblia uipinge na usiiamini kwa madai ni kitabu alichopewa nabii nani? Alafu unakuja tena unadai kua ndani ya biblia kuna unabii wa kuja Mohammadi na una uamini huo unabii ambao Uko ndani ya kitabu usichokiamini........ Hivi ni vichekesho mkuu!
 
Waislam tuna amini wazi kuwa Bibilia ziko point Paulo na wenzako hawakuweza kuzigeuza zote, kuna maneno yako yako bado ya Mungu tunayafatilia, ili tuwafundishe wakristo wapi wanakosea.



Acha kujidanganya weye....! Kitabu chako
Na Imani yako haijitosherezi mpk muje kwenye biblia au ukristo.....!
 
Hicho kitu unachouliza Eiyer amekwisha kujibu mara nyingi lakini unajifanya huelewi, ndio maana Ishmael anawaambia mumpatie aya inayosema Mimi Muhammad ni mtume wa Mungu...

Halafu nilikuomba unionyeshe miujiza aliyofanya Muhammad...
Mkuu, si unafahamu Allah na Muhammad huwa hawapendi maswali. Ndio matunda ya Uislam hayo. Hawajibu maswali zaidi ya either kukimbia au pindisha mada au anzisha mada ndani ya mada. Mfano halisi, wewe angalia post zote za Gavana na dada yake kahtaan aka Bill Cosby, wao ni kuchomeka ushoga kila siku maana ndio umejaza nyoyo zao. Hakika watalipwa ushoga huko waendako.
 
Last edited by a moderator:
Siku zote mwenye imani yake huitetea,ni sawa na kuitunza familia yako,huwezi kuiacha ukaenda kutunza familia ya mtu mwingine,swala la dini gani iko sahihi subilini siku ya MUNGU katuweka kwenye safu ya hukumu.sote tunaenda sehemu moja na wote tuko sahihi ila tu tunapitia njia tofauti,hua simfagilii mtu yoyote anaedharau ukristo au anaedharau uislamu,kila mtu anapaswa kufanya yake mbele za MUNGU kwa imani yake na kumpendeza yeye kwa jadri ya uwezo wako,swala la msingi shika amri za MUNGU na ishi kama ulivyoagizwa na MUUMBA.
Njia ni moja tu, nayo ni Yesu Kristo, wengine wote watakufikisha Jehannam. Mungu wetu sis Wakristo ni tofauti na yul mpinga Mkristo na mungu wake anaye sema "la ilaha ila allah" Akimaaisha kuwa, HAKUNA MUNGU ILA ALLAH.

Huitaji science rocket education to comprehend and fathom that. Jamaa teyari kesha pinga kuwa hakuna Mungu, nini zaidi unahitaji kuelewa kuwa huyo jamaa ni Mpinga Mungu?
 
Wacha kujidanganya? Yani wakristo huwa mnachukua fake hadith na mnatafuta Qur'an zinazo ongelea mambo ya wakati wa vita mnapachika kuchafua usilam, sio hatuna tabia hizo. Wanasema uwongo njia yake ni ndogo sana, mbona mnakimbia swali langu. Kama ukristo ni dini wapi Mungu kasema tufate ukristo, au kama ni Yesu kasema wapi aliposema, na Ukristo nani kauzisha. Je ni Yesu au Paulo.
Naona unatoa povu tu.

For the sake of argument, today, for the very first time, let us use assumptions to support your fallible post.

1. Let us say, Apostle Paul is the founder of Christianity at the year 70 AD.
2. Let us say, Adam was the first Muslim since creation.

Argument:
If Allah is Akbar and Adam was a first Muslim, why- there are more Christians than Muslims in the world?

Hakika Allah sio Akbar maana kashindwa vibaya sana na Mtume Paulo. Kumbe ndio maana chuki yenu imezidi kwa Paulo aliye mshinda Allah.

Wakristo duniani ni Bilioni 3. Waislam duniani ni Bilioni 1.4. HUU NI MSIBA KWA MTUME MUHAMMAD.
 
Naona unatoa povu tu.

For the sake of argument, today, for the very first time, let us use assumptions to support your fallible post.

1. Let us say, Apostle Paul is the founder of Christianity at the year 70 AD.
2. Let us say, Adam was the first Muslim since creation.

Argument:
If Allah is Akbar and Adam was a first Muslim, why- there are more Christians than Muslims in the world?

Hakika Allah sio Akbar maana kashindwa vibaya sana na Mtume Paulo. Kumbe ndio maana chuki yenu imezidi kwa Paulo aliye mshinda Allah.

Wakristo duniani ni Bilioni 3. Waislam duniani ni Bilioni 1.4. HUU NI MSIBA KWA MTUME MUHAMMAD.

Wewe kaa na huo upumbavu wako, endelea kuabudu masanamu na kusikiliza unachoambiwa na mzungu, na siku ukiambiwa uolewe na mwanaume mwenzako usikasirike kwasababu ndio agenda ya papa na obama
 
Hawa Jamaa wanafurahisha sn ktk mambo Yao.....! Haiwezekani Biblia uipinge na usiiamini kwa madai ni kitabu alichopewa nabii nani? Alafu unakuja tena unadai kua ndani ya biblia kuna unabii wa kuja Mohammadi na una uamini huo unabii ambao Uko ndani ya kitabu usichokiamini........ Hivi ni vichekesho mkuu!
Hawa jamaa ni shida sana mkuu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom