Mi naona kama wapo sawa tu
Huyu
Adiosamigo unaweza kumuwekea maelezo ambayo yanafafanua jambo ambalo ameuliza,anakuja kuku quote halafu anauliza kitu kile kile
Tazama hapa chini ni maelezo ya mkuu
2013 ....
Haya hapa chini ni majibu ya
Adiosamigo kwa hayo maelezo hapo juu ...
Kwanza unaweza kujiuliza,huyu mtu ana matatizo gani kwasababu hapo anaweka maandiko ya Paulo ambae wanamuita majina yoote ambayo ni mabaya na wanamlaumu kwa kubadili mafundisho ya Yesu,na hapo anatumia kama ushahidi wa hoja yake,sasa inakuwaje anatumia mafundisho ya uongo kuthibitisha mafundisho ambayo yeye anadai ya ya ukweli?
Achana na hilo,mkuu
2013 kwenye hoja yake am eweka ushahidi kutoka kwenye mafundisho ya Yesu kuwa unatakiwa mwanaume uoe mwanamke mmoja na ametoa maelezo kuhusiana na maelezo ya Musa,huyu jamaa anakuja na kuuliza jambo lile lile ambalo
2013 ametolea maelezo ...
Hawa watu ni binadamu wa ajabu sana .....!