Maison club

Sasa unaandika kama upo darasa la 6B, hebu pangilia ueleweke.
 
Usijidharau bhana!
Kaka kule beach zilipaki gari 4.
Moja,range Rover yai,Ford ranger,land cruiser mkonga, Hummer,na kuna Hadi ambayo namuona kikwete uwa anapenda kutembea nayo.
Kaka hizo gari acha kabisa.
Sasa njoo kule parking ndo zipo zile za kawaida zilivyomwagika.hapo ni baa sio show room
 
Hapo ni nomaaaaa mie nilikimbia kvant 80elfu😁😁😁
 
Tulia kijana,huu mji haujaujua vizuri unaanza kutunisha misuli tukikwambia kuna Club kubwa tu imejengwa specifically sababu ya mashoga watu wamefadhili bado utaleta ubishi.kipe fursa ya kujifunza na kupokea habari mpya kichwa chako.
Mungu wangu club gani tena hio ya mashoga?[emoji30]
 
Ngojaaa nikipata kinua mgongoooo ataenda hapo
 
Sasa Kikwete alikuwa ni mtumishi tena Mkuu wa nchi kaka, ni lazima amiliki gari yenye hadhi. Issue hapa ni wewe kumiliki gari lako hata kama ni Harrier, gari ni gari kaka, si kila mtu analo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…