Maison club

Maison club

Iyo club na nyingine za hao foreigners ni chaka la top dogs kwa maana wapigaji specifically wapopo,ni sehemu ambayo wakishabutua ndio wanakuja kusplash wengine ni moja wapo ya njia nzuri ya kufanya money laundering with experience husifikiri hao vijana wanakuja hapo kutumia na cash kulipa wengi wanakunywa kiasi wanachoona kinatosha kwa siku iyo nyingine inakuja kwenye risit wanapewa cash,ogopa sana muhindi,muiran au mpakistan kwenye biashara ya club kuna vingi vinatokea back door.
Sasa unaandika kama upo darasa la 6B, hebu pangilia ueleweke.
 
Bila shaka maison club ndo club ghali nchini Tz na yenye hadhi ya five star yani nyota5. Hii night club ipo masaki mtaa wa sea cliff. Maison huwez ingia kizembe lazma ufanye booking kama guest list before hapo ndo utaruhusiwa ingia ndani.

Kwa upande wa reservation bei zao zinaanza na 220,000- 12,000,000 sio poa. Kwa wale wa kupenda pisi kali hapa kuna kila aina ya pisi mfuko wako tu.

Ukitaka ujue Tanzania watu wanatumia pesa ingia hata siku1 tu uone watu wanavotumia pesa. Sisi wengine tuendelee kuvimba kitambaa cheupe. View attachment 1992297
View attachment 1992299
View attachment 1992300
View attachment 1992301
View attachment 1992302
View attachment 1992303
View attachment 1992304
View attachment 1992305
View attachment 1992306
Hapo ni nomaaaaa mie nilikimbia kvant 80elfu😁😁😁
 
Tulia kijana,huu mji haujaujua vizuri unaanza kutunisha misuli tukikwambia kuna Club kubwa tu imejengwa specifically sababu ya mashoga watu wamefadhili bado utaleta ubishi.kipe fursa ya kujifunza na kupokea habari mpya kichwa chako.
Mungu wangu club gani tena hio ya mashoga?[emoji30]
 
Ngojaaa nikipata kinua mgongoooo ataenda hapo
 
Kaka kule beach zilipaki gari 4.
Moja,range Rover yai,Ford ranger,land cruiser mkonga, Hummer,na kuna Hadi ambayo namuona kikwete uwa anapenda kutembea nayo.
Kaka hizo gari acha kabisa.
Sasa njoo kule parking ndo zipo zile za kawaida zilivyomwagika.hapo ni baa sio show room
Sasa Kikwete alikuwa ni mtumishi tena Mkuu wa nchi kaka, ni lazima amiliki gari yenye hadhi. Issue hapa ni wewe kumiliki gari lako hata kama ni Harrier, gari ni gari kaka, si kila mtu analo.
 
Back
Top Bottom