Genio the great
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 298
- 842
Sheria za makabila zipo ila zinabidi zisiingiliane na sheria za nchi
Ikiwa ndivyo kwa nini cheti cha ndoa ambacho ni mali ya serikali kinatambua ndoa za aina Ndoa aina tatu kikristo, Kiislam na kimila? Mila manake ni nini? Mwanafasihi hebu nijuze mila ya Tanzania ama Tanganyika ni ipi?Hakuna kitu kama hicho
Hizo ni siasa tuu.
Nchi hii kisheria hakuna sheria zinazotambua ukabila na mambo yake.
Ukabila ulikufa miaka mingi baada ya kuundwa kwa Tanganyika.
Kwenye African customs and norms hakuna jina Selemani Sele wala hakuna jina Robert wala hakuna Ukristo wala uislamu.
Mkitaka kufuata utamaduni fuateni wote achenishida ni mila tumezikuta wengine wanasema kumaluza mahari mahari ni kama umemuuza mwali wengine wanataka imaliziwe
Soma written laws actHakuna kitu kama hicho
Hizo ni siasa tuu.
Nchi hii kisheria hakuna sheria zinazotambua ukabila na mambo yake.
Ukabila ulikufa miaka mingi baada ya kuundwa kwa Tanganyika.
Sheria inatambua mila na desturi kwa sababu mfano kule kwa wahaya mwanamke alikuwa haruhusiwi kumiliki ardhi lkn sheria ikaikaa kwasababu inavunja sheria za nchiHakuna kitu kama hicho
Hizo ni siasa tuu.
Nchi hii kisheria hakuna sheria zinazotambua ukabila na mambo yake.
Ukabila ulikufa miaka mingi baada ya kuundwa kwa Tanganyika.
Customary law and Islamic law is established under section 9 of the Judicature and Application of Laws Act, Chapter 358 of the Laws of Tanzania [R.E. 2002] (JALA). These are sets of rules developed through customs, practices and/or usages of Tanzanian ethnic tribes and they are accepted by Tanzanian as binding rules. UmeonaHakuna kitu kama hicho
Hizo ni siasa tuu.
Nchi hii kisheria hakuna sheria zinazotambua ukabila na mambo yake.
Ukabila ulikufa miaka mingi baada ya kuundwa kwa Tanganyika.
Sheria inatambua mila na desturi kwa sababu mfano kule kwa wahaya mwanamke alikuwa haruhusiwi kumiliki ardhi lkn sheria ikaikaa kwasababu inavunja sheria za nchi
Wakishazika hamna mtu utamuuuliza mahari akusikilize.Kwenye msiba kweli kwann wasisubir
Pesa ni mwanaharamuKama mtembezi wa mtaani nimeshuhudia jambo ambalo limenishangaza na kunistaajabisha kwa wakati mmoja na hii ni mara ya mbili kuliona hapa vingunguti je ni jambo gani? Kaa chonjo.
Ni hivi ndugu wa mke au mume kuforce kufunga ndoa na maiti
Ilikuwa juzi wakati nahangaika na shughuli zangu za kujenga taifa nikaona ndugu wamemshikia panga mwanaume kwenye msiba wa mke wake ambaye walifanikiwa kupata watoto wanne ila walikuwa hawajaoana sasa ndugu wakasema hawaziki mpaka atoe mahari na amuoe yule marehemu bwana akafikiri utani ila alikaliwa kooni mpaka ndugu wakajichanga na kutoa mahari ndo maiti ikaruhusiwa kuzikwa.
Nyingine nilipata taarifa au uitwavyo umbea kutoka kwa jirani yangu kwamba ndugu walikuwa kanisani wanasubiri maiti iingie isaliwe kwa ajili ya mazishi ambapo ndugu wa mke walitinga na vurugu kwamba ndugu yao hazikwi mpaka mahari itolewe yaani ilikuwa vurumai vurugu tupu mpaka aibu aseee, ndugu wa mme aliyefiwa walichanga milioni 2 na vitu vingine alitakiwa awasilishe, baada ya hapo ndo marehemu walienda kuzikwa.
Je ushawahi kushuhudia kama mimi utupe story yako.Tushee idea mbali mbali
Wako selemani sele.
Jamii forums news update nimepata link inayoshabiana na hii ishu.
Aibu ya mwaka: Kumbe mahari ina umuhimu sana