Maiti kutia mimba inakuwaje?

Maiti kutia mimba inakuwaje?

k

kwa ninavofaham mimi moyo na ubongo hausimam apo apo....ila tasfiri ya tendo ni mrejesho baada mtu kuhis....je ni viungo vingapi vilivosimam kazi zake mpk ubongo ufanye kazi zote hizo....
Hicho kusimama kwa uume kabla hajakata roho ndiyo chanzo, kumbuka ikifikia hivyo tayari vitangulizi vya manii vilishatoka. Hivyo zipo njiani, alikata roho kabla hajatoka.
 
Bana eehh kwani lazima tujue kila kitu? Vitu vingine tuviache tuu vipite maana havina msaada. Tujadili bombadia zetu na 1.5T tunywe maji tukojoe tukalale.
 
Hicho kusimama kwa uume kabla hajakata roho ndiyo chanzo, kumbuka ikifikia hivyo tayari vitangulizi vya manii vilishatoka. Hivyo zipo njiani, alikata roho kabla hajatoka.
sawa mkuu...ila utoka ni kama comand kutoka kwa ubungo....
 
Bana eehh kwani lazima tujue kila kitu? Vitu vingine tuviache tuu vipite maana havina msaada. Tujadili bombadia zetu na 1.5T tunywe maji tukojoe tukalale.
😀😀😀😀sawa ila dunia ya sasa ni uwazi...na kujifunza
 
Mbegu za kiume zinaweza kusurvive kwenye halijoto ya kiasi gani?
sina ufaham sana katka hilo.....ila mbegu za kiume uishiwa nguvu zake ndan ya masaa 48 baada ya kufa...na hili si tatzo
 
Jua kuwa mbegu X hukaaa masaa 72 kabla ya kufa na mbegu Y hukaaa masaaa 48 kabla ya kufa sasa hapa theory yangu ni hii hapa.
-> huyo marehemu inawezekana alikuwa ana matatizo ya moyo hivyo alipokuwa anafanya mapenzi pindi alipofika climax (kileleni) alifariki kwa mshtuko wa moyo jua kuwa moyo huongezeka mapigo pindi mtu anapokuwa anakaribia kumwaga na anapomwaga
Hivyo huyo maiti alishamwaga manii na alipofariki uume wake ulikuwa bado una chembe chembe za manii yale hivyo alipofikishwa mochwari jua kuwa mwili huwa hauwekwi kwenye freezer lile mpaka afanyiwe vipimo hivyo dada huyo alipoenda kufanya naye mapenzi manii yale yaliingia kupitia uke wake na kwenda kurutubisha yai (ina maaana alikuwa kwenye siku za hatari).
Na inavyoonekana alikuwa amegusanisha uume wa marehemu kwenye uke wake na jua kuwa si lazima uume usimame ndipo eti mimba inaweza kuingia as long as alishamwaga manii na baada ya hapo akawa in contact na uke wa huyo mdada basi mimba huingia.
 
Jua kuwa mbegu X hukaaa masaa 72 kabla ya kufa na mbegu Y hukaaa masaaa 48 kabla ya kufa sasa hapa theory yangu ni hii hapa.
-> huyo marehemu inawezekana alikuwa ana matatizo ya moyo hivyo alipokuwa anafanya mapenzi pindi alipofika climax (kileleni) alifariki kwa mshtuko wa moyo jua kuwa moyo huongezeka mapigo pindi mtu anapokuwa anakaribia kumwaga na anapomwaga
Hivyo huyo maiti alishamwaga manii na alipofariki uume wake ulikuwa bado una chembe chembe za manii yale hivyo alipofikishwa mochwari jua kuwa mwili huwa hauwekwi kwenye freezer lile mpaka afanyiwe vipimo hivyo dada huyo alipoenda kufanya naye mapenzi manii yale yaliingia kupitia uke wake na kwenda kurutubisha yai (ina maaana alikuwa kwenye siku za hatari).
Na inavyoonekana alikuwa amegusanisha uume wa marehemu kwenye uke wake na jua kuwa si lazima uume usimame ndipo eti mimba inaweza kuingia as long as alishamwaga manii na baada ya hapo akawa in contact na uke wa huyo mdada basi mimba huingia.
shukrani mkuu....lakini katika majib yako hulenga kwa mtu yule aliekuwa amekufa ikiwa eidha yupo katka utayar wa kufanya mapenz ua katka tendo....lkni taarifa ni kwamba mdada huyo kufanya mapenzi na maiti mbali mbali si mja
 
Nimeongelea iliyompa mimba mkuu na inavyoonekana kwenye ufanyaji wake wa mapenzi alikuwa anagusishana nyeti zake na za maiti
 
Nimeongelea iliyompa mimba mkuu na inavyoonekana kwenye ufanyaji wake wa mapenzi alikuwa anagusishana nyeti zake na za maiti
sawa mkuu ila ukumbuke kuwa ubongo ndio huratbu matendo yote haya....ni baada taarifa ya mait kuisi rah katka tendo na kuleta msisimko zaid....sasa je umee umekuwa koki
 
sawa mkuu ila ukumbuke kuwa ubongo ndio huratbu matendo yote haya....ni baada taarifa ya mait kuisi rah katka tendo na kuleta msisimko zaid....sasa je umee umekuwa koki
Mkuu haujanielewa hapo ni kuwa mtua akimwaga na kisha kufariki papo hapo kuna chembe chembe za manii ambazo huwa zinabaki na kutoka taratiibu baada ya kumwaga na huwa hazitegemei msukumo wa misuli hivyo hata kama uume ulilala basi zile chembe za manii zilizobaki huwe kunasisha mimba
 
Nimeongelea iliyompa mimba mkuu na inavyoonekana kwenye ufanyaji wake wa mapenzi alikuwa anagusishana nyeti zake na za maiti
na hii upelekea mzunguko wa damu kwenda mara mbili katika uwalisia wake....na taarifa upelekwa katika njia tatu kweny ubongo kuisi kwa ngozi na msisimko wa kichwa cha uume na mawazo kisha taarifa hzo utasfiriwa na kufahm kuwa wew unapata raha....hivo kuziaanda mbegu hzo kwa ajili ya kutoka....na ukumbuke kuwa ni mzunguko mwengin unaofanywa kweny makende kuleta shahawa hzo.....je vyote hvo viko hai ikiwa umekufa
 
Mkuu haujanielewa hapo ni kuwa mtua akimwaga na kisha kufariki papo hapo kuna chembe chembe za manii ambazo huwa zinabaki na kutoka taratiibu baada ya kumwaga na huwa hazitegemei msukumo wa misuli hivyo hata kama uume ulilala basi zile chembe za manii zilizobaki huwe kunasisha mimba
aaah mekupata mkuu sasa hoja yangu kuhusu maiti hiyo ambayo uandaa mbegu na kutoa mpk mimba
 
Back
Top Bottom