Maiti kutia mimba inakuwaje?

Maiti kutia mimba inakuwaje?

Umenikumbusha. Hata baada ya kutenganisha kichwa na kiwiliwili cha nyoka, kile kichwa hubaki hai kwa muda mrefu na kikikung'ata sumu yake ni ile ile.
hahaha.....kuna utofaut mkubwa kufa kwa maradhi na ghafla....kufa kwa maradhi maadhi seli hufa na baadhi ya ogani kushindwa kufanya kazi ipasavyo....na mpka unakufa inakuwa kuna badhi ya ogani kuwa tayari zimekufa au kutokua active!

lakini kufa kwa kiumbe chochote eidha kwa kumtenganisha kichwa ghafla viungo vyote uwa active na ndo maana utakuta mtu anakimbia au kichwa hana lkn kidole kinacheza au ata kichwa kupepesa macho
 
Kwangu siamini hii kitu. Kwa namna yoyote ile ila nashawishika kukubarika kwa hii propaganda kutokana na theory ya NWO.

-Ili mbegu isife haihitaji kukaa kwenye ubaridi, ndio maana wanawake sometimes wakifanya ngono siku ya hatari wanajisafisha ukeni kwa maji ya baridi kwa muda mrefu ama kunywa mengi yenye ubaridi sana. Endapo hiyo maiti ilikuwa na spermz, je hizo spermz zilikuwa kwenye joto mpaka ziwe hai masaa yote hayo? Mbegu inakaa kwa mwanamke zikiwa hai hata siku 5 sababu ndani ya uke kuna joto ila sio nje.

-Wale mnaosema kuwa maiti spermz zilikuwa njiani hivyo mapigo ya moyo yakachochea maiti itoe sperms kwa kuwa moyo bado haukusimama bado hainiingii akilini. Baada ya mtu kufariki, moyo hukaa muda gani mpaka nao unaacha kufanya kazi ya kusukuma damu? Ili mwanaume aweze kutoa spermz zake ni lazima ubongo uhusike, ubongo unapataje hisia za kutaka kuejaculate wakati damu haizunguki ipasavyo mwilini?
 
Kwangu siamini hii kitu. Kwa namna yoyote ile ila nashawishika kukubarika kwa hii propaganda kutokana na theory ya NWO.

-Ili mbegu isife haihitaji kukaa kwenye ubaridi, ndio maana wanawake sometimes wakifanya ngono siku ya hatari wanajisafisha ukeni kwa majini ya baridi kwa muda mrefu ama kunywa mengi yenye ubaridi sana. Endapo hiyo maiti ilikuwa na spermz, je hizo spermz zilikuwa kwenye joto mpaka ziwe hai masaa yote hayo? Mbegu inakaa kwa mwanamke zikiwa hai hata 5 sababu ndani ya uke kuna joto ila sio nje.

-Wale mnaosema kuwa maiti spermz zilikuwa njiani hivyo mapigo ya moyo yakachochea maiti itoe sperms kwa kuwa moyo bado haukusimama bado hainiingii akilini. Baada ya mtu kufariki, moyo hukaa muda gani mpaka nao unaacha kufanya kazi ya kusukuma damu? Ili mwanaume aweze kutoa spermz zake ni lazima ubongo uhusike, ubongo unapataje hisia za kutaka kuejaculate wakati damu haizunguki ipasavyo mwilini?
[emoji23] [emoji23] ume quite vibaya mkuu hakuna sehemu mtu yoyote aliyesema kuwa mapigi ya moyo yalisababisha maiti kumwaga hapana ni kuwa huyo mtu alikufa lakini akiwa ameshamwaga hivyo kuna mbegu chache ambazo huwa zinabaki kwenye mrija urethra na kisha kutoka pindi unapoenda kukojoa au usipokojoa hutoka zenyewe bila weqe kujua hizi ndizo zilizompa huyo bidada mimba
 
Inafikirisha na kustajabisha sana...

Itakua anafanya ngono na maiti wakati wakiwa bado moto hawajapoa vizuri...

Maiti zingine uume bado unakua umesisma...


Cc: mahondaw
 
[emoji23] [emoji23] ume quite vibaya mkuu hakuna sehemu mtu yoyote aliyesema kuwa mapigi ya moyo yalisababisha maiti kumwaga hapana ni kuwa huyo mtu alikufa lakini akiwa ameshamwaga hivyo kuna mbegu chache ambazo huwa zinabaki kwenye mrija urethra na kisha kutoka pindi unapoenda kukojoa au usipokojoa hutoka zenyewe bila weqe kujua hizi ndizo zilizompa huyo bidada mimba
Quite =Quote

Mkuu, yaani sperms zibaki njiani kisha baadae zitoke pasipo mtu kujua? Binadamu akiwa mzima tu, akikaribia kumwaga kisha kikaja kitu ambacho kikamtoa ktk mood ya sex hawezi kumwaga, ili umwage unapaswa uwe ktk hiyo mood.

Korodani zikishashuka chini sidhani kama kuna uraisi wa mtu kumwaga tena sperms.
 
Kwangu siamini hii kitu. Kwa namna yoyote ile ila nashawishika kukubarika kwa hii propaganda kutokana na theory ya NWO.

-Ili mbegu isife haihitaji kukaa kwenye ubaridi, ndio maana wanawake sometimes wakifanya ngono siku ya hatari wanajisafisha ukeni kwa majini ya baridi kwa muda mrefu ama kunywa mengi yenye ubaridi sana. Endapo hiyo maiti ilikuwa na spermz, je hizo spermz zilikuwa kwenye joto mpaka ziwe hai masaa yote hayo? Mbegu inakaa kwa mwanamke zikiwa hai hata 5 sababu ndani ya uke kuna joto ila sio nje.

-Wale mnaosema kuwa maiti spermz zilikuwa njiani hivyo mapigo ya moyo yakachochea maiti itoe sperms kwa kuwa moyo bado haukusimama bado hainiingii akilini. Baada ya mtu kufariki, moyo hukaa muda gani mpaka nao unaacha kufanya kazi ya kusukuma damu? Ili mwanaume aweze kutoa spermz zake ni lazima ubongo uhusike, ubongo unapataje hisia za kutaka kuejaculate wakati damu haizunguki ipasavyo mwilini?
dah...nashukuru kwa kuwa ndani ya mawaz yangu
 
huyo alikua bado hajafa kikamilifu.....


kama ilivo kwa sikio kuacha kufanya kazi masaa mawili mpka matatu baada ya mtu kupoteza uhai.......
 
huyo alikua bado hajafa kikamilifu.....


kama ilivo kwa sikio kuacha kufanya kazi masaa mawili mpka matatu baada ya mtu kupoteza uhai.......
nna ikumbukwe kuwa ubungo ndio uratbu shughuli zote katika hisia mfululizo mpka kutoa mbegu
 
Kazi ya maabara ni uchunguzi wa kisayansi, nae kajiongeza kufanya uchunguzi kwa njia hiyo kama alivyo agizwa...

What happened is that...
"alikuwa akitumia hiyo njia yake na kwamba mtu haitakiwa kuwekwa kwenye jokofu hadi Muda fulani upite na baada ya kuthibitisha (rejea story za mtu kufufuka anakuwa bado hajandei well au alizimia tu.) so inawezakana alikuwa hajapoa na alipimwa kuona mapigo yake ya moyo yapo vip, akijaribu kumshtua na pasi au shot lakini wapi, lakini njia mbadala ni kufanya ngono kwani huongeza spidi ya mzunguko wa damu na kufikia katika moyo na damu kuweza kwenda kuamsha ubongo na kureact fast kwamba intimacy imifika hivo mgonjwa ku ejaculate na kuweza kufa kwa sababu anakuwa hawezi kuhimili mapigo mkubwa ya moyo kwa kuwa blood pressure ilikuwa juu. Japo kwa bahati mbaya njia hii inaweza kumumaliza mgonjwa kabisa hivyo basi taarifa inayokuja kutoka ni kwamba alifanya mapenzi au alitiwa mimba na maiti "

Njia zote za kushitua mgonjwa toka usingizini zikishindikana tumia hiyo. Kama wakike tumia vidole tu.
 
Kazi ya maabara ni uchunguzi wa kisayansi, nae kajiongeza kufanya uchunguzi kwa njia hiyo kama alivyo agizwa...

What happened is that...
"alikuwa akitumia hiyo njia yake na kwamba mtu haitakiwa kuwekwa kwenye jokofu hadi Muda fulani upite na baada ya kuthibitisha (rejea story za mtu kufufuka anakuwa bado hajandei well au alizimia tu.) so inawezakana alikuwa hajapoa na alipimwa kuona mapigo yake ya moyo yapo vip, akijaribu kumshtua na pasi au shot lakini wapi, lakini njia mbadala ni kufanya ngono kwani huongeza spidi ya mzunguko wa damu na kufikia katika moyo na damu kuweza kwenda kuamsha ubongo na kureact fast kwamba intimacy imifika hivo mgonjwa ku ejaculate na kuweza kufa kwa sababu anakuwa hawezi kuhimili mapigo mkubwa ya moyo kwa kuwa blood pressure ilikuwa juu. Japo kwa bahati mbaya njia hii inaweza kumumaliza mgonjwa kabisa hivyo basi taarifa inayokuja kutoka ni kwamba alifanya mapenzi au alitiwa mimba na maiti "

Njia zote za kushitua mgonjwa toka usingizini zikishindikana tumia hiyo. Kama wakike tumia vidole tu.
Kama hilo jambo ni la kitaaluma, kwanini iwe kesi wakati ilikuwa ni njia ya kuokoa maisha ya mtu?

Mkuu, achana na hizi story, kuna mengi nyuma ya pazia juu ya hizi story.
 
Kazi ya maabara ni uchunguzi wa kisayansi, nae kajiongeza kufanya uchunguzi kwa njia hiyo kama alivyo agizwa...

What happened is that...
"alikuwa akitumia hiyo njia yake na kwamba mtu haitakiwa kuwekwa kwenye jokofu hadi Muda fulani upite na baada ya kuthibitisha (rejea story za mtu kufufuka anakuwa bado hajandei well au alizimia tu.) so inawezakana alikuwa hajapoa na alipimwa kuona mapigo yake ya moyo yapo vip, akijaribu kumshtua na pasi au shot lakini wapi, lakini njia mbadala ni kufanya ngono kwani huongeza spidi ya mzunguko wa damu na kufikia katika moyo na damu kuweza kwenda kuamsha ubongo na kureact fast kwamba intimacy imifika hivo mgonjwa ku ejaculate na kuweza kufa kwa sababu anakuwa hawezi kuhimili mapigo mkubwa ya moyo kwa kuwa blood pressure ilikuwa juu. Japo kwa bahati mbaya njia hii inaweza kumumaliza mgonjwa kabisa hivyo basi taarifa inayokuja kutoka ni kwamba alifanya mapenzi au alitiwa mimba na maiti "

Njia zote za kushitua mgonjwa toka usingizini zikishindikana tumia hiyo. Kama wakike tumia vidole tu.
mmh kwahyo kazi yake kusex na maiti tu ila sawa mekupata mkuu ila kuna hichi kitu kizuri umekiongea kwamb....wakat mwengine utumia sex kumzindua kwa kunasababisha mzunguko mkubwa wa dam na kupelekea ubongo kureact na mpka ukiwa active ujuevhuy mtu ajafa sasa hao wamekufa na kafanya mapenzi......je matendo yote yamepata permision kwa ubongo gan mkuu
 
Kama hilo jambo ni la kitaaluma, kwanini iwe kesi wakati ilikuwa ni njia ya kuokoa maisha ya mtu?

Mkuu, achana na hizi story, kuna mengi nyuma ya pazia juu ya hizi story.
naaam.....sasa huo ndo ukakasi ulio kwenye kichwa changu
 
Back
Top Bottom