Maize Wars: Kenyans out pricing Tanzanians causing Maize shortage in Tanzania.

Maize Wars: Kenyans out pricing Tanzanians causing Maize shortage in Tanzania.

Sasa kwa upande wa Tanzania kanda ya ziwa yote, makabila yanayokaa kwenye mikoa hiyo ambao kwanza ndio wenye population kubwa ya Tanzania, wanatumia udaga/makopa (unga wa mihogo) kama chakula chao kikuu pamoja na mchele sababu ya schemes za umwagiliaji kutoka kwenye ziwa Victoria kilimo cha mpunga kipo juu sana

Mahindi kule ni nadra sana kukuta yakilimwa, kanda ya ziwa wanaongoza kulima pamba, mpunga, mihogo, viazi vitamu na mazao mengine

Hii ni nzuri sababu inaleta options nyingi za vyakula na kutotegemea chakula aina moja tu.

Kwenye jedwali hapo unaweza kuona mihogo na mahindi yanaenda sambamba kwenye uzalishaji huku ndizi, viazi vitamu na mchele vikiwa sambamba havijaachana sana na mihogo na mahindi.

Unaweza sema mbona mahindi yapo juu lakini ujue kwamba mahindi tunayozalisha yanaenda kuuzwa nje ya nchi kwa wingi pamoja na kutumika kwenye matumizi yasio ya chakula kama kutengeneza vyakula vya mifugo

Lakini hayo mazao mengine kama mihogo, viazi, ndizi, mchele etc vyote vinatumika kama vyakula na haviuzwi nje kwa wingi, hivyo inapelekea kutoa taswira kwamba ndio vyakula vikuu vinavyotumika kwa wingi kuliko mahindi.
Mahindi kenya sio ya kukula ugali Tu, hivyo ulivyovitaja ina maana hamjui faida yake mahindi Kenya ni Mali gafi Kwa viwanda vingi Tu tofauti na Kula ugali by products za mahindi zinatumika Kwa pharmaceutical industry na textile industry na pia Kutengeneza mafuta ya kukula sasa usione tu mahindi ukaona ni ugali Tu.
 
Hio duty free imewekwa na east Africa community wala sio kenya chakula chote hata ngano ni duty-free Bora iwe imetoka moja wapo ya east Africa hadi sukari soma kuhusu east Africa protocol.
Tanzania hatuna huo upuuzi huo with bumper harvests year in year out! Kuanzia kipindi cha uchaguzi mpaka sasa GoK wana-subsidise price of unga!

 
Hio duty free imewekwa na east Africa community wala sio kenya chakula chote hata ngano ni duty-free Bora iwe imetoka moja wapo ya east Africa hadi sukari soma kuhusu east Africa protocol.
Tunaongelea hali ya chakula kati ya Tanzania na Kenya, Tanzania haiingizi mahindi kutoka nje hata mchele ulishapigwa marufuku

Kwa hivyo kutokana na Kenya kuwa na subsidy na duty free kwenye mazao ya vyakula lazima iyo iwe tofauti as long as Tanzania haifanyi hivyo.
 
Mahindi kenya sio ya kukula ugali Tu, hivyo ulivyovitaja ina maana hamjui faida yake mahindi Kenya ni Mali gafi Kwa viwanda vingi Tu tofauti na Kula ugali by products za mahindi zinatumika Kwa pharmaceutical industry na textile industry na pia Kutengeneza mafuta ya kukula sasa usione tu mahindi ukaona ni ugali Tu.
Nakubaliana na wewe kwenye matumizi ya mahindi kama raw materials katika bidhaa nyingi lakini Kenya hamna options nyingi za vyakula kama Tanzania kwa hiyo hata kama mnatumia mahindi katika shughuli nyingine tofauti lakini bado yanabaki kuwa ndio chakula chenu kikuu kitaifa.
 
Back
Top Bottom