Maize Wars: Kenyans out pricing Tanzanians causing Maize shortage in Tanzania.

Maize Wars: Kenyans out pricing Tanzanians causing Maize shortage in Tanzania.

Wachagga wamepakana na Wakenya? Nijuavyo warombo ndio wapo Holili

Wanyakyusa nao wamepakana na waganda? Watu wa Kigoma wamanyema, waha nao?

Zipo jamii nyingi hazili ugali kiasili

Kwanza kabisa hamna sehemu nimesema hakuna Watanzania wasiokula ugali kama chakula chao cha asili, soma kauli zangu upya, ila takwimu zenu rasmi zinasema asilimia 80% mnakula ugali kama chakula cha msingi.
Ugali ndio chakula kikuu/staple kwa Watanzania 80%, ikumbukwe kunao ambao japo ugali ndio chakula chao kikuu ila asili yao ni tofauti kama vile ndizi.
Mfano hai kwa Kenya hapa, mimi Mkikuyu, ukija kwetu Ukikuyuni, ugali sio chakula chetu cha asili, ila wengi tunauchangamkia kama chakula kikuu.
 
Alilalamika akisemaje?
Kisha ukumbuke wakulimani wanataka kuuza mahindi yao ili wapate faida ya maana
Sasa mbona mlileta kundi la mawaziri kubembeleza tuwauzie chakula?. Msumbiji, Malawi, Zimbabwe na DRC wanatutegemea, hukumbuki Waziri wenu wakati anaomba tuwauzie chakula alivyokua analalamika?
 
Alilalamika akisemaje?
Kisha ukumbuke wakulimani wanataka kuuza mahindi yao ili wapate faida ya maana
Sasa mbona mlileta kundi la mawaziri kubembeleza tuwauzie chakula?. Msumbiji, Malawi, Zimbabwe na DRC wanatutegemea, hukumbuki Waziri wenu wakati anaomba tuwauzie chakula alivyokua analalamika?
 
Sasa mbona chapati ni chakula cha anasa sana kwenu?
Chapati sio chakula cha anasa kama unavyodhania, kwa shilingi zako kumi unapata kama Street food 😊
190310-Kevin-chapati-hustla.png
 
Kwanza kabisa hamna sehemu nimesema hakuna Watanzania wasiokula ugali kama chakula chao cha asili, soma kauli zangu upya, ila takwimu zenu rasmi zinasema asilimia 80% mnakula ugali kama chakula cha msingi.
Ugali ndio chakula kikuu/staple kwa Watanzania 80%, ikumbukwe kunao ambao japo ugali ndio chakula chao kikuu ila asili yao ni tofauti kama vile ndizi.
Mfano hai kwa Kenya hapa, mimi Mkikuyu, ukija kwetu Ukikuyuni, ugali sio chakula chetu cha asili, ila wengi tunauchangamkia kama chakula kikuu.
Sio kweli kwamba 80% ya Watanzania wanatumia ugali (hasa wa Mahindi) kama chakula kikuu

Zaidi ya 60% ya Watanzania wapo vijijini na bado wanaendeleza hizo desturi zao kwenye vyakula, mijini sawa kabisa kwamba ugali ndio chakula kilichozoeleka lakini hata huko mijini ugali unaweza kuliwa mara 2 kwa week au nyumba nyingi ugali hupikwa mchana tu, usiku ni wali, Ndizi, chapati, tambi etc

Hata ukienda kwa mamantilie chakula kikuu wanachouza zaidi ni wali huku chakula kinachoongoza kuuzwa kwenye Bar ni chips na ndizi kwa nyama ya kuku ng'ombe samaki
 
Sio kweli kwamba 80% ya Watanzania wanatumia ugali (hasa wa Mahindi) kama chakula kikuu

Zaidi ya 60% ya Watanzania wapo vijijini na bado wanaendeleza hizo desturi zao kwenye vyakula, mijini sawa kabisa kwamba ugali ndio chakula kilichozoeleka lakini hata huko mijini ugali unaweza kuliwa mara 2 kwa week au nyumba nyingi ugali hupikwa mchana tu, usiku ni wali, Ndizi, chapati, tambi etc

Hata ukienda kwa mamantilie chakula kikuu wanachouza zaidi ni wali huku chakula kinachoongoza kuuzwa kwenye Bar ni chips na ndizi kwa nyama ya kuku ng'ombe samaki

Hiyo 80% niliitoa sehemu kwenye statistics zenu, subiri nitaisaka na kuileta, halafu mama nitilie wa Dar ni tofauti na wa mikoani.
Wanaume wa Dar mnafagamika kwa vyepe na vitu vilaini vilaini.
 
Hiyo 80% niliitoa sehemu kwenye statistics zenu, subiri nitaisaka na kuileta, halafu mama nitilie wa Dar ni tofauti na wa mikoani.
Wanaume wa Dar mnafagamika kwa vyepe na vitu vilaini vilaini.
Bahati mbaya hata siishi Dar.
 
Kweli kabisa na sufuria la mama nitilie la wali ni kubwa Mara 4 ya la ya ugali kwa kila mama lishe
Sio kweli kwamba 80% ya Watanzania wanatumia ugali (hasa wa Mahindi) kama chakula kikuu

Zaidi ya 60% ya Watanzania wapo vijijini na bado wanaendeleza hizo desturi zao kwenye vyakula, mijini sawa kabisa kwamba ugali ndio chakula kilichozoeleka lakini hata huko mijini ugali unaweza kuliwa mara 2 kwa week au nyumba nyingi ugali hupikwa mchana tu, usiku ni wali, Ndizi, chapati, tambi etc

Hata ukienda kwa mamantilie chakula kikuu wanachouza zaidi ni wali huku chakula kinachoongoza kuuzwa kwenye Bar ni chips na ndizi kwa nyama ya kuku ng'ombe samaki
 
Huwa nawaambia hawa kwamba hela yetu ndio kila kitu kwao, sasa ona wanasababisha njaa kwao wakifuata hela yetu.
As long as we get benefited from your pockets,You hunger infected failed state [emoji3]
 
Kweli kabisa na sufuria la mama nitilie la wali ni kubwa Mara 4 ya la ya ugali kwa kila mama lishe
Kuna mantilie wengi tu hawapiki kabisa ugali sababu hauna wateja au wanapika kidogo kwa wale wateja wanaotaka, wanapika wali kwa wingi, pilau, ndizi, chips
 
At least Watanzania wafurahi kidogo najua vyuma vimekaza mbaya Sana humo kwa jinsi wamejaa humu na pia Nvhini Kenya wakiomba omba.

Samatta vs Liverpool
Screenshot_20191106-182906.png

Screenshot_20191106-183850.png

Origi
Screenshot_20191106-183918.png
 
hii ni ya mwaka huu, ina maana ni mfumo wa kawaida Kenya

Hii inaonesha ni namna gani suala la chakula lilivyo serious Kenya, wakati wakulima wa Tanzania wanaomba mahindi yapande bei ili wauze kwa faida zaidi

Marekani wanaita stamp food (chakula chenye ruzuku ya serikali) huwa wanapewa homeless people wale masikini wa mwisho kabisa wanakula ila wanachukia sana hiyo hali, it's kind of insult huko US ukimuambia mtu anaishi kwa stamp food
Basi wewe huelewi jinsi Kenya cereal and produce board operates, Kenya wakulima wote wakisha vuna mazao Yao kerikali hua inanunua mahindi kutoka Kwa wakulima magala yakijaa wenye viwanda pia wanaruhusiwa kununua halafu kama kuna uhaba wa mahindi labda wenye viwanda mamemaliza stoku Yao serikali kupitia KCPB inawauzia mahindi Kwa bei ya chini Kwa mfano serikali imenunua gunia la mahindi kilo 90 Kwa 2500 itawauzia wenye viwanda Kwa 2800 badala ya 3500 hio ina maana bei ya unga itakua chini maana compared na Yale mahindi ya kutoka inje ya nchi hao KCPB ndio Wana monitor Hali nzima ya chakula nchini.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Wakurya wanakula kichuri na madaga, unga wa mihogo uliochanganywa na mtama pia wanakunywa uji wa mchele, hivyo ndio vyakula vyao vya asili, ugali wa Mahindi hawali
Wakuria wa Tanzania sio wakuria wa Kenya,wakuria wa Kenya wanakula ugali,ugali kila kabila Kenya wanakula hadi wasomali.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Wakurya wanakula kichuri na madaga, unga wa mihogo uliochanganywa na mtama pia wanakunywa uji wa mchele, hivyo ndio vyakula vyao vya asili, ugali wa Mahindi hawali
Kenya sio rahisi upate ugali wa mihogo hata mihogo Kenya haipatikani Kwa wingi kidogo wanalima kwale,kilifi na kwa kiasi kidogo maeneo ya ukambani kitu ambacho kinatumika Sana Kenya Kwa ugali ni mahindi.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Basi wewe huelewi jinsi Kenya cereal and produce board operates, Kenya wakulima wote wakisha vuna mazao Yao kerikali hua inanunua mahindi kutoka Kwa wakulima magala yakijaa wenye viwanda pia wanaruhusiwa kununua halafu kama kuna uhaba wa mahindi labda wenye viwanda mamemaliza stoku Yao serikali kupitia KCPB inawauzia mahindi Kwa bei ya chini Kwa mfano serikali imenunua gunia la mahindi kilo 90 Kwa 2500 itawauzia wenye viwanda Kwa 2800 badala ya 3500 hio ina maana bei ya unga itakua chini maana compared na Yale mahindi ya kutoka inje ya nchi hao KCPB ndio Wana monitor Hali nzima ya chakula nchini.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ndio hiyo subsidiary ninayoisema na hata waingizaji wa Mahindi kutoka nje ya nchi wanapata duty free privilege, yote hiyo ni subsidy ili kufanya bei ya unga kuwa chini tofauti na Tanzania ambayo inafanya hivyo kwenye imputs za kilimo

Matokeo yake ni kuwa na bumper harvest na kupelekea mazao kuwa na bei chini, hata Tanzania ipo bodi ya mazao ya nafaka ambayo hununua kutoka kwa wakulima lakini hata wakinunua bado ni kiasi kidogo sana Sidhani hata 5% wanafikia.

Mahindi mengi saivi yananunuliwa na wenye viwanda vya kutengeneza chakula cha Mifugo angalau ndio wamesaidia kufanya demand saturation.
 
Wakuria wa Tanzania sio wakuria wa Kenya,wakuria wa Kenya wanakula ugali,ugali kila kabila Kenya wanakula hadi wasomali.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Sasa kwa upande wa Tanzania kanda ya ziwa yote, makabila yanayokaa kwenye mikoa hiyo ambao kwanza ndio wenye population kubwa ya Tanzania, wanatumia udaga/makopa (unga wa mihogo) kama chakula chao kikuu pamoja na mchele sababu ya schemes za umwagiliaji kutoka kwenye ziwa Victoria kilimo cha mpunga kipo juu sana

Mahindi kule ni nadra sana kukuta yakilimwa, kanda ya ziwa wanaongoza kulima pamba, mpunga, mihogo, viazi vitamu na mazao mengine

Hii ni nzuri sababu inaleta options nyingi za vyakula na kutotegemea chakula aina moja tu.

Kwenye jedwali hapo unaweza kuona mihogo na mahindi yanaenda sambamba kwenye uzalishaji huku ndizi, viazi vitamu na mchele vikiwa sambamba havijaachana sana na mihogo na mahindi.

Unaweza sema mbona mahindi yapo juu lakini ujue kwamba mahindi tunayozalisha yanaenda kuuzwa nje ya nchi kwa wingi pamoja na kutumika kwenye matumizi yasio ya chakula kama kutengeneza vyakula vya mifugo

Lakini hayo mazao mengine kama mihogo, viazi, ndizi, mchele etc vyote vinatumika kama vyakula na haviuzwi nje kwa wingi, hivyo inapelekea kutoa taswira kwamba ndio vyakula vikuu vinavyotumika kwa wingi kuliko mahindi.
 
Ndio hiyo subsidiary ninayoisema na hata waingizaji wa Mahindi kutoka nje ya nchi wanapata duty free privilege, yote hiyo ni subsidy ili kufanya bei ya unga kuwa chini tofauti na Tanzania ambayo inafanya hivyo kwenye imputs za kilimo

Matokeo yake ni kuwa na bumper harvest na kupelekea mazao kuwa na bei chini, hata Tanzania ipo bodi ya mazao ya nafaka ambayo hununua kutoka kwa wakulima lakini hata wakinunua bado ni kiasi kidogo sana Sidhani hata 5% wanafikia.

Mahindi mengi saivi yananunuliwa na wenye viwanda vya kutengeneza chakula cha Mifugo angalau ndio wamesaidia kufanya demand saturation.
Hio duty free imewekwa na east Africa community wala sio kenya chakula chote hata ngano ni duty-free Bora iwe imetoka moja wapo ya east Africa hadi sukari soma kuhusu east Africa protocol.
 
Back
Top Bottom