Kama hayo ni ya kweli taja majina ya Watanzania wanaounda hiyo Kamati.
Waziri Wa katiba na sheria, prof. Kabudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hayo ni ya kweli taja majina ya Watanzania wanaounda hiyo Kamati.
Nilitaka nikulaani lkn nikakumbuka siruhusiwi kulaani bali kubariki.Mchawi unaombea nchi kufilisika lakini kwa Magufuri kila goti litapigwa ,
Wanafikinafiki watu wa kupakazia!
Nilitaka nikulaani lkn nikakumbuka siruhusiwi kulaani bali kubariki.
Hakuna goti litakalopigwa kwa magufuli.
Bali kwa Mungu kila goti litapigwa.
Mkuu wewe sio mzalendo, thredi gani hii!
Mkuu wewe sio mzalendo, thredi gani hii!
Watasubiri sana, Magufuli ni mbabe kwa wanyonge na wajinga wa nchi yake tu. Kwa Wazungu ubabe utoke wapi?Mikataba imesainiwa kisheria kwann wapige goti?????
huyu anafikiri wazungu n wajinga kiasi hicho...
Mchawi unaombea nchi kufilisika lakini kwa Magufuri kila goti litapigwa ,
habari mbaya kwa maBashite!
tuwekee chanzo chako iko nasi tukiamini, out of that mod wafute uzi huku kwani unadalili za kupimwa mkojo
Wewe unaishi nchi gani au ndiyo zile ndoto za fisi kuvizia mkono wa binadamu udondoke. Au ya sungura "hizo ni mbichi".Hii habari siyo nzuri kwa Wanalumumba
= Magufuli
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Frustrations za bwana fulani bila shaka ni matokeo ya mazungumzo kwenda vibaya na hizo frustrations ndio zinapelekea kuita wasaidi wake wapumbavu,kuwaambia watumishi anaeon mshahara hautoshi akalime,n.k.
Kungekuwa na dalili ya kulipwa hizi kauli tusingezisikia kipindi hiki na badala yake angeanza kujitapa majukwaani na kupiga vijembe wapinzani kuwa wasubiri kuumbuka(angetamka hata kwa mafumbo).