mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,806
- 3,996
Sasa hivi tuna maprofesa wachache tunaowaamini waliobaki ni watumwa wa wanasiasaKuamini ma-Prof wa kitanzania hakujawahi muacha mtu salama...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi tuna maprofesa wachache tunaowaamini waliobaki ni watumwa wa wanasiasaKuamini ma-Prof wa kitanzania hakujawahi muacha mtu salama...
Utakuja kukana kauli yako hapahapa muda utaongea
Hivi ktk majadiliano hayo Ndugai,Mkuchika wamo? Maana Kabudi angejidai " kutoa"ka-lecture" kwa kulindwa na "kanuni!"Waziri Wa katiba na sheria, prof. Kabudi
Hivi hawa wanaume bado tu wapo nchi hii? Mimi nikajua mambo yalishakwisha mubashahara na Noah zetu tunakaribia kupata...!!Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma. Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana
Umejibu vizuri sanaaaaaaaaaaaa
Lumumba wanapiga tu porojo...wazungu siyo wajinga....
Dua gani juu ya waliotufikisha hapa na sheria/mikataba hiyo?Wewe unaishi nchi gani au ndiyo zile ndoto za fisi kuvizia mkono wa binadamu udondoke. Au ya sungura "hizo ni mbichi".
Tukikosa tutakosa WaTZ wote, ila hiyo ni ndoto na dua yenu. Tukipata tumepata wote waTZ, na hiyo ni changamoto yenu ifikapo 2020, maana tutarejea dua zenu mbaya.
Huyu jamaa ni habari leo sio mzalendoMkuu wewe sio mzalendo, thredi gani hii!
We endelea kueneza habari za uongo, hii sio sawa na kuvujisha siri za kikao cha CCM au Chadema. Jiulize kwa nini wale waliokuwa wanapiga kelele kabla ya mazungumzo sasa hivi wapo kama wamemwagiwa maji!!Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma. Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana
Tatizo lako wewe unaamini wazungu ndiyo wanatuibia badala ya kuangalia mkataba uliotufikisha hapa. Badala ya kutafuta vifungu vinavyoruhusu kufanya review ya mkataba ili tunufaike Pogba anaunda kamati ili kutengeneza uongo atafute kiki! Mzungu sio mjinga lazima mtaula wa chuyaUmeamka unaota ndoto na tamaa yako na kuishia kuandika unachotamani kiwe kinatokea.. subiri wenzako mdamganyane. Jaribu tena lingine.. kumbuka makontena bado yapo paleeee..
Ata kama mimi ni mwanaccm kwakweli tunaendelea kufanya makosa yale yale...Inakuaje unajadiriana na mwizi?Yaani kampuni ni hewa iliyotuibia leo mnatuambia mnajadiriana nao ?Tusitengeneze mazingira ya kuiba jamani. Watu warusiwe kuchukua dhahabu kwenye hiyo migodi ili wanafaike maana hao ni weziJapo Ccm Siipendi Ila Ni Kosa La Jinai Kuungana Na Mzungu Hata Kama Hoja Zetu Hazina Mashiko Zile Ni Maliasili Za Taifa Waliotangulia Walikosea Tuokoe Hata Hiki Kidogo Hata Kwa Mabavu Unafurahia Unyonywaji!!!!
Sawa hawakua wazalendo ndio maana Rais aliyepo ameamua kubadilisha sasa wanaojiita wapinzan mbona wanapnga kila kitu ad jema?Waliosaini hizo mikataba ndo hawakuwa wazalendo waliweka matumbo yao mbele....
Inakuwaje unasaini mkataba unaokubatia 4% mwenzako anapata 96% wakati Mali n yao???????
tuanzie hapo kwanza.....
Mkuu wewe sio mzalendo, thredi gani hii!
inaongozwa na Profesa kabudiKama hayo ni ya kweli taja majina ya Watanzania wanaounda hiyo Kamati.
Endeleen kuitakia nchi mabaya wazee wa MIGA but am telling you mtakwama nyie na maboss wenu na si Tanzaniahahahaha! hivi unajuwa maana ya kusurrender au unabwabwaja tu. wangesurrender hata tusiingia kwenye mazungumzo tena huku nyuma wakiendelea kutoa matamko tata. think big