Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Frustrations za bwana fulani bila shaka ni matokeo ya mazungumzo kwenda vibaya na hizo frustrations ndio zinapelekea kuita wasaidi wake wapumbavu,kuwaambia watumishi anaeon mshahara hautoshi akalime,n.k.

Kungekuwa na dalili ya kulipwa hizi kauli tusingezisikia kipindi hiki na badala yake angeanza kujitapa majukwaani na kupiga vijembe wapinzani kuwa wasubiri kuumbuka(angetamka hata kwa mafumbo).

Kwa kifupi angeanza kutangaza ushindi mepema kwa kutumia lugha za mafumbo wakati akisubiri muda muafaka wa kutangaza ushindi/kutoa taarifa rasimi.

kabisa mkuuu
 
Mchawi unaombea nchi kufilisika lakini kwa Magufuri kila goti litapigwa ,
Anayestahiki kupigiwa goti ni Mungu pekee. Hiyo nukuu ya Biblia ililenga ibada kwa Mungu pekee si kwa mwanadamu. Mahaba yenu kwa binadamu yasiwafanye mkamkufuru Mungu.
 
Ni ngumu sana kwa Mswahili kumshinda Mzungu kwa hoja. Ilitakiwa Tanzania ikodi wazungu wa kutusaidia kunegotiate alafu tungewaahidi wale percent kadhaa.
Niliposikia kamati imejumuisha mtu wa hovyo kama Kabudi ambaye hana hata vyeti vilivyokamilika, nikajua tu tumekwisha!
Don't dare me. Hahaha mzee wa KUBAGAZANA. Wangemwomba Lisu hilo ni jembe Ulaya.
 
Anayestahiki kupigiwa goti ni Mungu pekee. Hiyo nukuu ya Biblia ililenga ibada kwa Mungu pekee si kwa mwanadamu. Mahaba yenu kwa binadamu yasiwafanye mkamkufuru Mungu.

Lumumba hayo, yanaona huyo ndiye anayepaswa kupigiwa magoti na kila mtu
 
kabisa mkuuu

Magufuli n mtu ajabu sana! hii ni sawa na kusema mke wangu n mpambavu mbele ya umma wakati n msaidizi wako pale nyumbani....

Hiv alifikiria kabla ya kutamka???? unamteuaje mtu mpumbavu??? si umwondoe wakat mamlaka unae???
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma. Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana
Mmeanza single mpya wazee wa MIGA. .mlianza kusema tutashtakiwa. ..pili Barrick hawaji kujadiliana. .. wamekuja sasa mnasema et kamati ya majadiliano imekwama. ..acheni ramli najua mnaumia sana kwanza wazungu kussurrender kwa JPM na majadiliano kuanza tena yakiwa ya siri. ..ngojen pesa ikitolewa mseme imetolewa dolar si Euro...kuna watu hawana uzalendo walitakiwa wapewe adhabu ya kulima heka 10 kila ssku kwa mkono na vboko 50 kila sku
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma. Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana
Ayaaaahh! Naoh yangu ishaanza kuyeyuka!
 
Mmeanza single mpya wazee wa MIGA. .mlianza kusema tutashtakiwa. ..pili Barrick hawaji kujadiliana. .. wamekuja sasa mnasema et kamati ya majadiliano imekwama. ..acheni ramli najua mnaumia sana kwanza wazungu kussurrender kwa JPM na majadiliano kuanza tena yakiwa ya siri. ..ngojen pesa ikitolewa mseme imetolewa dolar si Euro...kuna watu hawana uzalendo walitakiwa wapewe adhabu ya kulima heka 10 kila ssku kwa mkono na vboko 50 kila sku

hahahaha! hivi unajuwa maana ya kusurrender au unabwabwaja tu. wangesurrender hata tusiingia kwenye mazungumzo tena huku nyuma wakiendelea kutoa matamko tata. think big
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma. Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana
Usiwe na kiherehere tulia

taarifa rasmi itawekwa hadharani
 
Mmeanza single mpya wazee wa MIGA. .mlianza kusema tutashtakiwa. ..pili Barrick hawaji kujadiliana. .. wamekuja sasa mnasema et kamati ya majadiliano imekwama. ..acheni ramli najua mnaumia sana kwanza wazungu kussurrender kwa JPM na majadiliano kuanza tena yakiwa ya siri. ..ngojen pesa ikitolewa mseme imetolewa dolar si Euro...kuna watu hawana uzalendo walitakiwa wapewe adhabu ya kulima heka 10 kila ssku kwa mkono na vboko 50 kila sku

Waliosaini hizo mikataba ndo hawakuwa wazalendo waliweka matumbo yao mbele....

Inakuwaje unasaini mkataba unaokubatia 4% mwenzako anapata 96% wakati Mali n yao???????

tuanzie hapo kwanza.....
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma. Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana
Serikali hii inazidi kunishangaza kila mara wanahubiri kubana matumizi lakini ajabu kuna kamati mojawapo ya kuchunguza makinikia ina karibu miezi miwili wamepanga vyumba kwenye hotel ya southern sun ambapo chumba kimoja ni usd 230 haieleweki inafanya kazi gani pale
 
Hizi kamati zilidanganya umma ndo maana wanashindwa kuzipangua hoja za wathungu,walifanya uchunguzi kumfurahisha Mkulu

Waliotuibia ni watanzania wwnzetu Wala siyo wathungu.....

Kuwa mwafrika n tabu kweli kweli
Utakuja kukana kauli yako hapahapa muda utaongea
 
Back
Top Bottom