Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mungu wa lumumba unatoa laana hovyo hovyo kama mikataba mibovu mliyosaini wazee wa ndiooooMjue laana ya Baadhi ya Watanzania kama mleta mada inaanzia hapa kwenye mawazo finyu na kutoitakia kheri nchi yetu..
Mlaaniwe wote msio itakia mema nchi ya Baba,Mama na Mababu zetu..
Na hayaendi kokote! Uzalendo gani huu?! Wafikiri Wamarekani na wenye Ulaya wako kama sisi na tabia zetu zisizo za kizalendo?! Nenda kule kawaibie chochote uone kitakachokutokea, kwanza wanakufunga, baada ya hapo mkuku mkuku na minyororo mpaka JK Nyerere Airport!Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano.....
Wewe unaishi nchi gani au ndiyo zile ndoto za fisi kuvizia mkono wa binadamu udondoke. Au ya sungura "hizo ni mbichi".
Tukikosa tutakosa WaTZ wote, ila hiyo ni ndoto na dua yenu. Tukipata tumepata wote waTZ, na hiyo ni changamoto yenu ifikapo 2020, maana tutarejea dua zenu mbaya.
Hakuna anayepinga "nia njema" Bali namna ya kuifikia hiyo nia!Sawa hawakua wazalendo ndio maana Rais aliyepo ameamua kubadilisha sasa wanaojiita wapinzan mbona wanapnga kila kitu ad jema?
Japo Ccm Siipendi Ila Ni Kosa La Jinai Kuungana Na Mzungu Hata Kama Hoja Zetu Hazina Mashiko Zile Ni Maliasili Za Taifa Waliotangulia Walikosea Tuokoe Hata Hiki Kidogo Hata Kwa Mabavu Unafurahia Unyonyaji !!!!
Japo Ccm Siipendi Ila Ni Kosa La Jinai Kuungana Na Mzungu Hata Kama Hoja Zetu Hazina Mashiko Zile Ni Maliasili Za Taifa Waliotangulia Walikosea Tuokoe Hata Hiki Kidogo Hata Kwa Mabavu Unafurahia Unyonyaji !!!!
Mbona hayo matrilioni yameshapelekwa ufipa. Mbowe hajakugawia bado?Mkubwa alishatuambia kuwa hao wanaume walishakubali kulipa hizo Trilion 108 na sisi wananzengo tunasubiri NOAH zetu kwa hamu sasa hiyo kauli sisi hatuitambui!!
Mkuu niwekee ka video nimsikia mkuu akituahidi noah. mi hii kauli naisoma humu tu.Mkubwa alishatuambia kuwa hao wanaume walishakubali kulipa hizo Trilion 108 na sisi wananzengo tunasubiri NOAH zetu kwa hamu sasa hiyo kauli sisi hatuitambui!!
Umebaki kulalamika mtandaoni huku umejificha. Sasa sijui hii itakusaidiaje.Tanzania haijawahi kuwa na kiongozi wa hovyo kama aliyepo sasa toka kung'atuka kwa Mwl Nyerere
Another insinuating!Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma. Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana
Unamaanisha mwl nyerere alikua wa hovyo hvyo waliofuatia wooote baada yake hatukupata mwingne wa hovyo mpka 2015 alipokuja huyu aliepo sasa????Tanzania haijawahi kuwa na kiongozi wa hovyo kama aliyepo sasa toka kung'atuka kwa Mwl Nyerere
Sawa hawakua wazalendo ndio maana Rais aliyepo ameamua kubadilisha sasa wanaojiita wapinzan mbona wanapnga kila kitu ad jema?
Hata sifa za Uungu uzijui tabu kweli kweli Binadamu kumfaninsha na Mungu!Wewe ni mungu wa lumumba unatoa laana hovyo hovyo kama mikataba mibovu mliyosaini wazee wa ndioooo
Wewe utakuwa mwathirika wa vyeti fekiTanzania haijawahi kuwa na kiongozi wa hovyo kama aliyepo sasa toka kung'atuka kwa Mwl Nyerere
Hivyo hao wazungu wanakusaidia nini??Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma. Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana
Acha kufuru, tafadhali muombe Mungu msamaha haraka, tena leo j.pili.
Behind the scene tunaofanya kazi within the mining sector productions zinaendelea vizuri sana na makinikia yanasafirishwa kama hakuna kilichotokea vile.Umeamka unaota ndoto na tamaa yako na kuishia kuandika unachotamani kiwe kinatokea.. subiri wenzako mdamganyane. Jaribu tena lingine.. kumbuka makontena bado yapo paleeee..