Nsibhwene
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 293
- 217
Sitegemei Mtanzania mwenye akili timamu asherehekee sisi kupoteza katika majadiliano yanayoendelea.
ni lazima ieleweke kwamba, pamoja na kwamba mikataba na sheria zinatubana lakini hawa jamaa wametuibia sana sana sana. Wametuibia kwa kushirikiana na Watanzania. Hivyo juhudi zozote zinazofanywa na serikali kurekebisha dosari hizi lazima ziungwe mkono sambamba na ku recover kiasi fulani cha fedha ambazo tulikuwa tunaibiwa kwa kutumia sheria zetu wenyewe.
Hovyo kabisa. Yaani Bunge linaenda kutunga sheria eti Mchanga ni mali ya Accasia wakati kwenye mchanga kuna dhahabu na madini mengine lukuki. Bunge letu limekuwa likipofushwa macho kila uchao na hawajifunzi hawa jamaa wazee wa mihemko na kupiga meza.
Nina mashaka na lile la Tanzanite kama litakuwa na Jipya maana kamati iliyoundwa kuchunguza imeundwa na hawa hawa wazee wa mihemko na kupiga meza. Siju Credibility yao ikoje.
Inakera sana kutufanya watu wengine tuanze kuhoji credibility za vyombo muhimu kama hivi hasa katika michakato yao ya kufana maamuzi kwa nia ya kukomoana kisa tu hoja Haijatokea rangi ya Yanga.
ni lazima ieleweke kwamba, pamoja na kwamba mikataba na sheria zinatubana lakini hawa jamaa wametuibia sana sana sana. Wametuibia kwa kushirikiana na Watanzania. Hivyo juhudi zozote zinazofanywa na serikali kurekebisha dosari hizi lazima ziungwe mkono sambamba na ku recover kiasi fulani cha fedha ambazo tulikuwa tunaibiwa kwa kutumia sheria zetu wenyewe.
Hovyo kabisa. Yaani Bunge linaenda kutunga sheria eti Mchanga ni mali ya Accasia wakati kwenye mchanga kuna dhahabu na madini mengine lukuki. Bunge letu limekuwa likipofushwa macho kila uchao na hawajifunzi hawa jamaa wazee wa mihemko na kupiga meza.
Nina mashaka na lile la Tanzanite kama litakuwa na Jipya maana kamati iliyoundwa kuchunguza imeundwa na hawa hawa wazee wa mihemko na kupiga meza. Siju Credibility yao ikoje.
Inakera sana kutufanya watu wengine tuanze kuhoji credibility za vyombo muhimu kama hivi hasa katika michakato yao ya kufana maamuzi kwa nia ya kukomoana kisa tu hoja Haijatokea rangi ya Yanga.