Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Mkuu subiri kwanza mazungumzo yamalizike au yavunjike.
 
Japo Ccm Siipendi Ila Ni Kosa La Jinai Kuungana Na Mzungu Hata Kama Hoja Zetu Hazina Mashiko Zile Ni Maliasili Za Taifa Waliotangulia Walikosea Tuokoe Hata Hiki Kidogo Hata Kwa Mabavu Unafurahia Unyonyaji !!!!
Mi mzungu nampenda sana hasa nikijua kwamba ndie aliyeniletea mambo ya A B C .. na "a e i o u".
 
Kwanza ka isa shetani hayupo.

Tuache kudanganyana.

Tuchukue responsibility wenyewe.

Habari za kusingiia Shetani na Mungu ambao hawapo ni chanzo kikubwa cha umasikini.

Sent from my Kimulimuli
Ndugu zinduka.Renown scientists now admit that the God who created the Universe exists,who are you to deny his existence.Soma hapa mkuu uone jinsi wanasayansi wakubwa wanavyozinduka,sembuse wewe. Google hapa "World renown scientist says he has found proof of God." Google pia hapa, "12 Famous Scientists on the possibility of God."

Mkuu nakupa ushauri wa bure.Hupotezi lolote kwa kuamini kwamba Mungu yupo,infact ni faida kwako.Lakini kama usipoamini kwamba yupo ni hatari sana kwako.Imagine a situation ambapo unaamini kwamba hayupo, halafu anatokea kama alivyoahidi,itakuwaje kwa upande wako?Believe me,ni bora kuamini kwamba yupo,halafu asiwepo,kuliko kuamini kwamba hayupo halafu umkute,itakuwa kilio na kusaga meno.

Please change your mind.
 
Umeamka unaota ndoto na tamaa yako na kuishia kuandika unachotamani kiwe kinatokea.. subiri wenzako mdamganyane. Jaribu tena lingine.. kumbuka makontena bado yapo paleeee..
Tena baadhi ya makontena hayo yana matofali ya pure gold ndani ya huo mchanga yaliyosababisha kontena hizo kuzidi uzito toka tani 20 hadi 25 au 30. Walipooneshwa wali lose consciousness!

Hawana pa kutokea. Wakishindwa kutulipa tunabinafisha hiyo migodi na kuwapa akina msukuma na akina mura bure.
 
Ndugu zinduka.Renown scientists now admit that the God who created the Universe exists,who are you to deny his existence.Soma hapa mkuu uone jinsi wanasayansi wakubwa wanavyozinduka,sembuse wewe. Google hapa "World renown scientist says he has found proof of God." Google pia hapa, "12 Famous Scientists on the possibility of God."

Mkuu nakupa ushauri wa bure.Hupotezi lolote kwa kuamini kwamba Mungu yupo,infact ni faida kwako.Lakini kama usipoamini kwamba yupo ni hatari sana kwako.Imagine a situation ambapo unaamini kwamba hayupo, halafu anatokea kama alivyoahidi,itakuwaje kwa upande wako?Believe me,ni bora kuamini kwamba yupo,halafu asiwepo,kuliko kuamini kwamba hayupo halafu umkute,itakuwa kilio na kusaga meno.

Please change your mind.
1. Argument from authority hata wasioamini Mungu wanaweza kusema kuna wanasayansi mashuhuri hawaamini Mungu yupo, wakakupa sources nzuri tu na arguments nzuri tu.Kwa hiyo hii haina uzito. Hizi habari za kukubali kitu kwa sababu ya authority zilishapitwa na wakati. Za kuambiwa changanya na zako, usikubali kitu kwa sababu mwanasayansi mashuhuri tu kasema.

Watu walioamini vitu kwa sababu mwanasayansi mashuhuri kasema walirudisha nyuma maendeleo ya sayansi kwa miaka 1600 kwa sababu waliamini maneno ya Aristotle tu miaka yote hiyo.Kwa sababu Aristotle alikuwa mwanasayansi mashuhuri. Mpaka Galileo alipofanya experiment katika mnara wa Pisa na kugundua kwamba Aristotle alichosema kuhusu mass na kuanguka si sahihi.

Kwa hiyo usipende kukubali kitu kwa sababu wanasayansi mashuhuri tu wamesema,Chunguza,

Unaweza kuamini maneno ya Aristotle wa leo ukarudisha nyuma maendeleo ya elimu kwa miaka 1600 na wewe.

2. Hiyo habari ya "hupotezi lolote kwa kuamini Mungu yupo" ni Pascal's Wager. Ni uongo na ujinga.

Kama Mungu hayupo, na wewe unaamini Mungu yupo, na unatoa sadaka maisha yako yote ili umpendeze Mungu, unatumia muda wako ili uende kanisani ili umpendeze Mungu, unaishi kwa hofu kwa kumuogopa Mungu, katika maisha yako utakuwa umepoteza hela nyingi sana, umepoteza muda mwingi sana na umepoteza amani sana kwa kumuogopa Mungu ambaye hayupo. Kwa hiyo kusema "hupotezi lolote kwa kuamini Mungu yupo" kaama Mungu hayupo inakuwa si kweli.Unapoteza mengi sana kwa kuogopa kitu ambacho hakipo.
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Shetani amekuingia rohoni mwako, uzalendo kwako hakuna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi kamati zilidanganya umma ndo maana wanashindwa kuzipangua hoja za wathungu,walifanya uchunguzi kumfurahisha Mkulu

Waliotuibia ni watanzania wwnzetu Wala siyo wathungu.....

Kuwa mwafrika n tabu kweli kweli
Hata wewe mkuu unaamini Hizo maneno
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Unataka kunuambia [emoji117] [emoji200] tunaikosa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi kamati zilidanganya umma ndo maana wanashindwa kuzipangua hoja za wathungu,walifanya uchunguzi kumfurahisha Mkulu

Waliotuibia ni watanzania wwnzetu Wala siyo wathungu.....

Kuwa mwafrika n tabu kweli kweli

Kama kamati zilidanganya kwa kiwango unachotaka tuamini basi hoja ya kwanza ya Wazungu ingekuwa kukataa taarifa za Kamati zote kisha waombe kuundwa kamati huru ya pamoja matokeo ya kamati ndio iwe msingi wa majadiliano.
Ukiona Mzungu anakubali kuingia kwenye mazungumzo kwa msingi wa Kamati zile ujue wameshikwa.
Nikupe mfano mdogo. Chukulia mtu umetuhumiwa kushikwa ugoni je utakubali au utaomba majadiliano ya kumlipa fidia wakati hakuna ushahidi wa kutosha kwamba ni kweli ulishikwa Ugoni?
Ushabiki unatufanya tuwe Wapumbavu na Malofa sana kwa kweli
 
njia ya muongo ni fupi report zote kafanya kwa mbwembwe aya watupe mrejesho wa NOAH zetu coz ccm ndo wausika wakuu
 
Hizi Habari ziwe za kweli au sio, ukweli ndio huo. Kama hoja zetu zinasimamia ripoti za makinikia hakuna hoja hapo. ripoti hazikuwa na ukweli wowote, exaggerated kumfurahisha Rais tu. zinapingana na agency ya serikali, TMAA ambaye ndio msimamizi wa day to day wa minerals exploitation. we are dealing with smart business men, sio maprof na madr uchwara wetu ambao professions zao ziko compromised na siasa.
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.

==========================================================================
Nchi hii ina wajinga na vichaa wengi. Hivi hapa utafaidika nini? Hata tusipofaidika lakini raisi wetu JPM amewapa ujumbe kuwa Tanzania siyo shamba la bibi tena.
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.

Hata kama hatutafaidika kufuatana na majadiliano lakini ujumbe wa raisi wetu JPM umewafikia wanaotudhulumu. Viva Magufuli. You are the best president
 
Mchawi unaombea nchi kufilisika lakini kwa Magufuri kila goti litapigwa ,
Ukisikia Raisi anasema baadhi ya mawaziri ni 'wapumbavu' ujue hata wapiga kura hasa wale waliopigika mpaka wakawa 'wachovu' ni wapumbavu pia. Hakuna upumbavu unaoidi ule wa kuamini kuwa yuko mwingine kwa ambaye kila goti litapigwa kando ya Yesu. Kama kuna 'wachovu' wadanganyika wanampigia magoti yeyote aliyealiwa na mwanamke, sina shaka saa yaja watakapowapigia magoti wenye makinikia! Mara nyingine tusimlaumu sana BWM kwa kutuita 'wapumbavu na malofa'.
 
1. Argument from authority hata wasioamini Mungu wanaweza kusema kuna wanasayansi mashuhuri hawaamini Mungu yupo, wakakupa sources nzuri tu na arguments nzuri tu.Kwa hiyo hii haina uzito. Hizi habari za kukubali kitu kwa sababu ya authority zilishapitwa na wakati. Za kuambiwa changanya na zako, usikubali kitu kwa sababu mwanasayansi mashuhuri tu kasema.

Watu walioamini vitu kwa sababu mwanasayansi mashuhuri kasema walirudisha nyuma maendeleo ya sayansi kwa miaka 1600 kwa sababu waliamini maneno ya Aristotle tu miaka yote hiyo.Kwa sababu Aristotle alikuwa mwanasayansi mashuhuri. Mpaka Galileo alipofanya experiment katika mnara wa Pisa na kugundua kwamba Aristotle alichosema kuhusu mass na kuanguka si sahihi.

Kwa hiyo usipende kukubali kitu kwa sababu wanasayansi mashuhuri tu wamesema,Chunguza,

Unaweza kuamini maneno ya Aristotle wa leo ukarudisha nyuma maendeleo ya elimu kwa miaka 1600 na wewe.

2. Hiyo habari ya "hupotezi lolote kwa kuamini Mungu yupo" ni Pascal's Wager. Ni uongo na ujinga.

Kama Mungu hayupo, na wewe unaamini Mungu yupo, na unatoa sadaka maisha yako yote ili umpendeze Mungu, unatumia muda wako ili uende kanisani ili umpendeze Mungu, unaishi kwa hofu kwa kumuogopa Mungu, katika maisha yako utakuwa umepoteza hela nyingi sana, umepoteza muda mwingi sana na umepoteza amani sana kwa kumuogopa Mungu ambaye hayupo. Kwa hiyo kusema "hupotezi lolote kwa kuamini Mungu yupo" kaama Mungu hayupo inakuwa si kweli.Unapoteza mengi sana kwa kuogopa kitu ambacho hakipo.
Concerns zako kuhusu consequences za kumuamini Mungu ni nyingi,that you will loose time,utakuwa na hofu kwa hiyo utakosa amani,utapoteza hela nyingi kwa kutoa sadaka nk. nk.Mkuu hayo mambo yanaweza kuonekana kwamba ni ya msingi sana,lakini frankly sio.Kumbuka kwamba we came in this world with nothing na hatutaondoka na kitu.Mfalme Suleimani with all his glory and riches at the end alitambua kwamba yote yalikuwa ni kufukuza upepo,substance ni Mungu.

Mkuu naamini hata sasa huna amani kwa kuwa huna hakika kweli kwamba Mungu hayupo,hiyo peke yake ni torture.I wish you new that there is more comfort in realizing that all is fine and well with this God, who you are not sure whether he exists or not,and who you are running away from! This God proves himself.Mkuu do you want to tell me realistically how the Universe is designed with all the balance in forces is a game of chance? Do you realistically want to tell me that the Ecosystem with all the ecological niches superbly organized is a game of chance?Mkuu can you tell me realistically the origin of matter?Hivi unaweza kukuta meza nzuri iliyoandaliwa for dining with all the delicious foods iliyojiandaa yenyewe?Mkuu there is a designer of the Universe,the Ecosystem and matter.Submit to him.
 
Back
Top Bottom