Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.

Duh! Mwana-adamu huyu alivyo mbeya we acha tu! Mbeya mbeya mpaka shida
 
Hata mimi nataka mzee wa makinikia ashindwe ili next time ajue mambo serious kama haya hayataki siasa nyepesinyepesi bali weledi na umakini! Eti ripoti za prof Mruma na Ossoro, my foot! We aint serious
 
Dah...unaelewa maana ya majadiliano lakini? 🙁🙁🙁
Nikishajua ndio nitabadili matokeo ?Au itakufaa wewe ktk reconcile matakataka yaliyojaa kichwani unayoyaita elimu +ujinga mnaouita udugu wa watz unaowasaidia kujipendekeza kwa watawala hadi mkienda wakumbusha majukumu mnaanza omba .
 
Nikishajua ndio nitabadili matokeo ?Au itakufaa wewe ktk reconcile matakataka yaliyojaa kichwani unayoyaita elimu +ujinga mnaouita udugu wa watz unaowasaidia kujipendekeza kwa watawala hadi mkienda wakumbusha majukumu mnaanza omba .
Dah...Kwa IQ yako ya juu kabisa.... matokeo ni nini? 😀😀😀
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Ndio maana pamoja na kelele za serikali,pamoja na kamati,wanakwepa kwenda mahakamani ,wanataka majadiliano tena kwa nguvu,wanajua mahakamani yanatolewa maamuzi yenye nguvu,na baada ya maamuzi mchezo umekwisha,ukiwa na hatia unalipa fidia,hutaki mali zako zinakamatwa,iwe akaunti za Tanzania,bombadia,dreamliner

Kama maprofesa wa kamati mbili walikusanya ushahidi kwa nini tusikimbie kwenda mahakamani tunataka majadiliano?

Kwa Tanzania kutaka kwenda mahakamani ni sawa na kuota unajisaidia,sasa ole wako ujisaidie kumbe ni ndoto na bado uko kitandani
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
mambo yangekua yanaenda vizuri wazee wa Kiki wangekua wanaitisha press conference kila siku kutupa updates
 
Ndio maana pamoja na kelele za serikali,pamoja na kamati,wanakwepa kwenda mahakamani ,wanataka majadiliano tena kwa nguvu,wanajua mahakamani yanatolewa maamuzi yenye nguvu,na baada ya maamuzi mchezo umekwisha,ukiwa na hatia unalipa fidia,hutaki mali zako zinakamatwa,iwe akaunti za Tanzania,bombadia,dreamliner

Kama maprofesa wa kamati mbili walikusanya ushahidi kwa nini tusikimbie kwenda mahakamani tunataka majadiliano?

Kwa Tanzania kutaka kwenda mahakamani ni sawa na kuota unajisaidia,sasa ole wako ujisaidie kumbe ni ndoto na bado uko kitandani
Tumia akili hata kidogo basi! Tanzania iwapeleke mahakamani kwa kigezo kipi?!
 
kwa akili hizo za kuvukia barabara tutawatawala mpaka mchakae na muombe poo....lakini tunawasaidia ili IQ zenu ziongezeke kidogo japo in a hard way but mtanyooka tu.
Kwenye swala la IQ bora usiongee kabisa maana research findings zinaonesha kuwa wanaCCM wengi wana low IQ.
 
Hapo ccm wataongea ujinga uliokithiri kuonyesha bwana wao hakuteleza na kila jambo lipo sawa !. Ukimwi haufichiki,usipo kohoa utakonda.usipokonda kichwani utachenguka.vinginevyo uharishe,unenepe,ilitu dalili mojawapo ionekane ndo ufe.sasa haya yote kwa ccm tumeshayaona.jibunge zima linaropoka bungeni,utadhani limebwia kangara !sasa hoja zinawakwama kooni.kizungu chenyewe cha marigameshini !. Hata kama haki mnayo,mtajielezaje ili kupata haki yenu ? Tulieni tu furushi lenu la mavi liwa elemee kama sio kuwanikia.mmezidi mno kukurupuka acha mdhalilike,hiyo ndo stahiki yenu nchi hii.Mungu utawalaye dunia,onyesha nguvu ya utawala wako dhidi ya ccm ili tu wajue wewe upo.wamejivika uungu hawa watu,kwa kufuru hiyo tu Mungu wangu,wasisalie uwafichapo Uso wako.kila nikiomba lazima nipate matokeo,hata hili najua matokeo yake nitayashuhudia,uinuliwe Mungu wangu,Amen.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiye unayepumulia tigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.

Bangi za mchana hazijawai kumuacha mtu salama
 
Chanzo unachokiamini unakitumia kutuaminisha na sisi?...unatania ama?
Kuamini jambo fulani hakumaanishi uwepo/kutokuwepo kwake katika uhalisia...Usitumie hisia(chanzo chako unachoki-amini) kulazimisha/kutabiri ukweli wa jamabo.
HIZI NI TETESI TU UMETULETEA.
 
Back
Top Bottom