hapana ana akili ila za hovyo, mbona mijadala kule Davos huwa ya wazi na Live?Huna akili
In God we trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana ana akili ila za hovyo, mbona mijadala kule Davos huwa ya wazi na Live?Huna akili
In God we trust
Nimekuelewa mkuuhapana ana akili ila za hovyo, mbona mijadala kule Davos huwa ya wazi na Live?
wewe mwenye za kuvukia barabara ndio uko kwenye hatari zaidi.Huna akili
In God we trust
Ati Mbowe anataka apewe ripoti za makinikia asome ! ....sijui anataka apigie mistari na kukoleza maandishi ?!Mara hii mmekomeshwa hakuna kinachovuja kikao kinafanyika Kikwete hall Ikulu.
Mlizoea vikao vinafanyika Mahotelini changanyikeni Uongo wenu kaeni nao wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ati Mbowe anataka apewe ripoti za makinikia asome ! ....sijui anataka apigie mistari na kukoleza maandishi ?!Mara hii mmekomeshwa hakuna kinachovuja kikao kinafanyika Kikwete hall Ikulu.
Mlizoea vikao vinafanyika Mahotelini changanyikeni Uongo wenu kaeni nao wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo....!?Professor wa kufundisha pale chuo huwezi kumfananisha na mtu mwenye Masters lakini ana uzoefu au yupo kazini kwa miaka mingi pamoja na Exposure.Ss kinachotokea huko walikojificha maprofesor wetu wao wanazo formula +siasa za majitaka huku wenzao wana formula +exposure +experience +logic.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume ni yule anaemkosea mwanaume mwinziwe kisha akakiri kosa lake, akaomba radhi na kusema tukae chini tuyamalize na kisha tupeane mikono !Hawa tuliambiwa "ni wanaume" ....
Nadhani kabla ya hapo walikua ni wanawake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Why do you care !? ...umedaiwa wewe au kunamchango wako kwenye malipo ?Jaman ata tuwe wa zalendo wa namna gani nani wakukubali kulipa mahela yote hayoooo
Sent using Jamii Forums mobile app
......wanajifunza uchawi !Michadema siku hizi imebakia mijitu ya hovyo hovyo na mijitu ya ajabu ajabu tu sijui akili zimekwenda wapi? Hivi kweli unakaa kuombea nchi yako ianguke!!!!!