Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Mazuzu mnajidanganya sana

In God we trust
kwa akili hizo za kuvukia barabara tutawatawala mpaka mchakae na muombe poo....lakini tunawasaidia ili IQ zenu ziongezeke kidogo japo in a hard way but mtanyooka tu.
 
Wafuasi wa Tundu Lisu naona mnamwombea Magufuli ashindwe. Kaeni mkijua Magufuli hatashindwa maana uzalendo lazma utamalaki juu ya dhuluma na haki ipo mbioni kuja. Nawashangaa watanzania wanaopenda kushindwa kwa serikali yetu kisa siasa.
 
Professor wa kufundisha pale chuo huwezi kumfananisha na mtu mwenye Masters lakini ana uzoefu au yupo kazini kwa miaka mingi pamoja na Exposure.Ss kinachotokea huko walikojificha maprofesor wetu wao wanazo formula +siasa za majitaka huku wenzao wana formula +exposure +experience +logic.

Sent using Jamii Forums mobile app
wameshashindwa kabla hawajaanza wameshupaza shingo wanadhani majadiliano ni kutematema mate ya jizungu tu dah aibu
 
Wafuasi wa Tundu Lisu naona mnamwombea Magufuli ashindwe. Kaeni mkijua Magufuli hatashindwa maana uzalendo lazma utamalaki juu ya dhuluma na haki ipo mbioni kuja. Nawashangaa watanzania wanaopenda kushindwa kwa serikali yetu kisa siasa.
hivi Magufuli kuna kitu gani amewezampaka sasa laana ya Mungu inamtosha tu kachanganyikiwa anaomba kama hajifahamu vile wakati alituaminisha yeye babu kubwa anaweza kila kitu kama kidume mbona hao maprofessor njaa kawaficha ha ha hana ubavu wala kifua cha kujidai anauwezo a kupambana na wazungu kaanguka mweleka chali
 
mirija ya taarifa ya kinachojiri imezibwa....watu huku nje wanaweweseka.....kwa kujigeuza watabiri...
kila lianzalo lazima limalizike....
kwa kwa Magufuli kapitikana safari hii hana hata tambo za kutamba mbele ya mzungu kajificha chini ya mvungu kwa mwamvuli wa Kabudi ziko wapi zile mbwembwe mara ooho wameniomba msamaha mara wamesema watalipa trilioni lukuki aliambiwa hana uwezo akakataa na kupiga vijembe halijazama anajionyesha ni nguvu ya soda
 
hivi Magufuli kuna kitu gani amewezampaka sasa laana ya Mungu inamtosha tu kachanganyikiwa anaomba kama hajifahamu vile wakati alituaminisha yeye babu kubwa anaweza kila kitu kama kidume mbona hao maprofessor njaa kawaficha ha ha hana ubavu wala kifua cha kujidai anauwezo a kupambana na wazungu kaanguka mweleka chali
Kwa hiyo umefurahi sio???
Ina maana mazuri yote ya Magufuli hujaona. So unadhani bado tunaishi kwa rushwa,ufisadi na matumizi ya hovyo ya pesa za umma kama zamani??Dunia nzima inajua mazuri yake ila naona we huyajui.
 
Tumekusikia, ndo nyie mnaamka asubuhi unaaga unasema unaenda kazini, kumbe unaenda kukalia lile bench pale mkwepu. Umeandika umachokiamini
 
Michadema siku hizi imebakia mijitu ya hovyo hovyo na mijitu ya ajabu ajabu tu sijui akili zimekwenda wapi? Hivi kweli unakaa kuombea nchi yako ianguke!!!!!
 
Sema tukipata tumepata wote maana kama ni kukosa tayari tumeshakosa.
Na hayaendi kokote! Uzalendo gani huu?! Wafikiri Wamarekani na wenye Ulaya wako kama sisi na tabia zetu zisizo za kizalendo?! Nenda kule kawaibie chochote uone kitakachokutokea, kwanza wanakufunga, baada ya hapo mkuku mkuku na minyororo mpaka JK Nyerere Airport!
Nafikiri kutawaliwa kumetufanya akili zetu zipumbae sana, no wonder wakina trump wanatusema kihivi..
Trump Says Africans Are Poor Because They Think of Sex Instead of Farming? FACT CHECK: Trump Says Africans Are Poor Because They Think of Sex Instead of Farming
Sasa wewe na kupondwa nawo endelea kuwatetea kabisa..
Na hayaendi kokote! Uzalendo gani huu?! Wafikiri Wamarekani na wenye Ulaya wako kama sisi na tabia zetu zisizo za kizalendo?! Nenda kule kawaibie chochote uone kitakachokutokea, kwanza wanakufunga, baada ya hapo mkuku mkuku na minyororo mpaka JK Nyerere Airport!
Nafikiri kutawaliwa kumetufanya akili zetu zipumbae sana, no wonder wakina trump wanatusema kihivi..
Trump Says Africans Are Poor Because They Think of Sex Instead of Farming? FACT CHECK: Trump Says Africans Are Poor Because They Think of Sex Instead of Farming
Sasa wewe na kupondwa nawo endelea kuwatetea kabisa..

Tatizo si uzalendo bali ni mshangao aliegawa ndiye anadai kuibiwa ?!!
 
Inaonekana wewe ni Mtutsi unayeumia ukiona Tanzania inanufaika na Rasilimali zake. Post yako inaonesha umekosa uzalendo kiasi cha kusikitisha na ndio maana huoni mantiki ya Rais kupigania Rasilimali za Nchi.

Gangongine,
Kusema ukweli kuhusu nchi yangu hakuwezi kunifanya nisiwe Mtanzania. Watutsi unawajua mwenyewe na mmojawapo ni Rais wako wa sasa ambaye anawatumia kina Paul Kagame(Rwanda), M-7(Uganda) na Pierre Kurunzinza(Burunndi) kama role modal wake in Politics. Chunguza kwa makini utagundua jambo hilo unless kama wewe ni Bashite!!!
 
Subira yavuta kheri ngoja tusubiri mrejesho wa Prof Kabudi.....lakini swala la Noah zetu liko palepale
 
Mbona haueleweki kwa ulichokiandika? Uandishi Wa kimakinikia
Huyo Dada huwa nafuatilia comments zake sana inaonekana ni bonge la bashite utafikiri anaufahamu wowote kumbe nothing kichwani. Tangia nafuatilia comments zake sijawaji kuona amechambua kitu kama muelewa bali hurukia mambo kwa mipasho na kejeli

Naenda Zimbabwe, weka siraha chini tushindane kwa hoja.

Kwa wale tunaotoka maeneo ya migodini tunafahamu maumivu ya hizi mali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi tanzania tunatumia sheria gani? Zilezile alizoziacha mkoloni au tunazo mpya? Maana kama ni Zilezile itakuwa shida, mungu saidia tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ukute bado ni wao ndo wameandaa mikataba yote sisi kazi yetu ilikuwa ni kutia saini tu halafu tutegeme tusinyolewe bila maji!Kweli Mungu saidia mama Tanzania.
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.

Wewe m***** waliokutuma zaidi yako!!!!!!
 
Back
Top Bottom