kwa akili hizo za kuvukia barabara tutawatawala mpaka mchakae na muombe poo....lakini tunawasaidia ili IQ zenu ziongezeke kidogo japo in a hard way but mtanyooka tu.Mazuzu mnajidanganya sana
In God we trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa akili hizo za kuvukia barabara tutawatawala mpaka mchakae na muombe poo....lakini tunawasaidia ili IQ zenu ziongezeke kidogo japo in a hard way but mtanyooka tu.Mazuzu mnajidanganya sana
In God we trust
Vp jamaa wameshakubali kutupa zawadi ya matriliioni!?Umeamka unaota ndoto na tamaa yako na kuishia kuandika unachotamani kiwe kinatokea.. subiri wenzako mdamganyane. Jaribu tena lingine.. kumbuka makontena bado yapo paleeee..
wameshashindwa kabla hawajaanza wameshupaza shingo wanadhani majadiliano ni kutematema mate ya jizungu tu dah aibuProfessor wa kufundisha pale chuo huwezi kumfananisha na mtu mwenye Masters lakini ana uzoefu au yupo kazini kwa miaka mingi pamoja na Exposure.Ss kinachotokea huko walikojificha maprofesor wetu wao wanazo formula +siasa za majitaka huku wenzao wana formula +exposure +experience +logic.
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi Magufuli kuna kitu gani amewezampaka sasa laana ya Mungu inamtosha tu kachanganyikiwa anaomba kama hajifahamu vile wakati alituaminisha yeye babu kubwa anaweza kila kitu kama kidume mbona hao maprofessor njaa kawaficha ha ha hana ubavu wala kifua cha kujidai anauwezo a kupambana na wazungu kaanguka mweleka chaliWafuasi wa Tundu Lisu naona mnamwombea Magufuli ashindwe. Kaeni mkijua Magufuli hatashindwa maana uzalendo lazma utamalaki juu ya dhuluma na haki ipo mbioni kuja. Nawashangaa watanzania wanaopenda kushindwa kwa serikali yetu kisa siasa.
kwa kwa Magufuli kapitikana safari hii hana hata tambo za kutamba mbele ya mzungu kajificha chini ya mvungu kwa mwamvuli wa Kabudi ziko wapi zile mbwembwe mara ooho wameniomba msamaha mara wamesema watalipa trilioni lukuki aliambiwa hana uwezo akakataa na kupiga vijembe halijazama anajionyesha ni nguvu ya sodamirija ya taarifa ya kinachojiri imezibwa....watu huku nje wanaweweseka.....kwa kujigeuza watabiri...
kila lianzalo lazima limalizike....
Kwa hiyo umefurahi sio???hivi Magufuli kuna kitu gani amewezampaka sasa laana ya Mungu inamtosha tu kachanganyikiwa anaomba kama hajifahamu vile wakati alituaminisha yeye babu kubwa anaweza kila kitu kama kidume mbona hao maprofessor njaa kawaficha ha ha hana ubavu wala kifua cha kujidai anauwezo a kupambana na wazungu kaanguka mweleka chali
Sema tukipata tumepata wote maana kama ni kukosa tayari tumeshakosa.
Na hayaendi kokote! Uzalendo gani huu?! Wafikiri Wamarekani na wenye Ulaya wako kama sisi na tabia zetu zisizo za kizalendo?! Nenda kule kawaibie chochote uone kitakachokutokea, kwanza wanakufunga, baada ya hapo mkuku mkuku na minyororo mpaka JK Nyerere Airport!
Nafikiri kutawaliwa kumetufanya akili zetu zipumbae sana, no wonder wakina trump wanatusema kihivi..
Trump Says Africans Are Poor Because They Think of Sex Instead of Farming? FACT CHECK: Trump Says Africans Are Poor Because They Think of Sex Instead of Farming
Sasa wewe na kupondwa nawo endelea kuwatetea kabisa..
Na hayaendi kokote! Uzalendo gani huu?! Wafikiri Wamarekani na wenye Ulaya wako kama sisi na tabia zetu zisizo za kizalendo?! Nenda kule kawaibie chochote uone kitakachokutokea, kwanza wanakufunga, baada ya hapo mkuku mkuku na minyororo mpaka JK Nyerere Airport!
Nafikiri kutawaliwa kumetufanya akili zetu zipumbae sana, no wonder wakina trump wanatusema kihivi..
Trump Says Africans Are Poor Because They Think of Sex Instead of Farming? FACT CHECK: Trump Says Africans Are Poor Because They Think of Sex Instead of Farming
Sasa wewe na kupondwa nawo endelea kuwatetea kabisa..
Inaonekana wewe ni Mtutsi unayeumia ukiona Tanzania inanufaika na Rasilimali zake. Post yako inaonesha umekosa uzalendo kiasi cha kusikitisha na ndio maana huoni mantiki ya Rais kupigania Rasilimali za Nchi.
Huyo Dada huwa nafuatilia comments zake sana inaonekana ni bonge la bashite utafikiri anaufahamu wowote kumbe nothing kichwani. Tangia nafuatilia comments zake sijawaji kuona amechambua kitu kama muelewa bali hurukia mambo kwa mipasho na kejeliMbona haueleweki kwa ulichokiandika? Uandishi Wa kimakinikia
Lizaboni unatia huruma sana,.Utawaweza vijana Wa lumumba
Na ukute bado ni wao ndo wameandaa mikataba yote sisi kazi yetu ilikuwa ni kutia saini tu halafu tutegeme tusinyolewe bila maji!Kweli Mungu saidia mama Tanzania.hivi tanzania tunatumia sheria gani? Zilezile alizoziacha mkoloni au tunazo mpya? Maana kama ni Zilezile itakuwa shida, mungu saidia tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.