Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
....Lissu alisema tunashtakiwa MIGA !kwa kwa Magufuli kapitikana safari hii hana hata tambo za kutamba mbele ya mzungu kajificha chini ya mvungu kwa mwamvuli wa Kabudi ziko wapi zile mbwembwe mara ooho wameniomba msamaha mara wamesema watalipa trilioni lukuki aliambiwa hana uwezo akakataa na kupiga vijembe halijazama anajionyesha ni nguvu ya soda
Sent using Jamii Forums mobile app