Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Akili za viroba, akili za masalia ya kibiti na wahanga wa ukuta, operation sangara na mengine ya kijima.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
😱😱😱😱 zote hizo ni mbinu ili upate majibu.....acha wajadili tutapata majibu tu.....cku hizi taarifa hazivuji kama zamani.....ungeshasikia wazee wa kulalamika wamejitokeza tayari...tuwe wavumilivu tu haina jinsi
 
Hizi kamati zilidanganya umma ndo maana wanashindwa kuzipangua hoja za wathungu,walifanya uchunguzi kumfurahisha Mkulu

Waliotuibia ni watanzania wwnzetu Wala siyo wathungu.....

Kuwa mwafrika n tabu kweli kweli
eh eh yale yale ya mwafrika kumbadili mwenzie kwa kipande cha kioo kwe utumwa kama malikia zwangedaba
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Acha upumbavu kuwa mzalendo kwa nchi yako, wakikataa kuripa tunafunga migodi yetu tunawafukuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.

Unajua uzuri kwamba when you negotiate with multi-international organizations or companies like ACACIA or BARRICK longolongo uwa hazina nafasi. Kibaya zaidi tumepewa longolongo kwa muda mrefu na mihemuko yetu kama kawaida tukahemuka. Moja ya shida ya watanzania huwa hawataki facts, wanataka kuhemushwa, na kwa kweli this time around tutahemushwa sana.
 
Kuna watu wanatafuna meno matupu sasahivi wacha tusubiri heka zetu tuu maana Noah kila mtz sio mchezo mchezo ise

mzee mzima haishiwi maneno
 
😱😱😱😱 zote hizo ni mbinu ili upate majibu.....acha wajadili tutapata majibu tu.....cku hizi taarifa hazivuji kama zamani.....ungeshasikia wazee wa kulalamika wamejitokeza tayari...tuwe wavumilivu tu haina jinsi
Majibu ni kupigwa faini kwa kusitisha huduma zao na kuwaita majizi

In God we trust
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Mara hii mmekomeshwa hakuna kinachovuja kikao kinafanyika Kikwete hall Ikulu.
Mlizoea vikao vinafanyika Mahotelini changanyikeni Uongo wenu kaeni nao wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara hii mmekomeshwa hakuna kinachovuja kikao kinafanyika Kikwete hall Ikulu.
Mlizoea vikao vinafanyika Mahotelini changanyikeni Uongo wenu kaeni nao wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umevurugwa wewe unavyojiona unafikiri na wenzako ndiyo wapo kama wewe?

In God we trust
 
Back
Top Bottom