MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
hebu muulize huyu zwazwa atujuze SIZONJE atahudhuria sherehe ya kuapishwa ASIYEMPENDA KAJA aka UHURULumumba fc ni mazuzu
In God we trust
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu muulize huyu zwazwa atujuze SIZONJE atahudhuria sherehe ya kuapishwa ASIYEMPENDA KAJA aka UHURULumumba fc ni mazuzu
In God we trust
Akili za viroba, akili za masalia ya kibiti na wahanga wa ukuta, operation sangara na mengine ya kijima.Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Anaenda kwa shingo upandehebu muulize huyu zwazwa atujuze SIZONJE atahudhuria sherehe ya kuapishwa ASIYEMPENDA KAJA aka UHURU
Sent using Jamii Forums mobile app
AAH WAAAP haendi huyu.. si umiona ile katuni ya MASOOD KIPANYA?Anaenda kwa shingo upande
In God we trust
Ukimwuliza mama yako pia atajibu vile vile. KuwaTanzania haijawahi kuwa na kiongozi wa hovyo kama aliyepo sasa toka kung'atuka kwa Mwl Nyerere
kama vipi hameni nchi au wazungu wanasema nanukuu''if you can't fight them join them" Team ushindi for life,CCM oyee.Mazuzu fc
In God we trust
😱😱😱😱 zote hizo ni mbinu ili upate majibu.....acha wajadili tutapata majibu tu.....cku hizi taarifa hazivuji kama zamani.....ungeshasikia wazee wa kulalamika wamejitokeza tayari...tuwe wavumilivu tu haina jinsiUkimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
eh eh yale yale ya mwafrika kumbadili mwenzie kwa kipande cha kioo kwe utumwa kama malikia zwangedabaHizi kamati zilidanganya umma ndo maana wanashindwa kuzipangua hoja za wathungu,walifanya uchunguzi kumfurahisha Mkulu
Waliotuibia ni watanzania wwnzetu Wala siyo wathungu.....
Kuwa mwafrika n tabu kweli kweli
Acha upumbavu kuwa mzalendo kwa nchi yako, wakikataa kuripa tunafunga migodi yetu tunawafukuzaUkimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Inaonyesha ni jinsi gani lumumba fc aka mazuzu mlivyo vurugwaUkimwuliza mama yako pia atajibu vile vile. Kuwa
'Toka aanze mapenzi hajawahi kuwa na baba wa hovyo kama alivyo baba yako'
Nadhani unaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajitahidi bwana,mpe moyoTanzania haijawahi kuwa na kiongozi wa hovyo kama aliyepo sasa toka kung'atuka kwa Mwl Nyerere
Mazuzu mnajidanganya sanakama vipi hameni nchi au wazungu wanasema nanukuu''if you can't fight them join them" Team ushindi for life,CCM oyee.
Majibu ni kupigwa faini kwa kusitisha huduma zao na kuwaita majizi😱😱😱😱 zote hizo ni mbinu ili upate majibu.....acha wajadili tutapata majibu tu.....cku hizi taarifa hazivuji kama zamani.....ungeshasikia wazee wa kulalamika wamejitokeza tayari...tuwe wavumilivu tu haina jinsi
Mara hii mmekomeshwa hakuna kinachovuja kikao kinafanyika Kikwete hall Ikulu.Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
si ndo akili zenu zinavyowadanganya.........Majibu ni kupigwa faini kwa kusitisha huduma zao na kuwaita majizi
In God we trust
Umevurugwa wewe unavyojiona unafikiri na wenzako ndiyo wapo kama wewe?Mara hii mmekomeshwa hakuna kinachovuja kikao kinafanyika Kikwete hall Ikulu.
Mlizoea vikao vinafanyika Mahotelini changanyikeni Uongo wenu kaeni nao wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaUkimwuliza mama yako pia atajibu vile vile. Kuwa
'Toka aanze mapenzi hajawahi kuwa na baba wa hovyo kama alivyo baba yako'
Nadhani unaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app