Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Apige goti mara ngapi wakati ndiyo kazi yake anashinda lumumba kuwasifia hao viongozi wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apige goti mara ngapi wakati ndiyo kazi yake anashinda lumumba kuwasifia hao viongozi wake?
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
mtashangaa.....dua la kuku halimpati mwewe....kila baya mnaloombea halitokei...mtamyooka tu na kuelewa baadae maana vichwa vimejaa hewa.Lazima mtolewe kapa hakuna cha pesa wala nini
Hakuna cha kabudi wala nini hapo lazima tupigwe za chembe tuNo comments
Namwamini PR Kabudi
Wengine walifichwa siwajui kwenye hii kamati
But I hope we can gain something
Kwahiyo hao mnao waita wezi walijikaribisha hapa Tanzania?wacheni kujitoa ufahamu kisa ushabiki wa uchwara kwa ccmHizo taarifa umezipata wapi wewe? kwa nini mnaropoka kwa vitu msivyovifamhamu? hadi hivi leo hakuna anayefahamu labda mkuu wa nchi pekee yake. Baadhi ya watu mnashangilia mambo ya wale wageni waliotuibia mali zetu kwa muda mrefu, ninyi mnawafagilia ! hii ni nchi yetu huwezi hata siku moja ukaenda kwa hao watu mnaowashabikia.
Unaonaje ukiweka angalau Picha ili tuwe na taswira ya kinachoendelea kule kikaoniUkimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Lazima mtoke kapa na badala yake nyinyi ndiyo mtawalipa kwa kuwaita wezi wakati mliwakaribisha nyinyi wenyewemtashangaa.....dua la kuku halimpati mwewe....kila baya mnaloombea halitokei...mtamyooka tu na kuelewa baadae maana vichwa vimejaa hewa.
Time will tellLazima mtoke kapa na badala yake nyinyi ndiyo mtawalipa kwa kuwaita wezi wakati mliwakaribisha nyinyi wenyewe
Na Atakomea kuwadanganya Lumumba fc pekee lkn wenye macho tumeona mapemaWatasubiri sana, Magufuli ni mbabe kwa wanyonge na wajinga wa nchi yake tu. Kwa Wazungu ubabe utoke wapi?
Lumumba fc ni bendera fuata upepoNa Atakomea kuwadanganya Lumumba fc pekee lkn wenye macho tumeona mapema
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hili pia mtaaibika msikimbie tu kwa kutuogopa na wala tusiwasikie mnalizungumziaLazima mtoke kapa na badala yake nyinyi ndiyo mtawalipa kwa kuwaita wezi wakati mliwakaribisha nyinyi wenyewe
ebanaeee usinkatishe tamaa. nimeshabuku eneo la ofisi ya fisiem ya kupaki [emoji604] yanguHiyo Noa utaishia kuisikia kupitia Tbc maana hao wazungu wamekuja kutufunza adabu ya kuwacha kukurupuka
mkuu naona bado tumipinda ngoja wanaume hawa watunyoosheMkuu watu wanamkufuru mungu kwa kumfananisha mungu na huyo ngosha
Lumumba fc ni mazuzukwa hili pia mtaaibika msikimbie tu kwa kutuogopa na wala tusiwasikie mnalizungumzia
Lazima tutapigwa za chembeebanaeee usinkatishe tamaa. nimeshabuku eneo la ofisi ya fisiem ya kupaki [emoji604] yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ndio kila mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi yake analiomba
mirija ya taarifa ya kinachojiri imezibwa....watu huku nje wanaweweseka.....kwa kujigeuza watabiri...Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
na tutaendelea kuwaongoza mpaka mpate akili....tupo kama miaka 50 ijayo tena.Lumumba fc ni mazuzu
In God we trust
Lissu ataenda hata Kwa waganga ili wamuangaliziemirija ya taarifa ya kinachojiri imezibwa....watu huku nje wanaweweseka.....kwa kujigeuza watabiri...
kila lianzalo lazima limalizike....
Mazuzu fcna tutaendelea kuwaongoza mpaka mpate akili....tupo kama miaka 50 ijayo tena.