Kwa ccm wewe una matumizi pale inapohitajika kupotezea watu muda au kutumika km mdomo wa propaganda.Ila sio mtu wa maana hadi ujue yote yanayotokea.Utajua baadae km unavyojua uozo wa Jk leo.Huyo aliyewashika akili alithubutu kusema tusikamate makontena, na kuiita report ya Prof Mruma ni rubbish, leo mnatembeza majungu tu humu !
Upumbavu mkubwa zaidi wa Watz ni kutofundishwa kuongea vitu vinavyoendana na kweli ya uelewa wako pamoja na uaminifu wa kukisema unachoelewa kwa mipaka yake. Ni rahisi sana wapuuzi kujiapiza ktk vitu hawana control navyo, au kuhakikisha vitu wasivyojua hata km ni hakika. Wewe unadhani kutokuelewa au kutokuona kwako kunaweza maanisha hakuna?Fine mtapigwa tuu, km demu anavyokunywa vya watu anaweza toa huduma tuu ili aachiwe na akishatoa huduma anakuwa mtumwa forever, ktk jitihada za kuzuia mumewe asiambiwe. CCM ilipofikia sasa hivi itahitaji kuhonga sana vitu ili jamaa wawasitiri kwa kutoa vihela kidogo vya kuwapa sifa ya kisiasa.Na itakuwa hivyo ili wananchi wasiambiwe kweli.Ila hiyo kweli itakuja wiki chache tuu baada ya jamaa kuongezea mkataba mwingine wa bwerereeMimi sikushangai hata ukisema uzushi wowote.
Bosi wako alisema tutalipa fidia kwa kuzuia mchanga.
Akasema tena tutashitakiwa.
Doh kumbe ugonjwa wake kawaambukiza hadi wafuasi wake.
Inabidi mtoa mada tumpime mate ndio sample ya mwisho ambayo hatujawacheki mabosi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nyie mlipoingiza nchi ktk ujinga mkionyesha sifa kwamba hamuongozwi na wapinzani mlipata faida gani?Sifa za kindezi zinawaongoza sana CCM mpo tayari kuingiza nchi ktk hasara just to prove kwamba chama comes first. Itafikia kipindi wapuuzi hawatapewa tena nafasi ya kukaa ktk madaraka na kuongea wakiwa hapo.Mtahitajika kutoka mkae pembeni ndipo muongee.Ndio maana CCM inaogelea ktk upumbavu kwa vile watu hawatolewi ktk madaraka ndipo waongee wakiwa bench.Acheni kupiga ramli.....eti wapinzani....kupinga ujinga.....
Tanzania ikishindwa,nyinyi mwapata faida gani?.........
TENA TUMEWACHOKA ILA HAMJIJUI TU
Sent using Jamii Forums mobile app
Lipi uligundua ile story ya will gamba ni fix na hovyo kabisa?Mengi unayoamini TZ ni upepo na ujinga.Thubutu!!!!!!
Tuko ngangali kinoma.!!!!!!!!
Unapouliza swali acha lijibiwe.Lipi uligundua ile story ya will gamba ni fix na hovyo kabisa?Mengi unayoamini TZ ni upepo na ujinga.
Wewe ni ccm?Michadema siku hizi imebakia mijitu ya hovyo hovyo na mijitu ya ajabu ajabu tu sijui akili zimekwenda wapi? Hivi kweli unakaa kuombea nchi yako ianguke!!!!!
Ishindwe mara ngapi mkuuAcheni kupiga ramli.....eti wapinzani....kupinga ujinga.....
Tanzania ikishindwa,nyinyi mwapata faida gani?.........
TENA TUMEWACHOKA ILA HAMJIJUI TU
Sent using Jamii Forums mobile app
Noah itoke wapi ndugu?Mimi nasubiri noa yangu maana pesa hizo zikilipwa ni nyingi mnoooo
But business still goes on!Umeamka unaota ndoto na tamaa yako na kuishia kuandika unachotamani kiwe kinatokea.. subiri wenzako mdamganyane. Jaribu tena lingine.. kumbuka makontena bado yapo paleeee..
hata mmi tena yangu nyeusiiiiiiMimi nasubiri noa yangu maana pesa hizo zikilipwa ni nyingi mnoooo
KabudiKama hayo ni ya kweli taja majina ya Watanzania wanaounda hiyo Kamati.
UNATAKA WATU WAWE WAZALENDO PENYE UJINGA!!??!?!?!?Mkuu wewe sio mzalendo, thredi gani hii!