Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Kwa ccm wewe una matumizi pale inapohitajika kupotezea watu muda au kutumika km mdomo wa propaganda.Ila sio mtu wa maana hadi ujue yote yanayotokea.Utajua baadae km unavyojua uozo wa Jk leo.Huyo aliyewashika akili alithubutu kusema tusikamate makontena, na kuiita report ya Prof Mruma ni rubbish, leo mnatembeza majungu tu humu !