1979magufuli
New Member
- Dec 6, 2024
- 2
- 2
Majaji wa Mahakama Kuu ni sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya Wakili, Jaji anaweza kumchukulia hatua za kinidhamu Wakili kwa kukiuka sheria ya uwakili The Advocates Act, siku hizi Mawakili wakishindwa hoja mahakamani wanatoka nje na kulaumu mahakama kuwa imekosea ili wananchi tuamini kuwa mahakamani hakuna haki, this is quite wrong.
Tafadhali Mhe Jaji Mkuu, msivumulie mambo haya ya majaji kudhalilishwa na mawakili namna hii, leo nimemsikia Madeleka akiwalalamikia sana nyie, mshikisheni adabu kwa kuzingatia mamlaka mlizokuwa nazo kama ilivyokuwa kwa Mpare Mpoki, sasa hivi ameshika adabu yake.
Majaji lazima mheshimiwe na mawakili ambao ni maofisa wa mahakama, mtu kashindwa hoja mahakamani anajua nyie hamna platform ya kuongea kwenye public, yeye anakuja kuwashambulia nyie kwenye public akijua nyie hamna nafasi hiyo.Wakili ana awajibu kwa Mahakama kuheshimu mahakama, ana wajibu pia kwa Public, ana wajibu pia kwa taaluma yake, sasa kwanini Madeleka awe anawadhalilisha mnamkalia kimya? Nimeumia sana mimi.
Tafadhali Mhe Jaji Mkuu, msivumulie mambo haya ya majaji kudhalilishwa na mawakili namna hii, leo nimemsikia Madeleka akiwalalamikia sana nyie, mshikisheni adabu kwa kuzingatia mamlaka mlizokuwa nazo kama ilivyokuwa kwa Mpare Mpoki, sasa hivi ameshika adabu yake.
Majaji lazima mheshimiwe na mawakili ambao ni maofisa wa mahakama, mtu kashindwa hoja mahakamani anajua nyie hamna platform ya kuongea kwenye public, yeye anakuja kuwashambulia nyie kwenye public akijua nyie hamna nafasi hiyo.Wakili ana awajibu kwa Mahakama kuheshimu mahakama, ana wajibu pia kwa Public, ana wajibu pia kwa taaluma yake, sasa kwanini Madeleka awe anawadhalilisha mnamkalia kimya? Nimeumia sana mimi.