Ubunge wa Bukoba Mjini halali yake
Wakati huo mzee wangu unasugua benchi hata hawakujali kama hauna mchango nchini wanasiasa wabaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubunge wa Bukoba Mjini halali yake
Washa ajira ya kudumu huko zima motoDogo ni fursa kwa wengine. Kinachoumiza hatoambulia chochote zaidi ya umaarufu wa muda tu.
Usistaajabu hiyo suite na viatu imepigiwa budget ya milioni kadhaa na hao wanaomsimamia.
Kuliko kumfanya kama sanamu la maonyesho ni bora either wangemrudisha shule kumpa elimu ya maana au wampe msingi wa uhakika wa maisha utakaomsaidia mbeleni, kama nyumba na biashara.
Ni swala la muda, trend ikiisha watamtupa huko.
Ameshapewa ajira mkuu tumuombee kheriDogo ni fursa kwa wengine. Kinachoumiza hatoambulia chochote zaidi ya umaarufu wa muda tu.
Usistaajabu hiyo suite na viatu imepigiwa budget ya milioni kadhaa na hao wanaomsimamia.
Kuliko kumfanya kama sanamu la maonyesho ni bora either wangemrudisha shule kumpa elimu ya maana au wampe msingi wa uhakika wa maisha utakaomsaidia mbeleni, kama nyumba na biashara.
Ni swala la muda, trend ikiisha watamtupa huko.
usiwe kama wabongo huwajui. Utaaminishwa vingi as long as tunamsikia kwenye media. Ushawishi wake ukiisha usistaajabu hata hiyo ajira asiipate.Washa ajira ya kudumu huko zima moto
Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwweenyeeweeeee.Na riziki ya mbwa iko miguuni mwake.Ka utani vile jamaa haaamini
Hakika mkono wa bwana umemnyanyuaa.
Huo utapeli sasausiwe kama wabongo huwajui. Utaaminishwa vingi as long as tunamsikia kwenye media. Ushawishi wake ukiisha usistaajabu hata hiyo ajira asiipate.
na ndio asili ya wabongo.Huo utapeli sasa
CCM fursa kibao tofauti na Ufipa st!Wakati huo mzee wangu unasugua benchi hata hawakujali kama hauna mchango nchini wanasiasa wabaya sana
Hakika ni shujaa maana kwa huu uongozi wetu wa kitopolo abiria wote wangeweza kupoteza maisha.Huyu hapa👇View attachment 2413060
Fursa au wizi? Don't confuseCCM fursa kibao tofauti na Ufipa st!
Ni Yeyee ni yeyeeeHuyu hapa👇View attachment 2413060