Majaliwa Shujaa wa ajali ya Precision Air ya Bukoba atinga Bungeni leo Novemba 11

Majaliwa Shujaa wa ajali ya Precision Air ya Bukoba atinga Bungeni leo Novemba 11

Dogo amekodiwa kwenda kuleta mvuto Bungeni maana hakuna anayepoteza muda wake kufuatilia hilo genge la wahuni waliowekwa hapo na yule dhalim
 
Dogo ni fursa kwa wengine. Kinachoumiza hatoambulia chochote zaidi ya umaarufu wa muda tu.

Usistaajabu hiyo suite na viatu imepigiwa budget ya milioni kadhaa na hao wanaomsimamia.

Kuliko kumfanya kama sanamu la maonyesho ni bora either wangemrudisha shule kumpa elimu ya maana au wampe msingi wa uhakika wa maisha utakaomsaidia mbeleni, kama nyumba na kumboreshea fani yake ya uvuvi kama kupewa nyenzo za kisasa za taaluma yake. At least ana ujuzi na sector hiyo na wapo wengi wanaotajirika kwa kupitia uvuvi tu.

Wengi wanaongelea ajira kama msingi wa kumsaidia kusahau kwamba hiyo ajira hana taaluma nayo, elimu yake ni ndogo na wabongo ni watu wa zengwe.
Huko anakokwenda kuajiriwa atakutana na wakaanga sumu ambao wanaweza kumuona kama tishio kwao kupelekea kumfelisha na hapo atakimbilia kwa nani ikiwa trend yake itakuwa ishakwisha?

Hakuna aliyemuuliza kama yupo interested na huko walikompeleka, ni dhana tu kuwa anataka kuwa muokoaji na maamuzi ya wenye madaraka pasi kumshirikisha muhusika kupata maoni yake.
Kazi usiyoipenda ni sawa na adhabu.

Ni swala la muda, trend ikiisha watamtupa huko.
Ajira za bongo hasa hiyo zimamoto inahitaji utaalamu gan mkuu si ni training ya muda mfupi inatosha ama mpaka Uwe Na degree 2?
 
Unaweza kukuta mademu wabunge ambao hawajaolewa dogo akachota mmoja leo, maana inaitwa kufumba na kufumbua paaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Spinning ya kizamani ila imefanikiwa mnoo kuwaamisha watz kutoka kwenye mjadala wa uzembe uliopelekea vifo 19 na kuhamia kwenye mjadala wa kumshangilia huyu dogo waliyempa wadhifa wa Hero.
 
By all means huyu dogo anastahili recognition na pongezi. Kinachonipa shida ni amount of media focus as if hakuna mambo mengine ya msingi.
 
Back
Top Bottom