Majaliwa Shujaa wa ajali ya Precision Air ya Bukoba atinga Bungeni leo Novemba 11

Majaliwa Shujaa wa ajali ya Precision Air ya Bukoba atinga Bungeni leo Novemba 11

Tanzania fursa ikikukubali utang'aa mpaka ushangae
Ugumu upo kwenye ku maintain hiyo fursa hasa kwa nchi yetu iliyojaa mihemko. Maana huwa tunaenda na upepo, ukivuma upande wako kila mtu atakutaja ila akitokea mwingine mwenye upepo kumvumia unasahaulika kabisa.
Dogo atatumiwa kadri ya watakavyoona ana maslahi nao. Akimalizika matumizi yake watamtupa kama hajawahi tokea duniani.
 
Ni kijana shujaa, tunajivunia kwa hilo....but wanampeleka wapi....??? kikosi cha uokoaji??? wanampoteza shujaa wetu....!!! wangeongea nae aseme mwenyewe anataka serekali yake imfanyie nini kama ASANTE...Dogo ana ndoto zake.....inawezekana ndio zikaishia hapo.....kumbuka ni mambo ya ndani...kule kwa akina afande rushwa...ambao 60% wako pale sababu hawakuwa na namna.....NAIPENDA TANZANIA...
 
Dogo ni fursa kwa wengine. Kinachoumiza hatoambulia chochote zaidi ya umaarufu wa muda tu.

Usistaajabu hiyo suite na viatu imepigiwa budget ya milioni kadhaa na hao wanaomsimamia.

Kuliko kumfanya kama sanamu la maonyesho ni bora either wangemrudisha shule kumpa elimu ya maana au wampe msingi wa uhakika wa maisha utakaomsaidia mbeleni, kama nyumba na kumboreshea fani yake ya uvuvi kama kupewa nyenzo za kisasa za taaluma yake. At least ana ujuzi na sector hiyo na wapo wengi wanaotajirika kwa kupitia uvuvi tu.

Wengi wanaongelea ajira kama msingi wa kumsaidia kusahau kwamba hiyo ajira hana taaluma nayo, elimu yake ni ndogo na wabongo ni watu wa zengwe.
Huko anakokwenda kuajiriwa atakutana na wakaanga sumu ambao wanaweza kumuona kama tishio kwao kupelekea kumfelisha na hapo atakimbilia kwa nani ikiwa trend yake itakuwa ishakwisha?

Hakuna aliyemuuliza kama yupo interested na huko walikompeleka, ni dhana tu kuwa anataka kuwa muokoaji na maamuzi ya wenye madaraka pasi kumshirikisha muhusika kupata maoni yake.
Kazi usiyoipenda ni sawa na adhabu.

Ni swala la muda, trend ikiisha watamtupa huko.
Si anaenda mafunzo ya uaskari au unataka wampe uwaziri?
 
Hiyo inaitwa freepass yaani akitaka kipochi manyoya hajiulizi tena vingine vinamtafuta vimpe zawadi bure kabisa, yaani dogo ataanza kukanyaga mbunye bure kabisa
Ebwanah!
 
Mungu in wa ajabu sana,akitaka wewe upate kazi ataweka mazingira mwingine afukuzwe upewe wewe
 
Dogo ni fursa kwa wengine. Kinachoumiza hatoambulia chochote zaidi ya umaarufu wa muda tu.

Usistaajabu hiyo suite na viatu imepigiwa budget ya milioni kadhaa na hao wanaomsimamia.

Kuliko kumfanya kama sanamu la maonyesho ni bora either wangemrudisha shule kumpa elimu ya maana au wampe msingi wa uhakika wa maisha utakaomsaidia mbeleni, kama nyumba na kumboreshea fani yake ya uvuvi kama kupewa nyenzo za kisasa za taaluma yake. At least ana ujuzi na sector hiyo na wapo wengi wanaotajirika kwa kupitia uvuvi tu.

Wengi wanaongelea ajira kama msingi wa kumsaidia kusahau kwamba hiyo ajira hana taaluma nayo, elimu yake ni ndogo na wabongo ni watu wa zengwe.
Huko anakokwenda kuajiriwa atakutana na wakaanga sumu ambao wanaweza kumuona kama tishio kwao kupelekea kumfelisha na hapo atakimbilia kwa nani ikiwa trend yake itakuwa ishakwisha?

Hakuna aliyemuuliza kama yupo interested na huko walikompeleka, ni dhana tu kuwa anataka kuwa muokoaji na maamuzi ya wenye madaraka pasi kumshirikisha muhusika kupata maoni yake.
Kazi usiyoipenda ni sawa na adhabu.

Ni swala la muda, trend ikiisha watamtupa huko.
Uko sahihi mkuu.

Muda utasema!!
 
Dogo ni fursa kwa wengine. Kinachoumiza hatoambulia chochote zaidi ya umaarufu wa muda tu.

Usistaajabu hiyo suite na viatu imepigiwa budget ya milioni kadhaa na hao wanaomsimamia.

Kuliko kumfanya kama sanamu la maonyesho ni bora either wangemrudisha shule kumpa elimu ya maana au wampe msingi wa uhakika wa maisha utakaomsaidia mbeleni, kama nyumba na kumboreshea fani yake ya uvuvi kama kupewa nyenzo za kisasa za taaluma yake. At least ana ujuzi na sector hiyo na wapo wengi wanaotajirika kwa kupitia uvuvi tu.

Wengi wanaongelea ajira kama msingi wa kumsaidia kusahau kwamba hiyo ajira hana taaluma nayo, elimu yake ni ndogo na wabongo ni watu wa zengwe.
Huko anakokwenda kuajiriwa atakutana na wakaanga sumu ambao wanaweza kumuona kama tishio kwao kupelekea kumfelisha na hapo atakimbilia kwa nani ikiwa trend yake itakuwa ishakwisha?

Hakuna aliyemuuliza kama yupo interested na huko walikompeleka, ni dhana tu kuwa anataka kuwa muokoaji na maamuzi ya wenye madaraka pasi kumshirikisha muhusika kupata maoni yake.
Kazi usiyoipenda ni sawa na adhabu.

Ni swala la muda, trend ikiisha watamtupa huko.
Kuna ukweli flani hivi?.Hata Mimi nadhani wangempa vifaa vya uvuvi.
 
Back
Top Bottom