Majaliwa Shujaa wa ajali ya Precision Air ya Bukoba atinga Bungeni leo Novemba 11

Washa ajira ya kudumu huko zima moto
 
Ameshapewa ajira mkuu tumuombee kheri
 
SAWA, ila kwanini wamvalishe kiatu kikubwa? Au wanaogopa anaweza akazama?!
 
Watu washasau ajali ya ndege wanamkumbuka Majaliwa tu.
 
Mnacheza ngoma ya serikali,wanawahamisha kwenye kujadili mambo ya msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…