Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Ugumu upo kwenye ku maintain hiyo fursa hasa kwa nchi yetu iliyojaa mihemko. Maana huwa tunaenda na upepo, ukivuma upande wako kila mtu atakutaja ila akitokea mwingine mwenye upepo kumvumia unasahaulika kabisa.Tanzania fursa ikikukubali utang'aa mpaka ushangae
Si anaenda mafunzo ya uaskari au unataka wampe uwaziri?Dogo ni fursa kwa wengine. Kinachoumiza hatoambulia chochote zaidi ya umaarufu wa muda tu.
Usistaajabu hiyo suite na viatu imepigiwa budget ya milioni kadhaa na hao wanaomsimamia.
Kuliko kumfanya kama sanamu la maonyesho ni bora either wangemrudisha shule kumpa elimu ya maana au wampe msingi wa uhakika wa maisha utakaomsaidia mbeleni, kama nyumba na kumboreshea fani yake ya uvuvi kama kupewa nyenzo za kisasa za taaluma yake. At least ana ujuzi na sector hiyo na wapo wengi wanaotajirika kwa kupitia uvuvi tu.
Wengi wanaongelea ajira kama msingi wa kumsaidia kusahau kwamba hiyo ajira hana taaluma nayo, elimu yake ni ndogo na wabongo ni watu wa zengwe.
Huko anakokwenda kuajiriwa atakutana na wakaanga sumu ambao wanaweza kumuona kama tishio kwao kupelekea kumfelisha na hapo atakimbilia kwa nani ikiwa trend yake itakuwa ishakwisha?
Hakuna aliyemuuliza kama yupo interested na huko walikompeleka, ni dhana tu kuwa anataka kuwa muokoaji na maamuzi ya wenye madaraka pasi kumshirikisha muhusika kupata maoni yake.
Kazi usiyoipenda ni sawa na adhabu.
Ni swala la muda, trend ikiisha watamtupa huko.
Ebwanah!Hiyo inaitwa freepass yaani akitaka kipochi manyoya hajiulizi tena vingine vinamtafuta vimpe zawadi bure kabisa, yaani dogo ataanza kukanyaga mbunye bure kabisa
jaribu kusoma nilichoandika uelewe na si kujibu kwa vile unaweza kujibu ama kuonekana unajua kujibu.Si anaenda mafunzo ya uaskari au unataka wampe uwaziri?
Huwa sina Comment kwa Mambo ya Kipumbavu hivyo nawaachia wenye Tatizo hilo waendelee Kulijadili na hata kutoa Maoni yao.GENTAMYCINE vipi maoni yako kuhusiana na hili ?
God Did.Huyu hapa[emoji116]View attachment 2413060
Saivi ndege ikianguka tena jobless tutauana kuogembea kuokoa abiriaNzuri, tuwe na utamaduni wa kuwatia moyo volunteers wetu ili na wengine wafuate mkondo huo.
Pesa pesaMbona kabadilika kama sio yeye? Au Labda Majaliwa wa Mchongo? Au basi.
Tuletee maoni ya Mzee MgayaIshakuwa siasa
Uko sahihi mkuu.Dogo ni fursa kwa wengine. Kinachoumiza hatoambulia chochote zaidi ya umaarufu wa muda tu.
Usistaajabu hiyo suite na viatu imepigiwa budget ya milioni kadhaa na hao wanaomsimamia.
Kuliko kumfanya kama sanamu la maonyesho ni bora either wangemrudisha shule kumpa elimu ya maana au wampe msingi wa uhakika wa maisha utakaomsaidia mbeleni, kama nyumba na kumboreshea fani yake ya uvuvi kama kupewa nyenzo za kisasa za taaluma yake. At least ana ujuzi na sector hiyo na wapo wengi wanaotajirika kwa kupitia uvuvi tu.
Wengi wanaongelea ajira kama msingi wa kumsaidia kusahau kwamba hiyo ajira hana taaluma nayo, elimu yake ni ndogo na wabongo ni watu wa zengwe.
Huko anakokwenda kuajiriwa atakutana na wakaanga sumu ambao wanaweza kumuona kama tishio kwao kupelekea kumfelisha na hapo atakimbilia kwa nani ikiwa trend yake itakuwa ishakwisha?
Hakuna aliyemuuliza kama yupo interested na huko walikompeleka, ni dhana tu kuwa anataka kuwa muokoaji na maamuzi ya wenye madaraka pasi kumshirikisha muhusika kupata maoni yake.
Kazi usiyoipenda ni sawa na adhabu.
Ni swala la muda, trend ikiisha watamtupa huko.
The guy is a living definition of a true patriotKa utani vile jamaa haaamini
Hakika mkono wa bwana umemnyanyuaa.
Kuna ukweli flani hivi?.Hata Mimi nadhani wangempa vifaa vya uvuvi.Dogo ni fursa kwa wengine. Kinachoumiza hatoambulia chochote zaidi ya umaarufu wa muda tu.
Usistaajabu hiyo suite na viatu imepigiwa budget ya milioni kadhaa na hao wanaomsimamia.
Kuliko kumfanya kama sanamu la maonyesho ni bora either wangemrudisha shule kumpa elimu ya maana au wampe msingi wa uhakika wa maisha utakaomsaidia mbeleni, kama nyumba na kumboreshea fani yake ya uvuvi kama kupewa nyenzo za kisasa za taaluma yake. At least ana ujuzi na sector hiyo na wapo wengi wanaotajirika kwa kupitia uvuvi tu.
Wengi wanaongelea ajira kama msingi wa kumsaidia kusahau kwamba hiyo ajira hana taaluma nayo, elimu yake ni ndogo na wabongo ni watu wa zengwe.
Huko anakokwenda kuajiriwa atakutana na wakaanga sumu ambao wanaweza kumuona kama tishio kwao kupelekea kumfelisha na hapo atakimbilia kwa nani ikiwa trend yake itakuwa ishakwisha?
Hakuna aliyemuuliza kama yupo interested na huko walikompeleka, ni dhana tu kuwa anataka kuwa muokoaji na maamuzi ya wenye madaraka pasi kumshirikisha muhusika kupata maoni yake.
Kazi usiyoipenda ni sawa na adhabu.
Ni swala la muda, trend ikiisha watamtupa huko.
Ni jambo zuri kuokoa Binadamu na Viumbe hai.Saivi ndege ikianguka tena jobless tutauana kuogembea kuokoa abiria