Majaliwa wa Magufuli alistahili kuwa waziri Mkuu, Majaliwa wa Samia hafai hata Ukuu wa Wilaya

Majaliwa wa Magufuli alistahili kuwa waziri Mkuu, Majaliwa wa Samia hafai hata Ukuu wa Wilaya

Amani iwe nanyi wapendwa wezangu

Nimekubali kweli kuwa ukali mbwa hutegemea anayemliki

Kuna mbwa kama pambo na kuna mbwa muwindaji

Naona sura mbili za kasim majaliwa enzi za magu na enzi za Mama yetu kipenzi

LONDON BOY
Never never never outshine the master...

Sio never outshine the master tu Bali unatakiwa ujue kwamba master wangu ni vitu gani nikifanya atatafsiri kwamba namzidi ?

Kila master ana code zake tofauti ambazo ukiziingilia tu anakutafsiri kwamba unataka kumu outshine.
 
Never never never outshine the master...

Sio never outshine the master tu Bali unatakiwa ujue kwamba master wangu ni vitu gani nikifanya atatafsiri kwamba namzidi ?

Kila master ana code zake tofauti ambazo ukiziingilia tu anakutafsiri kwamba unataka kumu outshine.
Kwahiyo jamaa uwezo wake ni mkubwa kuliko master wake
 
Amani iwe nanyi wapendwa wezangu

Nimekubali kweli kuwa ukali mbwa hutegemea anayemiliki

Kuna mbwa kama pambo na kuna mbwa muwindaji

Naona sura mbili za Kassim Majaliwa enzi za Magu na enzi za Mama yetu kipenzi.

LONDON BOY
Kwahiyo unataka kutuambia wa magufuli akikutana na wasamia , wa magufuli atamtumbua wa samia?
 
Baada ya kifo cha JPM, alikua na option 2 ajiuzuru kiheshima, au aishi kama warumi, he made his own decision 🤣
Ndio venye inatakiwa, hamna mtu hapendi kuishi kwenye msafara wa VX-R full maving'ora ki VIP for the sake of uzalendo. Nobody does that atleast for now 🤣
 
Back
Top Bottom