Watu 13 wanaodaiwa kuwa ahalifu wameuawa na Askari wa Jeshi la Polisi. Watu hao wamekutwa na Bunduki nane, Pikipiki mbili pamoja na Begi moja la nguo.
Tukio hilo limetokea katika maeneo ya Tangibovu Kijiji cha Milaweni, huko Kibiti Mkoani Pwani.
View attachment 562464 View attachment 562465
View attachment 562467
View attachment 562466
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Operesheni Maalumu za Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Liberatus Sabas kuhusiana na tukio la kuuawa wahalifu 13 katika majibizano ya risasi baina ya Polisi na wahalifu hao katika eneo la Tangibovu, Kijiji cha Miwaleni Kata ya Mchukwi, Tarafaya Kibiti.Chini ni silaha 8 aina ya SMG pamoja na vifaa vingine zilizopatikana katika majibizano hayo.
Chanzo: Jeshi la Polisi Tanzania(Ukurasa wa Twitter)
Kivipi mimi naona kama kibiti pametulia, hivi wananchi tunataka nini zaidi ya utulivu eneo hilo la kibiti?
Busara ipi??
Kuwatangaza ndo technique ili hao wenye hasira watoke nje ya maficho wapate kibano vizuri!!
am sure sio lazima kuwaonesha miili yao ila ni muhimu kutuonesha wahalifu walikuwa wanaonekana hivi bila kuonesha maiti...tumieni hata picha za zamani labda watu watasaidia kuwaonesha rafiki zao zaidi
kwa hiyo, Wewe unaona hizo smg walikuwa wanapikia ugaliHell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....
Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......
Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.
Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
Lete ushahidi mkuu hivihivi na wewe hatutakuamini kama unaotaka tusiwaamini.Wanapeleka watu kule na kuwapiga risasi na kuwawekea bunduki na silaha halafu wanajitekenya kuwa tumeua majambazi kibiti. Ndio tatizo la afrima uongo mwingi kwa kuogopa kufukuzwa kazi. Kwani unafukuzwa kazi pasipo hata kuchunguza kosa. Hakuna majambazi ambao tunaambiwa ni waliobobea na wamepata mafunzo nje leo hii wakae pmj. Watu wanapelekwa kibiti wanauwawa then polisi wanasingizia majambazi wa kibiti. Tusubiri muda utasema ndio polisi tanzania
Pamruliaje kama wananchi 13 wameuwawa leo na jeshi la polisi hii sasa ni vita endelevu jeshi la polisi kwa kuuwa wananchi wakisingizia majambazi mbaya sanaKivipi mimi naona kama kibiti pametulia, hivi wananchi tunataka nini zaidi ya utulivu eneo hilo la kibiti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maana ya majibizano ya risasi???Je, kulikuwa kuna ulazima wa kuwaua? Ingependeza kama wengine wakamatwe wakiwa hai ili kulisaidia jeshi la polisi katika upelelezi.
Yeye shida yake ni kuona serikali & jeshi la polisi halifanikiwi katika operesheni safisha majambazi kibiti.
πππππHata mimi ningekuwa askari ningefyeka wote kila mmoja risasi nane hao mbwa hakuna cha kupiga risasi ya mguu..