jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 9,604
- 8,812
Sisi tulipo hapa ina maana hatufanyi uhalifu kama hao majambazi, wale waliamuwa kushika silaha na kuuwa watu wa vyama na askari, mwisho wake ni huu tu, hakuna haja ya kulimbikiza kesi, magereza yenyewe sasa yanajaa mafisadi!
Ukishika silaha na ukaitumia vibaya kama wale mwisho wake ni ndio huu, hakuna cha kesi wala haki kwako, fundisho kwetu..
Ukishika silaha na ukaitumia vibaya kama wale mwisho wake ni ndio huu, hakuna cha kesi wala haki kwako, fundisho kwetu..