Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Sisi tulipo hapa ina maana hatufanyi uhalifu kama hao majambazi, wale waliamuwa kushika silaha na kuuwa watu wa vyama na askari, mwisho wake ni huu tu, hakuna haja ya kulimbikiza kesi, magereza yenyewe sasa yanajaa mafisadi!
Ukishika silaha na ukaitumia vibaya kama wale mwisho wake ni ndio huu, hakuna cha kesi wala haki kwako, fundisho kwetu..
 
Wote13 wameuwawa? Bila ata mmoja kumkamata akiwa hai, ili kustrengthen uchunguzi wa kihalifu
 
Watu 13 wanaodaiwa kuwa ahalifu wameuawa na Askari wa Jeshi la Polisi. Watu hao wamekutwa na Bunduki nane, Pikipiki mbili pamoja na Begi moja la nguo.

Tukio hilo limetokea katika maeneo ya Tangibovu Kijiji cha Milaweni, huko Kibiti Mkoani Pwani.
View attachment 562464 View attachment 562465
View attachment 562467
View attachment 562466
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Operesheni Maalumu za Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Liberatus Sabas kuhusiana na tukio la kuuawa wahalifu 13 katika majibizano ya risasi baina ya Polisi na wahalifu hao katika eneo la Tangibovu, Kijiji cha Miwaleni Kata ya Mchukwi, Tarafaya Kibiti.Chini ni silaha 8 aina ya SMG pamoja na vifaa vingine zilizopatikana katika majibizano hayo.
Chanzo: Jeshi la Polisi Tanzania(Ukurasa wa Twitter)

Tu subiri wajane walilie waume zao
 
Magufuli na Siro watakwenda the Hague kwa kuanzisha rasmi opresheni uwa wananchi wanauwaje wananchi bila kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria hili jambo nila kulikemea sana nchi hii haiko vitani jamani kwa nini watu wanauwawa kila siku na wananchi wanaangalia tu wakiwamaliza wananchi wa Kibiti watahamia eneo lingine kuuwa wananchi wakiwaita majambazi wapi majambazi yanaweza kuwa 13 pamoja nyie endeleeni kuuwa tu
 
c520b78de6e6a5dfda1533cb4667adca.jpg
"crime area" bongo movie
 
Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....

Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......

Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.

Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
kwa hiyo, Wewe unaona hizo smg walikuwa wanapikia ugali
na umeambiwa walilushiana riss
 
Wanapeleka watu kule na kuwapiga risasi na kuwawekea bunduki na silaha halafu wanajitekenya kuwa tumeua majambazi kibiti. Ndio tatizo la afrima uongo mwingi kwa kuogopa kufukuzwa kazi. Kwani unafukuzwa kazi pasipo hata kuchunguza kosa. Hakuna majambazi ambao tunaambiwa ni waliobobea na wamepata mafunzo nje leo hii wakae pmj. Watu wanapelekwa kibiti wanauwawa then polisi wanasingizia majambazi wa kibiti. Tusubiri muda utasema ndio polisi tanzania
Lete ushahidi mkuu hivihivi na wewe hatutakuamini kama unaotaka tusiwaamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kivipi mimi naona kama kibiti pametulia, hivi wananchi tunataka nini zaidi ya utulivu eneo hilo la kibiti?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamruliaje kama wananchi 13 wameuwawa leo na jeshi la polisi hii sasa ni vita endelevu jeshi la polisi kwa kuuwa wananchi wakisingizia majambazi mbaya sana
 
Back
Top Bottom