Halafu hakuna askari aliyejeruhiwa huku wakisema walikuwa wakijibizana kwa risasi, INA maana hao watu walikuwa wakipiga risasi hewani, afu ilikuwa usiku waliwaonaje wote 13? Hao waliouwawa walikuwa wachoma mkaa tu au wavamizi wa misitu hakuna cha majambazi wala nini, jambazi haishi maisha ya kimasikini namna hiyo, kuishi kwenye Nyumba ya nyasi na udongo...huyu IGP anatufanyia usanii kwa vile naye ni mpenda kiki kwa pikipiki.
Hayo majina yawekwe hadharani na ili yachambuliwe wasifu wao na wananchi wa eneo husika kama ni kweli walikuwa ni majambazi...
Sent using
Jamii Forums mobile app