Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

kwa nini wanatangaza lakini? magaidi yanapata hasira za kulipa visasi wanapotangazwa wamepigwa.

kwa nini busara isitumike nyie watu?!!
wewe ni chadema tu kama chadema wengine ambao hawataki kizuri kilichofanywa na serikali kijulikane kwa wananchi.
ulikupasa kujua kwamba, wananchi wa maeneo hayo wanahamu kubwa ya kutaka kujua jeshi la polisi limefikia wapi ktk kupambana na uhalifu ktk eneo hilo.
 
Hongera jeshi la polisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeona erythrocyte amecomment vizuri, lakini ni ukweli usiopingika kwamba, kuna wana chadema wengi hawajafurahia kabisa hii taarifa ya kazi nzuri ya jeshi la polisi ktk kukomesha uharifu nchini.
ni wakati sasa wa kujitafakari kama upo kwenye chama sahihi cha siasa ama la!
 
Upo sahihi lakini umeleta siyo wakati muafaka na ulipaswa kuanza na appreciation kwanza kwa kazi nzuri waliyofanya wenzetu kwani kibiti haikaliki na waliopoteza maisha hawakuwa na makosa
 
Tuache siasa kwenye mambo ya ustawi wa nchi. Hii agenda kama wapinzani wataendelea kuibeba wanavyotaka kuibeba wasije mlaumu mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha mzee, hivi unawajua askari wetu kweli? Tunataka kila wasemacho kiwe verified maana tukikumbuka matukio mengi ya nyuma tunapata mashaka.
Hivi mkuu kile kiss cha wachimbaji Wa Kilombero na Zombe hakikukutoa machozi? Lakini hadithi yake ya mwanzo tulijikuta tukinpongeza Zombe kwa kazi nzuri.
Hapa hakuna itikadi za siasa Bali weledi na ukweli
 
nasubiri orodha ya washirika wa kundi hili watakao fikishwa mahakamani
 
Wapo mkuu na ndio wanaosaidia kutoa taarifa za kuwapata wengine
Alafu wakienda kuwaonyesha walipo wenzao polisi wanawaua na hao watoataarifa! Hiyo imekaaje?!

Kwanini mara zote polisi wakienda na mtoa taarifa/shahidi ambaye wanamshikilia tayari kuwaonyesha walipo wengine, wakifika naye huko porini wanamuua?! Kwanini?!
 
Mbona sijaona mahali wameandika magaidi?
 
Upo sahihi lakini umeleta siyo wakati muafaka na ulipaswa kuanza na appreciation kwanza kwa kazi nzuri waliyofanya wenzetu kwani kibiti haikaliki na waliopoteza maisha hawakuwa na makosa
Naweza kuelewa unachomaanisha nini.
Siasa nzuri ni kujitofautisha na wao.

Mandela wanamuenzi sababu he was wise enough to know the difference.

After all, kuna wakati they really do their work

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekua mkuu wa kikosi nadhani,ningeomba wakamatwe kadhaa,wahojiwe kule kule site af tunawazawadia risasi za vichwa then tunachanganya na wengine waliokufa......hamna kuwaonea huruma hao pimbi.
 
Mura weitu amangana,Nyakoro hongera sanasana kwa kazi nzuri sana unayofanya tokea ukabidhiwe kuongoza Jeshi Letu.
 
Yaani kati ya watu 13 waliouwawa hakuna hata Police aliyejeruhiwa wala kupoteya maisha hii ya kweli au ndio yale yale ya siku zote then baadae uhalifu uko pale pale,ila kama ni kweli itakuwa safi sana.
 
Mbona Polisi haisemi na wao wameuawa wangapi?? jahiwezekani watu 13 wenye siraha wafe kizembe hivyo, lazima na wao waliwatungua kadhaa...Polisi iache sanaa.
 
kwa hiyo, Wewe unaona hizo smg walikuwa wanapikia ugali
na umeambiwa walilushiana riss
zimetoka stoo hizo ni zile zile alizokuwa anaonyesha kova sasa siro sasa IGP akienekeza huu udaku asije akashangaa anashushwa na kulazwa
 
Mpaka watakapo angalia na kuielewa movie ya snipper ndio wataona kuwa hawako sahihi sana.
 
Kuwafikisha mahakamani ni kupoteza muda, acha wauawe shwaini mbuzi pori hao
 
Wakisha kupa hiyo picha wewe itakusaidia nini? Unajua kuna vitu vingine hata ukivifikiria tu havina mantiki,

Kama una ndugu yako kapotea kapeleke taarifa police station.

Picha ni kitu muhimu sana usijifanye huelewi labda tukiona picha tunaweza kuwatambua na kujua marafiki zao wengine tukatoa msaada kwenye vyombo vya ulinzi kwani hizo picha za bunduki na mabomu zinatudaidia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…